SAJNA ft. JOSEFLY - MGANGA_YAMENISHINDA (Official Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 фев 2025
  • Video mpya ya SAJNA ft. JOSEFLY, wimbo unaitwa MGANGA, na wa pili unaitwa YAMENISHINDA.Ni story moja ndio maana nyimbo zote mbili zote zipo katika video moja. Imetengenezwa na kampuni ya SHOWBIZ DEFINED chini ya Eryne D. Epidu. Video script imeandikwa na JOSEFLY. Mganga Audio produced by Amba na Yamenishinda audio produced by Kid Bwoy, Tetemesha Recordz.

Комментарии • 690

  • @JumanneSelemani-x4g
    @JumanneSelemani-x4g Год назад +176

    Kama umefika 2024 salama na hi nyimbo nipeni like zangu wadheee

  • @LucyRobert-g3c
    @LucyRobert-g3c Год назад +113

    Wanao itazama Ngoma hii 2024 like please

  • @fredythomas1848
    @fredythomas1848 2 года назад +38

    Dah naikubali sana ii ngoma kama bado upo nayo gonga like hapa 2023

  • @danovibes7203
    @danovibes7203 5 месяцев назад +20

    Huyu Mganga aliechana hapa yuko wapi aisee??? 🙌🔥😂,, 2024

    • @HOLINESSPIUSE-gv8ud
      @HOLINESSPIUSE-gv8ud 2 месяца назад

      Huyuu mganga sio katobe eti ajee chapu tupige kolabo

  • @SsconcreteMbezi
    @SsconcreteMbezi 11 месяцев назад +32

    2024 apa ngoma bado inogile🔥🔥🔥

  • @sheilaidahEmpressshish
    @sheilaidahEmpressshish 13 дней назад +1

    Weee sajna tumekumiss kwenye game

  • @MzeewaYanga-hm8jq
    @MzeewaYanga-hm8jq 3 месяца назад +12

    Weka like zakutosha hapa tumerudi tena wajuba trh3/11/2024

  • @G-meJames
    @G-meJames 3 месяца назад +3

    Huyu mganga noma kweli...Rapa mmoja mkali mno...hata sijui jina lake...here in 2024 kujikumbushia

  • @saidinassorotz8105
    @saidinassorotz8105 6 лет назад +461

    mistari ya mganga kama umekubali gonga like yako hapo 2018_2019

  • @bonifasjohn6167
    @bonifasjohn6167 4 года назад +7

    Nitampata wap wakati mim mwenyew mtoto wa buhigwe kasulu ya zaman😂😂 kama umesikia neno hilo gonga like twend sawa🙏

  • @NeemaLameck-c6q
    @NeemaLameck-c6q 9 месяцев назад +54

    Tunao tazama 2024❤❤ like hapo

  • @rosepiere1857
    @rosepiere1857 6 лет назад +69

    Mganga nimekupenda kweli sio kwa kuflow huko

  • @YusuphKapita
    @YusuphKapita 4 месяца назад +9

    Ingeimbwa mwaka 2024
    Mganga angekuwa mwakatobe humu😅😅😅

  • @limbumboyi1233
    @limbumboyi1233 7 лет назад +105

    Sajina wew mkali, gonga like kama unamkubali

  • @chrismhonda8051
    @chrismhonda8051 10 месяцев назад +2

    Daahh kitambo sana. Leo naitazama 2024

  • @HamisiAlly-qp5ly
    @HamisiAlly-qp5ly 11 дней назад +1

    Undio mziki uno takiwa siyo matusi❤❤🎉🎉

  • @marcemarco3747
    @marcemarco3747 Месяц назад +2

    Aisee jamn anayejua sagna Yuko wap au ana # yake aweke hapo tufanye job

  • @Itawon_Genus_Cleaning
    @Itawon_Genus_Cleaning 3 года назад +43

    Sunday, August 22, 2021..
    Wangapi wako hapa na hii ngoma bado iko kwa playlist.

  • @mtumishihewa7595
    @mtumishihewa7595 5 лет назад +129

    2019 ngoma bado inatazamwa...gonga like kama unaikubali forever

  • @aclesaclemence8784
    @aclesaclemence8784 3 месяца назад +1

    Old is gold, Mungu atusaidie soote tunaotazamia kuuendea mwaka 2025 kwa neema zake

  • @markokyando1709
    @markokyando1709 5 месяцев назад +6

    Nani mwingine anamisi ngoma kali kama hizi😅😅gonga like twende sawa

  • @michaelmwiti4619
    @michaelmwiti4619 4 года назад +18

    Hii ngoma ilinibamba sana enzi zile, bado naipenda sana 🔥 🔥 🔥

  • @chazadamas7286
    @chazadamas7286 3 года назад +1

    Dah wapi like zenu kwamala nyingine. Sijui uyu jaama ameenda wapi.

