KOSA KUKUSAIDIA?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Jamani kuna muda msaada unaponza,wakati unasita kutaka kumsaidia mtu kumbe ndio unaenda kujuta zaidi..

Комментарии • 319

  • @brownewiz743
    @brownewiz743 Год назад +37

    Jamani na mm Leo nataka like nione Zina maana gani kila siku na like kwa wengni🔥🔥🔥🔥

  • @mary2615
    @mary2615 Год назад +28

    Another great episode 💕👍🏻💕👍🏻💕

  • @dr.mgungo1429
    @dr.mgungo1429 Год назад +4

    Amenikumbusha mbali sana🤣🤣🤣kuna jamaa alipigwa simu pale Manzese tiptop akataka amkimbize mwizi akaambiw muache utaumia wew 🤣🤣

  • @calistmalawa4328
    @calistmalawa4328 Год назад +3

    Sawa umeibiwa, tuliaa, Lege legeaaaa, Antena za kukodisha, daaah😂😂

  • @dogosafi178
    @dogosafi178 Год назад +35

    Best comedian from Tanzania, hands down

  • @frankmwaikambo-on7tg
    @frankmwaikambo-on7tg Год назад +3

    Kidawaaaaaaa😅😅😅😅😅!!!!

  • @beckboy9328
    @beckboy9328 Год назад +8

    Nakubal San mwananqu mwenyewe joti 🙏 God bless you

  • @beckboy9328
    @beckboy9328 Год назад +9

    Best comedian Tanzania nakubal San mwananqu mwenyewe 🙏🏼👍

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas5911 Год назад +8

    🤣🤣🤣🤣🤣 Jotiii ety kumbe wenzaoo. Never disappoint bi kauye alienda na nguo mbona anarudi bila nguo we funga madirisha atatubaka chizi huyo😂😂😂

  • @dapcmosh3081
    @dapcmosh3081 Год назад +3

    Nice maa brother

  • @mitchellkonshy-xq5un
    @mitchellkonshy-xq5un Год назад +10

    😂😂😂 yani nishai hujawahi niangusha😂 Nakupenda bure, 254 my home🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @alexassey2968
    @alexassey2968 Год назад +2

    Hatar sana kaka nakukubaal

  • @lulusubeha6978
    @lulusubeha6978 Год назад +6

    Yooh guys this guy is genius 💖🎉🙌

  • @teacherkaligodottonjige
    @teacherkaligodottonjige Год назад +1

    Nishai hongera Kwa kaxi nzuri

  • @sidemelodytz6487
    @sidemelodytz6487 Год назад +2

    🤣🤣🤣joti sijui haya makoti anatoleaga wap🤣🤣🤣😁

  • @iddysalim6331
    @iddysalim6331 Год назад +7

    Ukiangalia vizuri hii video inavyoanza utafikiri joti Hana miguu 🤣🤣🤣 koti ndio linatembea

  • @hamissahamissa105
    @hamissahamissa105 Год назад

    Joti kwani hayo makoti unayapataga wapi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 Год назад +6

    Nimecheka kifala sana wallah Leo swahumu ipo safi kabisa😂😂😂😂😂😂.

  • @patrickmwanyumba1239weitww
    @patrickmwanyumba1239weitww Год назад +2

    A haaaaa. Always l love it.lm catholic Ramadan Karim.

  • @agnesbasistian9248
    @agnesbasistian9248 Год назад +11

    Jifunze riadha brother haiwezekani mtu mwenye mahitaji maalum anakushinda mbio 🤣🤣🤣 umepatikana leo 🙌🙌🙌

  • @peterroge2448
    @peterroge2448 Год назад +3

    Uyo mtoto aliyevaa nguo la blue ana shape nzuri 😋

    • @DeBoy-oy2jg
      @DeBoy-oy2jg 7 месяцев назад

      Umeona mwenye nguo ya blue tu,wengine hukuwaona ?

  • @abdillahsalim1623
    @abdillahsalim1623 Год назад +7

    Joti the best comedian ever in tz

  • @ibrahimmkombozi9871
    @ibrahimmkombozi9871 Год назад +1

    Nimeelewa somo 🙌

  • @costa860
    @costa860 Год назад +20

    Wakwanzaa jameni naomba like zenu ata tano 😍😍

    • @officialkamdudu
      @officialkamdudu Год назад

      like unazipeleka wapi kenge wewe?
      acha ushamba 😏

    • @mozespatnam7469
      @mozespatnam7469 Год назад +1

      Dadekii like zitakusaidia nini wew

    • @costa860
      @costa860 Год назад +1

      @@officialkamdudu kamdudu a.k.a kamkundu

  • @dariooscar5199
    @dariooscar5199 Год назад +5

    Kuna watu sijui mkoje 🤣🤣 video haijaisha mshacomment🔥

  • @rahimmarions5712
    @rahimmarions5712 Год назад +2

    Hizi mambo zipo sana hizi ndio maana watu wamekuwa wagum kutoa msaada hata sehem sahihi

