UMEPIGAJE HAPO?? MISSO MISONDO USIKU WA BSS, AWAIMBISHA MWANA FA NA MSIGWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024

Комментарии • 268

  • @Kaida_Cut254
    @Kaida_Cut254 8 месяцев назад +62

    Hili kundi Lina platform kwa Sasa kushinda msani yeyote hapo Tz ndunia nzima ishawatambua kwa style hio. Na wasihusiki kwa nyimbo yeyote bila kulipwa pesa zaidi ya million kumi, ama zaidi. Kwa Sasa hao ndio platform ya Tz nilishangaa kuona video zao los Angeles kwenye maonyesho kua ni upcoming best entertainers mjikaze mtaskia wameshinda tuzo kubwa duniani hivi karibuni. Na msani yeyote wa Tz. Anataka kutoboa international ajitahidi kushirikisha hao majamaa kwa wimbo wake aone vile atamaliza Kila kitu

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 8 месяцев назад +2

      Crisbrown wa kwanza kuwa post uko 😂😂

  • @somo_originally
    @somo_originally 8 месяцев назад +31

    The best performance i have seen in 2024 so far.

    • @edinawaziri3396
      @edinawaziri3396 8 месяцев назад +1

      Ni kaperformance fulaniii hivi simple but classic na katamu.😘🔥2024
      Hakika wako vzr.
      Ni wakati wao Mungu kawainua.🙏🙏

  • @ommykobba7606
    @ommykobba7606 8 месяцев назад +17

    Your time my young brother.......usifanye makosa ukapishana na wakati fanya maisha kesho huwa haiepukiki broo.

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga9489 8 месяцев назад +27

    God's time is always the perfect time

  • @soloartist_ivanvespalusind1609
    @soloartist_ivanvespalusind1609 8 месяцев назад +13

    Jamaa wakipata connection ya AMERICAN GOT TALENT" Wanaenda kuuwa kinyama

  • @moseskapama2805
    @moseskapama2805 8 месяцев назад +7

    His creativity is special yupo unsystematic lakini hapo ndio anakosha zaidi..#mixedemotions

  • @reganallen9943
    @reganallen9943 8 месяцев назад +9

    Respect to them 🙌

  • @gidemeritus9644
    @gidemeritus9644 7 месяцев назад +4

    Kama mpaka legend mwana fa anakua clueless hivyo..... aiseee talent wins again

  • @FridausAmara
    @FridausAmara 8 месяцев назад +9

    Creativity 🎉🎉🎉🎉

  • @faizaahamd2052
    @faizaahamd2052 8 месяцев назад +33

    Majizzo Mungu akulinde na akujalie afya njema. Kwa kweli

    • @dianarosederick7154
      @dianarosederick7154 8 месяцев назад +2

      Huyo ndo mtu na nusu maana wengine waliwaona kama vichaa ila Kwa Sasa mpaka cris brown kawapost wanajambo watafika mbali Mungu akikupa akuandikii barua ni wakati wao Sasa wapige pesa

    • @donaldmartin-ps2ig
      @donaldmartin-ps2ig 7 месяцев назад

      Misso missondo wamejitoa wenyewe bwana hawa washikaj kuanzia mwezi wa tisa mpaka wa 11 walikuwa hot bila majizo sema alichokifanya ni kuwaleta dar tu lakini dunia ilikuwa imeshawajua

    • @donaldmartin-ps2ig
      @donaldmartin-ps2ig 7 месяцев назад

      Misso missondo wamejitoa wenyewe bwana hawa washikaj kuanzia mwezi wa tisa mpaka wa 11 walikuwa hot bila majizo sema alichokifanya ni kuwaleta dar tu lakini dunia ilikuwa imeshawajua

  • @rukiamadati336
    @rukiamadati336 8 месяцев назад +2

    Majizo hongera sana kumuibua miso tunaenjoy👏

  • @omarypetro3207
    @omarypetro3207 8 месяцев назад +1

    Miso misondo ni vibe la kidigitali aisee ni 🔥🔥🔥 💯

  • @enockmwilongo5771
    @enockmwilongo5771 8 месяцев назад +1

    God bless you misso unajua kiukwel

  • @SaumuMuya-o3j
    @SaumuMuya-o3j 8 месяцев назад +2

    Misomisondo the best

  • @vailethThabith-w1x
    @vailethThabith-w1x 8 месяцев назад +2

    Mungu azidi kuwa bless

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga9489 8 месяцев назад +7

    Weeee misimisindooooo❤❤❤😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @BHALEEALI
    @BHALEEALI 8 месяцев назад +3

    noma sana aisey 🙌🙌🔥🔥

  • @DullahMayaula.
    @DullahMayaula. 8 месяцев назад +2

    Big up saana wanetu.