  • @itsafrikanah769
    @itsafrikanah769 7 месяцев назад +6

    I had to come back in 2024 and listen to this song which made my childhood memories live.
    Mnipe likes zangu

  • @Fantastic.-gm1eo
    @Fantastic.-gm1eo 12 дней назад +1

    Daah enzi hizo nipo darasa la kwanza nilipenda sana kuimba hii song😂

  • @shaibahkmwangoto8089
    @shaibahkmwangoto8089 5 лет назад +18

    Kama kunaaliye muelewa mganga. Aliposema namimi nimonimo. Atupiye like

  • @tonestisakwe368
    @tonestisakwe368 Месяц назад +2

    Km unaangalia hii ngoma 2025 like tuondoke 4:02

  • @aishakichunachamjikasoro9411
    @aishakichunachamjikasoro9411 6 лет назад +27

    Sajna rudi broo gem bdo linakuitaji

  • @abdulkadirlayltygago8607
    @abdulkadirlayltygago8607 5 лет назад +122

    mm nina endelea pley hadi leo 2019 kma niwe kati yao gonga like

  • @amosuswege5992
    @amosuswege5992 4 года назад +2

    Kwanza anapokuja aje na kanga kama umesikia hiyo achia like

  • @dennislugano6332
    @dennislugano6332 4 года назад +8

    Sajna nowadays uko wapi,,nyimbo zako zilikuwa Zina ujumbe Sana mzee🙌🙌

  • @annahockson1427
    @annahockson1427 6 лет назад +128

    kama unamkubali mganga dondosha like

  • @sabayaist
    @sabayaist 12 лет назад +20

    Sajna wewe mkali mwanawane....dah, mganga anaflow hatari!!!!Great Job

  • @SospeterChambo
    @SospeterChambo 4 месяца назад +2

    Tujuane 2024 mapema

  • @Joshua-bz5vw
    @Joshua-bz5vw 6 месяцев назад +1

    Kwa kweli enzi za kale ngoma zilikua juu sana imgne beb wNgu nlimuoa coz ya kumuimbia hio song if you still ❤ hio song ngota nayo

  • @petermarwawankaba5378
    @petermarwawankaba5378 5 лет назад +3

    sajna likuwa kiboko ila mepotea mpaka leo.baada ya kushindwa mashart ya wimbo wa mganga

  • @Hery-tg5ef
    @Hery-tg5ef 5 месяцев назад +1

    Kama bado unaisikiliza hii ngoma 2024 like kama zote

  • @KitumaJr
    @KitumaJr 4 дня назад

    Naomba nyimbo nyingine alowahi kuimba huyu mganga,tafadhali nawaombeni

  • @fadhilially7357
    @fadhilially7357 3 месяца назад

    SAJNA SIJUI YUPO WAPI KIPAJII SANA HUYU JAMAA 2024

  • @katyetyegosper218
    @katyetyegosper218 4 года назад +3

    Mistari ya mganga inaweza kukufanya uzimie

  • @PrackcidisAmbani
    @PrackcidisAmbani 4 месяца назад +7

    Kama umefika huku gonga likeee

  • @gavinotz2429
    @gavinotz2429 Месяц назад

    siku ya mwisho ya mwaka 2024,nimekuja kubarizi pande hii

  • @ramadhansaid3280
    @ramadhansaid3280 6 лет назад +62

    Gonga like wangap mnaimiss 2019

  • @masoudmkwavi9681
    @masoudmkwavi9681 3 месяца назад +2

    Sio poa Sajna

  • @SadaMulady
    @SadaMulady 4 месяца назад +2

    ❤Nimekubali hii Ngoma ni Noma sanaaa

  • @LazaroMathias-f3h
    @LazaroMathias-f3h 4 дня назад +1

    Kama upo hapa 2025 likes hapa❤

  • @josephsabuni1003
    @josephsabuni1003 4 года назад +3

    ''Una nyota ya kichaga ila una moyo wa kichina'' balaa sana huyo mganga namkubali

  • @roseventure3232
    @roseventure3232 4 года назад +10

    hii dunia ni yetu lkn wachache tunaijua na hao mabinti wazuriwazuri niwakwetu tumeumbiwaaa😂😂😂😂mgangaaaaa noumaaaa Dec 2020 bado tupo

  • @enobaboy1161
    @enobaboy1161 5 лет назад +2

    ngoma unazo towa saivi hazifiki kama best nasso kaka we we n fire. toka mkoa rudi dar utahiti kama zamani tafta intaview kwa wingi

  • @doi255
    @doi255 2 года назад +2

    Kama bado unaamini old is gold likes siusike 2023

  • @thedoncomplex3679
    @thedoncomplex3679 5 лет назад +9

    Hivi huyu mganga yupo wapi aisee!! Ni mashineeee balaaa.

