Hongera mwalimu ubarikiwe sana.Ila Wana wa Anaki bado wapo Gaza, Lebanoni , Ashdodi,na Ashkeloni walipokimbilia mabaki wakati wa Daudi. Waliendelea kuzaliana na wanadamu na wapo Duniani wameenea sasa hivi. HAMAS ni miongoni mwao
Fanya utafiti WA kina hiyo ni historian ya wazungu kudhoofisha waasfrika ili watutawale.Unaendeleza utumwa WA kifikra na utazidi kuwa mnyonge Kwa watu weupe maisha yako yote.
Ndugu soma maandiko kwa kina, wale watu majitu zaidi ya wanefili; walizaliwa na malaika walioacha enzi yao na kujitwalia mabinti wa wana wa adamu;- soma haya maandiko - 2Petro 2: 4.5/ Yuda 1:6/ mwanzo 6:1-7 / 1Petro3:18-20 🙏
Yesu aliyetoka mbinguni anasema: malaika Hawaoi wala kuolewa, maana yake sexless (Mathayo 22:30; Marko 12:25). Sasa hiyo hoja ya kusema ni malaika inatoka wapi? Ukisoma Mwanzo 6, haisemi malaika Bali wana wa Mungu. Lakini pia Waebrania sura y 1, Mungu anasema ni malaika yupi ambaye nimesema ni mwanangu? Hiyo, Petro na Yuda haisemi walipoacha enzi zao walienda wapi? Lakini pia unapaswa ujue kwamba mbinguni Kuna enzi nyingi....
Eti ukuta ulifika mawinguni 😂, hivi uko juu walikuwa wanasavaivu vipi maana hewa ya oxygen uko juu ni shida pia wali imiri vip gravitational force ya huko juu(fiction)🙌✈️
Ndugu yangu, soma maandiko vizuri uyaelewe; kabda ya gharika kulikuwepo watu majitu waliotokana uzao wa adamu ndio walioitwa wanefili; na baadae kundi kubwa la malaika lilishuka duniani na kijivika miili ya kibinadamu na kujitwalia wanawake waliowataka na ndio hapo sasa wakazaliwa watoto wakawa majitu yenye maumbile makubwa yenye kupendeza na kutisha, lakini waliangamizwa kwenye gharika pamoja na wale wa nefili, maana wanefili walizidiwa ukubwa wa maumbile (ujitu) na walewana waliozaliwa na malaika.
Hizo nihadithi si historia ktk hadithi. hata wanyama wakiwemo nahayawa wengine waliomgea kitu ambacho hakiwezekaniki hivyo hayo mafundisho ktk hadithi si uhallisia.
vizuri Kwa helimu ndani ya biblia
Ubarikiw mwarimu
Yeah walikuepo .musa alituma wajumbe kuiperereza nchi ya kanaani.wakakutana na wahiti ,na wanefili
Hongera mwalimu ubarikiwe sana.Ila Wana wa Anaki bado wapo Gaza, Lebanoni , Ashdodi,na Ashkeloni walipokimbilia mabaki wakati wa Daudi. Waliendelea kuzaliana na wanadamu na wapo Duniani wameenea sasa hivi. HAMAS ni miongoni mwao
Historia ya wazungu hiyo sio wa africa
Ubarikiwe sana,, ulichosema kina usahihi kwa kiwango kikubwa,,
Yaliyokupungukia BWANA ATAKUJAZI Ukiendelea kutafuta Uso wake,,
Acha kupotosha tumia biblia vizuri.
Acha kupotosha tumia biblia vizuri . Soma mwanzo.6.
Unatuganya hapa
Fanya utafiti WA kina hiyo ni historian ya wazungu kudhoofisha waasfrika ili watutawale.Unaendeleza utumwa WA kifikra na utazidi kuwa mnyonge Kwa watu weupe maisha yako yote.
Hiyo ni Kwa mjibu wa biblia na Wala sio wazungu .
Una AKILI kubwa sana hii sikutegemea aise Big up sana kaka wengine hawaezi elewa utapeli huu 💯👊🙏
@@GabrielShoki😂😂😂 Bado Uko kwenye utumwa wa FIKRA za Wazungu sishangai
ACHA UONGO WEWE. HUJUI LOLOTE JUU YA WANEFILI.
Tangulini bibiliya ina maneno mengine yatolewa kuwanaukweli lazima wayachanganye
wamama wamajitu walikuwa wakibinadamu mababazawo ni wale malaika walotumwa kuja duniyani kuwasaidiya wanadamu wawo malaika waliwatamani wanawake wakibinadamu ndiyo wakazaliwa kizazi yamajitu nakuendeleya mengineni kweli lakini mengine yamezunguswa kushoto nayakushoto yamepelekwa kuliya
Ndugu soma maandiko kwa kina, wale watu majitu zaidi ya wanefili; walizaliwa na malaika walioacha enzi yao na kujitwalia mabinti wa wana wa adamu;- soma haya maandiko - 2Petro 2: 4.5/ Yuda 1:6/ mwanzo 6:1-7 / 1Petro3:18-20 🙏
Yesu aliyetoka mbinguni anasema: malaika Hawaoi wala kuolewa, maana yake sexless (Mathayo 22:30; Marko 12:25). Sasa hiyo hoja ya kusema ni malaika inatoka wapi? Ukisoma Mwanzo 6, haisemi malaika Bali wana wa Mungu. Lakini pia Waebrania sura y 1, Mungu anasema ni malaika yupi ambaye nimesema ni mwanangu? Hiyo, Petro na Yuda haisemi walipoacha enzi zao walienda wapi? Lakini pia unapaswa ujue kwamba mbinguni Kuna enzi nyingi....
Hiv kalebu nae alikua muizieli?
Eti ukuta ulifika mawinguni 😂, hivi uko juu walikuwa wanasavaivu vipi maana hewa ya oxygen uko juu ni shida pia wali imiri vip gravitational force ya huko juu(fiction)🙌✈️
Kwenye maghorofa mnatoa wapi oxygen? Acha ujinga jfunze
Ndugu yangu, soma maandiko vizuri uyaelewe; kabda ya gharika kulikuwepo watu majitu waliotokana uzao wa adamu ndio walioitwa wanefili; na baadae kundi kubwa la malaika lilishuka duniani na kijivika miili ya kibinadamu na kujitwalia wanawake waliowataka na ndio hapo sasa wakazaliwa watoto wakawa majitu yenye maumbile makubwa yenye kupendeza na kutisha, lakini waliangamizwa kwenye gharika pamoja na wale wa nefili, maana wanefili walizidiwa ukubwa wa maumbile (ujitu) na walewana waliozaliwa na malaika.
Wewe ndio muongo ssa
USIINGIZE BIBILIA HAPO ILI KUWAAMINISHA BIBILIA NI KITABU KIZURI SASA A WAKATI KINA MAPNGUFU MENGI NA KIMEBADILISHWA VITU VINGI
Tulia jifunze, Biblia ndio chanzo pekee Cha taarifa zote kamilifu
Mbona ki biblical hamna habari hii?
wali undergo mutation
Hivi unamjua unju bin unuk?
Hizo nihadithi si historia ktk hadithi. hata wanyama wakiwemo nahayawa wengine waliomgea kitu ambacho hakiwezekaniki hivyo hayo mafundisho ktk hadithi si uhallisia.
Vip kizazi cha nuhu watokee majitu, maka nuhu nae hakuwa jitu!?