Ydon unabidi kupambana na mashetan watu wanaoshawishi na kufanya mambo yetu yaharibikiwe na wafurahie. Tunahitaji kumuomba Mungu atusaidie kupambana na mashetan watu hawa tunao ishi nao
😂 pole sana lkn ukiwa shabiki yetu ambae unacoment sana siku isiyo na jina tunarejesha fadhila ya bando la 10k Tunaangalia kiwango Cha yule anaecoment sana So jitahid😊👊
@@sharifamahamudu182 mala nyingi San Naona kuna ukalibu maana mie nimekaa Sana tanga asimia kubwa ni waislam na mazungumzo yao mala nyingi wanatamk majini utakuta Mimi na jini mzr mala shetan mzr ndo maana nikauliz
ydon punguza kumwapia sana mungu kwenye kuigiza maana walitaja bure jina lake unaapia xana,, jiepuxhe na kosa hilo be care"
Sawa 🙏
Hongera
Ok good night
Naomba Like zangu
❤❤
Ydon unabidi kupambana na mashetan watu wanaoshawishi na kufanya mambo yetu yaharibikiwe na wafurahie. Tunahitaji kumuomba Mungu atusaidie kupambana na mashetan watu hawa tunao ishi nao
Kaz nzr saan ydon mung atakupa unacho kitafuta kiwe cha kher
Nice movie ❤❤🎉😊😅
kweli usihape sanaaa mana ni sinii izoo ila uhalisia mpo vizuriii nawapenda l💕💕💕💕💕❤
Safi mfike mbali jaman❤❤❤
nimempenda sana rafik wa ydon yuko seriously na kaz yake
😂nimefurahi kweli courage kbs vijana
Kazi nzuri kaka
Mko vizuri sana hongereni wapedwa❤❤❤
Dj mack anawapenda jmn
#Mnajua nyie jamaa#
Kazi nzur mungu awabariki mfike mbali
Amin 🤲😊
nzuli kweli
Duh, kwakweli hiii move inafunza sana kwa kweli nimeipenda sana tena sana tu hongereni 🙏
Ahsanteh sana Keep Watching 😊🙏
Jmn naomb na mm unitumie et
Good kazi nzuri mungu aws bariki mtoe kazi nzuri
Nyingine nawapenda
Kazi nzuri kaka, pambana one day yes
Hongera
Nice nimeipenda
Asanteh sana 🙏👊
Kazi safi1
Uyu mshikaj wa ydon ni kichwa kawabeb kinoma nom
ilahapo kwenye kupgwa pesa nauyo mgaga wako polee😂😂😂😂😂😂😂 tuma hamsin ulipie mfupa wkesho anaenda kidubwiii😂😂😂😂😂😂😂😂
Kazi nzuri
Nimeipend
Subhuhanallah nimeipenda sana hiyo
Ualisia inabidi uwe kweli aitakiwe kupunguza kitu Wala kuongeza safi sana
Nizur san jmn
Good job blessed 🙏🙏🙏...
Thankfully 🙏
Kazi nsuri
Ydon tunabidi kuhishi kwakuambizana ukweli ilituweze kufanikiwa na kujikwamua tunapokwama. Asante kwakupenda comment zangu🖐✋
Namajini wazuri hauwashindi kumuabudumungu
good
Kazi nzr kjana
kaz nzuri ety unanipa hamasa ya kupenda sanaa
Huyu msichana anafanana na rafiki yangu yuko mombasa kenya anaitwa Rose je nihuyu
😂hapn ni win
😂😂😂😂
Ndazi baelewa mumbeze like zani
Nzuri sana hii🎉🎉
Asanteh sana ☺️👊 Keep Watching
Wapambanaji💪
Respect 🙏📌
Mganga wa mchongo kapiga pesa 😂😂
Nakubali kaka
Kuna mausiano Gani kati ya majini na WA Islam Sasa waislam Wana muomba Mungu Sana ndo ma jini Wana wafatilia
Hapo ndo unahalibu uislamu Na jini wapinawpi
Kwel au majin
apo jini umebug step jin gan anasema ana shida ya sim❤❤
😂@@faustinimathayo6566
Part 2 ❤
Ydon move nzur san pambana ndug yang
KAZI Nzuli❤❤❤
Kwa mungu akuna kinacho shindikana
Ama Hakika 📌
Exsi
Ekx
Sawaaaa mama ake
Big up ydon
sijaelewa apo alikutana na nn uyu jamaa kwenye zawad yake
Hongera❤❤
Umeupiga mwingi
Kqzi safi bro
Emependeza uyu jini hatari
Uyo ni tapeli mzuri bro weee
Mimi napenda kweli ila naombeni laki zangu
Dar kaka nina kipaji na mm naitaji kufanya hiyo kaz
Hii move hailewek ata
😅😅😅😂😂😂
Umesha sema move apunguze ili iweje
Unanimalizia bando ydon dah😢
😂 pole sana lkn ukiwa shabiki yetu ambae unacoment sana siku isiyo na jina tunarejesha fadhila ya bando la 10k
Tunaangalia kiwango Cha yule anaecoment sana So jitahid😊👊
Mgaga wa mchongo kapiga hela
Nzuri
❤ 0:00
Good job
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Tutaelewana tu
Amini Kwamba
familia ya mzee kiche
Nisaidie bas
Exsi
😂😂😂😂❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Lov from BURUNDI
Can you put English subtitles for your American viewers
Ninzuli sana ila usiape San kaka umezidi
❤️❤️🙏🙏🙏🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Movie hayeleweki ndo zawadi ya jini hii
❤
Acheni ujinga kutumia mavzi yetu matakatifu hijàab na niqaab kwenye ujinga mashetani hawavai niqaab
Kwani kuna jini mu kristu?
😂😅😢😮😊
Hiv kuna ushilikiano gani kati uwislam na majini
Hakuna ushilikiano wowote
Fala wew uhusiano wa bibi na kaka yako
Kwanza nikuulize kabla sijakujibu umeona nn mpaka ukauuliza hilo swali
@@user-gs6us9xn2q we kuma mako we endelea kumswalia mfu mwenzio
@@sharifamahamudu182 mala nyingi San Naona kuna ukalibu maana mie nimekaa Sana tanga asimia kubwa ni waislam na mazungumzo yao mala nyingi wanatamk majini utakuta Mimi na jini mzr mala shetan mzr ndo maana nikauliz
❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤
Full movie tunaondoka nayo🎉🎉🎉
Kama kawaida
😅😅 kijana naomba ukome ukomae 😅😅😅
❤❤❤😂😂😂
💜💜💜
1:08:33 1:08:36
😂😂😂😂
vp
N'a Kuna majini wabaya namazuri
Nawezaje kumpata uyu mgaga
Mganga gan
Mmmmmmmh
hakuna majin wazur yaan jini ni jin ty hata shetan hugeuka kuwa malaika wa nuru
good
❤
❤