NGOMA NZITOO ! MAWAKILI ARUSHA KUWABURUZA MAHAKAMANI VIGOGO WA JESHI LA POLISI IGP, RPC WATAJWA
HTML-код
- Опубликовано: 4 фев 2025
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RUclips: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Asanteni kwa uelewa mkubwa.Jamii imewakubali san jop la Mawakil Arusha chukuen🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤ hapo kwenye maadili umewagusa wengi.
Pole my dear valerian
Hapo kwenye madai msiwaonee huruma🤣🤣🤣
Asanteni kiwasheni jmn nchi haieleweki hii
Arusha kumechangamka😂
Safi sana viongozi
Mawakili wote mngekuwa na msimamo kama huo polisi wangeacha kunyanyasa raia
NI KWELI KABISAA
Arusha nawapenda sana
Safi sana kaka, kumbe tuna watu wazuri na wenye uelewa wa hali ya juu kiasi hiki kama huyu na wengine, tangu nisikie jamaa akisema wachawi walikufa , nilishangaa na kujiuliza wachawi walikuwa kina nani na waliwaloga kina nani na ili nini na sasa wanafaidika nn baada ya hapo ndio wakaona watu milion 60 hakunye mwenye uwezo wa kuchuana na samia ndio wakaamua wampitishe awe mgombea pekee. Ili waendelee na yao. Amkeni jamani.
NCHI HII RAIA TUNANYANYASHWA SANA NA BAADHI YA WAKUBWA WA SERIKALI WASIOKUWA NA DHAMANA NA VYEO VYAO
Safi
Safi sana
Mungu awasimamie kuwa adabisha wasiona uzalendo wakinidhamu kwa kila kilamtumishi
Hembu jitahidini na Mungu wa HAKI ATUSAIDIE maana itakua ushindi kwa wanaoonewa kila iitwapo leo
Hongereni Mawakili wametuzoea mno Hawa police .
Nimependa sana fanyeni hivo nchi nzima unyanyasaji upo Kila siku nanchi nzima
Safi sana mawakili, Naona mnaanza kujitambua sasa, Hongera Mwambukusi...
Nawaunga mkono mawakili wa Arusha.
Nadhani baada ya Mwabukusi kushinda urais wa TLS na sasa Tundu Lissu uenyekiti wa CHADEMA, tanzania kunaanza kuchangamka.
Sio Kwa nchi hiii.. mnapoteza ela zenu tuuuu... Niko paleeeee 😂😂😂
Tena tunahitaji msaada wa tanzania wanasaidia hata kutuibia kura zetu hao mapolisi wanaonea sanaa
Ichi Haina sheria
Mahakama za Tz hazina Meno!
Where are those rights come from?
Police ndio Wana play part kama ndio mahakama!
This isn't right 👍
Ndiyo dawa yao wanajiona miungu
Kama nyie mnalia sisi tusio na elimu ya sheria tumekwisha
Wapekeni mpaka waele luwa nchi inaongozwa kwa sheria zipo amri
Mpo sawa
Polisi Hawa zingatii Sheria Wana bebeabebwa kama watoto wadogo waliovalishwa pampasi Wana bebwa na mama hawajui lakufanya
Asanten sana hata mkitaka mchango semeni jamani tuko tayari kuna maonevu sana uku kwa wanachi kuonewa tunaomba msiache iyo kesi njiani tunaomba sana mpaka kieleweke heshima hirudi mkizidiwa tuko kwajili yenu kuchangia ili msikwame uwonevu sasa kwisha
Mnawapeleka mahakama gani jaman,hizi hizi mahakama za serikali ya ccm au nyingine?,yangu macho.
acha upungufu wa akili kwan mahakama zimeandikwa ccm
HAKI HUINUA TAIFA HIO MBEGU IKUE ILI KILA MTU APATE HAKI HADI KUTANGAZA MATOKEO KUSIHUSISHWE NA MABOMU
Sio alushatu nchi mzima tusaidien tunajeshi LA kijambaz jeshi LA kkinyang'anyi
Kesi ya Kima kwa Simba haitakaa ipande. hakuna mwanasheria wa Kushtaki polisi tanzania, huko ni kupoteza muda tu
Kuna watu TANZANIA wako juu ya Sheria, polisi wanategemewa na CCM kwenye uchaguzi mahakama hizi sidhani Kama mtapata haki
Huyu mrithi wa mwambukusi aisee. Yupo vizuri
Bangi zinakusumbua
kelele nyingi hamna kitu kitafanyika hata kule mbeya mlisema mnampeleka awadhi kotini baadae mkaufyata mwingine alijitia kumpeleka polisi kesi ya binti wa yombo akaishia njiani
Sijui shida nin asee
Wewe hilo linakufurahisha?
