Madereva wa Costa Mbeya Kyela Wawagomea Matajiri wao

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 25

  • @westonyjob1747
    @westonyjob1747 6 месяцев назад

    Safi Sanaa madereva

  • @mwitawakimara3649
    @mwitawakimara3649 7 месяцев назад +3

    Haoo matajili wasenge waanzishe lao

  • @user-vp6ol3kq6g
    @user-vp6ol3kq6g 6 месяцев назад

    Matajiri njaa hao

  • @jeremiamwakilimaji8284
    @jeremiamwakilimaji8284 6 месяцев назад +1

    Wakitaka nao waanzishe chama Chao.

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn 7 месяцев назад +3

    Matajiri ni uroho tuu unaowasumbua

  • @sixberttindwa9622
    @sixberttindwa9622 7 месяцев назад +1

    Uko sahihi sana

  • @jumachilundajr4853
    @jumachilundajr4853 7 месяцев назад

    Wamiliki njaa sana ingieni barabarani muone wazee feza jinsi mtavopigwa mabao na..mpka mseme kua hii sio kazi

  • @AMIDURAJABU
    @AMIDURAJABU 6 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂😮😮😢

  • @komandowainjiliyayesu
    @komandowainjiliyayesu 7 месяцев назад

    Kwakweli serikali wasaidieni hawo madereva wamejitahidi sana na umoja huwo kwahyo matajiri msiwapokonye madereva haki zao

  • @user-bg2yc4kw9k
    @user-bg2yc4kw9k 7 месяцев назад

    Matajir kumbe wanausenge

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 7 месяцев назад +1

    Hapo kweli mwenye nacho anataka kuomgezewa tamaa mbaya Sana

  • @mayaally2512
    @mayaally2512 7 месяцев назад +1

    Maboss njaaa zimezidi 😂😂😂😂😂 wanakuja kukwapua

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 7 месяцев назад

    Tajili anakosea kuwaingilia kwani malengo yao hayafiki jamani waswahili

  • @user-ix3tl2xj7t
    @user-ix3tl2xj7t 6 месяцев назад

    Nikweli tunatisika sana tunaindisha magri namawazo sana mara taji mara asikari uku abiria tunawakati mngumu sana 😢

  • @shilladickson3852
    @shilladickson3852 7 месяцев назад +1

    Mambo ya ajabu sana nawe mtendaji unaonekana kabisa kuna namna umepangwa maana hayo unayoyasoma hayaendani na ukweli .elimu elimu madereva tafuteni mwanasheria awasimamie katika hili ikiwezekana muanzishe aina nyingine ya kuweka aikiba zenu kwa manufaa ya kazi yenu

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 7 месяцев назад

    Madereka jisaidieni na mkomae hivo hivo msisubiri serikali

  • @coolruler6820
    @coolruler6820 7 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂 madereva mna vitambi, mna afya kuliko matajiri " wezi tu haotunawajua,, tena ukiwa tajiri unapaswa kuwafuatilia maana anaweza kwenda nje ya mkoa ila maokoto analeta ya siku,,,hawana lolote wezi tiu hao

  • @uswegemwamakula6101
    @uswegemwamakula6101 7 месяцев назад

    Pambanieni haki zenu

  • @user-xv2zm5ec9y
    @user-xv2zm5ec9y 7 месяцев назад

    Wewe wakitambi kishwa kinakuma

  • @johnchungwa-ei7xj
    @johnchungwa-ei7xj 7 месяцев назад

    Ili uwe tajiri lazima uwenarohombaya

  • @jimmykampate78
    @jimmykampate78 7 месяцев назад

    We kwani izo pesa mnazo toa zinatoka wap km ninyi ndio mnatoa mfukoni mwenu sasa muafaka wa nini hapo na jeshi lina kihelehele, wawambie waweke daftar si zitakuwa zinatoka kwenye malengo hapo vp muwarusu tu na km watzingua tieni mgomo 1 week mtaona

    • @danielmakelemo2395
      @danielmakelemo2395 7 месяцев назад

      Unaweza kukuta hao polisi ndo wanaleta changamoto Ili wavunje huo umoja maana wanashindwa kuwatawala

    • @danielshauri6390
      @danielshauri6390 6 месяцев назад

      Dereva akikamatwa tajiri hamtoi , sasa wao wameunda chama chao ili kusaidiana . Matajiri haiwahusu ili mradi tu wanapata hesabu yao waliokubaliana na dereva . Waacha njaa na ujinga