Hii nchi ina watu wana Roho Mbaya sana Mandojo kapitia changamoto sana mpaka kifo Chake, kuna kipindi kuna watu walimvunjia Nyumba yake Ya Dar, Jamaa kapitia mitihani Mwenyezi MUNGU amlaze Pema Legend."😢
@@emmanuelmayunga1518 Ile issue mpaka Mkuu wa Mkoa aliingilia kati kipindi kile Makonda Cjui ikaishia wapi, Kwa kweli Mandojo Dunia haikuwa fair kwake japo yeye alikuwa mtu mzuri Duniani na kuchagua kutuburudisha bado watu wengine wa Dodoma wamemdhulumu Uhai Wake."
Makonda kupitia mfuko wa maafa ofisi ya mkuu Wa mkoa walimjengea nyumba na wadau wengi tu walijotokeza kumchangiaga na mtaji wake wa kufuga kuku aliupata@@jumaamohamed2815
Br! Pole sana! Kwa wahenga! Tunatambua haijawahi tokea Big Combination 🇹🇿 ya Muzic kama Dojo na Domo! 😭😭😭 MUNGU akutie Nguvu Br, since day one nawakubali....😭😭😭 Tunamkabidhi MUNGU
Watu wachacheee 🥹🥹🥹misiba ya siku hizi sio kama ya zamani in short maisha yamebadilika sana Zamani mtu akifariki mpaka 40 ifike watu wanakuwa bado wanaomboleza Siku hizi ukizikwa tu unasahaulika muda huo huo Mungu atujaalie mwisho mwema Natoa pole sana kwa familia,ndugu,jamaa na mashabiki wote wa mandojo May peace be upon him
Hanta Nation Nampata ni producer number moja bongo ndo alimtoa hamornise alitengeneza Uno na nyimbo kibao harmo alipotoka wasafi, utasikia "youg legendary" Yuko hapo pembeni kwa domokaya. R.I.P DOJO
Brother tunawachukulia tofauti sana ila mtusamehe leo najua kuwa mnafanya music tu, umeongea vizuri mno, hii expression ni wachache wanaweza toa..Pole sana kwa kumpoteza Mandojo, uwe na subira maana Mungu hakosei kaka. Pole sana njia yetu moja.
Kazi ya mungu haina makosa ila tumempoteza PELLE WA TANZANIA jamaa likua anapiga miguu yote anaimba huku anapiga gittaa yani ni fundy kweli kweli mwenye roho nzury vibaya mnooooo yan daah NCHI YANGU TANZANIA JAMANI JAMANIIII????
Broooo nimeumizwa saanaa duuuu nyie jamaaaa combination yenu ilinifanya nijivunie bongo flavor yetu.inamaana ile interview yenu UTV ndo mara ya mwisho kuwaona pamoja duuu.kazi ya mungu haina makosa pumuzika kaka
Kanisani ni mahali pa kuponea hata kama ni mwizi sheria zipo na polisi wapo kwa ajili yetu wananchi wasingejichukulia maamuz ya kupiga akat wao ni watakatifu
Yan nyie kwel mlikuwa marafiki wa dhati tokea kipindi kile mpaka leo duu kwel mlipendana....mmmmhh au kuna kitu kinafichwa apo kwan ?? Mbona sijaelewa?
Labda alikua na ahida ilihitaji huduma za kiroho akakimbilia kanisani na mkamuua. Kwa hali ilivyo sasahivi nadhani watu waelewe mwizi apigwe akiwa na kidhibiti cha wizi aisee
Hii nchi ina watu wana Roho Mbaya sana Mandojo kapitia changamoto sana mpaka kifo Chake, kuna kipindi kuna watu walimvunjia Nyumba yake Ya Dar, Jamaa kapitia mitihani Mwenyezi MUNGU amlaze Pema Legend."😢
aisee kumbe ni htr
Jamani kwel kabisa iliniuma sana aisee
@@emmanuelmayunga1518 Ile issue mpaka Mkuu wa Mkoa aliingilia kati kipindi kile Makonda Cjui ikaishia wapi, Kwa kweli Mandojo Dunia haikuwa fair kwake japo yeye alikuwa mtu mzuri Duniani na kuchagua kutuburudisha bado watu wengine wa Dodoma wamemdhulumu Uhai Wake."
