Ca ukwel unanikumbusha masomo kabsa tulikuwa tu na mwalimu anatia muzki tuna ceza yani ww ndo comédian muzim kbsa pande zote unafinya moto wa Muhammad Kijicho pongezi sana 👏👏 mi Niko Burundi 🇧🇮🇧🇮
Steve umetisha kama haujui unajulikana mpaka huku south Africa raia huku tukiwaonesha video zako wanakubali sana mzee MUNGU akuzidishie maarifa ya kutoa vitu vikali zaidi ya hivi 💪💪💪💪💪💪🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mi nilikuwa naomba naye #mjeshi kikofia awe kwenye kundi hili.. Jerome huwa namkubali kwa mwonekano wake wa upole. Madam naye fuluuuuu,mnanielewa sijui😂
fasihi ni Sana'a ya lugha au vipi Steve apewe maua kutoka Kenya tafadhali One love from Kenya,,❤
Mi kama alivyosema Mwenzangu siko mbali naye😂😂😂😂😂😂😂
Mchokozi sana steven like zangu from bururndi257
😂😂😂huwanga haiendi mbali sita au ngapii 😂😂😂😂
Tanzania one kutok kwa steve leo 😂 nawasalim wenzang wote mnaoview hii video...
Vp
❤❤❤❤
Mwendo wa kucheka2
😂😂😂😂😂😂 Steve wee nikipengele et huwa sichezi mbali namwenzangu kama umefrahi like tujuane 😂😂😂😂😂😂😂
😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮
P😅jp
Umetishaass mwamba steeeeeeveeeee
Kenya mwaja lini jamani,fasihi kuna aina mbili tu simulizi na andishi😂😂😂
👍😅😅
Ndio nashindwa pia mimi hio yao ya tatu ni gani😂😂😂😂
You
I really like Stephen Mweusi. Mcheshi sana . ❤❤❤
😂😂😂 Steve Moses 😂😂😂Sina kipaji , nzuriii sanaaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Steven Moses mwanafunzi mtukutu Sina za fasihi ety siko mbali na mwenzang Kama mbili,Tatu 😂😂😂😂😂
Aina tatu za fasihi😂
Likes tatu au zaidi
Za mwalimu
❤👇
Steve never disappoint anyway nawapenda sana 😂😂❤❤
😂🎉❤
❤😂🎉😢😮😅😊😅😅🎉🎉🎉🎉🎉
Steve wewe ni mwisho
Ca ukwel unanikumbusha masomo kabsa tulikuwa tu na mwalimu anatia muzki tuna ceza yani ww ndo comédian muzim kbsa pande zote unafinya moto wa Muhammad Kijicho pongezi sana 👏👏 mi Niko Burundi 🇧🇮🇧🇮
Daah wakwaza Leo ngoga like from 🇺🇸🇺🇸🇺🇸
Unaweka bendera ili 🤣🤣🤣 hatujali
Kidawa wee kiboko, hio figure yako inaniua❤❤❤❤
Daaaaaaah yan steve umetisha mwamba, ety sina kipaji nilikuwa nakutania, daaaah one love broo BIG UP san
Steve Mweusi my guy.. One love from Kenya & UK bro!! U are just naturally hilarious! Hahaha
One love❤ from 254 napenda video zako Sana nko addicted❤❤
Mkali Steve mweusi
Big up kwa Steve, nakufuatlia kila wakati nikiwa nchini DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 DRC
Nipeni likes Mimi wa kwanza
Nakukubali sana mwamba steve mweusi
😂😂😂😂 dah ila nyinyi wa tanzania mna mambo kweli😅😅😅, mimi natokea drc Congo🇨🇩🇨🇩
ruclips.net/video/-FHdqKdfU2Q/видео.html
Na kwangu Kuna kazi nzurii jaaman
verry well ,big up sn kk mkubwa.
Wawekee muziki wajidhalilishe daah Steve noma sana😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mbona wamecheza fisur duuu wewe Steve unatisha kuchekesha
DavooTz Xana mwana maokoto Vingunguti moja
@steve weye ni Atari ku duru😂😂
Daaaa steeave hongera unakuwa mchekeshaji usiyechosha kila ukija
😀😀😀😀😀😀😀😀 Hi Ishawai Kunikuta 😀😀😀😀😀😀😀😀 Najua Jibu Lakini Niko Kimyaaaaa
Steve mwarimu umetisha duuu mwarimu kama rafiki yako
Kali sana steve,, much love from kenya🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥🔥
Us to😮😢😢😢😢😮😮txZa my kwema uko wapo
Steve ww ni mwamba! Nakukubali sana kaka...🔥🔥🔥🔥🤔
ONE LOVE FROM KENYA 🇰🇪.
