KIFO CHA MANDOJO JESHI LA POLISI LIMETOA TAARIFA RASMI/ MTU MMOJA ANASHILIWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 окт 2024

Комментарии • 56

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 2 месяца назад +5

    Huyu polisi anasoma kama amelewa hata haelewi Nonsens 😢
    Anasoma kama mtoto wa darasa la kwanza😢

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 2 месяца назад

      Ulimpeleka shule wewe au anavyosoma haeleweki mbona nyie ngedele mnatusumbua sana baada ya kuongea cha maana unaponda ripoti

    • @shabanikimeru8409
      @shabanikimeru8409 2 месяца назад

      Yeye kaandaliwa ripot aisome sio Kaz yake uyo Camishna kuwa na adabu usilopoke ovyo

    • @FintanFelix-z6c
      @FintanFelix-z6c 2 месяца назад

      Ndo tz lakini ikikutwa taili yagari kipala au Aina bima utakiona chamtema kuni

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana2828 Месяц назад

    Kanisa sio sehemu salama tena

  • @FintanFelix-z6c
    @FintanFelix-z6c 2 месяца назад +3

    Sasa Maelezo gani hata ayaeleweki

  • @ericamkwena7736
    @ericamkwena7736 2 месяца назад +2

    Alienda kuimba vyombo vya mziki kanisani

    • @Mina.15
      @Mina.15 Месяц назад

      Ulikuwa nae

  • @shabanikimeru8409
    @shabanikimeru8409 2 месяца назад +4

    Uchunguzi gani Tena wakat inajulikana kafa kwa kupigwa

    • @mtz5582
      @mtz5582 Месяц назад

      Embu komaa kidogo kiupeo.Mambo ya polisi hayaendi hivyo

  • @TonyMasterog
    @TonyMasterog 2 месяца назад +2

    😢😢😢😢😢

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 2 месяца назад +1

    Hapa kupatiwa mafunzo ya utangazaji ni muhimu.

  • @PrimsSilayo
    @PrimsSilayo 2 месяца назад

    Kwakweli inauma sana😢😢😢

  • @GeorgeElias-p5o
    @GeorgeElias-p5o 2 месяца назад +3

    Duuuh! Ni mimi sijaelewa au afande ajaeleweka😂

    • @GodfreyMwendawila-ff7on
      @GodfreyMwendawila-ff7on 2 месяца назад +1

      Sio kwamba hujaelewa ndo ilivo Kuna jambo ndani yake, baada ya kumkuta ni nini kilifuata slipigwa au ilikuwaje ndo utajua selikali na dini zetu ni biashara tu ndo inamata

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 2 месяца назад

      ​@@GodfreyMwendawila-ff7oninasemekana yule huchanganyikiwa kwa hivyo inaelekea alipigwa sana na hatujui aliyempiga ni nani ?

    • @Mina.15
      @Mina.15 Месяц назад

      Afande kalewa 😂😂

  • @BahariaMnyama
    @BahariaMnyama Месяц назад

    duh

  • @Mina.15
    @Mina.15 Месяц назад

    Police na karatasi ni Makorokocho tuu 😂

  • @simonbundala6382
    @simonbundala6382 2 месяца назад

    Taarifa hii hata sijaielewa kabisa.

  • @MarryKiula
    @MarryKiula 2 месяца назад

    Kama alijifungia kwny banda la Mbwa kanisani sheria sizipo Jaman hao waumini kwanini kujichukulia sheria za kumuua Mtu kanisani Wnyw ndo Wahukumu wa haki! Ole Wao Maana Muhukumu wa haki yupo asinzii wala halali

  • @Zanzibar-e4h
    @Zanzibar-e4h 2 месяца назад

    Ok kafa kanisan kuna hatua gani.

  • @christinaalexander1213
    @christinaalexander1213 2 месяца назад +2

    Walimdhibiti ,ameiba?

  • @MsNajma-j7e
    @MsNajma-j7e 2 месяца назад

    Haki itendeke kwa hote wario usika kumpga mbaka kufa

  • @VitalisMmassi-oh4jb
    @VitalisMmassi-oh4jb 2 месяца назад +2

    Asome mwingine aleweki

  • @jeremiahmbena4644
    @jeremiahmbena4644 2 месяца назад +1

    Mbona nyinyi polici mnawakamata watu amuogopi munga?

    • @Mina.15
      @Mina.15 Месяц назад

      Munga ndio nini 😂😂😂

  • @Upendogospelchoir
    @Upendogospelchoir 2 месяца назад

    Huyu ni polisi kweli ?

  • @MsNajma-j7e
    @MsNajma-j7e 2 месяца назад

    Vp mumshikirie mrinzi tu moja hao waumin wakowap wakamatwe wote wario muhuwa tz watu wamezoeya kuchukua sheria mkonon hii si sawa

  • @KoleYasini
    @KoleYasini 2 месяца назад

    Kwani alikuwa mteja au?

