Ninamjua alieniweka duniani

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Mleli family

Комментарии • 183

  • @elisonguomoshi3354
    @elisonguomoshi3354 4 месяца назад +4

    Nimeujua huu wimbo mwaka 2011, nikiwa form 1, wadada wa UKWATA walikuwa wakiimba kwaya form 4. Na nimeupata leo 18/04/2024, tangu 2011. Wimbo una upako, ndio maana bado unaendelea kuishi mioyoni mwa watu. Miaka yote io tangu nimeusikia mpaka leo bado unaimba. Mungu atusaidie tuwe na mwisho mwema. AMEN

  • @farajalugome
    @farajalugome 3 года назад +11

    Kwa kweli nimekuwa nikiutafuta sana huu wimbo. Nimefurahi sana kuupata na kwa kweli siachi kuusikiliza mara mbili au zaidi kwa siku. Unanibariki sana hasa nikiangalia safari yangu ya maisha, maana bila yeye Mungu nisingekuwa hivi nilivyo. Ubarikiwe sana uliyetuwekea mtandaoni.

  • @francismsangi3244
    @francismsangi3244 4 года назад +19

    I am still listening in 2020

  • @RayTango-gk2lf
    @RayTango-gk2lf 9 месяцев назад +2

    Mbarikiwe sana huu wimbo ni mzuri unanikumbusha 2007 nikiwa morogoro ndio huwa nausikiliza

  • @herimgode1835
    @herimgode1835 Год назад +2

    Watunzi wa nyimbo Kama hizi ni tunu na Sasa hawapatikani kwa sababu walitunga nyimbo hizi wakiambatana na wito kutoka mioyoni mwao na sikama wafanyabiashara walio wengi ndani na ya hekalu la Mungu waleeeee ambao YESU aliwachapa vipoko

  • @rapahelkamwela6808
    @rapahelkamwela6808 6 лет назад +11

    mimi nikushukuru sana mtumishi....huu wimbo nimeutafuta sana mpaka nikatamani kulia nilipoukosa....yaani nimefurahi sana kuupata huu wimbo....huu ni ushuuda sana kwangu......Naupenda huu wimbo...unanifanya niifikirie safari yangu ya wokovu hapa duniani na tumaini langu ya kwamba sitamuacha Bwana wangu hata iweje

  • @glorymassawe4870
    @glorymassawe4870 4 года назад +8

    Wimbo huu unanipa nguvu sana! 2020 march listerning one of my best song of ol time!

  • @christinaonyango6085
    @christinaonyango6085 5 лет назад +7

    Barikiwa sana wewe uliyeweka huu wimbo ,nimeutafuta sana miaka mingi .Wimbo huishi hamu ,Maneno ya kukupa nguvu za ushindi.Amina .Naupenda sana wimbo huu.

  • @yusuphmapesa2518
    @yusuphmapesa2518 3 года назад +4

    Nambuka enzi nasoma Nyakato secondary-Bukoba 2006-2009,wimbo huu walikuwa wanauimba sana Bukoba Lutheran secondary school!!!tukiwa tuko joint mass Ihungo, Kahororo, Rugambwa, Kagemu, omumwani, da!!.Nmemisss ukwata

  • @MsMamemy
    @MsMamemy 3 месяца назад

    Mpendwa ubarikiwe saaana sana sana... huu wimbo haujawahi chuja ni mzuri ajabu. Tunashukuru kutuletea huu wimbo tusaidie basi na nyingine kama HERI UJE BWANA YESU TWAKULILIA.... @Mleli Sbl

  • @ambrosemaro1090
    @ambrosemaro1090 4 года назад +4

    Ni moja ya nyimbo nzuri na tamu kwa kila kitu na za zamani zenye mafuta ya Roho Mt, hazichuji!