Mdogo wangu Steve nakukubali Mungu akulinde na alinde kipaji chako
Tunaitaji clips za kuact kama dokta
Nakubali kaka upo vizur
Duh hizi fimbo sizielewi cjui badae wanapewa polee,,😂😂
Tunawakubari sana wapambanaji mko vizuri sana
Steve hapa hamna mtuu😂😂😂😂😂😂😂😂
Steve umetisha kama haujui unajulikana mpaka huku south Africa raia huku tukiwaonesha video zako wanakubali sana mzee MUNGU akuzidishie maarifa ya kutoa vitu vikali zaidi ya hivi 💪💪💪💪💪💪🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🎶🎶🎶 japhet umetishaaaaaa sanaa wow
Mi nilikuwa naomba naye #mjeshi kikofia awe kwenye kundi hili..
Jerome huwa namkubali kwa mwonekano wake wa upole.
Madam naye fuluuuuu,mnanielewa sijui😂
Kumbe wanapiga kweli😂😂😂😂😂
Yan Ni shule mtupu mko serious adi raha
Watching from Kenya 🇰🇪
Kwan loveness ni mwanafunz maana anafit kwenye hyo nafasi
Steven nakukubali sana big up
Wanaimba nyimba zako
We mimi ni mkenya bt leo steve na madam kidawa wamenichekesha hdi shinqo linauma aki😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅
Uso wake ni kicheko tupu tu😂😂😂😂❤
Safi ❤❤❤
much love steve❤❤from kenya
Miujiza tendekaaa😂😂😂😂kakata fimbo😂😂😂😂❤
Attention class😂😂fasihi ni ninii 😂😂 Steven Moses
😅😅😅😅 Ila Stivini
Kicheko ni dawa🇧🇮🇰🇪👍👍👍🤣🤣nakubali Steve merci sana
Kipaji cha mazingaombwe 😂😂😂🙌
Hakiamungu huyu jamaa kanivunja mbavu zangu jamani mpaka mwalimu mwenyewe kacheka 😅😅😅😅
Nimecheka sana eti kuna watu wana viungo vigumu😂😂😂😂😂😂
I am the first
Yeah men Sina upinzan na kazi Yako mkuu
Nawapenda sana kutoka Kenya msalimie Lovenes
Steve unaahakili kweli 🤭🤦🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Mwanafunzi mtukitu itaendelea kweli mwamba katuacha
Steven ni hatari sana
Madam alitaka tuone mtulinga alipoenda kumchapa mwanafunzi
Kichwa maji kweli Steven
Hahaha mwanafunz jau kweli huyu
Nimecheka sana da!Stive
Hahahahaaaaaaaa raha xana
steve upo vizuri continues like that
Steve wee ni mcheshi sana bro😂😂😂
Nimecheka mpk nimechelewa mpk asira zimeisha stiv ubarikiwe Sana an uendelew kutuchekesha hvyhvy an hsr zimeishaa😂😂😂😂😂 kushindwa kufurahi ni ww t
Wah kujeni Kenya msome fàsihi
😀😁🤣😂😋🥲😉 designer nimeelewa kazi yako
Kk umetisha sana
Yaan wew utanimaliz
Ule ambae anaimba anacekesha sana😂😂😂😂
Nice inatoa burudani na uhalisia wa blaablaa za walimu kwenye shule zetu za msingi na sekondar.
Mudw mwingi visa na wanafunzi
Hungera 🙏🙏 makofi Steve na kapga makofi
Nimependa Sana last part Ati miujiza tendeka🏃🏃🏃aki Steve 🤣 🤣🤣🤣🤣🤣
Stiven utatuuwa kwavichekesho vyako
Asante kwa salam nimemuelewa madam
Dhaaaaah,,, stvn mnona kweli😂😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 nngekwa mm nngeenda ome
Uhakika madame
Safi sana from kenya
Unajuaa mnoo
Steve wewe 🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🇨🇩🇨🇩🇨🇩💪
Sasa mtafte Idea nyengine hii ya shule tumeichoka😅
Hapana wa kwanza mimi nipeni like
Ila Steve bhn 😂😂😂 we jamaa hapana
hakuna anaesema kuhusu fimbo zanguvu za mwalim mimi naokopa labda apigwe Steve
Jombaa endeleaaa
Kidawa 😍❤
Naombeni like 5 tu😅
Steve fundi Sannaa Njoo niowe
Steven kihelehele tu 🤣🤣🤣🤣🤣
Kigali Rwanda yambi
Steve ni mtu wa vibweka yaan anajuwa kucheza na akili za watu