  • @anoldkayombo2541
    @anoldkayombo2541 2 месяца назад

    Uwo ni wongo bana

  • @JosephMokunda
    @JosephMokunda 2 месяца назад

    Cjaelewa kitu

  • @KoleYasini
    @KoleYasini 2 месяца назад

    Sasa mlinzi alishirikiana na waumini kumdhibiti mbona ameshikiliwa mlinzi pekee..

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 2 месяца назад

    Jamani kwenye banda la mbwa hata wewe ukimkuta mtu kwenye banda la mbwa utamuelewa kweli!

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 2 месяца назад

    Police hapana mmekuwa tishio nchini badala ya kulinda mnaua

  • @JULIANAMAGANGA-g4j
    @JULIANAMAGANGA-g4j 2 месяца назад

    Hapana😊

  • @sabatojoshwa6684
    @sabatojoshwa6684 Месяц назад

    Mpumbavu

  • @SAIDIMUKSIN-iy2op
    @SAIDIMUKSIN-iy2op 2 месяца назад

    Uyu afande ata kuwa mwiraq

  • @samsonhaule3647
    @samsonhaule3647 2 месяца назад

    Sasa nayeye mandojo kwanini kwanini Ajifungie kwenye chumba au Alikuwa Amelewa?

    • @DeboraCalton
      @DeboraCalton 2 месяца назад

      Mi ata sielewi kwa kweli si pombe

    • @Nodrikeys
      @Nodrikeys 2 месяца назад

      inawezekana aliiba huyoo..

  • @farijalakhalid5558
    @farijalakhalid5558 2 месяца назад

    Unga

  • @HezroniJonh
    @HezroniJonh 2 месяца назад

    Hukiona NCHI mtu anaiba kuku alafu anachomwa moto na watu wanafurahia na police wanaona sawa hiyo NCHI kimbia haraka sana

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 2 месяца назад

      Wewe unasubiri nini panya wewe na hata kiswahili usitumie hupunguzi wala huongezi kitu ukiwepo Tanzania na kama upo kuja amisha ukoo wako wote uende unapoona panakufaa.

    • @KhairatBundala
      @KhairatBundala 2 месяца назад

      Huyu kazi yake ni mwizi wa kuku kwann asapoti wasichomwe moto

  • @rahjah5882
    @rahjah5882 2 месяца назад

    Mandojo hakuwa mwizi

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 2 месяца назад

      Wanasema huwa akinywa anapatwa na matatizo ya kichwa kuchanganyikiwa R.I.P Mandojo .Wao walipomuona kwa nini wasiite Polisi?ati kanisani imekuwa tena sehemu ya mauaji

  • @FrankSamson-r6s
    @FrankSamson-r6s 2 месяца назад +1

    Daaaaah asa kama unamuhisi mtu si ita polisi mnapoteza ndugu zetu kifara sana

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 2 месяца назад

      Hata wao wakiitwa unadhani ni wema ?ndio kwanza wengine wanampokea mtu kwa mateke na kipigo ili aseme hawatambui hata mwenye matatizo ya akili au chochote ni kipigo tu busara kwao ziro.Kuna siku nilikuwa kituo fulani cha Polisi akapita kijana na baiskeli bila kujua walikua wanashusha bendera mda huo .Mungu tu nilikuwa hapo nikamzomea huyo Polisi alimuita huyo kijana alimpiga kofi moja mpaka chini akaanguka akamleta kituoni akilia na kuomba msamaha akavuta droo yule Askari akatoa bangi akataka kumsingizia yule kijana. Nikasema kwa hasira mimi nitatoka hadharani kusema ukweli usimuonee ndio akaachiwa. Ninashangaa sana wakisema na kuwasifia hawa jamaa

  • @MagrethCharles-t5i
    @MagrethCharles-t5i 2 месяца назад

    Asome mwingine Hilo karatasi

  • @MBESANATURALPRODUCTS-s5y
    @MBESANATURALPRODUCTS-s5y 2 месяца назад

    Incomplete information

  • @Victor-rb8yc
    @Victor-rb8yc 2 месяца назад

    UKUMA

  • @MagrethCharles-t5i
    @MagrethCharles-t5i 2 месяца назад

    Maelezo yako hayajitosheleza

  • @SaimoniKamwaki
    @SaimoniKamwaki 2 месяца назад

    Afande Hana kosa. Waliomuua ndio akili hawana. Mtu kajifungia kwenye Banda angethitiwa Kwanza, muda huo akiojiwa. Ila ukimkumbuka mwenyezi baada ya kuwa umetenda dhambi zako! Mfano kulewa,kuvuta bangi ni hatari zaidi kuliko ukiwa hajaunamia vilevi. MUNGU amuweke salama man dojo hakuwa na skendo kabisaaaa. Basi tena ndio yashamfikia bado wewe na mm.

  • @MagrethCharles-t5i
    @MagrethCharles-t5i 2 месяца назад

    Asome mwingine Hilo karatisi