Hili kundi Lina platform kwa Sasa kushinda msani yeyote hapo Tz ndunia nzima ishawatambua kwa style hio. Na wasihusiki kwa nyimbo yeyote bila kulipwa pesa zaidi ya million kumi, ama zaidi. Kwa Sasa hao ndio platform ya Tz nilishangaa kuona video zao los Angeles kwenye maonyesho kua ni upcoming best entertainers mjikaze mtaskia wameshinda tuzo kubwa duniani hivi karibuni. Na msani yeyote wa Tz. Anataka kutoboa international ajitahidi kushirikisha hao majamaa kwa wimbo wake aone vile atamaliza Kila kitu
Huyo ndo mtu na nusu maana wengine waliwaona kama vichaa ila Kwa Sasa mpaka cris brown kawapost wanajambo watafika mbali Mungu akikupa akuandikii barua ni wakati wao Sasa wapige pesa
Misso missondo wamejitoa wenyewe bwana hawa washikaj kuanzia mwezi wa tisa mpaka wa 11 walikuwa hot bila majizo sema alichokifanya ni kuwaleta dar tu lakini dunia ilikuwa imeshawajua
Misso missondo wamejitoa wenyewe bwana hawa washikaj kuanzia mwezi wa tisa mpaka wa 11 walikuwa hot bila majizo sema alichokifanya ni kuwaleta dar tu lakini dunia ilikuwa imeshawajua
Aliemleta mjini ni mc majizo sasa huyo mudi ally alifanya nn,watu wamemfata kutoka kusini wakampeleka mjn kwa moyo wao na hela zao afu ww na shobo zako eti hemed ally mda mwngn heshimuni nguvu za watu
Hakuna ajuae kesho yake hakuna kukata tamaaa waone hawa tayal washatoboa ndio wakati wao sasa nyinyi wengine bado kuwasapoti na kuwaongezea ushauli zaid nini wafanye vitu vizur ktk stage mnawaponda Watanzania sio woote wanaroho mbaya nasukuzote mtu ataki mwizie afanikiwe atazid kuhumia roho na atakuwa nyuma mafanikio ya wezie atayasikio ktk bomba
Hili kundi Lina platform kwa Sasa kushinda msani yeyote hapo Tz ndunia nzima ishawatambua kwa style hio. Na wasihusiki kwa nyimbo yeyote bila kulipwa pesa zaidi ya million kumi, ama zaidi. Kwa Sasa hao ndio platform ya Tz nilishangaa kuona video zao los Angeles kwenye maonyesho kua ni upcoming best entertainers mjikaze mtaskia wameshinda tuzo kubwa duniani hivi karibuni. Na msani yeyote wa Tz. Anataka kutoboa international ajitahidi kushirikisha hao majamaa kwa wimbo wake aone vile atamaliza Kila kitu
Crisbrown wa kwanza kuwa post uko 😂😂
The best performance i have seen in 2024 so far.
Ni kaperformance fulaniii hivi simple but classic na katamu.😘🔥2024
Hakika wako vzr.
Ni wakati wao Mungu kawainua.🙏🙏
Your time my young brother.......usifanye makosa ukapishana na wakati fanya maisha kesho huwa haiepukiki broo.
God's time is always the perfect time
Jamaa wakipata connection ya AMERICAN GOT TALENT" Wanaenda kuuwa kinyama
His creativity is special yupo unsystematic lakini hapo ndio anakosha zaidi..#mixedemotions
Respect to them 🙌
Kama mpaka legend mwana fa anakua clueless hivyo..... aiseee talent wins again
Creativity 🎉🎉🎉🎉
Majizzo Mungu akulinde na akujalie afya njema. Kwa kweli
Huyo ndo mtu na nusu maana wengine waliwaona kama vichaa ila Kwa Sasa mpaka cris brown kawapost wanajambo watafika mbali Mungu akikupa akuandikii barua ni wakati wao Sasa wapige pesa
Misso missondo wamejitoa wenyewe bwana hawa washikaj kuanzia mwezi wa tisa mpaka wa 11 walikuwa hot bila majizo sema alichokifanya ni kuwaleta dar tu lakini dunia ilikuwa imeshawajua
Misso missondo wamejitoa wenyewe bwana hawa washikaj kuanzia mwezi wa tisa mpaka wa 11 walikuwa hot bila majizo sema alichokifanya ni kuwaleta dar tu lakini dunia ilikuwa imeshawajua
Majizo hongera sana kumuibua miso tunaenjoy👏
Miso misondo ni vibe la kidigitali aisee ni 🔥🔥🔥 💯
God bless you misso unajua kiukwel
Misomisondo the best
Mungu azidi kuwa bless
Weeee misimisindooooo❤❤❤😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
noma sana aisey 🙌🙌🔥🔥
Big up saana wanetu.