  • @kendrickaugustino6536
    @kendrickaugustino6536 Год назад +1

    Uyo kidawa uyoo

  • @Lewinglovbi6699
    @Lewinglovbi6699 Год назад +7

    Next Friday towa ya kupinga ushoga joti😂😂😂

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 Год назад +11

    Nimewahi leo like kidogo tunainjoi na joti wetuuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @abdallahghuliku4714
    @abdallahghuliku4714 Год назад

    Hahhaahhahahaahhaha,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hiii ni balaaaa

  • @annaki318
    @annaki318 Год назад +13

    Tunaosoma comment huku tunaangalia tujuaneee😂😂😂

  • @lovenoor988
    @lovenoor988 Год назад +1

    Hahaha nakukubali

  • @anithamsaki2040
    @anithamsaki2040 Год назад +3

    Kumbe vocha nawekaa bure😂😂😂😍😂😂

  • @simonandrew1489
    @simonandrew1489 Год назад +3

    Goood Work Mr joti

  • @michael9091
    @michael9091 Год назад +5

    Jaman nipeni like namm Leo 😢😢😢😢

  • @Shkaylertv800
    @Shkaylertv800 Год назад +21

    Kali sana
    Wa kwanza nipeni like zangu 😂😂😂🎉🎉

    • @officialkamdudu
      @officialkamdudu Год назад

      like unazipeleka wapi kenge wewe?
      acha ushamba 😏

    • @barakakusa7606
      @barakakusa7606 Год назад

      ​@@officialkamdudu We mpe tu hizo like atajua mwenyewe acha kiherehere 😊

    • @Shkaylertv800
      @Shkaylertv800 Год назад

      @@officialkamdudu
      Mbwa wewe 🖕🏻

    • @Shkaylertv800
      @Shkaylertv800 Год назад

      @@barakakusa7606 mbwa wewe 🖕🏻

  • @scolapeter1460
    @scolapeter1460 Год назад

    Be blessed

  • @stevenmascat9566
    @stevenmascat9566 Год назад +1

    Sana tu kismart chiba umewakilisha mtaa

  • @meshackinocent4053
    @meshackinocent4053 Год назад +1

    Unyama sana brother joti big up

  • @mashiassenga8849
    @mashiassenga8849 Год назад +6

    Haki jot umetisha sana Nice work bro 😂

  • @ferouzmasoud3104
    @ferouzmasoud3104 Год назад +1

    Nikuletee mtu ambaye hajala siku tatu 🤣🤣

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 Год назад

    Nimecheka kinyama 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👌

  • @joelijonathan
    @joelijonathan Год назад +1

    Nakukubal sana joti

  • @AdamJuma-xy6bh
    @AdamJuma-xy6bh Год назад +1

    Halafu kweli mda Mwingine wema ajali😀😀

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 Год назад +5

    Never disappoint jotiiii 😂😂🤣

  • @nawechi4818
    @nawechi4818 Год назад +1

    Hips zimeshukaaaaaa😂😂 sjui why unapenda kuvaa vinguo vya kubana mxiuuu

  • @hassansammy1076
    @hassansammy1076 Год назад +2

    Joti kaingia chakike leo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 naomba like jamani

  • @ernestfred6813
    @ernestfred6813 Год назад +114

    Mie wa kwanza nipeni like zangu

  • @mansourally91
    @mansourally91 Год назад +3

    😂😂😂😂😂 DADEKI

  • @Officialdullahboy
    @Officialdullahboy Год назад +1

    Hahahahaha umetisha nishai

  • @giftwieland6322
    @giftwieland6322 Год назад

    🔥🔥nishai Upo juu

  • @ireneemmanuel5361
    @ireneemmanuel5361 Год назад +3

    Joti you are the best😂😂😂

  • @ibrahimlema8268
    @ibrahimlema8268 Год назад +9

    Fire❤

  • @shafiikhamis2336
    @shafiikhamis2336 Год назад

    Hutak kuelew kw maneno...kisu kitakuelewesha...tulia basii😅😅😅, ahhh kumbe mwenzao

  • @rosemikael8110
    @rosemikael8110 Год назад +1

    Dah messege sent

  • @delverosedastan5730
    @delverosedastan5730 Год назад +2

    Wa kwanza leo

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Год назад

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @gabrielkabato9909
    @gabrielkabato9909 Год назад

    Kazi nzuri sana

  • @kingbiggy870
    @kingbiggy870 Год назад +1

    Nakupenda

  • @mwigakatumpula5695
    @mwigakatumpula5695 Год назад

    Kumbe ni wenzao 🤔🙌😄😄😄😄😄

  • @asha_homedecorations
    @asha_homedecorations Год назад +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ila Joti Eti Chiba Mtu Mwenye TATZO Maalum

