Ni kweli Hospitali ya Mloganzila haina madaktari, kuingiza chakula Je?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Baada ya kuwa na taarifa mitandaoni kuwa Hospitali mpya ya Mloganzila haina Madaktari, Wagonjwa wanakufa sana na Pia wanaoingia kuwaona wagonjwa wao hawaruhusiwi kuingia na Chakula chao binasfi.

Комментарии • 7

  • @luluamri370
    @luluamri370 4 года назад

    Msikanushe kabla hamjafanya uchunguzi unaweza kuta kuna baadhi ya wafanyakazi wananyanyasa wafanyakazi...alafu hao wanafunzi hawatakiwi kuwa peke yao na mgonjwq

  • @sirnunda3758
    @sirnunda3758 Год назад

    Hiyo ni machinjio siyo hospitali

  • @khadijambuta4360
    @khadijambuta4360 6 лет назад +1

    hiyo huduma ya chakula bure au😩😩😩

  • @daudilucas7466
    @daudilucas7466 6 лет назад

    nice work brother big up

  • @edsonbjoseph
    @edsonbjoseph 6 лет назад

    karibuni MangeTv

  • @lynalyna3968
    @lynalyna3968 6 лет назад +1

    Ni wananchi ndo wanalalamika nasio hbr z kutunga

  • @ikrissaidrissa8613
    @ikrissaidrissa8613 6 лет назад +1

    hospital zuri