DOMOKAYA AFIKA MSIBANI AFUNGUKA KWA UCHUNGU KIFO CHA MANDOJO "WAMEMDHULUMU NAFSI RAFIKI YANGU"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 окт 2024

Комментарии • 100

  • @jumaamohamed2815
    @jumaamohamed2815 2 месяца назад +41

    Hii nchi ina watu wana Roho Mbaya sana Mandojo kapitia changamoto sana mpaka kifo Chake, kuna kipindi kuna watu walimvunjia Nyumba yake Ya Dar, Jamaa kapitia mitihani Mwenyezi MUNGU amlaze Pema Legend."😢

    • @nemesapollo4846
      @nemesapollo4846 2 месяца назад

      aisee kumbe ni htr

    • @emmanuelmayunga1518
      @emmanuelmayunga1518 2 месяца назад +3

      Jamani kwel kabisa iliniuma sana aisee

    • @jumaamohamed2815
      @jumaamohamed2815 2 месяца назад +5

      @@emmanuelmayunga1518 Ile issue mpaka Mkuu wa Mkoa aliingilia kati kipindi kile Makonda Cjui ikaishia wapi, Kwa kweli Mandojo Dunia haikuwa fair kwake japo yeye alikuwa mtu mzuri Duniani na kuchagua kutuburudisha bado watu wengine wa Dodoma wamemdhulumu Uhai Wake."

    • @TumainiMedason
      @TumainiMedason 2 месяца назад

      Makonda kupitia mfuko wa maafa ofisi ya mkuu Wa mkoa walimjengea nyumba na wadau wengi tu walijotokeza kumchangiaga na mtaji wake wa kufuga kuku aliupata​@@jumaamohamed2815

    • @BabuAbdul-hd3xn
      @BabuAbdul-hd3xn 2 месяца назад +1

      😢

  • @naba_watomaco9274
    @naba_watomaco9274 2 месяца назад +8

    Br! Pole sana! Kwa wahenga! Tunatambua haijawahi tokea Big Combination 🇹🇿 ya Muzic kama Dojo na Domo! 😭😭😭 MUNGU akutie Nguvu Br, since day one nawakubali....😭😭😭 Tunamkabidhi MUNGU

  • @DjJohnBashir-oy7cx
    @DjJohnBashir-oy7cx 2 месяца назад +2

    polenisana Ndojo ameniuma sana napenda kazi zenu mungu amtangulie mbele za haki

  • @stellamokiwa2025
    @stellamokiwa2025 2 месяца назад +13

    Domo kaya nimekupenda.....unaongea vizuri sanaaaa

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 2 месяца назад +5

    Pole sana broo naelewa unachokifeel juu ya ndugu yako Dojo

  • @paulmwanyika7622
    @paulmwanyika7622 2 месяца назад +8

    "Kazi yake mola haina makosa... Anafanya atakalo,anafanya awezalo kwani dunia ni yake, hakuna ashindwalo" R. I. P dojo....

  • @pharleserasto3114
    @pharleserasto3114 2 месяца назад +4

    Kuwa pole Domokay njia Moja hii Mungu atalipa kwa wote walohusik

  • @fatmazullu4933
    @fatmazullu4933 2 месяца назад +7

    Pole sana domokaya jamanii umepoteza combination yako kubwa kabisaa! Daaah

  • @eaglemakopa7592
    @eaglemakopa7592 2 месяца назад +2

    Mungu amlaze maalipema pepon mandojo

  • @joss.nkilio.3537
    @joss.nkilio.3537 2 месяца назад +7

    Waliomfanyia Hivyo Mungu hatowaacha bule,Mungu ampumzishe Kwa Amani Mandojo🙏😭😭.

