Ni kweli Hospitali ya Mloganzila haina madaktari, kuingiza chakula Je?
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Baada ya kuwa na taarifa mitandaoni kuwa Hospitali mpya ya Mloganzila haina Madaktari, Wagonjwa wanakufa sana na Pia wanaoingia kuwaona wagonjwa wao hawaruhusiwi kuingia na Chakula chao binasfi.
Msikanushe kabla hamjafanya uchunguzi unaweza kuta kuna baadhi ya wafanyakazi wananyanyasa wafanyakazi...alafu hao wanafunzi hawatakiwi kuwa peke yao na mgonjwq
Hiyo ni machinjio siyo hospitali
hiyo huduma ya chakula bure au😩😩😩
nice work brother big up
karibuni MangeTv
Ni wananchi ndo wanalalamika nasio hbr z kutunga
hospital zuri