  • @hassanpandu310
    @hassanpandu310 2 месяца назад

    Oyaa so poa kitamboo sana dah so poa mpaka leo hai kherii kwa woteeeeeeeeeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MutabanziBanna
    @MutabanziBanna 24 дня назад +1

    Sajna tunakukosa sana kk

  • @mudyally6097
    @mudyally6097 5 лет назад +6

    Mgaangaa kama umemkubali gonga like

  • @saidynamkanda746
    @saidynamkanda746 7 месяцев назад +3

    2024 inanikumbusha kipindi flan iv🎉🎉🎉

  • @juliusphabian6336
    @juliusphabian6336 4 года назад +1

    Mganga bwana anafurahisha sana yaan na yeye anasema, wanawake wazuri tumeumviwa sisi,,,,kaah!

  • @musiccaentertainment100k8
    @musiccaentertainment100k8 2 месяца назад

    Huyu mganga anafanana na sam wa ukweli.. mungu ailaze roho yake mahali pema peponi

  • @jennifernduka720
    @jennifernduka720 5 лет назад +1

    😍😍😃😃😃😃huu wimbo bhana ni wa siku nyingi lkn ukiusikiliza unakubamba😃😃😃😃😃😃

  • @kwizeranadia119
    @kwizeranadia119 6 лет назад +196

    wangap tupo pamja 2019

  • @omarimngoma9141
    @omarimngoma9141 5 лет назад +3

    Kama bado unaendelea kuingalia naomba like yako hap0

  • @bahatiiddibahatiiddi-be5nj
    @bahatiiddibahatiiddi-be5nj 4 месяца назад +1

    Noooooumah!.. sana ❤❤

  • @bashiruhassani1017
    @bashiruhassani1017 6 месяцев назад +1

    Iyo nyimbo n noma ad leo 2024 bado n kal

  • @faridkhamis9424
    @faridkhamis9424 5 лет назад +22

    Ukisikia nyimbo zinaishi Ndo kama hizi (2019)

  • @HumairatuSaddy
    @HumairatuSaddy Месяц назад

    Kama ume rudi kuangalia 2024

  • @sakinatanzanian5000
    @sakinatanzanian5000 5 лет назад +2

    Duh yaan hiz nd nyimb zilikuwa dah hawa sijui wap waliend yaan ni nzuri hichok kusikiliz

  • @official_ya13
    @official_ya13 4 года назад

    Kidbwoy mrudishee jamaaa tetemeshaaa akisanue tenaaaa jamaaa anawezaaaa

  • @nasraabdughafur6913
    @nasraabdughafur6913 6 лет назад +2

    Nice song inanikumbusha mbali sn Enzi izonahangaikia mapenz

  • @barakaelias5241
    @barakaelias5241 3 года назад

    Kama umeyakubal maombi ya sajina gonga like

  • @fipa1823
    @fipa1823 3 года назад +2

    Daaah ngoma makin sana hadi leo me uwa na sikilizaaa

  • @hawamazengo5807
    @hawamazengo5807 4 года назад +16

    Wanaoitazama hii nyimbo 2021 gonga like hapa🤝

  • @mmanyi8609
    @mmanyi8609 Год назад +1

    Wanaotizama hii nyimbo 2023 gonga like twende

  • @shabaniissah8464
    @shabaniissah8464 5 лет назад

    thats done old music ni nzur sana kulko sasa @john chande hapa kama unakubali vitu vya zamani kama mm gonga like. mganga kafeli

  • @hajrafareed2070
    @hajrafareed2070 5 лет назад +3

    Natamani wakati ungerudishwa nyuma enzi hizo. Mziki mziki kweli si mikorogo haieleweki.

