Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Madaraka ni nguo ya kuazima haisitiri ...... Asema Rais Samia
Mungu halali acha tuone hatima ya juhudi za Mheshimiwa Dkt, Rais wetu na wasaidizi wake zinatupeleka kwenye neema kiasi gani sisi tuliowapa dhamana. MUNGU libariki Taifa la Tanzania na watu wake.
Mama unaanza kueleweka, piga kazi tulichelewa
Uongozi wa mama upo ok Sana
MAMA SAMIAH KWELI YESU KRISTO AMEKUCHAGUA
haswaa, aliandaliwa kwa hii kazi..Mungu alimuandaa na ndomana Magufuli alimchagua. Tunamshukuru Mungu kwa wema wake kwa kweli
Endelea kuchapa kazi mama, usikatishwe tamaa na hao vikaragosi wa mafisadi.
Habari njema.Rais Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan Mkutano Mkuu wa Akiwaapisha Viongozi Wateule Ikulu Dar es salaam..
Wizara zote kwetu Tanzania wanze kuchukua vijana kufanya internship..budget wanazo
Merry hongera sana dada
Kazi,iendelee wafanye kama walivyo agizwa.
Mama umetuondolea jemba wizara ya ardhi,,,, duh!!! Cjui huu uliemueka km atakua km SILAH
Hapo Sasa kazi tu
Hongereni saanaa
Hivi mnavyoapa mnashirikisha MUNGU nikweli miyoyo yenu inanena kweli? MUNGU awalinde na nguvu ya shetani 🙏
Harmonaze
Udum mama
Madaraka ni nguo ya kuazima haisitiri ...... Asema Rais Samia
Mungu halali acha tuone hatima ya juhudi za Mheshimiwa Dkt, Rais wetu na wasaidizi wake zinatupeleka kwenye neema kiasi gani sisi tuliowapa dhamana. MUNGU libariki Taifa la Tanzania na watu wake.
Mama unaanza kueleweka, piga kazi tulichelewa
Uongozi wa mama upo ok Sana
MAMA SAMIAH KWELI YESU KRISTO AMEKUCHAGUA
haswaa, aliandaliwa kwa hii kazi..Mungu alimuandaa na ndomana Magufuli alimchagua. Tunamshukuru Mungu kwa wema wake kwa kweli
Endelea kuchapa kazi mama, usikatishwe tamaa na hao vikaragosi wa mafisadi.
Habari njema.Rais Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan Mkutano Mkuu wa Akiwaapisha Viongozi Wateule Ikulu Dar es salaam..
Wizara zote kwetu Tanzania wanze kuchukua vijana kufanya internship..budget wanazo
Merry hongera sana dada
Kazi,iendelee wafanye kama walivyo agizwa.
Mama umetuondolea jemba wizara ya ardhi,,,, duh!!! Cjui huu uliemueka km atakua km SILAH
Hapo Sasa kazi tu
Hongereni saanaa
Hivi mnavyoapa mnashirikisha MUNGU nikweli miyoyo yenu inanena kweli? MUNGU awalinde na nguvu ya shetani 🙏
Harmonaze
Udum mama