Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Ndugu zangu mna kipaji sana japo kaka chazi chales amesha kufa ila sawa. Mungu amlaze maala pema peponi
Huyu binti "mwalimu" ni mrembo sana❤❤
Steve una vituko SI haba. Napenda comedy yako
Nawapenda sana Akina stive mweusi ❤❤❤
Safi sana kaka ❤
Aksanti kwa kazi munazo fanya,muna furahisha watu wa inchi mbali mbali🇨🇩
Nawakubali sana Akina stive mweusi ❤
Hahahahaha Steven bwana xaizz umeixhakuwa mkubwa kwenye hii tasnia ya vichekexho , mungu akubarik!
Madam Hajra kwa kweli wewe ni mrembo. Unapendeza kuanzia mwlini hadi matamshi🥰😋💪
Watching from Kenya uko sawa kabisa
Zuri sana from Kenya 🇰🇪
Ezekieli chilakali
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Steve mweusi na Theodore nawakubali pamoja na Madam hajra
Pambaneni jaman
Yani Steve mimi shabiki wako ningekua bilionea ninge kununulia lenji kama ya hamonize kama zawadi🎉❤❤❤
Na huyu teacher huwa ameiva mbaya❤
One love from burundi
Steve ni chuma kilichoshindikan I love our team from tz ubungo
Nakupenda sana Steve! Kutoka Rwanda Kigali ❤❤
Mkn
Nampnda sana loveness macheche
❤
Hii sitamai hata iishe nzuri kweli 😄😄😄
Napendaa komedy yako blasa.. shukrani
Steve kazi kama hizi ni nzuri na bora sana kaka tofaut na zile za mkikutana mnaongra weee mpk inaisha haivutii kaz kama hii ni nzurii
Ambao tunaiangalia tukiwa nje ya Tanzania tuonane hapa
tupo
Hahaha hahaha hahaha
From Zambia
Tupooo😅😅😅👆
Kabisa
Wakwanza nakupenda kutoka kenya
Unashanga nn kashangae feli meli inaeleya shilingi inazama ukiniangalia tena nakulamba makofii😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kila la kher hajra na nyote wahusika love nes ❤
Steve jitahidi kuweka maneno ya kingereza chini ya hizi video zako mana unatizamwa na wengi sna hapa nauliza na jamaa zangu nini amemanisha nakosa majibu kwakweli from Qatar 🇶🇦
Bonyeza kwenye kideo afu utaona neno cc itakua inakufsilia
I like this video..""mwalimu huyu ni mrembo that really
eti na wakwanza 😂 Leo Steve amekuwa wakwanza mmefanya vizuri sana na yeye afurahi😂
Steve unaigiza vizuri sana unatupa burudani sana hongera sana
We Steve nimtukutu Sana 😅😅 naomba utuletee behind the scenes tafadhali 😂😂😂😂
One love from Congo 🇨🇩🇨🇩🤣🤣🤣🤣
Mwalimu nakupenda sana lakini Stiven anakusumbuwa sana uwe unamuchapa fimbo
Mashaallah teacher Hajra❤
😀😀😀😀 Steve jamani ww wafurahisha..unachomea mwenzako 😂😂
Wa kwanza Leo from Tanzania 😂😂
Dah leo stiv kawa wakwanza adi mkuu wake kafrahiii Sema ili swala la kurudia mtihami misikubaliani nao aseeee
😂😂😂Ila daah tumetoka mbali
Nipeni hata like 10 moja
Daaaaa nimecheka hadi roho inauma
Hahahahahahaha naona raha kweli Steven mtata hahahahaha Yani unacfurahisha kweli like
Oyii brother mweus sikudai kwa kwel unauwa kila sku we ndo comedian wengine wafundishe tu😆😆😆😆😆😆
Kweli Steve unavituko 😀😀😀😀
inawezkana huyu steve akili zake azipo timamu sisi tunazani ni comedian😂😂😂😂😂😂
Wee 😂😂😂
😂😂😂
Hata mi naona hivyo
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Dah
😂😂😂😂
Steve umetisha sana.. mimi napenda sana hizi za shule
