Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Steve una vituko SI haba. Napenda comedy yako
Ndugu zangu mna kipaji sana japo kaka chazi chales amesha kufa ila sawa. Mungu amlaze maala pema peponi
Saf kipaji mnacho
Hahahahaha Steven bwana xaizz umeixhakuwa mkubwa kwenye hii tasnia ya vichekexho , mungu akubarik!
Nakupenda sana Steve! Kutoka Rwanda Kigali ❤❤
Mkn
Nampnda sana loveness macheche
❤
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Steve mweusi na Theodore nawakubali pamoja na Madam hajra
Pambaneni jaman
Yani Steve mimi shabiki wako ningekua bilionea ninge kununulia lenji kama ya hamonize kama zawadi🎉❤❤❤
Steve kazi kama hizi ni nzuri na bora sana kaka tofaut na zile za mkikutana mnaongra weee mpk inaisha haivutii kaz kama hii ni nzurii
Safi sana kaka ❤
Huyu binti "mwalimu" ni mrembo sana❤❤
Binti mwalimu
Aksanti kwa kazi munazo fanya,muna furahisha watu wa inchi mbali mbali🇨🇩
Watching from Kenya uko sawa kabisa
Ambao tunaiangalia tukiwa nje ya Tanzania tuonane hapa
tupo
Hahaha hahaha hahaha
From Zambia
Tupooo😅😅😅👆
Kabisa
One love from burundi
Mamb
eti na wakwanza 😂 Leo Steve amekuwa wakwanza mmefanya vizuri sana na yeye afurahi😂
Hahahahahahaha naona raha kweli Steven mtata hahahahaha Yani unacfurahisha kweli like
😀😀😀😀 Steve jamani ww wafurahisha..unachomea mwenzako 😂😂
Nawakubali sana Akina stive mweusi ❤
Steve ni chuma kilichoshindikan I love our team from tz ubungo
inawezkana huyu steve akili zake azipo timamu sisi tunazani ni comedian😂😂😂😂😂😂
Wee 😂😂😂
😂😂😂
Hata mi naona hivyo
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Dah
😂😂😂😂
Bravo my bro Steven. tu as bien raisonné. je suis ton fan depuis DRC 🇨🇩
Na huyu teacher huwa ameiva mbaya❤
Kila la kher hajra na nyote wahusika love nes ❤
I like this video..""mwalimu huyu ni mrembo that really
Zuri sana from Kenya 🇰🇪
Ezekieli chilakali
Smart teacher
Hii sitamai hata iishe nzuri kweli 😄😄😄
Madam Hajra kwa kweli wewe ni mrembo. Unapendeza kuanzia mwlini hadi matamshi🥰😋💪
Nipeni hata like 10 moja
Stivemweusi
Yaan huyo theodoro ukimuangalia tu unacheka 😅😅😂😂😂😂😂
One love from Congo 🇨🇩🇨🇩🤣🤣🤣🤣
Hongera kwa kazi nzuri kaka
Napendaa komedy yako blasa.. shukrani
Mayele anafanya examination😂paaapaaa paaa paaa paaaa 😂😂
Mashaallah teacher Hajra❤
Unashanga nn kashangae feli meli inaeleya shilingi inazama ukiniangalia tena nakulamba makofii😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
We Steve nimtukutu Sana 😅😅 naomba utuletee behind the scenes tafadhali 😂😂😂😂
Haaaaaaaaahhh striven tumeona makosa blaza amja kaa chin mshakaa chini mhhhhhh edit mbovu bro tafuta mwengine
Steve unaigiza vizuri sana unatupa burudani sana hongera sana
I'm from India..i can't understand the language but i like this video...if possible please give subtitles in English..tq
Which party of india are you from..I'm a foreigner but I know little bit hindi😊 this is called swahili language...aapko bahut swagat hai..
@@ediusgabriely615 North East India.. Meghalaya
Steve send me the video, I'll include the subtitles for you. Am a Video Editor from Kenya - Msa.
@@jaintiafun6273 ooh nice..I'm living in western coast party of india Gujarat for 3 years now.😊 mudje aapko jaanakar accha laga..
