C. DALILI ZA UWEPO WA VIZUIZI VINAVYO ZUIA USTAWI WA KICHUMI KATIKA MAISHA YA MWAMINI
HTML-код
- Опубликовано: 8 фев 2025
- Dalili za uwepo wa vizuizi vya ukuaji wa uchumi:-
A. Tabia ya Uvivu
Tabia ya uvivu ni ile hali ya mtu kutokupenda kujishughulisha au kufanya kazi.
B. Ongezeko la Matatizo katika Msimu wa Kupata Fedha
Kila msimu wa gawio, kupata mshahara, kupata faida kunatokea jambo ambalo litakulazimu utumie hiyo fedha au mali bila ridhaa na mipango yako.
C. Kukosa Kibali cha Kufanikiwa na kustawi.
Kukosa ni hali ya kukosa baraka ya kupata ustawi na mafanikio katika kazi za mikono yetu.
D. Matumizi Mabaya ya Muda
Matumizi mabaya ya muda ni hali ya kutokujali suala la muda kwa kiwango kidogo au kikubwa.
E. Hofu ya Kuthubutu
F. Migogoro Inayopelekea Uharibifu na Ufujaji wa Mali
G. Tabia ya Kuuza-Uza Vitu vya Ndani
H. Kushindwa kutulia katika Eneo Moja kwa lengo la kufanya kazi ili kuzalisha kipato
Amen baba...ubarikiwe sana mchg
Amen
Amen....
Ameni