  • @user-ex5tx2zn8k
    @user-ex5tx2zn8k 7 месяцев назад +1

    Blessing to all who listenining a such kind beautifully gospel song like this🙏🙏🙏

  • @avidiuselias4126
    @avidiuselias4126 6 лет назад +8

    nmeutafta wimbo huu kwa mda mrefu ila nmeupata leo asante sana

  • @carolineculture3204
    @carolineculture3204 Год назад +4

    My song 2023 🥰🥰

  • @castortesha6479
    @castortesha6479 3 года назад +2

    Huu wimbo kabla haujaanza kupigwa mfululizo redioni kwanza niliota ukiimbwa ktk ndoto mwishoni mwa mwaka 2005 na baada ya kuamka nilipata shida sana maana niliusahau na sikumbuki kama niliwahi kuusikia hapo kabla namshukuru Mungu kuanzia mwanzoni mwa 2006 ukawa ni miongoni mwa nyimbo zilizopigwa mara kwa mara redioni

    • @barikimbacho6731
      @barikimbacho6731 5 месяцев назад

      Samahani naomba kujua umeimbwa na kwaya gani?...

  • @janethjkavishe589
    @janethjkavishe589 4 года назад +12

    Ya kitambo sana toka nipo shule ya primary 2005 to Leo 2020 ni favorite songs😘😍😍😍

  • @gudlackkimambo3879
    @gudlackkimambo3879 6 лет назад +6

    wameimba kwaya gan mungu akubariki ulie uweka nimeutafuta sana bila mafanikio hakika nimeupata

  • @neemamasengwa5191
    @neemamasengwa5191 5 лет назад +7

    Unanikumbusha mbali sana huu wimbo, na ninaupenda una ujumbe nzuri sana

  • @janereuben3735
    @janereuben3735 5 лет назад +4

    Nimebarikiwa saana kupitia wimbo huu,hata iweje sito muacha bwana wangu ni hakika nashangilia ushindi...Amen

  • @lomnyakikivuyo9626
    @lomnyakikivuyo9626 4 года назад +12

    A beautiful and blessed song touches my heart, I really appreciate this song and the message found within....👏👏 blessed all

  • @kaseijafari7846
    @kaseijafari7846 3 года назад +3

    Huu ni unjilisti kamili! Powerful song and does wonders in my life!

  • @bombodonald417
    @bombodonald417 6 лет назад +5

    nina zaidi ya mwaka ninautafuta wimbo huu niliusikiliza sana miaka 2006-2009 asante mleli family

  • @upendoulaya2983
    @upendoulaya2983 6 лет назад +16

    Ni zaidi ya miaka minne nautafuta huu wimbo, hakika Mungu yupo yote haya yanawezekana kwasababu yake

    • @mlelisbl6185
      @mlelisbl6185  6 лет назад

      upendo ulaya Amen

    • @mlelisbl6185
      @mlelisbl6185  6 лет назад

      upendo ulaya Amen

    • @davidbedda5007
      @davidbedda5007 6 лет назад

      Yaan acha tu huu wimbo unanikumbusha mbali sana, hata mm niliutafuta sana

    • @horacechiombe9350
      @horacechiombe9350 5 лет назад

      Mimi nautafuta tangu 2009

    • @josephatjoctan3278
      @josephatjoctan3278 3 года назад

      Yani mm toka 2014 nautafuta ndo nauona leo jaman daah unanikumbusha Chome Sec school

  • @gabrielsikoi874
    @gabrielsikoi874 3 года назад +1

    Wiki mzuri mno!! Wimbo una ujumbe mzito, wimbo unaburudisha kwa kiwango, waimbaji wake Mungu wa mbinguni awape miaka mingi nyie na uzao wenu.