Sasa hapa ndo nimeona makali yenu
Hakuna lolote hapo litakaloendelea tutaona mwisho wa hizi kauli hata tundu Lisu alisema ana ushahidi wa Makonda kupitia tigo Hadi Leo yupo kimya
Polisi wa tanganyika ni baada ya mungu niwaoo kaka sasa nyiie mkojuu siee wahuku chini inakuajee??jiulize inakuaje uswahilini??
Polisi inasomamia HAKI na Sheria Wana Sheria wanatafsiri Sheria lkn mwanasheria anapatwa na madhira kwa polisi je bodaboda atatokaje hapo kama KESI insuwezo wa kubadilika ndani ya polisi anaelinda raiya na Mali zao .zao sjaelewa vzr Mali zao hao polisi au zao hao raia
Tunatamani sana mawakili kama hawa
Shida nchiii hii..mtu akiwa kwenye field yake anajikuta yeye no Mungu mtu akosei .na polisi na yeye yupo kwenye field yake ya ulinzi..kenge nyinyi..kwani kuwa wakili ndio assurance ya kutokuwa mhalifu au haukosei.....😅😅😅
Mbona hueleweki
Mawakili wote wa Tanzania waishtak police 😂 kila mtu mkoa wake 😂😂😂wataliaa
Hawawezi kushitaki police wote ,hapo wanapoteza tu muda
Labda uwe na Mahakama yako siyo Mahakama zetu za Tanzania
Wanasheria wangekuwa kama Mawakili wa kenya polisi wangekuwa na displinie
Mawakili nanyie mnatumia bangi? Au mna uchawa wa chama cha siasa? Sio kwa vurugu hizo.
Shida hamsemi huyo wakiri muharifu alifanya nini au alituhumiwa na nini.naona mnapiga tu mayowe.
Usikurupuke. Fuatilia toka mwanzo wa tukio.
Hapo Sasa
Tanzania nzima mawakili wote muache kuwatetea mapolice wanajiona wao ni mungu
Huy anahitaj ulinzi Wamungu
Hamna kitu nyie kwani nyie mpo juu ya sheria acheni sheria ichukue mkondo wake
Waende Kwa Mh Makonda
Yaani kiongozi wa mawakili ila akili hauna!!?
Wewe chawa umetumwa na uyo polis au au wewe ndo unataka shitakiwa hapo
Hawa polisi wamezoea kuonea watu washughulikieni ,leteni namba watanzania tuwachangie muendeshe kesi
Upigaji umeanza tena?
Police kweli hicho ni kituko😮
Mta wanyoosha mwaka huu
Tuna polisi wa kijinga kbx na serikali ya kipuuzi
Ayo ni maoni yako kaka
Nendeni mkaonane na Mh Makonda
hivi wewe hujapata shida polisi wakusaidie,wenzako waliosaidiwa na polisi hawathubutu kuongea unavyoongea,watu hawalali kwa ajili ya maisha yao.
acha kabisa kuongea hivyo uwe na shukrani kumbuka kuweka maanani positives badala ya negatives
Mtafanikiwa zaidi kama mtakuja na mbinu za kuwawajibisha mahakimu na majaji wa tza ambao hawatendi haki.. wanafuata maelekezo toka juu ..wanajali matumbo yao kuliko haki na uhuru wa raia
Tuwaeshimu polisi nao niwasomi kama ss ndg tuondoe zana ya miaka ya 70
Mmeona sasa tafuteni haki ,je sisi tusioju sheria inakuaje? Jiulizeni na mtafakari sana
Tanzania tuna wasomi wengi ila bahadhi yao ni wajinga inasikitisha sana
Waende Kwa Mh Makonda
Tunaunga mkono
mjinga mmoja kala maharage yake huko ameshachafua hali ya hewa unafukuza watu kama nani kwa sheria ipi? unachafua nchi kijingakijinga tu fikiria huko taarifa zinarushwa sasa mpaka nje ya nchi, huku kuna utalii kuna mambo mengi, tunaoonekana banana republic kwa mjinga mmoja tu. Fukuzeni kazi wajinga wa namna hii
Onyesheni mfano
Mmh🫣
Acha kutishia polisi wewe mudomo utakuponza
Tunahitaji kujenga nchi inayofuata misingi ya kisheria na siyo ubabe na unyanyasaji.
Acha kutishia watu wasomi wanajua wanavhokifanya polisi waajibu wao ni kulinda raia
Franksiame8441 wewe ni k.m. tu na chawa wa kijani😂
Utakuwa chawa wa kijani wewe
Ww ni mmoja wao ama
Safi Sana
Safi sana