Makonda kupitia mfuko wa maafa ofisi ya mkuu Wa mkoa walimjengea nyumba na wadau wengi tu walijotokeza kumchangiaga na mtaji wake wa kufuga kuku aliupata@@jumaamohamed2815
😢
Br! Pole sana! Kwa wahenga! Tunatambua haijawahi tokea Big Combination 🇹🇿 ya Muzic kama Dojo na Domo! 😭😭😭 MUNGU akutie Nguvu Br, since day one nawakubali....😭😭😭 Tunamkabidhi MUNGU
polenisana Ndojo ameniuma sana napenda kazi zenu mungu amtangulie mbele za haki
Domo kaya nimekupenda.....unaongea vizuri sanaaaa
Pole sana broo naelewa unachokifeel juu ya ndugu yako Dojo
"Kazi yake mola haina makosa... Anafanya atakalo,anafanya awezalo kwani dunia ni yake, hakuna ashindwalo" R. I. P dojo....
Kuwa pole Domokay njia Moja hii Mungu atalipa kwa wote walohusik
Pole sana domokaya jamanii umepoteza combination yako kubwa kabisaa! Daaah
Kama wızo na radio
Mungu amlaze maalipema pepon mandojo
Waliomfanyia Hivyo Mungu hatowaacha bule,Mungu ampumzishe Kwa Amani Mandojo🙏😭😭.
HAO WALOMUUWA WANAJISIKIAJE HV SASA
Domokaya,umeongea maneno yenye hekima sana, Mungu akutie nguvu
Watu wachacheee 🥹🥹🥹misiba ya siku hizi sio kama ya zamani in short maisha yamebadilika sana
Zamani mtu akifariki mpaka 40 ifike watu wanakuwa bado wanaomboleza
Siku hizi ukizikwa tu unasahaulika muda huo huo
Mungu atujaalie mwisho mwema
Natoa pole sana kwa familia,ndugu,jamaa na mashabiki wote wa mandojo
May peace be upon him
Hanta Nation Nampata ni producer number moja bongo ndo alimtoa hamornise alitengeneza Uno na nyimbo kibao harmo alipotoka wasafi, utasikia "youg legendary" Yuko hapo pembeni kwa domokaya. R.I.P DOJO
Roho ya marehemu ilale mahala pem peponi Amein 🙏🙏🙏
Pole sana bro,,umeongea kwa uchungu sana,,
kwa mola kila mja atarejea hakuna kifo kilichowahikosa sababu.pole sana domokaya
Pole Sana Domokaya kweli Wewe ndo unamjua vizuri Mandojo Since mnafanya Mazoezi ya kuimba Mto Temi Arusha Kweli mmetoka Mbali😭😭
Hongera domokaya umeongea kwa busara sana
Polesana rafiki yangu Domokaya kwa Kumpoteza Dojo. R. I. P Dojo.
Wote safari mojaa inauzunishaa na inasikitishaa sanaa hila mie nina aminii safari yetu moja asanten
Maisha yetu duniani ni kama ua la kondeni mara kukauka na kuchukuliwa na upepo ...tumkabidhi BWANA YESU maisha yetu, Ndiye tunayerejea kwake!!!
Brother tunawachukulia tofauti sana ila mtusamehe leo najua kuwa mnafanya music tu, umeongea vizuri mno, hii expression ni wachache wanaweza toa..Pole sana kwa kumpoteza Mandojo, uwe na subira maana Mungu hakosei kaka. Pole sana njia yetu moja.
Mungu ampumzishe kwa amani ila binadamu siyo watu kwanini wamefanya hivi
Kweli baba domokaya umesema ukweli ila huyu alieseme nirafiki yeke
Inamaana hao waliomfanyia ivo hawamjui ndojo dah vitu vingine vinafikirisha sana all and all may soul in paradise ndojo
Inna lillah waina ilaih rajiun poleni kwa Familia dogo ni Familia yangu aisee nimeumia
Dah rip dojo.bro nyimbo zako bado tutazkumbuka na domokaya
Unaumia sana ila umejikaza kiume,big up bro,rest in peace mandgojo
Hawa jama sijawaelewa leo wala jana du imeniuma sana
daaa.r.i.p kaka
Poleni sana wanafamilia Mungu awape nguvu.