Ni hatariii sana dadeki
Always talent wins
Ninacho kipenda hawa jamaa awachezi kwa kujua ila mwenzie akianzisha hii wanaunga nayo
Southern at Top @misso misondo
Wakati wa mungu ukifika hakuna anayeweza kuubadilisha
Wanajua snaa..hawa jamaaa... congratulations to them
Mpo vizuri sana❤
😂😂😂❤❤❤😂noma sana miso wewe
Umepigaje hapo mwishoo we misooo
Kaka mungu Kwa Sasa yupo kwako fanya kitu kiwe stor🙏
🎉🎉🎉🎉 vibe kama lote
Jamaa anajua
We miso misondo umepigajee hapooo una hatareee
Dj ni misoi misondo tuu tz nzima
Wanakonde wanafujo sana
Shoo bila miso hatuji
Nice group
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
It good and that appreciate to them
Hongereni sana
I'm Mozambicano, I like❤❤❤
Daah kivumbiiii
🔥🔥🔥🔥🔥
Mapana ana vibe sana yaani 😂😂😂
Misomisondo national tz
ONE LOVE......😂😂😂😂
Ila jaman tz raha sana
Saiv bongo hakun msanii anawakamat misomisond kwa show😂😂😂😂😂😂😂😂
safi sana wapo unique sanaaaaaa
Duuuuuuuuu😂hawa jamaa wana balaaaaaaa hatari
❤❤❤❤❤
Kweli nimependa shwooooooooo 😂❤
Enzi za wanaume Tmk
Wapewe tuzo za TMA wanastahili
Kubali kata hawa vijana wanyumban ni moto ni miyooto ya kuotea mbali 🤣🤣🔥🔥👍
Majizo majizo ipo siku Tanzania itasema jina lako 🙌🙌
Hawa jamaaa wapo sawa
Nice
Ntakupa dada 😂
❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Dj namba moja Tanzania kwa sasa
Atakae kupingwa akachanganye utopolo na sumu anywe.
Hiyo imeeeendaaaa😂😂😂❤
Hatusikii Kitu Aise
Siwez kuamin mana sijui uliko tokea huuu utamu wa dimbe swaga😂😂😂
awa jamaa duh wanajuwa pk wanakera yan
I appreciate you all🫡🫡🫡
❤❤❤❤❤❤❤🎉
😂😂😂 kweli unahatar.
Harmonize kuingiza uchawi kwenye Bongo Fleva anataka kuua mziki wetu 🙏⚠️⚠️⚠️⚠️
🎉🎉🎉🎉🎉
❤🎉
WAKATI WA MUNGU UKIFIKA WALA HAKUNA KIKWAZO
Sisi tupinge kma kinanani😅
Sasa ndo Nini hivyo! Huwa sielewi.ila haya Mambo hapa Tz yanategemea makabila ya watu.mimi SIONI kitu hapo
Misso hatar
Mimi huwa najiuliza tu hizo style huwa mnajifunza saa ngapi
Akuna cha diamond Ali kiba harmonize kwisha habari yao
Honey Honey
Wamshukuru AMED ALLY
Kwakipi
Aliemleta mjini ni mc majizo sasa huyo mudi ally alifanya nn,watu wamemfata kutoka kusini wakampeleka mjn kwa moyo wao na hela zao afu ww na shobo zako eti hemed ally mda mwngn heshimuni nguvu za watu
Hakuna ajuae kesho yake hakuna kukata tamaaa waone hawa tayal washatoboa ndio wakati wao sasa nyinyi wengine bado kuwasapoti na kuwaongezea ushauli zaid nini wafanye vitu vizur ktk stage mnawaponda Watanzania sio woote wanaroho mbaya nasukuzote mtu ataki mwizie afanikiwe atazid kuhumia roho na atakuwa nyuma mafanikio ya wezie atayasikio ktk bomba
Nyie mnaoga lakini
FA ameduwaaa
🎉😂😂
Naona sifa kwa majizo wakati hawa jamaa wamejipambania wenyewe mpaka jamii imewajua
Una hatari nitakupa dada
Tutaonana tenaaa😂😂
Hakika kutafuta ni kutokukata tamaa tu
Dah hawa wanakosha kabisa
Misso misondo unahatariiiiii😂
Wajiandae kupiga mamilion Uchaguzi ujao kikubwa wakumbuke kuwekeza mjini apo kina paula hawajawah kuisha
daaa hawa jamaa hatari hakuna nyimbo wanakosa style yakucheza hata iwe ya maombolezo wanarukanayo na inakuwa moto dadeki !!😂😂
Hawa viumbe wanaitaji nafasi tu 😂 kila kitu wanafanya wao
Miso muuaji Duu😮😮😮😂
Alafu mbuzi eti ajiita kiboko ya miso 😂😂😂 miso piga gaz
Chamhim shoneni makoti ya kijani 2025 mna hela ya kutosha
Mwaka ukiwa wako hata ukipanda mkaa unaota
Mbna kila siku wanazidi kuongezeka 😂😂😂
LETA MADANCER WAKO UNAO WAJUA APA WANAKALKSHWA ATARIII AWAJAMAAA😀😀😀
Hawa wasenge ni nyoooooo😅
Hawa dansa wanamsapot sana
😂😂😂jamani aya Makoti yanapata mda wakufuliwa kwa maana mda wote wakobusy atali😅
Wakifua tu wanarudi kijijini😂😂😂
PhD dj