Nipen 👍 zangu jaman
Steve ume nichekesha sana ww kwa vituko vyako😂😂😂😂
Stive tabiahio shuleni sionzuli Kbis 🤭🤭 nitabiambaya Sana 🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Hahahahahahha yaan nmeanxa kucheka wakt wanatak kugonga kengelee
❤❤❤ brother hapa nipe nanamba yako mzee tumit
Jey mwinyi kwa kwwli hajra ni moto mke matirio
Stive meusi ❤😂❤😂
Haiwezekan Steve awe wa kwanza😂 kilaza mkubwa😂 warudieeeeeeeee
Kbs asee
Wamenikumbisha mbaliii aisee Steven duuuu, theodero mtundu sanaaa
Wewe Steven kweli uko Simba kabisa liké my
Jaman hii movie itatuuaaaa ... kila mda tunacheka tuu ..duh
Bravo my bro Steven. tu as bien raisonné. je suis ton fan depuis DRC 🇨🇩
😅😅 ni lunch ama ??¿¿?haaaaa mtihani mghumu kweli kachoka na elimu huyo
much love kutoka uganda❤❤
Haaaaaaaaahhh striven tumeona makosa blaza amja kaa chin mshakaa chini mhhhhhh edit mbovu bro tafuta mwengine
Pia walim nimewapongeza sana muko vizuri🇰🇪
daaaah leo nimekuwa wa kwanza naomben maua yangu likes zenu
😂😂kazi safi aisee
Good job mr steve with your Team
Umeuwa mwamba saana
Mungu akupe maisha malefu 😂nimecheka mpaka🎉❤❤ kichwa chaniuma
Ndiko rwanda tunapenda comedy ya steven
Mayele anafanya examination😂paaapaaa paaa paaa paaaa 😂😂
Jamani unauwa Watu APA Congo 🇨🇩 jamani 😁🥰🥰🥰🥰🥰🤣🤣🤣🤣🤣🤣🥰🥰🥰
Ahahahahahaahaa mim niwakike ilamamb mnayofany mwanikumbush shl tabiy yang hv hv yniiii
Steve mweusi is 1 in millions
Safii sana steveqq
Hapa hakuna mwanfunzi KwaKweli, mayele yupo class sasa domo kama pira, mtihani urudiwe😅😅😅 Karibuni sana ZANZIBAR muje mufanye utalii wa ndani 🌊🏝️
Nimefika
Nakupenda sana steve❤❤💕💕💕💕💕
Direct from South Arabia steve hongera kwa ukora ulio nayo
Mnataka kuwapa vibe sio...hahaha
I'm from India..i can't understand the language but i like this video...if possible please give subtitles in English..tq
Which party of india are you from..I'm a foreigner but I know little bit hindi😊 this is called swahili language...aapko bahut swagat hai..
@@ediusgabriely615 North East India.. Meghalaya
Steve send me the video, I'll include the subtitles for you. Am a Video Editor from Kenya - Msa.
@@jaintiafun6273 ooh nice..I'm living in western coast party of india Gujarat for 3 years now.😊 mudje aapko jaanakar accha laga..
I am here for you 😂😂
Uyu Théodore anamfanana saana Baba Kaila
Nilikua na isubil kwa ham kwel Steve umetisha
Watukutu kwelikweli. Hata kwa shule jirani, jamani
Watanzania humour yao iko iko chini sana.Ni humour ya watu wa kawaida
Kwakweli, Steve Yuko vizuri sana aisee
Huyu steven kweli ni mwenye maadili
Idea kubwa sanaaaaa
😂😂kwani huyu msee wengine wakiwa darasani yeye anafanya nini nje na hatandikwi
Wa mwisho nipeni like zangu😂
.Tulikuwa tunajaribu kuwapa vaibu.. aisee!
😂😂😂😂 ila steve nakukubal sana home boy ktv tunajivunia wew
Kengere umetisha Steve huogopi t 😚😂😂😂😂😚
Nakukubali sana stive mweusi
😀😀😀😀😀😀😀😀😀 Nimeona Sakho Akinyunyizia 😀✍️ Kwa Umbali Kageree 😀😀😀😀😀😀😀😀😀
My uko mkoa gani
@@lilianimikaeli Arusha Wewe je
Dar nitumie no yako
Congratulations Steve,I'm frome Kenya.