  • @samyspesho1698
    @samyspesho1698 2 месяца назад +3

    HAO WALOMUUWA WANAJISIKIAJE HV SASA

  • @BedaKunguluche
    @BedaKunguluche 2 месяца назад +2

    Domokaya,umeongea maneno yenye hekima sana, Mungu akutie nguvu

  • @AishaHaji-h4d
    @AishaHaji-h4d 2 месяца назад +3

    Watu wachacheee 🥹🥹🥹misiba ya siku hizi sio kama ya zamani in short maisha yamebadilika sana
    Zamani mtu akifariki mpaka 40 ifike watu wanakuwa bado wanaomboleza
    Siku hizi ukizikwa tu unasahaulika muda huo huo
    Mungu atujaalie mwisho mwema
    Natoa pole sana kwa familia,ndugu,jamaa na mashabiki wote wa mandojo
    May peace be upon him

  • @mujwasteven
    @mujwasteven 2 месяца назад +4

    Hanta Nation Nampata ni producer number moja bongo ndo alimtoa hamornise alitengeneza Uno na nyimbo kibao harmo alipotoka wasafi, utasikia "youg legendary" Yuko hapo pembeni kwa domokaya. R.I.P DOJO

  • @CatherineKulaya
    @CatherineKulaya 2 месяца назад

    Roho ya marehemu ilale mahala pem peponi Amein 🙏🙏🙏

  • @dicksonjonas1799
    @dicksonjonas1799 2 месяца назад

    Pole sana bro,,umeongea kwa uchungu sana,,

  • @ShokoleMasawe-hk9vh
    @ShokoleMasawe-hk9vh 2 месяца назад

    kwa mola kila mja atarejea hakuna kifo kilichowahikosa sababu.pole sana domokaya

  • @MarryKiula
    @MarryKiula 2 месяца назад

    Pole Sana Domokaya kweli Wewe ndo unamjua vizuri Mandojo Since mnafanya Mazoezi ya kuimba Mto Temi Arusha Kweli mmetoka Mbali😭😭

  • @LauraGeorge-u1r
    @LauraGeorge-u1r 2 месяца назад +2

    Hongera domokaya umeongea kwa busara sana

  • @phantyrhymes9536
    @phantyrhymes9536 2 месяца назад +3

    Polesana rafiki yangu Domokaya kwa Kumpoteza Dojo. R. I. P Dojo.

  • @PaskalEmilist
    @PaskalEmilist 2 месяца назад

    Wote safari mojaa inauzunishaa na inasikitishaa sanaa hila mie nina aminii safari yetu moja asanten

  • @godfreyhiza1075
    @godfreyhiza1075 2 месяца назад

    Maisha yetu duniani ni kama ua la kondeni mara kukauka na kuchukuliwa na upepo ...tumkabidhi BWANA YESU maisha yetu, Ndiye tunayerejea kwake!!!

  • @tareqhilal6750
    @tareqhilal6750 2 месяца назад +1

    Brother tunawachukulia tofauti sana ila mtusamehe leo najua kuwa mnafanya music tu, umeongea vizuri mno, hii expression ni wachache wanaweza toa..Pole sana kwa kumpoteza Mandojo, uwe na subira maana Mungu hakosei kaka. Pole sana njia yetu moja.

  • @FredMeitamei
    @FredMeitamei 2 месяца назад

    Mungu ampumzishe kwa amani ila binadamu siyo watu kwanini wamefanya hivi

  • @BabaLea-ez7pp
    @BabaLea-ez7pp 2 месяца назад +2

    Kweli baba domokaya umesema ukweli ila huyu alieseme nirafiki yeke

  • @beatricesaitoti6125
    @beatricesaitoti6125 2 месяца назад

    Inamaana hao waliomfanyia ivo hawamjui ndojo dah vitu vingine vinafikirisha sana all and all may soul in paradise ndojo

  • @FatmaMohammed-ry8yo
    @FatmaMohammed-ry8yo 2 месяца назад +1

    Inna lillah waina ilaih rajiun poleni kwa Familia dogo ni Familia yangu aisee nimeumia

  • @MussaHaruna-e7t
    @MussaHaruna-e7t 2 месяца назад

    Dah rip dojo.bro nyimbo zako bado tutazkumbuka na domokaya

  • @LauraGeorge-u1r
    @LauraGeorge-u1r 2 месяца назад +1

    Unaumia sana ila umejikaza kiume,big up bro,rest in peace mandgojo

  • @h.mau9989
    @h.mau9989 2 месяца назад

    Hawa jama sijawaelewa leo wala jana du imeniuma sana

  • @ShokoleMasawe-hk9vh
    @ShokoleMasawe-hk9vh 2 месяца назад

    daaa.r.i.p kaka

  • @StevenMsagusa-mk8qd
    @StevenMsagusa-mk8qd 2 месяца назад

    Poleni sana wanafamilia Mungu awape nguvu.

