UREMBO WA MDOGO WAKE BASHE WAMKOSHA SPIKA NDUGAI ASHINDWA JIZUIA "YUKO VIZURI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 ноя 2020

Комментарии • 119

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 3 года назад +24

    Dada ake bashe yuko vizuri kweli tuache wivu🤗

  • @binsultan6981
    @binsultan6981 3 года назад +14

    Mzur ila hajamfikia mke wangu

  • @sadahgullam8228
    @sadahgullam8228 3 года назад +1

    Chezea classmate ww piga kelele kwa Kauthar wake weweeee uyo ata brain yake iko vizuri ma sha Allah

  • @adbashtv6701
    @adbashtv6701 3 года назад +5

    Huyu dem kweli ni 🔥🔥🔥

  • @emperorx2412
    @emperorx2412 3 года назад +6

    Angusha like kama Hilo bunge limekua sawa sawa na comedy shows

  • @aquarianknight
    @aquarianknight 3 года назад +8

    Mzuri kweli daah, nitatuma mshenga😂😂

  • @necbottz
    @necbottz 3 года назад +5

    eeeeeeeeeeh..🤣🤣🤣🤣🤣 wageni wa mheshimiwa mwita Kijiji. Inaonesha upendwa sana. 2:54

  • @Taindy
    @Taindy 3 года назад +11

    Kitu kama ni Kizuri ni kizuri... Marshala.

    • @shazyahya4121
      @shazyahya4121 3 года назад

      Duuuh bro hii marshala cjakusoma ni nn au ni kispanyolaaaa😀

    • @Taindy
      @Taindy 3 года назад

      @@shazyahya4121 Ni kiarabu kuepresi appreciation ya shukran ama asanti tu.

    • @joycemaige6838
      @joycemaige6838 2 года назад

      @@Taindy 😂😂😂😂

  • @mtaalumaelias8619
    @mtaalumaelias8619 3 года назад +8

    Spika mbavuzangu 😂 niko marekani nami nimemuona yuko vizuri ikiwa na moyowake ukopoa🇺🇸

    • @goodlucktemu3149
      @goodlucktemu3149 3 года назад +1

      Manzese sikuizi ni marekani.

    • @mtaalumaelias8619
      @mtaalumaelias8619 3 года назад

      Baba wama inci mze

    • @rewaatesh4877
      @rewaatesh4877 3 года назад

      @@goodlucktemu3149 Kama kuna mitaa ya Argentina, Morocco, Libya, Congo, kwa nini asijivunie mtaa wa Marekani pale mbagala ?

  • @mapandabagiligwa6426
    @mapandabagiligwa6426 3 года назад +4

    Bunge ramwaka huu mtaona mengi nabado

  • @allyndambwe4354
    @allyndambwe4354 3 года назад

    Sijui ntaingia lini humor
    Du

  • @rajabungole521
    @rajabungole521 3 года назад

    Ndugai uko vizuri

  • @jenifamligo5199
    @jenifamligo5199 3 года назад

    Hatariii

  • @kamanda007
    @kamanda007 3 года назад +1

    Uwepo uwepo viwanja vya bunge karibu sana 🤣

  • @musarichard2934
    @musarichard2934 3 года назад +12

    Acha tu ninyamaze,,,maana nikitaka kuandika najikuta nafuta!..nisije kupotezwa na wasiojulikana mie😂😂

  • @tanjaniyoman3160
    @tanjaniyoman3160 3 года назад +2

    Ndugay unamkuwadia tn hio c heshima

  • @aquarianknight
    @aquarianknight 3 года назад

    Ni mzuri jamani

  • @alhamdharuna5277
    @alhamdharuna5277 3 года назад +1

    duh tuacheni tamaa

  • @fransiscashirima6068
    @fransiscashirima6068 3 года назад

    Hata Mimi ni mzuri

  • @nasiwasumari3830
    @nasiwasumari3830 3 года назад

    Duh!

  • @kasimujumannekipemba3732
    @kasimujumannekipemba3732 3 года назад

    Noma

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye5972 3 года назад +4

    Cheko ya kebehi ha ha ha ha!