  • @JohnMtatiro-kx4jw
    @JohnMtatiro-kx4jw 5 месяцев назад

    Hizi ndizo nyimbo zinazoishi masikioni halaaaa sajna

  • @yusuphmyinga
    @yusuphmyinga 5 месяцев назад

    Watu tupo apa 2024 dah mganga kanikosha sanaa🎉🎉🎉🎉

  • @brigittealex2264
    @brigittealex2264 7 лет назад +17

    Dahh bado tupo hapa it still on fire

  • @japalablack1588
    @japalablack1588 5 лет назад +4

    🇰🇪 Representing kambi nyege 2023

  • @edwinamos2575
    @edwinamos2575 4 месяца назад

    Miaka hii diamond alikuwa hasikiki nyimbo zilikuwa zinatamba hizii

  • @allybtz1263
    @allybtz1263 2 года назад

    Mgaga katisha 2023

  • @AmosjonhmsusaNengajohn
    @AmosjonhmsusaNengajohn 2 месяца назад

    Hii ngoma kali sana 🔥🔥🔥 2024

  • @jumaabdallah8694
    @jumaabdallah8694 4 года назад +2

    Anapo kuja kwangu awe na khanga 🙈 🙈 twende sawa 2020

  • @ngeckshumangeck5959
    @ngeckshumangeck5959 3 месяца назад +1

    Maganga nakukubali sana

  • @salimmwakukana5544
    @salimmwakukana5544 6 лет назад +12

    What the current artistes are missing creativity bro you just great much love from +254

  • @barakalangia5703
    @barakalangia5703 5 лет назад

    Ngoma hatariii Sana kweli napenz ya kweli hayapo kwa waganga

  • @MubayaSelemani
    @MubayaSelemani Месяц назад

    Mistari ya mganga ilitisha sana jamani

  • @derickerick6707
    @derickerick6707 5 лет назад

    Jamaa yupo vzr sijui yupo wapi kwa sasa

  • @lydiahmwasame5668
    @lydiahmwasame5668 Год назад +1

    Aki waganga😂😂😂😂😂❤❤❤

  • @cholloriyamiy8995
    @cholloriyamiy8995 6 лет назад +1

    Daaah mzee baba uko wapi Sajna.. Tumezimisi sana kazi zako kaka

  • @mmetaasimba6893
    @mmetaasimba6893 5 лет назад

    Kama unaangalia twent twent.weka like

  • @draculababaiyo2866
    @draculababaiyo2866 6 лет назад +7

    Uyo mganga alomtukana ndio alomroga apotee ktk game

    • @bonitatembonitate257
      @bonitatembonitate257 5 лет назад +1

      Ahahaaahaaaaa

    • @chobastian-chobo5759
      @chobastian-chobo5759 5 лет назад +1

      dracula Babaiyo ngoma kali hii ww kukaa kimya labda kaamua tu huwez Jua ana tatzo gani, we nadhani unapenda nyimbo za siku izi hazina content mistari yao sijui tukiwa chumbani sijui go down waoneshe, yani sijui hata wanaimba nini

    • @mwasitiramadhan5605
      @mwasitiramadhan5605 5 лет назад +1

      Hahahahhahaha

    • @magdalenajohn1556
      @magdalenajohn1556 5 лет назад

      Daaaah

  • @samohboy9937
    @samohboy9937 5 лет назад +8

    Uzuri wake zaid ya hathi ya ikuru ntampataje mtoto wa matombo....😖😖😖😖😖😖 Dah like za 2011 nazitaka leo 2019

  • @godwinbahati5653
    @godwinbahati5653 Год назад +1

    Likes watu wa 2023 😅🎉

  • @adiaosward9277
    @adiaosward9277 3 года назад +1

    Sajina daar nimefurai Sana kuixikia nyimbo yak

  • @ModestutiNyoni
    @ModestutiNyoni Год назад

    Umepotelea wap sajna kid bway yupowapi sikuiz

  • @josephngonyani1816
    @josephngonyani1816 4 года назад

    huyu jamaa fundii saaana kapotelea waaapii

  • @AgstinoLwila
    @AgstinoLwila 6 месяцев назад

    Miaka hiyo nachinga viatu tunduma❤❤

  • @itonyajuma8018
    @itonyajuma8018 5 лет назад

    Goma kali leo ndio nimeona

  • @allychande8716
    @allychande8716 4 года назад

    nimeikubali yamenishinda mganga

  • @jumasetumbi147
    @jumasetumbi147 6 лет назад +58

    Wangap wa leo 24.2.2019 piga like ksma tupo sawa

  • @Joseph-zp6vl3du4s
    @Joseph-zp6vl3du4s 8 месяцев назад

    Thr10 mwezi6 2024 niko hapa mganga masharti yatanishinda