  • @babamkwe929
    @babamkwe929 6 лет назад +9

    daah kkkt kimanga .... ninamjua Yesu.... shukrani kwa aliyeuweka

  • @LeodegardJerome-wo8gs
    @LeodegardJerome-wo8gs 6 месяцев назад

    Umenikumbusha zamani mno. Dah!! UBARIKIWE SANA. 🙏

  • @lilianililianililiani3444
    @lilianililianililiani3444 4 года назад +2

    Glory to God ,huu wimbo niliusikia kitambo sana kama sikosei miaka ya 2000

  • @mwanaheriomar1415
    @mwanaheriomar1415 2 года назад +1

    Wimbo wa zamanii lkn ni mpya kwng kila siku, naukumbuka Sana miaka ya 2004 nasubiri kwnza advance

  • @ShimaKilairo
    @ShimaKilairo День назад

    Mwalimu wangu ombeni da alipiga kinanda kwA ustadi mkubwa barikiwa kk

  • @marcelaBarnaba-bz7xn
    @marcelaBarnaba-bz7xn 2 дня назад

    nabalikiwa Sana na huu wmbo....... kwa hakika nmeweka na mungu apa dunian😢

  • @amaninatureguide8273
    @amaninatureguide8273 8 месяцев назад

    Tunaomba tuwekewe nyimbo nyingine za Albam hii tunawaombea tafadhali tafadhali wahusika huu ndio uimbaji uluotumuka tafadhali Sana wekeni RUclips nyimbo zote

  • @aidasamwely8820
    @aidasamwely8820 4 года назад +5

    Am in love with this blessed song🙏

  • @leilahandenyi816
    @leilahandenyi816 3 года назад +2

    What anice song it keeps me going.🙏🙏

  • @apostlemelkizedeckmsechu6274
    @apostlemelkizedeckmsechu6274 2 года назад +1

    2022 BADO NIKO HAPA NA NINAMJUA ALIYENIWEKA DUNIANI...HATA IWEJE SITAMUACHA BWANA WANGU!

  • @JudithKombola
    @JudithKombola 28 дней назад

    Dah wimbo huu haujawahi kunikinai,, utukufu kwa BWANA

  • @lucywatson6716
    @lucywatson6716 4 года назад +1

    Sarome mwalimu wangu darasa la kipaimara 2007and 2008 mungu akutunze uendele kumtumikia 🙏🙏

  • @glorytheodory5053
    @glorytheodory5053 6 лет назад +5

    i love this song

  • @mankamushi4588
    @mankamushi4588 4 месяца назад

    Sintamuacha bwana wangu ninashangilia ushindi Asante mungu wangu

  • @mankamushi4588
    @mankamushi4588 3 месяца назад

    Uwiiiii jamani huuu wimbo naupenda sana mungu aibariki hii kwaya

  • @fransiscamatemu987
    @fransiscamatemu987 5 лет назад +4

    Nimeutafuta huu wimbo finally thank you God

  • @innocenthamisonndalahwa9541
    @innocenthamisonndalahwa9541 Год назад

    Nimeusikiliza huu wimba ambo tune take niliisikia kitambo sana mpk sasa bado inanibariki nimetoa machoz kweli nyakat ngumu zipo Leo 2023 nausiliza bado asante yesu kwa kunipa nafas ya kuishi

  • @nickdallasdallas5675
    @nickdallasdallas5675 2 года назад +1

    Still blessed by the Song Dec 2021

  • @praygodlema2856
    @praygodlema2856 6 лет назад +4

    Daaah!! Wimbo wangu, naupenda sana

  • @AlexSafiel
    @AlexSafiel 3 месяца назад

    Nabalikiwa sana nahuu wimbo

  • @davidindabhiti6999
    @davidindabhiti6999 3 года назад +1

    Du wimbo huu bila ya RUclips zingepotea kabisa

  • @mbisseszakaria7223
    @mbisseszakaria7223 6 лет назад +3

    GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOD MESSAGE!!!!!!!!!!!!!!!!!

