Mpendwa ubarikiwe saaana sana sana... huu wimbo haujawahi chuja ni mzuri ajabu. Tunashukuru kutuletea huu wimbo tusaidie basi na nyingine kama HERI UJE BWANA YESU TWAKULILIA.... @Mleli Sbl
Nimeujua huu wimbo mwaka 2011, nikiwa form 1, wadada wa UKWATA walikuwa wakiimba kwaya form 4. Na nimeupata leo 18/04/2024, tangu 2011. Wimbo una upako, ndio maana bado unaendelea kuishi mioyoni mwa watu. Miaka yote io tangu nimeusikia mpaka leo bado unaimba. Mungu atusaidie tuwe na mwisho mwema. AMEN
Tunaomba tuwekewe nyimbo nyingine za Albam hii tunawaombea tafadhali tafadhali wahusika huu ndio uimbaji uluotumuka tafadhali Sana wekeni RUclips nyimbo zote
Nimeusikiliza huu wimba ambo tune take niliisikia kitambo sana mpk sasa bado inanibariki nimetoa machoz kweli nyakat ngumu zipo Leo 2023 nausiliza bado asante yesu kwa kunipa nafas ya kuishi
Watunzi wa nyimbo Kama hizi ni tunu na Sasa hawapatikani kwa sababu walitunga nyimbo hizi wakiambatana na wito kutoka mioyoni mwao na sikama wafanyabiashara walio wengi ndani na ya hekalu la Mungu waleeeee ambao YESU aliwachapa vipoko
CHORUS I know the Lord who kept me on Earth, For sure I was kept by God. No matter what I will never leave him He has saved me in all hard times and trials. Last verse God is there, God is there, all these are possible because God is there.
MUNGU UNIKUMBUKE KATKA UJANA WANGU NILIKUIMBIA SAUTI YA NNE NDANI YA WIMBO HUU NAHATA SASA NIKO KWAYA KUU KKKT USHARIKA WA KIMANGA DSM TZ MUNGU UWAPE NJIA WAKUOMBAO UWAPONYE WAGONJWA WAFARIJI YATIMA NA WAJANE ,UTUKUMBUKE SOTE TULIOKUTUMIKIA KATKA WIMBO HUU ,SALOME INUNU sololiist , MWALIMU EMANUEL, DANIEL NGALAWA Yusuphmkapa AMOS MNDEME, YOHANA ,EMUNGU UTUKUMBUKE KATKA UFALME WAKO SISI WATUMISHI WAKO
Kwa kweli nimekuwa nikiutafuta sana huu wimbo. Nimefurahi sana kuupata na kwa kweli siachi kuusikiliza mara mbili au zaidi kwa siku. Unanibariki sana hasa nikiangalia safari yangu ya maisha, maana bila yeye Mungu nisingekuwa hivi nilivyo. Ubarikiwe sana uliyetuwekea mtandaoni.
Mwalimu wangu ombeni da alipiga kinanda kwA ustadi mkubwa barikiwa kk
nabalikiwa Sana na huu wmbo....... kwa hakika nmeweka na mungu apa dunian😢
Amen
Dah wimbo huu haujawahi kunikinai,, utukufu kwa BWANA
2024....Ninanmjua alieniweka duniani
Mpendwa ubarikiwe saaana sana sana... huu wimbo haujawahi chuja ni mzuri ajabu. Tunashukuru kutuletea huu wimbo tusaidie basi na nyingine kama HERI UJE BWANA YESU TWAKULILIA.... @Mleli Sbl
Nabalikiwa sana nahuu wimbo
Uwiiiii jamani huuu wimbo naupenda sana mungu aibariki hii kwaya
Sintamuacha bwana wangu ninashangilia ushindi Asante mungu wangu
Jamani naomba kujua albam yake inaitwaje
Nimeujua huu wimbo mwaka 2011, nikiwa form 1, wadada wa UKWATA walikuwa wakiimba kwaya form 4. Na nimeupata leo 18/04/2024, tangu 2011. Wimbo una upako, ndio maana bado unaendelea kuishi mioyoni mwa watu. Miaka yote io tangu nimeusikia mpaka leo bado unaimba. Mungu atusaidie tuwe na mwisho mwema. AMEN
Amen
Nimeutafuta mda sana inanimate nimeshinda kukumbuka wenye waliimba na siwezi download maana hata haupo Mahali pengine zaidi ya hapa
Naomba kujua huu wimbo uliimbwa na kwaya gani?
