Madebe hongera kwa kazi kubwa mungu akupe maisha marefu maana tamthilia zako zafundisha zaelimisha za badilisha jamii wewe ni Bora katika walio Bora!! Nakutakia kaz njema!!
Sio kuziba pengo Bali madebe ni madebe tu na k ni kanumba tu yaani hayo ni majembe mawili yalio kua job but moja lilotutoka R I p knmb , penda sana L P kwa ujumla.
penda sana madebe yaan nilikuwa cpend move za kibongo lkn madebe amenifanya nivutiwe sana na move za kibongo kila la kher madebe nakukubal sana mwenyez mungu azid kukuongoza
Juhud n sehem ya maisha na maisha bila juhudi n km mpira bila refa itakua vurugu tupo bro mungu akupe umri mrefu na wenye mafanikio ili tuzid kupata furaha mashabiki wakooo
kweli lidai,hii nchi kuna watu wanatembea uchi,nchi improve kibiashara,tangaza ndoa,wenzio wanatangaza mtaji,ukipeleka barua sh.50000 mahali sh.2000000.
Mwenyezi Mungu azidi kuwa nawe katika kazi zako father madebe lidai
Madebe mmwamba wa kuigiza bongomovies TZ ✍️❤️. MADEBE DØN🦾🦾
Ongera sana kwa filamu zako yani umeniteka siwezi kulala bila kutizama kazi unazozifanya Allah akuzidishiye
Natokea Kenya 🇰🇪 lakini mimi kazi yako Madebe naaminia keep up good work 👍
Ur the best of the best real tlk kipaji unacho akuna mwingine tz take from me
Kama unamkubali madebe gonga like
Madebe hongera kwa kazi kubwa mungu akupe maisha marefu maana tamthilia zako zafundisha zaelimisha za badilisha jamii wewe ni Bora katika walio Bora!! Nakutakia kaz njema!!
Madebe twakupeda sana kama wakenya mungu akupe maisha marefu yamejaa furaha na amani🙏🙏😂
Uko vizri kaka ake nakukubali Sana'a umecover nafasi ya kanumba kwa upande wangu umeziba pengo kbsaaaa😍😍
Sio kuziba pengo Bali madebe ni madebe tu na k ni kanumba tu yaani hayo ni majembe mawili yalio kua job but moja lilotutoka R I p knmb , penda sana L P kwa ujumla.
msungo,hulka, joka la kijiji , mwali, big up to u bro made be,
Nice movie apa Kenya kila mtu Ana watch Madebe Lidai....big up broo
Eunice Mariga
Madebe noma anarudisha heshima ya bongo movie,,
penda sana madebe yaan nilikuwa cpend move za kibongo lkn madebe amenifanya nivutiwe sana na move za kibongo kila la kher madebe nakukubal sana mwenyez mungu azid kukuongoza
salmada njou
Ukwl sana nimekuja hapa sababu madebe
Gud san madebe unawez
Haha Hatamimi aiseee
@@manoahTv98 kuduki
maadili yanazingatiwa na huyu jamaa anauishi uafrika ndani ya utanzania wake
Anauishi uatrik
Madebe hii ngoma mwengo wako sijapendezwa kwakuwa umeact Kama unajifundisha kazi Kwan uoni Kama mwenyewe umeteseka kutengeneza hualisia
Namkubali made be kino a, nakupe tatu mwanangu.
Madebe umenifanya kuipenda san snema madebe mungu akupe maixha malef man,
Nakusalute madebe u a the best actor ever existed ❤❤❤
Madebe madebe madebe mwaka unao fata tusipo chukua zile tuzo za azam kila idala tumekamilika saaana mungu akutangulie madebe nmekuita Mara 4
Me nilikiwaga cpend kabisa bongo movie 🎦 #Madebe amenifanya naanza kuvutiwa nazo
Haaahaaa noma bongo movie madebe yuko vizur
Jasiri
Kwel ndugu
Mara waaaa kamroesha hhhhhhh
Komando
Nazielewa move zako nimetoka kuangalia msungo sasa niko na Mama mwali.. Big up xana kaka
dah af wewe
Noma xana m.lidai
Move yako ya kufulu ni balaa,inafundisha sana
Heeee kalata
Nasoma koment kwanza ndo niangalie
Juhud n sehem ya maisha na maisha bila juhudi n km mpira bila refa itakua vurugu tupo bro mungu akupe umri mrefu na wenye mafanikio ili tuzid kupata furaha mashabiki wakooo
Brother madebe weunajua atar Kaka jitaid uzid kutupa flaha
Wakwaza from Kenya wapi like plz
Madebe moto wa kuotea mbali kwa misemo yako hongeraa sanaa
Jacque
Samwel
Cxcvhijopnae
Madebe unanikosha sana na kazi zako
Kweli we mpumbavu sasa wajificha kwenye nyazi na baisikeli imebaki wapi aki mnanibamba sana napata safi nikiwa hapa Iraq
Kweli unapendeza sana made be lidai
Noma sana 2po pa1
🎉 ❤❤❤🎉🥀💅💅💅 madebe jinihaz dunia nzima
Hilo la mtoto kutegeshwa ndio litafika haraka kuliko yote mimi ndio ninaeongoza hapa kijijini kwa kupeleka habar za kusisimua madebe we kiboko😁😁😁🤣🤣
Nakupendaa madebe jaman simuon chanuooo
nice movies😘😘😘
Nitaendelea kukupa heshima zangu kwa kazi zako zote salti mzee baba kaka madebe
Masha Allah movei ninzuri sana
Madebe unanikamat kwa movies zako
kweli lidai,hii nchi kuna watu wanatembea uchi,nchi improve kibiashara,tangaza ndoa,wenzio wanatangaza mtaji,ukipeleka barua sh.50000 mahali sh.2000000.
