Mt. Kizito Makuburi - Mungu Ni Upendo (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 15 окт 2024
- All our voices to our Lord God the creator of the universe.We will not stop,THE GLORY AND GREATNESS IS WITH HIM forever and ever,Amen
Welcome to KMKMAKUBURI,
You can support evangelism through
⭐MPESA TILL NUMBER🇰🇪: 9948385
NAME: EVELYN JEPKEMEI
⭐MPESA LIPA NAMBA 🇹🇿: 5425652
Name: KWAYA YA MTAKATIFU KIZITO
⭐MPESA 🇹🇿: +255742000089
Name: KWAYA YA MTAKATIFU KIZITO
⭐Bank Name: Kenya Commercial Bank (KCB)
A/C No: 3390899162
Name: KWAYA MT. KIZITO - MAKUBURI
Branch: OYSTERBAY -Dar es Salaam, Tanzania
Swift code: KCBLTZTZ
You're warmly welcome
Bravo mcheza kinanda, vimbao hivyo vinavyogongwagongwa na virungu, mpiga tarumbeta na wacheza ala zote katika wimbo huu zimeenda sambamba na wimbo wenyewe. Acha kabisaaaa
Kam umeipenda stepu ya mguu moja cha like yako . makubuli katika ubora wake
Wako fiti sana
😂😂😂😂😂😂
Hakika YESU akirudi atalikuta Kanisa Katoliki bado lipo 😍😍😍
hamkoseangi nyinyi kabisa,nawaombea Mungu awajalie nguvu ya kumtumikia Mungu kwa njia ya kuimba,Mimi hapa kutoka Kenya
Mimi sio mkatoriki lakini nabarikiwa sana na nyimbo zenu Mungu awabariki awainue viwango na viwango❤❤❤❤
Wee hawa watu hatari kwa kuimba Mungu awape umri mrefu
Amina
Mungu awabariki sana muzidi kumtukuza kwa nyimbo nzuri kila kukicha.
Hasant
❤❤❤❤❤
Ngoma nasisitiza Ngoma jmn jmn vaeni earphones musikie jinsi mziki wa YESU ulivo mtam❤
Pongezi sana kwa nyimbo tamu tamu tunajivunia kuwa wa katoliki
Asanti sana kwa mwimbo mwenye atufundiswa,na sauti nyororo hi,nasikia hapa Uganda
Mimi nawangojea tu Hapa kwetu Kenya niwaone LIVE. God you all
Karibu sana Tz
Talanta mnazo aisee💓,Ni mkatoliki mwenzenu kutoka Kenya,,,love you guys
Mnaimba kwakweli mzidi kutubariki kwa nyimbo nzuri zilizojawa ujumbe wa Mungu
Amina sana.....napenda sana kuimba nyimbo nikiwa nyumbani na nikiwa kanisani napenda kwa kweli kuimba" nimebarikiwa na wimbo huu
Ak hii choir mungu awainue sana huwa mwaniimbia poa na kucheza mko uniform kwa kudance
My favourite choir. Haki na barikiwa tu sana nikiwa hapa Seychelles,, I feel at home,,I really miss such singing., barikiweni I sana
From Kenya mko....muuuaaaaah tanzanians. Mko tu mbele
❤ Mwenyezi MUNGU aendelee kuwatunza 😍 ktk uimbaji wenu mnajua kwakweli
Asanteni kwa uinjilishaji ..huwa na barikiwa sana nisikiapo wimbo huu
Napenda sana kumwimbia Bwana
Hakika RC ndio mtakaoimba siku ya mwisho mbinguni🔥💯
Just love all Catholic songs from Tanzania
Catholic all the way
Wapi mnapatikan nije nisali na nyie walau siku moja
What a rendition of 1st Corinthians 13... nijaposema kwa lugha za wanadamu na malaika. Kama sina upendo si kitu mimi...The beauty of this choir is they sing directly from scripture. Keep it up St. Kizito Makuburi . I am not catholic but I I loooove your music and your service. Uinjilishaji wenu ubarikiwe tena sana. Tunawapenda sana kutoka Kenya 🇰🇪
Ok
Good
Welcome
Proud to be a Catholic. Najifunia kuwa mkatoliki. Mungu azidi kuzibaliki kwanya zetu.
Amen bro najivunia pia
Mungu awazidishie na Baraka zake zote ziwashukie. Mukasa twakupenda Kenya Natumia mtakuja Kenya siku moja
Hongereni sana kwa mwimbo mzuri
🎼🎹🎸🎷🎺🎵🎶 E.F.Jissu Hongera sana ,KMK NAWAPENDA SANA One Love
Na wapenda Sana mimi ni Mcongomane
Mm ni mkatoliki nalipenda Sana zeebu langu katika Iman ninaposikiliza nyimbo za injili kiukweli nabaliwa mno nais Kama nipo mbingu mbalikiwe Sana asante
Mungu niupendo tupendane,niwimbo mzuri sana naupenda sana huu wimbo,Mungu awabariki sana kwa uimbaji wenu mzuri.....na kupitia uimbaji wenu Mungu akawape hitaji la mioyo yenu Amen
Haswa naupenda sana huu wimbo
Sauti nzuri I like the way men start with that voice
Mungu ni upendo tupendane
Nyimbo mzuri sana mbarikiwe
I bet Tanzania leads in Gospel music; the coherence, finesse, harmony....super🥰
Be blessed with the lord
Hongeren Sana mnatsha kwa wimbo huu MUNGU NI UPENDO
Mungu ni upendo tupendane asante makuburi
Asee mko vizuri sana mungu azid kuwatia nguvu
Mungu awaongoze mnaimba vizuri xana
Vocés estáo de parabenens estáo dando un verdadeiro de beleza na organizáçao na elegancia e ná unçao de Deus segue en frente
I love you guys you have the best voices mnafanya twajivunia Kuwa wacatholici
Umeonaeee
Mungu azidi kuwabariki sana naomba mniombee mkatoliki mwenzenu nipate mume bora na mkatoliki kama mimi amin sana
Hii kwaya ni moto mkali ü. Mie ni mpentekoste ila hapa hapa ni mibaraka yeke.