  • @deejulesdonatha4107
    @deejulesdonatha4107 2 месяца назад

    2024....Ninanmjua alieniweka duniani

  • @emmanuelmshanga1720
    @emmanuelmshanga1720 3 года назад +1

    Tuzipate wapi tafakari zenye kuponya Kama hizi jamani? Mungu wambinguni azidi kuwainua wanna wake
    Hakika muliimba

  • @joycemtambo8789
    @joycemtambo8789 6 лет назад +2

    Mungu yupoooo yote haya yanawezekana kwa sababu wewe Mungu upon nimebarikiwa sana

  • @humphreymungure4945
    @humphreymungure4945 3 года назад

    Hata iweje sitamuacha MUNGU wangu ,,,,, ooh thanks JESUS.

  • @pusipakanyau544
    @pusipakanyau544 Год назад

    Vema mmenigusa barikiwa

  • @user-cf7ei9ho4y
    @user-cf7ei9ho4y 4 месяца назад +1

    Jamani naomba kujua albam yake inaitwaje

  • @navogodwin4959
    @navogodwin4959 4 года назад +1

    Sichoki kuusikiliza unanibariki sana huu wimbo

  • @safielmsuya4673
    @safielmsuya4673 6 лет назад +14

    naupenda Sana huu wimbo

  • @bumijamziray4210
    @bumijamziray4210 6 лет назад +3

    mungu nitie nguvu katika safari yangu

  • @nickdallasdallas5675
    @nickdallasdallas5675 Год назад

    Still enjoying Oct 2022

  • @castusnyamtaba1683
    @castusnyamtaba1683 6 лет назад +2

    kwel jaman dunian hapa kuna aliye tuweka hapa tena kwa makusudi yake .

  • @tibrucemushi1735
    @tibrucemushi1735 5 лет назад +4

    aisee long time ago......

  • @jacobtesha2365
    @jacobtesha2365 2 года назад +1

    Nice song

  • @ngubwene
    @ngubwene 15 дней назад

    Amen

  • @monicaalute1777
    @monicaalute1777 6 лет назад +1

    Aupenda mno huu wimbo Hakika duniani nimewekwa na mungu na si mwanadam

  • @faustaorigeni9189
    @faustaorigeni9189 6 лет назад +2

    Hakika Yesu ni rafiki wa kweli.

  • @mariej6962
    @mariej6962 6 лет назад +1

    Natafuta wimbo sikumbuki unaitwaje lakini una maneno "kisha nikauona mji ule mtakatifu Yerusalemu , ukishuka kutoka mbinguni kwa Mungu umewekwa tayari, kama bibi harusi aliyekwisha kupambwa kwa mumewe, nikasikia sauti kuu ikisema "tazama maskani ya Mungu I pamoja na wanadamu", naye atakuwa katikati yao, naye atafuta kila chozi kwenye macho yao....."

  • @chisongelapaschal9374
    @chisongelapaschal9374 6 лет назад +1

    Baraka za Bwana ziwe juu yenu
    Vijana - Kimanga. Niliipata Audio Tape 2005 na pia 2007 .

  • @levinathomas6526
    @levinathomas6526 2 года назад

    Nimejikuta nakumbuka huu asubuhi. Hakika Hakuna Aliye Mkuu zaidi ya Mungu . 🙏🙏🙏

  • @maryfelix267
    @maryfelix267 5 лет назад +1

    Naupenda sana huu wimbo mno

  • @emilianamassawe8583
    @emilianamassawe8583 6 лет назад

    Nampenda huyu yesu sana mana amenishindia na mengi mungu awabarik waimbaji hakika yesu ni jibu

    • @robertsmajiga1122
      @robertsmajiga1122 6 лет назад

      Mungu anapoandikwa "mungu" maana inabadilika kuonyesha mmoja wa miungu.