  • @frankpablo8256
    @frankpablo8256 8 месяцев назад +4

    Ni hatariii sana dadeki

  • @herbethlukogela7657
    @herbethlukogela7657 7 месяцев назад +1

    Always talent wins

  • @bm4tv602
    @bm4tv602 8 месяцев назад +4

    Ninacho kipenda hawa jamaa awachezi kwa kujua ila mwenzie akianzisha hii wanaunga nayo

  • @gaddibullahtzg5635
    @gaddibullahtzg5635 8 месяцев назад +1

    Southern at Top @misso misondo

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 8 месяцев назад +2

    Wakati wa mungu ukifika hakuna anayeweza kuubadilisha

  • @issajafaritawakali437
    @issajafaritawakali437 7 месяцев назад +1

    Wanajua snaa..hawa jamaaa... congratulations to them

  • @NellyAbel-x6b
    @NellyAbel-x6b 8 месяцев назад +1

    Mpo vizuri sana❤

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 8 месяцев назад +7

    😂😂😂❤❤❤😂noma sana miso wewe

  • @emmanuelkivenule875
    @emmanuelkivenule875 8 месяцев назад +4

    Umepigaje hapo mwishoo we misooo

  • @kamdinindevu5185
    @kamdinindevu5185 8 месяцев назад +1

    Kaka mungu Kwa Sasa yupo kwako fanya kitu kiwe stor🙏

  • @jabirihanthu
    @jabirihanthu 8 месяцев назад +1

    🎉🎉🎉🎉 vibe kama lote

  • @lilybarongo8119
    @lilybarongo8119 8 месяцев назад +2

    Jamaa anajua

  • @momylaviel
    @momylaviel 6 месяцев назад

    We miso misondo umepigajee hapooo una hatareee

  • @timothrichard2059
    @timothrichard2059 7 месяцев назад +1

    Dj ni misoi misondo tuu tz nzima

  • @IsmailHassan-k1d
    @IsmailHassan-k1d 8 месяцев назад +4

    Wanakonde wanafujo sana

  • @AzathSimba
    @AzathSimba 8 месяцев назад +2

    Shoo bila miso hatuji

  • @shukranitv2971
    @shukranitv2971 8 месяцев назад +1

    Nice group

  • @ChrisMwambeje
    @ChrisMwambeje 8 месяцев назад +5

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @ThomsonMutabage
    @ThomsonMutabage 7 месяцев назад

    It good and that appreciate to them

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 8 месяцев назад +1

    Hongereni sana

  • @VÄTAWËLE
    @VÄTAWËLE 6 месяцев назад

    I'm Mozambicano, I like❤❤❤

  • @ShairaniAdam-s3o
    @ShairaniAdam-s3o 8 месяцев назад +2

    Daah kivumbiiii

  • @maryhaule5625
    @maryhaule5625 7 месяцев назад +1

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @martinmaseleka751
    @martinmaseleka751 8 месяцев назад +3

    Mapana ana vibe sana yaani 😂😂😂

  • @arafatkasu
    @arafatkasu 7 месяцев назад

    Misomisondo national tz

  • @abdallahmwanga5792
    @abdallahmwanga5792 8 месяцев назад +8

    ONE LOVE......😂😂😂😂

  • @ashrona9884
    @ashrona9884 8 месяцев назад +2

    Ila jaman tz raha sana

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 8 месяцев назад +3

    Saiv bongo hakun msanii anawakamat misomisond kwa show😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @DavidKyara-p3v
    @DavidKyara-p3v 8 месяцев назад

