Sio kwamba hujaelewa ndo ilivo Kuna jambo ndani yake, baada ya kumkuta ni nini kilifuata slipigwa au ilikuwaje ndo utajua selikali na dini zetu ni biashara tu ndo inamata
Kama alijifungia kwny banda la Mbwa kanisani sheria sizipo Jaman hao waumini kwanini kujichukulia sheria za kumuua Mtu kanisani Wnyw ndo Wahukumu wa haki! Ole Wao Maana Muhukumu wa haki yupo asinzii wala halali
Wewe unasubiri nini panya wewe na hata kiswahili usitumie hupunguzi wala huongezi kitu ukiwepo Tanzania na kama upo kuja amisha ukoo wako wote uende unapoona panakufaa.
Wanasema huwa akinywa anapatwa na matatizo ya kichwa kuchanganyikiwa R.I.P Mandojo .Wao walipomuona kwa nini wasiite Polisi?ati kanisani imekuwa tena sehemu ya mauaji
Hata wao wakiitwa unadhani ni wema ?ndio kwanza wengine wanampokea mtu kwa mateke na kipigo ili aseme hawatambui hata mwenye matatizo ya akili au chochote ni kipigo tu busara kwao ziro.Kuna siku nilikuwa kituo fulani cha Polisi akapita kijana na baiskeli bila kujua walikua wanashusha bendera mda huo .Mungu tu nilikuwa hapo nikamzomea huyo Polisi alimuita huyo kijana alimpiga kofi moja mpaka chini akaanguka akamleta kituoni akilia na kuomba msamaha akavuta droo yule Askari akatoa bangi akataka kumsingizia yule kijana. Nikasema kwa hasira mimi nitatoka hadharani kusema ukweli usimuonee ndio akaachiwa. Ninashangaa sana wakisema na kuwasifia hawa jamaa
Afande Hana kosa. Waliomuua ndio akili hawana. Mtu kajifungia kwenye Banda angethitiwa Kwanza, muda huo akiojiwa. Ila ukimkumbuka mwenyezi baada ya kuwa umetenda dhambi zako! Mfano kulewa,kuvuta bangi ni hatari zaidi kuliko ukiwa hajaunamia vilevi. MUNGU amuweke salama man dojo hakuwa na skendo kabisaaaa. Basi tena ndio yashamfikia bado wewe na mm.
Huyu polisi anasoma kama amelewa hata haelewi Nonsens 😢
Anasoma kama mtoto wa darasa la kwanza😢
Ulimpeleka shule wewe au anavyosoma haeleweki mbona nyie ngedele mnatusumbua sana baada ya kuongea cha maana unaponda ripoti
Yeye kaandaliwa ripot aisome sio Kaz yake uyo Camishna kuwa na adabu usilopoke ovyo
Ndo tz lakini ikikutwa taili yagari kipala au Aina bima utakiona chamtema kuni
Kanisa sio sehemu salama tena
Sasa Maelezo gani hata ayaeleweki
Alienda kuimba vyombo vya mziki kanisani
Ulikuwa nae
Uchunguzi gani Tena wakat inajulikana kafa kwa kupigwa
Embu komaa kidogo kiupeo.Mambo ya polisi hayaendi hivyo
😢😢😢😢😢
Hapa kupatiwa mafunzo ya utangazaji ni muhimu.
Kwakweli inauma sana😢😢😢
Duuuh! Ni mimi sijaelewa au afande ajaeleweka😂
Sio kwamba hujaelewa ndo ilivo Kuna jambo ndani yake, baada ya kumkuta ni nini kilifuata slipigwa au ilikuwaje ndo utajua selikali na dini zetu ni biashara tu ndo inamata
@@GodfreyMwendawila-ff7oninasemekana yule huchanganyikiwa kwa hivyo inaelekea alipigwa sana na hatujui aliyempiga ni nani ?
Afande kalewa 😂😂
duh
Police na karatasi ni Makorokocho tuu 😂
Taarifa hii hata sijaielewa kabisa.