  • @pudensiamhina6478
    @pudensiamhina6478 3 года назад

    Mungu awabariki sana na kuwainua, huu ujumbe ni zaidi ya mahubiri

  • @margarethshauri4951
    @margarethshauri4951 Год назад

    Hey 2022...
    Tujuane hapa

  • @rhinakiza
    @rhinakiza 5 лет назад +1

    Amen amenivusha na megi sana Yesu awainuwe zaidi

  • @joycenuhu1566
    @joycenuhu1566 3 года назад

    Naupenda sana huu wimbo mpaka nachanganyikiwa jamani

  • @DrGeorginaMtika
    @DrGeorginaMtika 5 лет назад +1

    Nakumbuka mbal kwel, stil hittng 2019✌🏽

    • @barnabapeter5601
      @barnabapeter5601 5 лет назад

      Georgina Mtika Karibu sana kimanga

    • @mgosimuya
      @mgosimuya 5 лет назад

      Real Sitamuacha Bwana.Hii ni ahadi yangu kwa Mungu wangu.

    • @eliapendamollel4456
      @eliapendamollel4456 5 лет назад

      Wimbo ulinibariki na hata sasa unanibariki

  • @devothamasaki5513
    @devothamasaki5513 6 лет назад +1

    Napenda ujumbehuu mungu yupo

  • @evalinegideon3982
    @evalinegideon3982 2 года назад +1

    2022 tujuane kwa likes

  • @deomallya3616
    @deomallya3616 6 лет назад +3

    Hakika huu wimbo unanikumbusha mbali sana, nimetafuta albamu ya hii kwaya haipatikani! Mwenye kujua naipataje kwa garama yoyote plz

    • @lwidikoedward8115
      @lwidikoedward8115 6 лет назад

      Ukiipata naomba uniambie na mimi asee

    • @kisaipopo1176
      @kisaipopo1176 5 лет назад

      Hawa jamaa walikorofishaga kipindi cha huu wimbo. Wakazuiwa kuzindua hii album kama kumbukumbu zangu ziko sawa. Kwahiyo sidhani kama hii kanda/dvd iliingizwa sokoni.
      Ni mda sana hata hivyo. Baadhi ya waimbaji walihama, n.k.

    • @claraphilip3455
      @claraphilip3455 4 года назад

      @@kisaipopo1176 hapana hatukukorofishana mpendwa hii ni kwaya ya vijana tulizindua huu wimbo na tuliuza sana tu tu hii albam, kama unafuatilia kwaya za vijana kuna kipindi kinafika kutokana na majukumu wengine wanahama wngine wanaolewa kwa hiyo wengine wanatoka wengine wanaingia. mimi ni mmoja wa waimbaji wa hii albam bado kundi lipo sema wote tuliomba huu wimbo kwa sasa tupo kwenye kwa ya zingine umri wa ujana ulishatutupa mkono tumeachia wadogo zetu bado wanaipeperusha albam huduma inaendelea.

    • @kisaipopo1176
      @kisaipopo1176 4 года назад

      @@claraphilip3455 ohooo...ila kumbukumbu zangu zinanikumbusha hivo, afu pia nimesema "mlikorofisha" sijasema mlikorofishana. Enewei Ila nnachokumbuka ni mchungaji na Baraza la wazee lilizuia kitu. Kama sio uzinduzi basi kingine. Ila nihivyo. Na Kama ulikuepo enzi zile huu wimbo unaimbwa alie imba solo ni Agnes si ndivyo?! Yote ni mema Kwa utukufu wa MUNGU mpendwa.
      Barikiwa.

    • @claraphilip3455
      @claraphilip3455 4 года назад

      @@kisaipopo1176 ameen mpendwa, ishu haikuhusiana na albam ya ninamjua tulitoa albam nyingne kukawa na mkanganyiko kwenye issue ya wimbo wa kubeba albam, ila hii ya ninamjua tulikuwa poa mwanzo mwisho, aliyueimba solo kwenye wimbo huu ni salome inunu.