It’s pain Jmn… Nmeumia sana. Pole domo
Nice talk domokaya 😂
RIP Mandojo.!! Pole sana Domokaya.
Poleni wanafamilia
Kazi ya mungu haina makosa ila tumempoteza PELLE WA TANZANIA jamaa likua anapiga miguu yote anaimba huku anapiga gittaa yani ni fundy kweli kweli mwenye roho nzury vibaya mnooooo yan daah NCHI YANGU TANZANIA JAMANI JAMANIIII????
Broooo nimeumizwa saanaa duuuu nyie jamaaaa combination yenu ilinifanya nijivunie bongo flavor yetu.inamaana ile interview yenu UTV ndo mara ya mwisho kuwaona pamoja duuu.kazi ya mungu haina makosa pumuzika kaka
Pole ndugu yetu hakika tumwachie mungu
safi domo unajua kuongee.
Daah poleni sana jaman
Daaah Hakuna siku sijaingia you tube cjaskiliz nyimbo zao domo kaya daaah kapoteza combination moja ya maisha
Mandojo rest in peace 😢😢😢
dah...maisha mafupi sana aisee
Dah poleni xnaa kwakuondokewa na ndugu mungu awape ngufu 😭😭😭
Inauma sana ila mungu wa mbingu atawalipa😢😢😢😢😢
Ila Labda yule Kaka Itakuwa Alivyopigiwa Simu hakujuwa kama Itarushwa hewani
So sad ninja pole saana
Nani asiye mjua mandojo
Jamani Dodoma,Dodoma ya watanzania kweli hamumjuii mdojo
RIP BABU
Pleni sana
Namkumbuka kwa wimbo wake wa taswira
Kanisani ni mahali pa kuponea hata kama ni mwizi sheria zipo na polisi wapo kwa ajili yetu wananchi wasingejichukulia maamuz ya kupiga akat wao ni watakatifu
Yan nyie kwel mlikuwa marafiki wa dhati tokea kipindi kile mpaka leo duu kwel mlipendana....mmmmhh au kuna kitu kinafichwa apo kwan ?? Mbona sijaelewa?
Poleni kaka
Jamaa ana matatizo ya akil ulimpima ww, acha kuropoka upuuziii
Apumzike kwa amani
Domo Kaya🇹🇿
😭
Labda alikua na ahida ilihitaji huduma za kiroho akakimbilia kanisani na mkamuua. Kwa hali ilivyo sasahivi nadhani watu waelewe mwizi apigwe akiwa na kidhibiti cha wizi aisee
daaah kanisani????
Kanisa la katoriki ni la kishetani
Inna lillah waina lillah rajiun
Poleni sana sana MUNGU awafariji
R.ip mandojo
Rip mandojo
😢😢😢
Da mwamba katutoka mbele yake nyuma yetu
Polen san ndg
Pole kaka
Rip
😢😢
Doooomokayaaa nikweriií bwanaaa mandonjooo anamatatizooo yaaa akiriii bwanaaa munafichaaa ninii kwaniii kosaaa ripooo wapiiii jamahaa kusemaaa ukweriii namtuuuu amefarikiii
Kosa lipo ndugu taarifa za msiba mara nyingi kibusara huwa inatakiwa aongee mtu wa Family sio kukurupuka huyo mwana tukubali tu kazingua sio fresh".
Kuandika yenyewe hujui chokoraa wewe, tulia afya ya akil unayo wewe
We we ndounajuaaa atiiii kuandikaaaa yenyeweee ujuii duuu kabiraaa ganii nduguu yanguuu kituuu kamaaa akikuhusuuu kaushaaa shangingiii auuu unatakaaa bwanaaa mitandaoniii
@@mrambadiana9678Na kweli kaka hakuna mtu hapo mwehu kabisa huyo.
Poleni wanafamilia
Inauma sana ila mungu wa mbingu atawalipa😢😢😢😢😢
😢😢😢😢
😢😢😢
Poleni wanafamilia
😭😭😭😭