    safi sana wapo unique sanaaaaaa

  • @michaelelia7058
    @michaelelia7058 8 месяцев назад +2

    Duuuuuuuuu😂hawa jamaa wana balaaaaaaa hatari

  • @skilindaissa5441
    @skilindaissa5441 8 месяцев назад +2

    ❤❤❤❤❤

  • @ALOMBWAASUMANI
    @ALOMBWAASUMANI 8 месяцев назад +2

    Kweli nimependa shwooooooooo 😂❤

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 6 месяцев назад

    Enzi za wanaume Tmk

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618 8 месяцев назад +4

    Wapewe tuzo za TMA wanastahili

  • @muddysharo1803
    @muddysharo1803 8 месяцев назад +1

    Kubali kata hawa vijana wanyumban ni moto ni miyooto ya kuotea mbali 🤣🤣🔥🔥👍

  • @mugabemedia
    @mugabemedia 7 месяцев назад

    Majizo majizo ipo siku Tanzania itasema jina lako 🙌🙌

  • @ShabaniRajabu-v9v
    @ShabaniRajabu-v9v 8 месяцев назад +1

    Hawa jamaaa wapo sawa

  • @dashuushu6883
    @dashuushu6883 8 месяцев назад +1

    Nice

  • @kishatotolbert1270
    @kishatotolbert1270 8 месяцев назад +3

    Ntakupa dada 😂

  • @dashuushu6883
    @dashuushu6883 8 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 8 месяцев назад

    Dj namba moja Tanzania kwa sasa

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga9489 8 месяцев назад +1

    Hiyo imeeeendaaaa😂😂😂❤

  • @djfiremoto3429
    @djfiremoto3429 8 месяцев назад +1

    Hatusikii Kitu Aise

  • @MwanaMwana-t4e
    @MwanaMwana-t4e 7 месяцев назад

    Siwez kuamin mana sijui uliko tokea huuu utamu wa dimbe swaga😂😂😂

  • @barakaemma951
    @barakaemma951 7 месяцев назад +1

    awa jamaa duh wanajuwa pk wanakera yan

  • @SmilingCrow-ym4tz
    @SmilingCrow-ym4tz 7 месяцев назад

    I appreciate you all🫡🫡🫡

  • @mauaphilimon4628
    @mauaphilimon4628 8 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤🎉

  • @geofreymwachipa7340
    @geofreymwachipa7340 8 месяцев назад +1

    😂😂😂 kweli unahatar.

  • @PatrickMwamba-p7w
    @PatrickMwamba-p7w 7 месяцев назад

    Harmonize kuingiza uchawi kwenye Bongo Fleva anataka kuua mziki wetu 🙏⚠️⚠️⚠️⚠️

  • @AthumanMgoto
    @AthumanMgoto 8 месяцев назад

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ashakusaga3250
    @ashakusaga3250 8 месяцев назад

    ❤🎉

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu10 8 месяцев назад +1

    WAKATI WA MUNGU UKIFIKA WALA HAKUNA KIKWAZO

  • @juliusyohana3543
    @juliusyohana3543 7 месяцев назад +1

    Sisi tupinge kma kinanani😅

  • @evansmtalo9406
    @evansmtalo9406 7 месяцев назад

    Sasa ndo Nini hivyo! Huwa sielewi.ila haya Mambo hapa Tz yanategemea makabila ya watu.mimi SIONI kitu hapo

  • @saloumtz6596
    @saloumtz6596 7 месяцев назад

    Misso hatar

  • @RehemaMasunga-ml7kt
    @RehemaMasunga-ml7kt 8 месяцев назад

    Mimi huwa najiuliza tu hizo style huwa mnajifunza saa ngapi

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898 8 месяцев назад

    Akuna cha diamond Ali kiba harmonize kwisha habari yao

  • @JanethMathias
    @JanethMathias 8 месяцев назад

    Honey Honey

  • @florianhenry7198
    @florianhenry7198 8 месяцев назад +2

    Wamshukuru AMED ALLY

    • @greysonkisinda7390
      @greysonkisinda7390 8 месяцев назад

      Kwakipi

    • @greysonkisinda7390
      @greysonkisinda7390 8 месяцев назад

      Aliemleta mjini ni mc majizo sasa huyo mudi ally alifanya nn,watu wamemfata kutoka kusini wakampeleka mjn kwa moyo wao na hela zao afu ww na shobo zako eti hemed ally mda mwngn heshimuni nguvu za watu