  • @lilianprotas970
    @lilianprotas970 2 года назад

    MUNGU Yuko hakika

  • @maarifatime5391
    @maarifatime5391 Год назад

    Namtafuta aliyeimba huu wimbi jamani

  • @furahanguma6729
    @furahanguma6729 4 месяца назад

    Nimeutafuta mda sana inanimate nimeshinda kukumbuka wenye waliimba na siwezi download maana hata haupo Mahali pengine zaidi ya hapa

  • @jescaaloyce9414
    @jescaaloyce9414 3 года назад

    2021 still listening🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @consolaterlema1742
    @consolaterlema1742 6 лет назад +2

    Nilishautafuta huu wimbo mpk asante leo nimeupata

    • @babamkwe929
      @babamkwe929 6 лет назад

      consolater Lema Mimi je ni zaidi yako shukrani kwa aliyeuweka

    • @williamphilipo8851
      @williamphilipo8851 6 лет назад

      kweli ushindi nimeupata waimbaji mbarikiwe sana

    • @floranavike1798
      @floranavike1798 6 лет назад

      Daaaa kama kuna wimbo huwa nautafuta basi huu Leo nilikuwa najaribu tu nikaupata hakika huwa unanibariki sana

  • @johnfrancis7930
    @johnfrancis7930 6 лет назад +3

    asante sana kwa wimbo huu

  • @anesiChiyungu-bj5sj
    @anesiChiyungu-bj5sj Год назад

    Huwa sichoki kuusikiliza.

  • @empowerbconsult45
    @empowerbconsult45 4 года назад

    Mungu yupo yote haya yanawezekana kwa sababu Mungu yupo 🙏🙏🙏

  • @janethjosephe8911
    @janethjosephe8911 3 года назад

    Mungu wa mbinguni awabariki watu wa Mungu!!!

  • @prengemoshi5604
    @prengemoshi5604 6 лет назад +1

    Dah ctaki kuamin kama nimeupata huu wimbo miaka zaid ya 10 nautafuta hatimaye meupata

    • @godkaaya8868
      @godkaaya8868 5 лет назад

      This song is the best

    • @barnabapeter5601
      @barnabapeter5601 5 лет назад

      prenge moshi Ipo albam mpya inaenda kwa jina la Nmpenda Bwana tutakuja moshi

  • @princekashindye1832
    @princekashindye1832 4 года назад

    Tabata kimanga asanteni kwa ujumbe mzuri.

  • @abermustafa9164
    @abermustafa9164 6 лет назад +1

    Wimbo mzuri sana

  • @barikimbacho6731
    @barikimbacho6731 5 месяцев назад

    Naomba kujua huu wimbo uliimbwa na kwaya gani?

  • @mordekaiswai3044
    @mordekaiswai3044 5 лет назад +1

    Form 1

  • @frankdanford8245
    @frankdanford8245 4 года назад

    Nyimbo inankumbusha mbali sana hii

  • @kalepiminja3423
    @kalepiminja3423 4 года назад

    Very nice app for community

  • @mtalooscar6983
    @mtalooscar6983 8 месяцев назад

    Shangilia

  • @agnesselifatha3106
    @agnesselifatha3106 6 лет назад +1

    safi sana

  • @nickdallasdallas5675
    @nickdallasdallas5675 2 года назад

    Blessed forever

  • @mr.sangaellies5110
    @mr.sangaellies5110 2 года назад

    Niliutafuta wimbo huu toka 2011 nikaupata 2018 kwa mleli family

  • @jescaaloyce545
    @jescaaloyce545 2 года назад

    🙏

  • @tinersingu1788
    @tinersingu1788 4 года назад

    Haleluyaaaaah.....

  • @anselmlyimo1748
    @anselmlyimo1748 6 лет назад +1

    Wimbo ulio bora kabisa

  • @adventurekokusima2921
    @adventurekokusima2921 6 лет назад +1

    I like most this song ninamjua aliyeniweka duniani everyone to think more about that

  • @devothakapera1629
    @devothakapera1629 4 года назад +2

    Huu wimbo unanikumbusha mbali Sana 😭