Mungu awabariki kwaya ya Mt. Kizito Makuburi. Mungu ni upendo awalinde. Nawatakia mwaka 2024 wenye afya njema na mafanikio
1corithias 13...ijapo sema kwa lugha za wanadamu na malaika,kama sina upendo ,si kitu mimi❤
Asanteni sana wanakwaya kwa wimbo huu mtamu Mungu awabariki saana
Makuburi katika ubora wao
The greatest commandment that Jesus gave to us is Love this song tells all that Love does thanks St Kizito choir you are making us catholics proud
Good music
Sending hugs from Kenya 🇰🇪 jamani tupendaneni!!
The greatest commandment with authority from Jesus Christ.
Tamu sana kwa kweli ,hii nyimbo na nyingi zenu mwasitunga na kuiimba kwa uongozi wa roho mtakatifu,kongore! from Kenya with love.
Nyimbo tamu sana
Nawapenda ndugu zangu
Nyimbo zenyu ni za baraka kuu. Mungu mwenyezi aendelee kuwashikilia pamoja na kuwainua daima.
Upendo utawale mungu abariki amina
Catholic forever ❤❤
Nawependa Sana mnanibariki mungu awabariki pia
Mungu awabaliki Sana na awape maisha marefu mzidi kumsifu yesu kilsto
Great job indeed
Asanteni kwa wimbo huu mtamu na wenye maana. Kweli, inatupasa kutangaza zaidi na zaidi kwamba Mungu ni Upendo, kwa njia ya nyimbo.
Huwa mnanibariki sana aise! Hongereni sana
Nice song mbarikiwe 🙏🙏🙏
Nyimbo tamu sanaa naipenda nyimbo za kizito sanaa
Huwa ninafarijika sana kusikia nyimmbo hizi zilizojaa mafundishho mubarikiwe sana
MUNGU awe pamoja nanyi katka kutangaza neno kwa njia ya uimbaji.
Amina amina
Sijui kwa nn kmk ndiyo kwaya kubwa nayoipenda Dunia
Sasa hivi zipo nyingi kwaya ndugu wanaimba acha kabisa
Kudos keep on with the same spirit
Mola akubariki ninyi saana kwa nyimbo nzuli za kumsifu bwana
Nice...song good job mungu. awabrk mnoooo
Thank U for you best best presentation
Thank U for your best presentation.
Good and touching
Mungu n mwema 🙏
lord make me an instrument of ur peace
Yaani mnaimba hadi mnagusa moyo....Mungu ni upendo tupendane
Asante mungu kwa pumzi
Waoh nice and sweeet
najivunia kuwa mkatoliki pia nawapenda sana kwaya ya makubuli nizisikia nyembo zenu najihisi kuniliwa zaidi kiloho ❤❤❤❤
🙏 ashukuriwe mungu
♥ 🇹🇿From 🇿🇼
Catholic all the way
Thank very a good song.🎉🎉🎉🎉❤❤
All time happy and proud of being a catholic.
Sauti safi Mungu awabariki
Nice song
❤❤❤❤
Kweli upendo humaliza mabaya asanteni sana nimeburudisha 💓
Wimbo huu unikumbusha siku ndoa 1996 november 9 ktk kanisa la watakatifu wote mtwara
Endeleeni kumwimbia mungu.
Kazi njema Sana kumsifu na kumtukuza kristo yesu
Najifunia kua mkatoliki mungu tupendane jamani
Hongereni sana mungu Awabariki sana kwenye kila njia mnazopita
Nawapenda sana Makuburi munaimba vizuri sana, mnatuinjilisha Mungu awabariki,
A powerful message, be blessed as you bless others too, Kennedy Ogembo also a gospel artist on RUclips.
The greatest commandment is to Love our Lord with our soul, mind, heart and body. And love our neighbors as we love ourselves.
Amina kubwa nawakubali sana.
Mmependeza halaf nyimbo zenu zinatubarik na kutufundisha
Nimebarikiwa kwa wimbo wenu, may God bless u all
For sure am proud to be a member of Catholic and so I really appreciate the work of our fellows by the way they are doing well
Mungu azidi kuwabariki kwa kumwimbia vizuri.
Very nice choir
Am listening several songs kila siku
Bonjour je vous suis très bien de pu Abidjan Côte d'Ivoire merci
Mbarikiwe Sana
Tupendane jamani bila upendo ni bure
Mbarikiwe na saana 😊👏👏👏
U always makes people crazy, vr great
Hongereni sana..Mnafariji sana