  • @kingmartinezy13
    @kingmartinezy13 Год назад

    Hatari

  • @frankvianey2438
    @frankvianey2438 Год назад +1

    Hatar sana asee

  • @pastoraile7195
    @pastoraile7195 Год назад +1

    Hiyiii kaliii

  • @hommiemakini8635
    @hommiemakini8635 Год назад +4

    From malindi kenya✌😂

  • @wilsonjonas5481
    @wilsonjonas5481 Год назад

    Jotinyo 😄 msenge sana

  • @davevice3178
    @davevice3178 Год назад +1

    Kumbe mwenzaoo😀😀😀

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa5920 Год назад

    Joti unajua sana tena sana kwani mambo Kama hayo yanatukuta wengi sana kwenye hii nchi ,unaweza kujuta kwanini umemsaidia

  • @Putin331
    @Putin331 Год назад +3

    Nishai mtombangile kitwango mikazo miguno

  • @mushi6879
    @mushi6879 Год назад

    Wahuni co wa2 wazuri 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @Mohamed-ps2dx
    @Mohamed-ps2dx Год назад +2

    Wa kwanza

  • @nemesapollo4846
    @nemesapollo4846 Год назад +2

    Imepita hii MASHINE 😂😂

  • @stinaismail846
    @stinaismail846 Год назад +5

    All the best joti ❤❤

  • @chachacharite
    @chachacharite Год назад +1

    Numero uno

  • @ashminaabdulla8946
    @ashminaabdulla8946 Год назад

    Leo kumekucha #🤣🤣🤣🤣🤣🤣DODOMA🔥🔥🔥🔥#Mwizi🤪

  • @asternjulius890
    @asternjulius890 Год назад

    Nyie hii inachekesha ila ina funzo sana sana et

  • @razaqsalehe9829
    @razaqsalehe9829 Год назад

    Funga milango atatubaka yule chizi 😄 🤣 😂 😆 😄

  • @edsonmunuo7112
    @edsonmunuo7112 Год назад

    😂😂😂😂,…ila jotiii hajawahi koseaa

  • @yumbujackson869
    @yumbujackson869 Год назад

    Hiyo nimeielewa hatar sana

  • @jeyshillyjack4470
    @jeyshillyjack4470 Год назад +1

    Chapati smart 🤣🤣🤣🤣

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Год назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mbona dalali😂😂😂😂

  • @VARIETYSHOW254
    @VARIETYSHOW254 Месяц назад

    Joti na Mpoki 😂😂😂

  • @dannylinguist15
    @dannylinguist15 Год назад +2

    Mmmmmh watu hamlali kila nikijitahidi kuwa wa kwanza wapi 😅😅

  • @luhindamatati5273
    @luhindamatati5273 Год назад

    Aisee joti upo vzur sio kwa koti hilo😂😂😂

  • @waziridosa1662
    @waziridosa1662 Год назад +4

    Wa kwanza Ku comment Naombeni likes Zangu

    • @officialkamdudu
      @officialkamdudu Год назад

      like unazipeleka wapi kenge wewe?
      acha ushamba 😏

    • @waziridosa1662
      @waziridosa1662 Год назад

      @@officialkamdudu C nampelekea Mama Ako Apate Mimba Nyingine Ya Mdogo Wako

  • @Ramazanisajad535
    @Ramazanisajad535 Год назад +1

    Wa pili like zangu....

  • @predictioneasyodds2779
    @predictioneasyodds2779 Год назад

    Sijacheka kabisa sijaona

  • @sabahabdallah5791
    @sabahabdallah5791 Год назад +1

    🤣🤣🤣🤣 pole saaana 🙌🙌

  • @erikflo-xu6nl
    @erikflo-xu6nl Год назад

    Toka Maputo mozambique nipate hata like 10

  • @pitammasi6743
    @pitammasi6743 Год назад

    💪💪💪

  • @ZulfaAbdala-tn6fh
    @ZulfaAbdala-tn6fh Год назад

    Bukta la nishai jaman

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Год назад

    Ila jot walai cheka mpka kojo et sio yule uyu bibi walah 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @EmanuelLugano-io2gh
    @EmanuelLugano-io2gh Год назад

    Appreciate

  • @zaburi2386
    @zaburi2386 Год назад

    Joti una team kubwa na vyanzo vizur vya kuweza kushuti muvi kama za kelvin hatt utauza sana

  • @yonamatowo2224
    @yonamatowo2224 Год назад +1

    Dalali wako niskilize 🤣🤣🤣🤣

  • @jovinmakene1572
    @jovinmakene1572 Год назад

    Leo umetolewa Nishai km jina lako😂😂

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Год назад

    Umeua mzeee muhenga

  • @jamesjameswisdomtz1577
    @jamesjameswisdomtz1577 Год назад

    Hiyo mikoti ya joti noma sana😅😅

  • @nemesapollo4846
    @nemesapollo4846 Год назад +2

    Kijana wetu wa katavi, Asante Kwa kutuwakilisha vema👍

  • @giftmkumbwa4909
    @giftmkumbwa4909 Год назад

    weweweeee mbn alienda na nguo anarudi bila nguo chizi yule atatubaka funga mlango😂😂😂😂😂