I am here for you 😂😂
Wa kwanza Leo from Tanzania 😂😂
Wakwanza nakupenda kutoka kenya
Wamenikumbisha mbaliii aisee Steven duuuu, theodero mtundu sanaaa
Steve ume nichekesha sana ww kwa vituko vyako😂😂😂😂
Stive meusi ❤😂❤😂
Good job mr steve with your Team
Oyii brother mweus sikudai kwa kwel unauwa kila sku we ndo comedian wengine wafundishe tu😆😆😆😆😆😆
Hapa hakuna mwanfunzi KwaKweli, mayele yupo class sasa domo kama pira, mtihani urudiwe😅😅😅 Karibuni sana ZANZIBAR muje mufanye utalii wa ndani 🌊🏝️
Nimefika
daaaah leo nimekuwa wa kwanza naomben maua yangu likes zenu
Daaaaa nimecheka hadi roho inauma
😂😂kwani huyu msee wengine wakiwa darasani yeye anafanya nini nje na hatandikwi
Yani stive 😂😂😂anyway you finish us 😂😂❤❤❤
One love from Kenya 🇰🇪🤣🤣🤣
Mmh iyo one love ya nyoko
@@xpro-om9rdmbleina wewe
Visit
@@xpro-om9rd ... Produce yours I will do it for you.... Idiot.
Hello
Mwalimu nakupenda sana lakini Stiven anakusumbuwa sana uwe unamuchapa fimbo
Nipen 👍 zangu jaman
Stive tabiahio shuleni sionzuli Kbis 🤭🤭 nitabiambaya Sana 🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Kweli Steve unavituko 😀😀😀😀
Watching from meru county, congratulations stevoo
A no One
Wakwanza nipeni likes zangu
Uyu jamaa manamba sanaa
Sawa shehe
Bwege ili upate nn ukipew like
@@PETERLAURENT-uq4zo Haina haja hata unitusi
Kamaniivi amnaelimu apa
Congratulations Steve,I'm frome Kenya.
Nakukubaly sana Steve mweusi endeleya na kazy usichoke
😂😂kazi safi aisee
Hahahahahahha yaan nmeanxa kucheka wakt wanatak kugonga kengelee
Steve umetisha sana.. mimi napenda sana hizi za shule
ONG back
Wewe Steven kweli uko Simba kabisa liké my
Steve huna akili😂😂😂😂😂
😅😅 ni lunch ama ??¿¿?haaaaa mtihani mghumu kweli kachoka na elimu huyo
It's good 🎉I ❤ it Uhh😮
Nakupenda sana steve❤❤💕💕💕💕💕
Uyu Théodore anamfanana saana Baba Kaila
Daah nimechelewa jaman nipeni bas like
Hahahahhaa na kubali sana your so funny
Idea kubwa sanaaaaa
Wa mwisho nipeni like zangu😂
Aliesikia methali ya teacher mkono juu na agonge like 😄😄😄😄👍
Alaf huyo teacher Yuko serious 😅😅
@@geographicalworld1994 umeona ee htr 😂😂😂👍👍
❤️🧡💘💝💛💚💖💙💗♥️💜💓💞🤎🖤💕♥️🌟🤍
Steve vituko ako aki😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤🎉🎉🎉
Steve vp mimi hapa kei nipe likes
Namuamini huyu mtu
Vipi brother
Kwakweli, Steve Yuko vizuri sana aisee
aki steve uko na vituko sana 😅😅😅
Jamani unauwa Watu APA Congo 🇨🇩 jamani 😁🥰🥰🥰🥰🥰🤣🤣🤣🤣🤣🤣🥰🥰🥰
Steve ana vituko kweli like it😂
Steve jitahidi kuweka maneno ya kingereza chini ya hizi video zako mana unatizamwa na wengi sna hapa nauliza na jamaa zangu nini amemanisha nakosa majibu kwakweli from Qatar 🇶🇦
Bonyeza kwenye kideo afu utaona neno cc itakua inakufsilia
Mungu akupe maisha malefu 😂nimecheka mpaka🎉❤❤ kichwa chaniuma
Nawapenda sana Akina stive mweusi ❤❤❤
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂 ila steve nakukubal sana home boy ktv tunajivunia wew
Steve mweusi is 1 in millions
I can't stop laughing 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ila hizi kengele😂😂😂
Nakupenda San stv kutoka dar es Salam ❤❤
Jey mwinyi kwa kwwli hajra ni moto mke matirio
Mwanafunzi mtukutu kweli anasumbua 😂😂😂😂😂
Direct from South Arabia steve hongera kwa ukora ulio nayo
😅😅😅picha ya mayele🤣🤣🤣🤣🤣
Steve unajua kuigiza kbsaa❤❤
🤣🤣🤣🤣 Steve apana kwakweli
Ndiko rwanda tunapenda comedy ya steven
Nimecheka kifalah sanaa😂😂
Dah leo stiv kawa wakwanza adi mkuu wake kafrahiii Sema ili swala la kurudia mtihami misikubaliani nao aseeee
Kali mwanafunzi mtukutu😂😂😂
Uyo mwanafunz mweupe mkal knoma
Nami nimempenda
Steve una vituko SI haba. Napenda comedy yako
Ndugu zangu mna kipaji sana japo kaka chazi chales amesha kufa ila sawa. Mungu amlaze maala pema peponi
Saf kipaji mnacho
Hahahahaha Steven bwana xaizz umeixhakuwa mkubwa kwenye hii tasnia ya vichekexho , mungu akubarik!