  • @shaqirhassan2352
    @shaqirhassan2352 3 года назад +6

    😂😂😂uwepo wepo maeneo ya viwanja

  • @cassyhenry3384
    @cassyhenry3384 3 года назад +1

    2:00

  • @zwatts38
    @zwatts38 3 года назад +2

    Hiyo ni harassment...only in Africa utasema hivyo

    • @jayjay8845
      @jayjay8845 3 года назад

      You taking shit too serious..chill out dude

    • @luulurashid990
      @luulurashid990 3 года назад

      Of course that's why it's allowed. Different cultures. Same some of the things in Westeros world can't be used in any manner in Africa. So...

  • @aibanijr65
    @aibanijr65 3 года назад +1

    Dada kasifiwa hadi kakosa poz

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 3 года назад +2

    Karembo kwa kweli!
    Mwitta umetisha! Kijiji hakikubaki nyuma! ! lol!

  • @tztanzania2262
    @tztanzania2262 3 года назад

    Kazur kananifaa maana mi nlivyomweus natakiwa nikaneutralize kwa mdogo wa bashe

  • @alesnema9596
    @alesnema9596 3 года назад

    Ni muzuki kwa kweli uyo demu

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 3 года назад +1

    Bashe waziri wetu kipenzi hongera sana

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 3 года назад

    Hussein Bashe siku muona kwenye campaign

  • @gitu4me
    @gitu4me 3 года назад +3

    IPO siku na sisi tutaalikwa na Bunge la Mbinguni

  • @alimussa2655
    @alimussa2655 3 года назад +1

    Mungu wetu halali wala haendi likizo 😭 hatuchoki kumuomba 🤲🏾

  • @Bzmmellody
    @Bzmmellody 3 года назад

    Post vitu vya maaana

  • @josephsererya9218
    @josephsererya9218 3 года назад

    Ndugai nae kumbe yumo

  • @younggoodmanbrown6873
    @younggoodmanbrown6873 3 года назад

    Duh CCM wamelewa madaraka wana ropoka kama uchi wa shortime- niliwahi ota ndoto hii awamu hii ya 5 ndio ya mwisho ccm kuongoza serikali ya jamhuri ya TZ

  • @dullahbronze6661
    @dullahbronze6661 3 года назад

    Mke wamtu huyo bhana

  • @wozanawewoz979
    @wozanawewoz979 3 года назад +3

    Yaani Tanzania usipokuwa mweupe sio Mzuri

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 3 года назад +2

    Demu pini sana

  • @mrfix6596
    @mrfix6596 3 года назад

    Hivi ule uchaguzi umeisha kweli au macho yangu tu😵😵😵

  • @rajaburajabu1040
    @rajaburajabu1040 3 года назад

    Bunge limejaa Waasherati watupu hili dah😂😂😂

    • @pierinamduda3552
      @pierinamduda3552 3 года назад

      hata wewe ungepata fursa hiyo tungekuona Muasherati so tafuta point so kila kitu chakuandika

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye5972 3 года назад

    Kama anatania hivi

  • @dominikishilali194
    @dominikishilali194 3 года назад

    Ndio uyue kuwa ccm ni ndugu

  • @reaganlyimo6259
    @reaganlyimo6259 3 года назад

    Duh

  • @issakawaya8315
    @issakawaya8315 3 года назад

    Mzee acha kukodolea macho wake watu

  • @davidmziray2048
    @davidmziray2048 3 года назад

    Kweli in comedy

  • @ibrahimgabriel4828
    @ibrahimgabriel4828 3 года назад +1

    Linacheka kinafiki ipo siku mungu atayajibu

    • @janekikoti2179
      @janekikoti2179 3 года назад

      😅😅utasubiri sana labda Mungu anaweza kukupiga mwenyewe unaye hukum wenzio

    • @bataboydavemage2851
      @bataboydavemage2851 3 года назад

      Anamfanya Aida kama kituko hapo bungeni daa hatari sana

    • @stn4873
      @stn4873 2 года назад

      KUMEKUCHA...