  • @khamisinyandikila7199
    @khamisinyandikila7199 8 месяцев назад

    Hakuna ajuae kesho yake hakuna kukata tamaaa waone hawa tayal washatoboa ndio wakati wao sasa nyinyi wengine bado kuwasapoti na kuwaongezea ushauli zaid nini wafanye vitu vizur ktk stage mnawaponda Watanzania sio woote wanaroho mbaya nasukuzote mtu ataki mwizie afanikiwe atazid kuhumia roho na atakuwa nyuma mafanikio ya wezie atayasikio ktk bomba

  • @mliwakhatib9457
    @mliwakhatib9457 8 месяцев назад

    Nyie mnaoga lakini

  • @janethmnali7261
    @janethmnali7261 8 месяцев назад

    FA ameduwaaa

  • @sulegogo9790
    @sulegogo9790 7 месяцев назад

    🎉😂😂

  • @donaldmartin-ps2ig
    @donaldmartin-ps2ig 7 месяцев назад

    Naona sifa kwa majizo wakati hawa jamaa wamejipambania wenyewe mpaka jamii imewajua

  • @shuzashadyproduction8438
    @shuzashadyproduction8438 8 месяцев назад +1

    Una hatari nitakupa dada

  • @Jema2003
    @Jema2003 7 месяцев назад

    Tutaonana tenaaa😂😂

  • @stellahwilfred5762
    @stellahwilfred5762 8 месяцев назад

    Hakika kutafuta ni kutokukata tamaa tu

  • @SuleimanKhamis-u9h
    @SuleimanKhamis-u9h 8 месяцев назад

    Dah hawa wanakosha kabisa

  • @official_dicksonmunga
    @official_dicksonmunga 8 месяцев назад

    Misso misondo unahatariiiiii😂

  • @davidnyaonge2035
    @davidnyaonge2035 8 месяцев назад

    Wajiandae kupiga mamilion Uchaguzi ujao kikubwa wakumbuke kuwekeza mjini apo kina paula hawajawah kuisha

  • @mtanojuma3809
    @mtanojuma3809 7 месяцев назад

    daaa hawa jamaa hatari hakuna nyimbo wanakosa style yakucheza hata iwe ya maombolezo wanarukanayo na inakuwa moto dadeki !!😂😂

  • @annajulius9940
    @annajulius9940 8 месяцев назад

    Hawa viumbe wanaitaji nafasi tu 😂 kila kitu wanafanya wao

  • @Jurbeg
    @Jurbeg 8 месяцев назад

    Miso muuaji Duu😮😮😮😂

  • @BarakaJoseph-ij2hc
    @BarakaJoseph-ij2hc 8 месяцев назад

    Alafu mbuzi eti ajiita kiboko ya miso 😂😂😂 miso piga gaz

  • @MusaMkembela-ex6ev
    @MusaMkembela-ex6ev 8 месяцев назад

    Chamhim shoneni makoti ya kijani 2025 mna hela ya kutosha

  • @AHMADISEPHLUNDA-eu2kf
    @AHMADISEPHLUNDA-eu2kf 8 месяцев назад

    Mwaka ukiwa wako hata ukipanda mkaa unaota

  • @ramadhanitokwete8069
    @ramadhanitokwete8069 8 месяцев назад

    Mbna kila siku wanazidi kuongezeka 😂😂😂

  • @kimswartty1161
    @kimswartty1161 8 месяцев назад

    LETA MADANCER WAKO UNAO WAJUA APA WANAKALKSHWA ATARIII AWAJAMAAA😀😀😀

  • @charlesmagoti2306
    @charlesmagoti2306 8 месяцев назад

    Hawa wasenge ni nyoooooo😅

  • @AbrahamBlass
    @AbrahamBlass 8 месяцев назад

    Hawa dansa wanamsapot sana

  • @asmajuma4960
    @asmajuma4960 8 месяцев назад

    😂😂😂jamani aya Makoti yanapata mda wakufuliwa kwa maana mda wote wakobusy atali😅

  • @khamismtoma4902
    @khamismtoma4902 8 месяцев назад +1

    PhD dj