Nakupenda sana Steve! Kutoka Rwanda Kigali ❤❤
Mkn
Nampnda sana loveness macheche
❤
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Steve mweusi na Theodore nawakubali pamoja na Madam hajra
Pambaneni jaman
Yani Steve mimi shabiki wako ningekua bilionea ninge kununulia lenji kama ya hamonize kama zawadi🎉❤❤❤
Steve kazi kama hizi ni nzuri na bora sana kaka tofaut na zile za mkikutana mnaongra weee mpk inaisha haivutii kaz kama hii ni nzurii
Safi sana kaka ❤
Huyu binti "mwalimu" ni mrembo sana❤❤
Binti mwalimu
Aksanti kwa kazi munazo fanya,muna furahisha watu wa inchi mbali mbali🇨🇩
Watching from Kenya uko sawa kabisa
Ambao tunaiangalia tukiwa nje ya Tanzania tuonane hapa
tupo
Hahaha hahaha hahaha
From Zambia
Tupooo😅😅😅👆
Kabisa
One love from burundi
Mamb
eti na wakwanza 😂 Leo Steve amekuwa wakwanza mmefanya vizuri sana na yeye afurahi😂
Hahahahahahaha naona raha kweli Steven mtata hahahahaha Yani unacfurahisha kweli like
😀😀😀😀 Steve jamani ww wafurahisha..unachomea mwenzako 😂😂
Nawakubali sana Akina stive mweusi ❤
Steve ni chuma kilichoshindikan I love our team from tz ubungo
inawezkana huyu steve akili zake azipo timamu sisi tunazani ni comedian😂😂😂😂😂😂
Wee 😂😂😂
😂😂😂
Hata mi naona hivyo
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Dah
😂😂😂😂
Bravo my bro Steven. tu as bien raisonné. je suis ton fan depuis DRC 🇨🇩
Na huyu teacher huwa ameiva mbaya❤
Kila la kher hajra na nyote wahusika love nes ❤
I like this video..""mwalimu huyu ni mrembo that really
Zuri sana from Kenya 🇰🇪
Ezekieli chilakali
Smart teacher
Hii sitamai hata iishe nzuri kweli 😄😄😄
Madam Hajra kwa kweli wewe ni mrembo. Unapendeza kuanzia mwlini hadi matamshi🥰😋💪
Nipeni hata like 10 moja
Stivemweusi
Yaan huyo theodoro ukimuangalia tu unacheka 😅😅😂😂😂😂😂
😂😂😂
One love from Congo 🇨🇩🇨🇩🤣🤣🤣🤣
Hongera kwa kazi nzuri kaka
Napendaa komedy yako blasa.. shukrani
Mayele anafanya examination😂paaapaaa paaa paaa paaaa 😂😂
Mashaallah teacher Hajra❤
Unashanga nn kashangae feli meli inaeleya shilingi inazama ukiniangalia tena nakulamba makofii😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
We Steve nimtukutu Sana 😅😅 naomba utuletee behind the scenes tafadhali 😂😂😂😂
Haaaaaaaaahhh striven tumeona makosa blaza amja kaa chin mshakaa chini mhhhhhh edit mbovu bro tafuta mwengine
Steve unaigiza vizuri sana unatupa burudani sana hongera sana
I'm from India..i can't understand the language but i like this video...if possible please give subtitles in English..tq
Which party of india are you from..I'm a foreigner but I know little bit hindi😊 this is called swahili language...aapko bahut swagat hai..
@@ediusgabriely615 North East India.. Meghalaya
Steve send me the video, I'll include the subtitles for you.
Am a Video Editor from Kenya - Msa.
@@jaintiafun6273 ooh nice..I'm living in western coast party of india Gujarat for 3 years now.😊 mudje aapko jaanakar accha laga..