  • @cylviapatric7343
    @cylviapatric7343 2 месяца назад

    It’s pain Jmn… Nmeumia sana. Pole domo

  • @MahuchaniNgoka
    @MahuchaniNgoka 2 месяца назад

    Nice talk domokaya 😂

  • @rajabumkwawa6053
    @rajabumkwawa6053 2 месяца назад

    RIP Mandojo.!! Pole sana Domokaya.

  • @NeemaLukasy
    @NeemaLukasy 2 месяца назад

    Poleni wanafamilia

  • @Dully_star
    @Dully_star 2 месяца назад +1

    Kazi ya mungu haina makosa ila tumempoteza PELLE WA TANZANIA jamaa likua anapiga miguu yote anaimba huku anapiga gittaa yani ni fundy kweli kweli mwenye roho nzury vibaya mnooooo yan daah NCHI YANGU TANZANIA JAMANI JAMANIIII????

  • @atupokilemwakajila7179
    @atupokilemwakajila7179 2 месяца назад

    Broooo nimeumizwa saanaa duuuu nyie jamaaaa combination yenu ilinifanya nijivunie bongo flavor yetu.inamaana ile interview yenu UTV ndo mara ya mwisho kuwaona pamoja duuu.kazi ya mungu haina makosa pumuzika kaka

  • @jothamkibona2919
    @jothamkibona2919 2 месяца назад

    Pole ndugu yetu hakika tumwachie mungu

  • @PauloKikoti-vn5du
    @PauloKikoti-vn5du 2 месяца назад +1

    safi domo unajua kuongee.

  • @NeemaLukasy
    @NeemaLukasy 2 месяца назад

    Daah poleni sana jaman

  • @bakarininga4100
    @bakarininga4100 2 месяца назад

    Daaah Hakuna siku sijaingia you tube cjaskiliz nyimbo zao domo kaya daaah kapoteza combination moja ya maisha

  • @EmmanuelChacha-k2k
    @EmmanuelChacha-k2k 2 месяца назад

    Mandojo rest in peace 😢😢😢

  • @shamimageta6651
    @shamimageta6651 2 месяца назад +1

    dah...maisha mafupi sana aisee

  • @AdamSabugo-sr4ds
    @AdamSabugo-sr4ds 2 месяца назад

    Dah poleni xnaa kwakuondokewa na ndugu mungu awape ngufu 😭😭😭

  • @JestinaKandonga
    @JestinaKandonga 2 месяца назад

    Inauma sana ila mungu wa mbingu atawalipa😢😢😢😢😢

  • @Byme6434
    @Byme6434 2 месяца назад

    Ila Labda yule Kaka Itakuwa Alivyopigiwa Simu hakujuwa kama Itarushwa hewani

  • @davisdaud9185
    @davisdaud9185 2 месяца назад

    So sad ninja pole saana

  • @plutomc-m5j
    @plutomc-m5j 2 месяца назад +2

    Nani asiye mjua mandojo
    Jamani Dodoma,Dodoma ya watanzania kweli hamumjuii mdojo
    RIP BABU

  • @MiriamGeorge-p4b
    @MiriamGeorge-p4b 2 месяца назад

    Pleni sana

  • @Wazirirajabu-n7s
    @Wazirirajabu-n7s 2 месяца назад

    Namkumbuka kwa wimbo wake wa taswira

  • @barakamwaisumbe6103
    @barakamwaisumbe6103 2 месяца назад

    Kanisani ni mahali pa kuponea hata kama ni mwizi sheria zipo na polisi wapo kwa ajili yetu wananchi wasingejichukulia maamuz ya kupiga akat wao ni watakatifu

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 2 месяца назад

    Yan nyie kwel mlikuwa marafiki wa dhati tokea kipindi kile mpaka leo duu kwel mlipendana....mmmmhh au kuna kitu kinafichwa apo kwan ?? Mbona sijaelewa?