Hahahahhaa na kubali sana your so funny
Steve huna akili😂😂😂😂😂
😅😅😅picha ya mayele🤣🤣🤣🤣🤣
Steve unajua kuigiza kbsaa❤❤
Hata mtihan wa chekechea hauwez kufanyika na mabeg karb ivo jmn
eti we kuweza🤣🤣🤣
Nimecheka kifalah sanaa😂😂
Wapi steve mweupee
❤ umetixha Sana na nakfwatilia san🎉
Am from Kenya Steve nifikishieni 2k subscribers
Ndugu zangu mna kipaji sana japo kaka chazi chales amesha kufa ila sawa. Mungu amlaze maala pema peponi
Huyu binti "mwalimu" ni mrembo sana❤❤
Steve una vituko SI haba. Napenda comedy yako
Nawapenda sana Akina stive mweusi ❤❤❤
Safi sana kaka ❤
Aksanti kwa kazi munazo fanya,muna furahisha watu wa inchi mbali mbali🇨🇩
Nawakubali sana Akina stive mweusi ❤
Hahahahaha Steven bwana xaizz umeixhakuwa mkubwa kwenye hii tasnia ya vichekexho , mungu akubarik!
Madam Hajra kwa kweli wewe ni mrembo. Unapendeza kuanzia mwlini hadi matamshi🥰😋💪
Watching from Kenya uko sawa kabisa
Zuri sana from Kenya 🇰🇪
Ezekieli chilakali
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Steve mweusi na Theodore nawakubali pamoja na Madam hajra
Pambaneni jaman
Yani Steve mimi shabiki wako ningekua bilionea ninge kununulia lenji kama ya hamonize kama zawadi🎉❤❤❤
Na huyu teacher huwa ameiva mbaya❤
One love from burundi
Steve ni chuma kilichoshindikan I love our team from tz ubungo
Nakupenda sana Steve! Kutoka Rwanda Kigali ❤❤
Mkn
Nampnda sana loveness macheche
❤
Hii sitamai hata iishe nzuri kweli 😄😄😄
Napendaa komedy yako blasa.. shukrani
Steve kazi kama hizi ni nzuri na bora sana kaka tofaut na zile za mkikutana mnaongra weee mpk inaisha haivutii kaz kama hii ni nzurii
Ambao tunaiangalia tukiwa nje ya Tanzania tuonane hapa
tupo
Hahaha hahaha hahaha
From Zambia
Tupooo😅😅😅👆
Kabisa
Wakwanza nakupenda kutoka kenya
Unashanga nn kashangae feli meli inaeleya shilingi inazama ukiniangalia tena nakulamba makofii😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kila la kher hajra na nyote wahusika love nes ❤
Steve jitahidi kuweka maneno ya kingereza chini ya hizi video zako mana unatizamwa na wengi sna hapa nauliza na jamaa zangu nini amemanisha nakosa majibu kwakweli from Qatar 🇶🇦
Bonyeza kwenye kideo afu utaona neno cc itakua inakufsilia
I like this video..""mwalimu huyu ni mrembo that really
eti na wakwanza 😂 Leo Steve amekuwa wakwanza mmefanya vizuri sana na yeye afurahi😂
Steve unaigiza vizuri sana unatupa burudani sana hongera sana
We Steve nimtukutu Sana 😅😅 naomba utuletee behind the scenes tafadhali 😂😂😂😂
One love from Congo 🇨🇩🇨🇩🤣🤣🤣🤣
Mwalimu nakupenda sana lakini Stiven anakusumbuwa sana uwe unamuchapa fimbo
Mashaallah teacher Hajra❤
😀😀😀😀 Steve jamani ww wafurahisha..unachomea mwenzako 😂😂
Wa kwanza Leo from Tanzania 😂😂
Dah leo stiv kawa wakwanza adi mkuu wake kafrahiii
Sema ili swala la kurudia mtihami misikubaliani nao aseeee
😂😂😂Ila daah tumetoka mbali
Nipeni hata like 10 moja
Daaaaa nimecheka hadi roho inauma
Hahahahahahaha naona raha kweli Steven mtata hahahahaha Yani unacfurahisha kweli like
Oyii brother mweus sikudai kwa kwel unauwa kila sku we ndo comedian wengine wafundishe tu😆😆😆😆😆😆
Kweli Steve unavituko 😀😀😀😀
inawezkana huyu steve akili zake azipo timamu sisi tunazani ni comedian😂😂😂😂😂😂
Wee 😂😂😂
😂😂😂
Hata mi naona hivyo
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Dah
😂😂😂😂
Steve umetisha sana.. mimi napenda sana hizi za shule
Nipen 👍 zangu jaman