  • @salimliemba3458
    @salimliemba3458 3 года назад +1

    Unaistahiki kuwa spika 100%

    • @janestanslaus2517
      @janestanslaus2517 3 года назад

      Inasikitisha lakini ni kweli na ukizingatia hii ni nchi ambayo watu walio wengi ni weusi basi.

  • @ashuuuaisha9122
    @ashuuuaisha9122 3 года назад +2

    Bashe asili yk kama msomali

  • @deogratiasmassawe4543
    @deogratiasmassawe4543 3 года назад

    Lzm apt nae

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 3 года назад

    Bi *Dalasho* mrembo kweli 😘😍😂😂

  • @amanidikson3575
    @amanidikson3575 3 года назад

    Mmemweka tyu wenyew huyo kwa maslah yake

  • @boniphaceyohana7289
    @boniphaceyohana7289 3 года назад +1

    Bashe kesho nitakuja kwako ...ninamaongezi na dada ako

  • @nazmaabdullkarim8022
    @nazmaabdullkarim8022 3 года назад

    Dah mbunge wetu katuacha wageni wake bila sababu zamsingi😪

    • @nawihadj6674
      @nawihadj6674 3 года назад +1

      Nitkuja kuwachukua

    • @hemedrashid6525
      @hemedrashid6525 3 года назад

      @@nawihadj6674 na nyie mlimsumbua Sana kuwaomba kura

  • @issahajiday4398
    @issahajiday4398 3 года назад

    Mfiraji mkubwa weeee

  • @hamadsempombe2533
    @hamadsempombe2533 3 года назад

    Utambulisho umefana

  • @movicksungu7210
    @movicksungu7210 3 года назад

    Wewe unacheka Cheka tu vip

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 3 года назад +1

    Do!!! We mzee acha bac

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 3 года назад

    Yani wapiga kura wali alikwa

    • @pierinamduda3552
      @pierinamduda3552 3 года назад

      hata wewe ulitakiwa kuwepo ushuhudie kuapishwa kwa mbunge wako

  • @vero57
    @vero57 3 года назад +3

    Ni shombe wa kisomali, ataacha kua mzuri? 😃

  • @fabriceingabire8736
    @fabriceingabire8736 3 года назад

    Kama Vice President wa marekani kamala Harris wana fanana daaah

  • @aploscoder4358
    @aploscoder4358 3 года назад

    DADAKE bashe Pisi kali

  • @zuleajuma7297
    @zuleajuma7297 3 года назад

    aisee nina fulaha ilio kifani kuskia bashe kaludi unde japo sio mpiga kula wak

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 3 года назад

      Fulaha au furaha. Msije mkatukana jamani. Waheshimiwa hawa

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 3 года назад +3

    Spika hapo umemdhalilisha Dada wa bashe,,,,,!!!!

  • @suleimansuleiman2436
    @suleimansuleiman2436 3 года назад +1

    Hilo ndio bunge na Hao ndio waheshimiwa! 🤔🤔🤔

  • @sherin3171
    @sherin3171 3 года назад

    🤣🤣🤣🤣

  • @kikapuchetu3935
    @kikapuchetu3935 3 года назад

    Njia rahisi ya kupata ukaazi wa kudumu Canada bila ya job offer
    ruclips.net/video/EpfaRSIzyhQ/видео.html

  • @jumamnyambwa3490
    @jumamnyambwa3490 3 года назад

    H

  • @sadahgullam8228
    @sadahgullam8228 3 года назад +1

    Chezea classmate ww piga kelele kwa Kauthar wake weweeee uyo ata brain yake iko vizuri ma sha Allah

  • @bijampolamsemakweli9687
    @bijampolamsemakweli9687 3 года назад +4

    Spika msela sana

    • @evansm8802
      @evansm8802 3 года назад

      Nyoosha kiswahili,ni muhuni tuu

    • @happinesssimon4476
      @happinesssimon4476 3 года назад

      Mboni sioni mababu na mabibi kutoka butiama jaman

  • @jeremiahchappa9915
    @jeremiahchappa9915 3 года назад

    Wambea nyie kweli kwa hyo kama kasifiwa cye tufanyaje

  • @zkiduku4068
    @zkiduku4068 3 года назад +1

    🤣🤣🤣🤣