  • @leilawanjiru6484
    @leilawanjiru6484 2 месяца назад

    Poleni kaka

  • @JosephinePanga
    @JosephinePanga 2 месяца назад

    Jamaa ana matatizo ya akil ulimpima ww, acha kuropoka upuuziii

  • @HajiSeleman-h2l
    @HajiSeleman-h2l 2 месяца назад

    Apumzike kwa amani

  • @djamanitvonline3623
    @djamanitvonline3623 2 месяца назад

    Domo Kaya🇹🇿

  • @OmaryKibwana-n3n
    @OmaryKibwana-n3n Месяц назад

    😭

  • @AdelineMkingi
    @AdelineMkingi 2 месяца назад

    Labda alikua na ahida ilihitaji huduma za kiroho akakimbilia kanisani na mkamuua. Kwa hali ilivyo sasahivi nadhani watu waelewe mwizi apigwe akiwa na kidhibiti cha wizi aisee

  • @OmegaChurch-t5g
    @OmegaChurch-t5g 2 месяца назад

    Kanisa la katoriki ni la kishetani

  • @TatuSeleman-zm1hn
    @TatuSeleman-zm1hn 2 месяца назад

    Inna lillah waina lillah rajiun

  • @sulleimanshalua168
    @sulleimanshalua168 2 месяца назад

    R.ip mandojo

  • @SadickSadick-n6j
    @SadickSadick-n6j 2 месяца назад

    Rip mandojo

  • @BabuAbdul-hd3xn
    @BabuAbdul-hd3xn 2 месяца назад

    😢😢😢

  • @BakariMnou
    @BakariMnou 2 месяца назад

    Da mwamba katutoka mbele yake nyuma yetu

  • @KudraEliasa
    @KudraEliasa 2 месяца назад

    Polen san ndg

  • @rashidissa9395
    @rashidissa9395 2 месяца назад

    Pole kaka

  • @JosephMaluwa
    @JosephMaluwa 2 месяца назад

    Rip

  • @kisutiemanuele1299
    @kisutiemanuele1299 2 месяца назад

    😢😢

  • @AllySalum-j9y
    @AllySalum-j9y 2 месяца назад

    Doooomokayaaa nikweriií bwanaaa mandonjooo anamatatizooo yaaa akiriii bwanaaa munafichaaa ninii kwaniii kosaaa ripooo wapiiii jamahaa kusemaaa ukweriii namtuuuu amefarikiii

    • @jumaamohamed2815
      @jumaamohamed2815 2 месяца назад +3

      Kosa lipo ndugu taarifa za msiba mara nyingi kibusara huwa inatakiwa aongee mtu wa Family sio kukurupuka huyo mwana tukubali tu kazingua sio fresh".

    • @mrambadiana9678
      @mrambadiana9678 2 месяца назад +1

      Kuandika yenyewe hujui chokoraa wewe, tulia afya ya akil unayo wewe

    • @AllySalum-j9y
      @AllySalum-j9y 2 месяца назад

      We we ndounajuaaa atiiii kuandikaaaa yenyeweee ujuii duuu kabiraaa ganii nduguu yanguuu kituuu kamaaa akikuhusuuu kaushaaa shangingiii auuu unatakaaa bwanaaa mitandaoniii

    • @nyambwirasam5896
      @nyambwirasam5896 2 месяца назад

      ​@@mrambadiana9678Na kweli kaka hakuna mtu hapo mwehu kabisa huyo.

  • @NeemaLukasy
    @NeemaLukasy 2 месяца назад

    Poleni wanafamilia

  • @JestinaKandonga
    @JestinaKandonga 2 месяца назад

    Inauma sana ila mungu wa mbingu atawalipa😢😢😢😢😢

  • @TonyMasterog
    @TonyMasterog 2 месяца назад

    😢😢😢😢

  • @godloveemanuel1417
    @godloveemanuel1417 2 месяца назад

    😢😢😢

  • @NeemaLukasy
    @NeemaLukasy 2 месяца назад

    Poleni wanafamilia

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 2 месяца назад

    😭😭😭😭