Steve ume nichekesha sana ww kwa vituko vyako😂😂😂😂
Stive tabiahio shuleni sionzuli Kbis 🤭🤭 nitabiambaya Sana 🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Hahahahahahha yaan nmeanxa kucheka wakt wanatak kugonga kengelee
❤❤❤ brother hapa nipe nanamba yako mzee tumit
Jey mwinyi kwa kwwli hajra ni moto mke matirio
Stive meusi ❤😂❤😂
Haiwezekan Steve awe wa kwanza😂 kilaza mkubwa😂 warudieeeeeeeee
Kbs asee
Wamenikumbisha mbaliii aisee Steven duuuu, theodero mtundu sanaaa
Wewe Steven kweli uko Simba kabisa liké my
Jaman hii movie itatuuaaaa ... kila mda tunacheka tuu ..duh
Bravo my bro Steven. tu as bien raisonné. je suis ton fan depuis DRC 🇨🇩
😅😅 ni lunch ama ??¿¿?haaaaa mtihani mghumu kweli kachoka na elimu huyo
much love kutoka uganda❤❤
Haaaaaaaaahhh striven tumeona makosa blaza amja kaa chin mshakaa chini mhhhhhh edit mbovu bro tafuta mwengine
Pia walim nimewapongeza sana muko vizuri🇰🇪
daaaah leo nimekuwa wa kwanza naomben maua yangu likes zenu
😂😂kazi safi aisee
Good job mr steve with your Team
Umeuwa mwamba saana
Mungu akupe maisha malefu 😂nimecheka mpaka🎉❤❤ kichwa chaniuma
Ndiko rwanda tunapenda comedy ya steven
Mayele anafanya examination😂paaapaaa paaa paaa paaaa 😂😂
Jamani unauwa Watu APA Congo 🇨🇩 jamani 😁🥰🥰🥰🥰🥰🤣🤣🤣🤣🤣🤣🥰🥰🥰
Ahahahahahaahaa mim niwakike ilamamb mnayofany mwanikumbush shl tabiy yang hv hv yniiii
Steve mweusi is 1 in millions
Safii sana steveqq
Hapa hakuna mwanfunzi KwaKweli, mayele yupo class sasa domo kama pira, mtihani urudiwe😅😅😅 Karibuni sana ZANZIBAR muje mufanye utalii wa ndani 🌊🏝️
Nimefika
😂😂😂
Nakupenda sana steve❤❤💕💕💕💕💕
Direct from South Arabia steve hongera kwa ukora ulio nayo
Mnataka kuwapa vibe sio...hahaha
I'm from India..i can't understand the language but i like this video...if possible please give subtitles in English..tq
Which party of india are you from..I'm a foreigner but I know little bit hindi😊 this is called swahili language...aapko bahut swagat hai..
@@ediusgabriely615 North East India.. Meghalaya
Steve send me the video, I'll include the subtitles for you.
Am a Video Editor from Kenya - Msa.
@@jaintiafun6273 ooh nice..I'm living in western coast party of india Gujarat for 3 years now.😊 mudje aapko jaanakar accha laga..
I am here for you 😂😂
Uyu Théodore anamfanana saana Baba Kaila
Nilikua na isubil kwa ham kwel Steve umetisha
Watukutu kwelikweli. Hata kwa shule jirani, jamani
Watanzania humour yao iko iko chini sana.Ni humour ya watu wa kawaida
Kwakweli, Steve Yuko vizuri sana aisee
Huyu steven kweli ni mwenye maadili
Idea kubwa sanaaaaa
😂😂kwani huyu msee wengine wakiwa darasani yeye anafanya nini nje na hatandikwi
Wa mwisho nipeni like zangu😂
.Tulikuwa tunajaribu kuwapa vaibu.. aisee!
😂😂😂😂 ila steve nakukubal sana home boy ktv tunajivunia wew
Kengere umetisha Steve huogopi t 😚😂😂😂😂😚
Nakukubali sana stive mweusi
😀😀😀😀😀😀😀😀😀 Nimeona Sakho Akinyunyizia 😀✍️ Kwa Umbali Kageree 😀😀😀😀😀😀😀😀😀
My uko mkoa gani
@@lilianimikaeli Arusha Wewe je
Dar nitumie no yako
Congratulations Steve,I'm frome Kenya.
Hahahahhaa na kubali sana your so funny
Steve huna akili😂😂😂😂😂
😅😅😅picha ya mayele🤣🤣🤣🤣🤣
Steve unajua kuigiza kbsaa❤❤
Hata mtihan wa chekechea hauwez kufanyika na mabeg karb ivo jmn
eti we kuweza🤣🤣🤣
Nimecheka kifalah sanaa😂😂
Wapi steve mweupee
❤ umetixha Sana na nakfwatilia san🎉
Am from Kenya Steve nifikishieni 2k subscribers