Umenikumbusha zamani mno. Dah!! UBARIKIWE SANA. 🙏
Blessing to all who listenining a such kind beautifully gospel song like this🙏🙏🙏
Tunaomba tuwekewe nyimbo nyingine za Albam hii tunawaombea tafadhali tafadhali wahusika huu ndio uimbaji uluotumuka tafadhali Sana wekeni RUclips nyimbo zote
Shangilia
Mbarikiwe sana huu wimbo ni mzuri unanikumbusha 2007 nikiwa morogoro ndio huwa nausikiliza
Huwa sichoki kuusikiliza.
Vema mmenigusa barikiwa
My song 2023 🥰🥰
Nimeusikiliza huu wimba ambo tune take niliisikia kitambo sana mpk sasa bado inanibariki nimetoa machoz kweli nyakat ngumu zipo Leo 2023 nausiliza bado asante yesu kwa kunipa nafas ya kuishi
Watunzi wa nyimbo Kama hizi ni tunu na Sasa hawapatikani kwa sababu walitunga nyimbo hizi wakiambatana na wito kutoka mioyoni mwao na sikama wafanyabiashara walio wengi ndani na ya hekalu la Mungu waleeeee ambao YESU aliwachapa vipoko
♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️ ruclips.net/video/d-3kQOSW-NIh/видео.htmlttps://ruclips.net/video/d-3kQOSW-NIh/видео.htmlttps://ruclips.net/video/d-3kQOSW-NIh/видео.htmlttps://ruclips.net/video/d-3kQOSW-NI/видео.html
Still enjoying Oct 2022
Namtafuta aliyeimba huu wimbi jamani
Hey 2022... Tujuane hapa
Wimbo wa zamanii lkn ni mpya kwng kila siku, naukumbuka Sana miaka ya 2004 nasubiri kwnza advance
May i know the lyrics and English translation of this song ?
CHORUS I know the Lord who kept me on Earth, For sure I was kept by God. No matter what I will never leave him He has saved me in all hard times and trials. Last verse God is there, God is there, all these are possible because God is there.
Verse 1 My enemies came to take a look at me, just to find me engulfed in temptations. They were happy and some laughed at me
Verse 2 There is a friend who has love and Mercy. He came to me and calmed my heart, don't be afraid for am with you. Calm calm
Depleted
Nimejikuta nakumbuka huu asubuhi. Hakika Hakuna Aliye Mkuu zaidi ya Mungu . 🙏🙏🙏
Ninamjua ✍️💞
Nice song
2022 BADO NIKO HAPA NA NINAMJUA ALIYENIWEKA DUNIANI...HATA IWEJE SITAMUACHA BWANA WANGU!
2022 tujuane kwa likes
MUNGU Yuko hakika
Still blessed by the Song Dec 2021
🙏
Good song
Good song Glory to God
Blessed forever
Niliutafuta wimbo huu toka 2011 nikaupata 2018 kwa mleli family
Like the song
Mungu awabariki sana na kuwainua, huu ujumbe ni zaidi ya mahubiri
2021 still listening🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Naupenda sana huu wimbo mpaka nachanganyikiwa jamani
MUNGU UNIKUMBUKE KATKA UJANA WANGU NILIKUIMBIA SAUTI YA NNE NDANI YA WIMBO HUU NAHATA SASA NIKO KWAYA KUU KKKT USHARIKA WA KIMANGA DSM TZ MUNGU UWAPE NJIA WAKUOMBAO UWAPONYE WAGONJWA WAFARIJI YATIMA NA WAJANE ,UTUKUMBUKE SOTE TULIOKUTUMIKIA KATKA WIMBO HUU ,SALOME INUNU sololiist , MWALIMU EMANUEL, DANIEL NGALAWA Yusuphmkapa AMOS MNDEME, YOHANA ,EMUNGU UTUKUMBUKE KATKA UFALME WAKO SISI WATUMISHI WAKO
Nambuka enzi nasoma Nyakato secondary-Bukoba 2006-2009,wimbo huu walikuwa wanauimba sana Bukoba Lutheran secondary school!!!tukiwa tuko joint mass Ihungo, Kahororo, Rugambwa, Kagemu, omumwani, da!!.Nmemisss ukwata
😂😂😂,
Kwa kweli nimekuwa nikiutafuta sana huu wimbo. Nimefurahi sana kuupata na kwa kweli siachi kuusikiliza mara mbili au zaidi kwa siku. Unanibariki sana hasa nikiangalia safari yangu ya maisha, maana bila yeye Mungu nisingekuwa hivi nilivyo. Ubarikiwe sana uliyetuwekea mtandaoni.
Amen
Hata iweje sitamuacha MUNGU wangu ,,,,, ooh thanks JESUS.
Wiki mzuri mno!! Wimbo una ujumbe mzito, wimbo unaburudisha kwa kiwango, waimbaji wake Mungu wa mbinguni awape miaka mingi nyie na uzao wenu.
Du wimbo huu bila ya RUclips zingepotea kabisa