I am here for you 😂😂
Wa kwanza Leo from Tanzania 😂😂
Wakwanza nakupenda kutoka kenya
Wamenikumbisha mbaliii aisee Steven duuuu, theodero mtundu sanaaa
Steve ume nichekesha sana ww kwa vituko vyako😂😂😂😂
Stive meusi ❤😂❤😂
Good job mr steve with your Team
Oyii brother mweus sikudai kwa kwel unauwa kila sku we ndo comedian wengine wafundishe tu😆😆😆😆😆😆
Hapa hakuna mwanfunzi KwaKweli, mayele yupo class sasa domo kama pira, mtihani urudiwe😅😅😅 Karibuni sana ZANZIBAR muje mufanye utalii wa ndani 🌊🏝️
Nimefika
😂😂😂
daaaah leo nimekuwa wa kwanza naomben maua yangu likes zenu
Daaaaa nimecheka hadi roho inauma
😂😂kwani huyu msee wengine wakiwa darasani yeye anafanya nini nje na hatandikwi
Yani stive 😂😂😂anyway you finish us 😂😂❤❤❤
One love from Kenya 🇰🇪🤣🤣🤣
Mmh iyo one love ya nyoko
@@xpro-om9rdmbleina wewe
Visit
@@xpro-om9rd ... Produce yours I will do it for you.... Idiot.
Hello
Mwalimu nakupenda sana lakini Stiven anakusumbuwa sana uwe unamuchapa fimbo
Nipen 👍 zangu jaman
Stive tabiahio shuleni sionzuli Kbis 🤭🤭 nitabiambaya Sana 🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Kweli Steve unavituko 😀😀😀😀
Watching from meru county, congratulations stevoo
A no One
Wakwanza nipeni likes zangu
Uyu jamaa manamba sanaa
Sawa shehe
Bwege ili upate nn ukipew like
@@PETERLAURENT-uq4zo Haina haja hata unitusi
Kamaniivi amnaelimu apa
Congratulations Steve,I'm frome Kenya.
Nakukubaly sana Steve mweusi endeleya na kazy usichoke
😂😂kazi safi aisee
Hahahahahahha yaan nmeanxa kucheka wakt wanatak kugonga kengelee
Steve umetisha sana.. mimi napenda sana hizi za shule
ONG back
Wewe Steven kweli uko Simba kabisa liké my
Steve huna akili😂😂😂😂😂
😅😅 ni lunch ama ??¿¿?haaaaa mtihani mghumu kweli kachoka na elimu huyo
It's good 🎉
I ❤ it
Uhh😮
Nakupenda sana steve❤❤💕💕💕💕💕
Uyu Théodore anamfanana saana Baba Kaila
Daah nimechelewa jaman nipeni bas like
Hahahahhaa na kubali sana your so funny
Idea kubwa sanaaaaa
Wa mwisho nipeni like zangu😂
Aliesikia methali ya teacher mkono juu na agonge like 😄😄😄😄👍
Alaf huyo teacher Yuko serious 😅😅
@@geographicalworld1994 umeona ee htr 😂😂😂👍👍
❤️🧡💘💝💛💚💖💙💗♥️💜💓💞🤎🖤💕♥️🌟🤍
Steve vituko ako aki😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤🎉🎉🎉
Steve vp mimi hapa kei nipe likes
Namuamini huyu mtu
Vipi brother
Kwakweli, Steve Yuko vizuri sana aisee
aki steve uko na vituko sana 😅😅😅
Jamani unauwa Watu APA Congo 🇨🇩 jamani 😁🥰🥰🥰🥰🥰🤣🤣🤣🤣🤣🤣🥰🥰🥰
Steve ana vituko kweli like it😂
Steve jitahidi kuweka maneno ya kingereza chini ya hizi video zako mana unatizamwa na wengi sna hapa nauliza na jamaa zangu nini amemanisha nakosa majibu kwakweli from Qatar 🇶🇦
Bonyeza kwenye kideo afu utaona neno cc itakua inakufsilia
Mungu akupe maisha malefu 😂nimecheka mpaka🎉❤❤ kichwa chaniuma
Nawapenda sana Akina stive mweusi ❤❤❤
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂 ila steve nakukubal sana home boy ktv tunajivunia wew
Steve mweusi is 1 in millions
I can't stop laughing 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ila hizi kengele😂😂😂
Nakupenda San stv kutoka dar es Salam ❤❤
Jey mwinyi kwa kwwli hajra ni moto mke matirio
Mwanafunzi mtukutu kweli anasumbua 😂😂😂😂😂
Direct from South Arabia steve hongera kwa ukora ulio nayo
😅😅😅picha ya mayele🤣🤣🤣🤣🤣
Steve unajua kuigiza kbsaa❤❤
🤣🤣🤣🤣 Steve apana kwakweli
Ndiko rwanda tunapenda comedy ya steven
Nimecheka kifalah sanaa😂😂
Dah leo stiv kawa wakwanza adi mkuu wake kafrahiii
Sema ili swala la kurudia mtihami misikubaliani nao aseeee
Kali mwanafunzi mtukutu😂😂😂
Uyo mwanafunz mweupe mkal knoma
Nami nimempenda