Khalid Majoki nc
Nice madebe
Hakika unanifanya nielewe bongo move tena mungu azidi kukuinua
Hongera xana madebe
Madebe tunaomba mama mwali part 4
Mimi move za kibongo sizipendi ila napenda style ya madebe mi naona sio kama wale wengine namuona kanumba no.1
Kaziii nzuriii na haya ndo maisha halisi ya watanzania sio kila siku kwwnye ma office makubwa NA magari ya kifahariiii
Medi
Madebe amenyata watakuibia baiskeli mbavu zangu mieeeeeee. Sitaki mie umbea in action
lp media mpo kikazi,sio kuuza sura
Hizo nyuso za wa mama duuu
Hii ulikuwa move yakwanza kuangalia yamadebe duh ilikuwa powa Sana sichokagi kuangalia hii move
Asante naitaka movie ya kufuru ya madebe lidai
Furaha Khamiisi
Mamb
Asante naitaka movie ya kufuru ya madebe lidai
P
ndugu madebe kwa misemo yako unanifurahisha sana mungu akusaidie sana
Wacha weee mwanamke ubunifu kungwi ananifurahisha
Safi sana
Kaz nzuri sana
Safi. Madebe
Madebe wewe ndo Steven Kanumba wa sasa. Hongera kaka. 🥳🤗
Nice movie
Shukurani sana
Ayii madeb xio kwa tembea iyo jamn kwl jin umelipatia mpumbav
Upo gud sana Mzee baba
Nakubali sana kaka
Dj tumbo am here kuangalia nice film 📼
Noma sana madebe
🤣🤣🤣🤣Madebe utakuja niua na vituko😁leo kavaa suspender🤣🤣siku ya ngoma uling'ara kinoma.movie ni nzuri sana🙏🙏
Filamu kutoka inchini Burundi
ruclips.net/video/7dC5gvdVliU/видео.html
Napenda sana video zako najifunza mengi pongezi endelea ivo mungu akupariki sana
Amazing video
Nampenda madebe anaigiza yani yupo kiuwalisia
Tamu sana
nakupenda sana madebe
Nice one
Hongera
kaz njema kaka
Nakukubali madebe
😂😂😂😂😂alf Madebe bhana😂😂😂nimecheka sana yani ivyo vituko vyako😂😂😂😂
Fasihi ya kiswahili
Safi. Kaka. Madebe
Mwanangu soma babaako siunaona weee somaaa baba ako siunaona 😁😂😂😂😂 hakokawimbo kameniludisha hapa
the special one .....madebe lidai
Ni filam gn ya mabede yasema utuheshim ss wanaume wenye baskel zetu
Sana madebe,umetisha
Nakubali xana mr ster
Kama unapenda Madebe gonga lyks apa😂😂😂
Hujawahi kukosea ktk move zako zote
Sana bro umetisha kazana bro
Upo vema sana kwenye misemo skupngi ningekuwa mgawaj watuzo zote ningekupa
Nzuri sana
Changanya dini ukovizur sana made be
Lidai kama lidai umetisha
Nzuri tunapenda DRCongo 4/06/2019
Ni jiniyaz madebe atali
Safi sana anko madebe
Kaz nzr brother madebe
Nakubar madebe upo vzur
Heko kwako kk Madebe
Mungu awasimamie lp media
Dah kwa kweli bwan unanifurahisha sana misemo yako inanivutia San inshallah
Madebe unajua kuigiza ad lahaa lkn kukaa na wanawake shidaaa
Huyu ndo mwigizaji tulobakinaye hapa Tanzania walobaki wanacopy na kupaste
Hii movies nikiboko
hongera kazi nzuli
Kka unatisha good bless
Bona hii movi kufuri aipo utubu
Fasihi ya kiswahili 👏👏👏
Madebe Ni Moto wa kuotea mbali
Jinsi gni wanawake mulivo tuweza kidume unakiwagia maji hta hasira hana bali ni furaha 2 kwake duuuu hii moto
Namba1 wang ktk move nimadebe namb 2 Gabo.
Uko vizuri kwa misemo big up
Made be nifundi
#Fantastic✅✅✅
Very good madebe
Filamu zilizo sheheni utunzi wa Hali ya juu na mafunzo tele. Congratulation brother and all the best in your industry.
Mnaniua na ngoma jameni hadi natamani niwe karibu
ngomaaa zetuuu izoooo wazalamuuuu atuna mamb madogo
love you madebe