Kama alijifungia kwny banda la Mbwa kanisani sheria sizipo Jaman hao waumini kwanini kujichukulia sheria za kumuua Mtu kanisani Wnyw ndo Wahukumu wa haki! Ole Wao Maana Muhukumu wa haki yupo asinzii wala halali
Ok kafa kanisan kuna hatua gani.
Walimdhibiti ,ameiba?
Haki itendeke kwa hote wario usika kumpga mbaka kufa
Asome mwingine aleweki
Mbona nyinyi polici mnawakamata watu amuogopi munga?
Munga ndio nini 😂😂😂
Huyu ni polisi kweli ?
Vp mumshikirie mrinzi tu moja hao waumin wakowap wakamatwe wote wario muhuwa tz watu wamezoeya kuchukua sheria mkonon hii si sawa
Kwani alikuwa mteja au?
Uwo ni wongo bana
Cjaelewa kitu
Sasa mlinzi alishirikiana na waumini kumdhibiti mbona ameshikiliwa mlinzi pekee..
Jamani kwenye banda la mbwa hata wewe ukimkuta mtu kwenye banda la mbwa utamuelewa kweli!
😅😅😅
Police hapana mmekuwa tishio nchini badala ya kulinda mnaua
Hapana😊
Mpumbavu
Uyu afande ata kuwa mwiraq
Sasa nayeye mandojo kwanini kwanini Ajifungie kwenye chumba au Alikuwa Amelewa?
Mi ata sielewi kwa kweli si pombe
inawezekana aliiba huyoo..
Unga
Hukiona NCHI mtu anaiba kuku alafu anachomwa moto na watu wanafurahia na police wanaona sawa hiyo NCHI kimbia haraka sana
Wewe unasubiri nini panya wewe na hata kiswahili usitumie hupunguzi wala huongezi kitu ukiwepo Tanzania na kama upo kuja amisha ukoo wako wote uende unapoona panakufaa.
Huyu kazi yake ni mwizi wa kuku kwann asapoti wasichomwe moto
Mandojo hakuwa mwizi
Wanasema huwa akinywa anapatwa na matatizo ya kichwa kuchanganyikiwa R.I.P Mandojo .Wao walipomuona kwa nini wasiite Polisi?ati kanisani imekuwa tena sehemu ya mauaji
Daaaaah asa kama unamuhisi mtu si ita polisi mnapoteza ndugu zetu kifara sana
Hata wao wakiitwa unadhani ni wema ?ndio kwanza wengine wanampokea mtu kwa mateke na kipigo ili aseme hawatambui hata mwenye matatizo ya akili au chochote ni kipigo tu busara kwao ziro.Kuna siku nilikuwa kituo fulani cha Polisi akapita kijana na baiskeli bila kujua walikua wanashusha bendera mda huo .Mungu tu nilikuwa hapo nikamzomea huyo Polisi alimuita huyo kijana alimpiga kofi moja mpaka chini akaanguka akamleta kituoni akilia na kuomba msamaha akavuta droo yule Askari akatoa bangi akataka kumsingizia yule kijana. Nikasema kwa hasira mimi nitatoka hadharani kusema ukweli usimuonee ndio akaachiwa. Ninashangaa sana wakisema na kuwasifia hawa jamaa
Asome mwingine Hilo karatasi
Incomplete information
UKUMA
Maelezo yako hayajitosheleza
Afande Hana kosa. Waliomuua ndio akili hawana. Mtu kajifungia kwenye Banda angethitiwa Kwanza, muda huo akiojiwa. Ila ukimkumbuka mwenyezi baada ya kuwa umetenda dhambi zako! Mfano kulewa,kuvuta bangi ni hatari zaidi kuliko ukiwa hajaunamia vilevi. MUNGU amuweke salama man dojo hakuwa na skendo kabisaaaa. Basi tena ndio yashamfikia bado wewe na mm.
Asome mwingine Hilo karatisi