Aina 7 Za Wanawake Wabaya Part 2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 176

  • @rahmaalbert888
    @rahmaalbert888 2 года назад +4

    Among of my favorites sheikh Allah mpe mwisho mwema sheikh juma amiir

  • @sabrinayounisaden6413
    @sabrinayounisaden6413 7 лет назад +29

    I never get tried of watching this video jazaakAllah sheikh.

    • @rahmaalbert888
      @rahmaalbert888 Год назад

      Yaan hachoshi kbxa kumsikiliza sheikh wetu

  • @kochantv8554
    @kochantv8554 5 лет назад +2

    Mungu akuzidishie sheikh mawaidha yako yamenigusa..

  • @salimeir8929
    @salimeir8929 11 лет назад +7

    SHEIKH JUMA AMIR....one of my favourite sheikhs

  • @thegirl1405
    @thegirl1405 6 лет назад +16

    Ni kweli jamani wanawake tuache uvivu inuka changamka umeolewa jamani inukaa jishughulishe Ahsante sheikh wetu🙏🙏🙏

    • @salmanjalale8591
      @salmanjalale8591 5 лет назад

      Swadakta Aaaaaaaaaaaaa my
      Mwanamke jiongezeee ndo maana kichwa kila cku

    • @aishamshana6333
      @aishamshana6333 5 лет назад

      Anaitwa sheikh nani

  • @mwanakombaabbas93
    @mwanakombaabbas93 5 лет назад +2

    Wallahi shekh umewasoma sana wanawake Allah akuzidishie kweli tupu tupe tujirekebishe

  • @mikidadmhando2504
    @mikidadmhando2504 2 года назад

    Mash Allah, tuna waidhika sheikh, Mungu akupe kheir nyngi sana na baraka tele

  • @fathiyaali6171
    @fathiyaali6171 5 лет назад +2

    MashaAllah sheikh Juma Amir mimi sichoki kuirudia hii video jamani, Allah akubarik tunajifunza huku tunacheka

  • @hadijah2896
    @hadijah2896 7 лет назад +1

    Shukran sheikh Allah akupe umri mrefu na afya azidi kutuelimisha umma.

  • @najmarajabu9421
    @najmarajabu9421 7 лет назад +12

    kweli kabisa sheikh wavivu sisi tupe maana tumejaa majumbani tupotupo Kama wafu 😍😍😍

  • @rajabujuma9030
    @rajabujuma9030 Год назад

    Asante shekhe, ubarikiwe na Baraka za Allahu ( SW).

  • @umarwa4833
    @umarwa4833 8 лет назад +15

    Allah atujaalie waume zetu ndo pepo yetu 💙💚💛💜
    Ameen

  • @sautimbaraka9553
    @sautimbaraka9553 8 месяцев назад

    Alhamdulillah asante sheikh

  • @mamustartanzanite9448
    @mamustartanzanite9448 5 лет назад +7

    Daah alie cheka kama mm leta cometi yako mashaalah mwanamke namba tano story yake mie hii sharaka nimecheka mpaka basi

  • @nassorohamadi3365
    @nassorohamadi3365 7 лет назад +20

    Allah awape imani wake zetu wawefaraja kwetu

  • @elcappuccinno444
    @elcappuccinno444 11 лет назад +3

    Oh its sheikh juma amir..nimeiona jina yake at beggining of part 1 video...he's very good mashallah. Thanks for posting..keep them coming...Jazzakka Allah kheiraan yakhi

  • @alidein18
    @alidein18 6 лет назад

    MA AHA ALLAH sheikh Juma JazakhaLLAHU kheyr nimeipenda sana na hii nimeisikiza ni Mara ya tatu sasa. natumai itanisaidia wakati huu wangu wa kusearch search.

  • @latifaali1951
    @latifaali1951 6 лет назад +7

    Dah kweli usemayo shekhe ,eeh mwenyezi mungu nijaalie nije kuwa mke mwema na mwenye utii kwa yule atakaekuja kuwa mume wangu

  • @mwambirekwamboka9525
    @mwambirekwamboka9525 5 лет назад +3

    In Sha Allah Mola Awaongoze wake zetu

  • @faridabakari8511
    @faridabakari8511 7 лет назад +7

    saah saaah kalam wallah laadhim.....nimefiwa gede na babu yangu ila nilipo ingia utube nmechekaa sanaa asante tutaji rekbsha inshallah naangalia nikiwa Dubai ..al ain

  • @zainabboo3205
    @zainabboo3205 6 лет назад +1

    Shekhe asante sana ujanjawooote wa wanawakeumeugundua niwajanja mno

  • @tamazikilyamhogo6978
    @tamazikilyamhogo6978 9 лет назад +2

    subhanallah.
    wanawake tujirejebishae jaman,tuwe na hofu ya allah

    • @bintsalimalbimany9373
      @bintsalimalbimany9373 7 лет назад

      Tamazi kilyamhogo kweli maneno yote ni sah kwel habibty tujirekebishen hakika pepo ipo chin ya waume zetu sasa ka mtu kashajipamba anampambia nani kama akiguswa hatak kuharib kucha na nywele zake sasa kwel mdoa zwtu zitadumu hapa???

    • @mussambwando9659
      @mussambwando9659 6 лет назад

      Tamazi kilyamhogo sheikh sasa wanawake wakadeke kwa nani na ivi kazi za ndani ni jukumu lao au wafanya kama msada na kuusu kupendeza nani amuambie kile anachokitaji

  • @mwajumawaziri9141
    @mwajumawaziri9141 3 года назад

    Darasa zuri sana Allah tujaalie tusiwe miongoni mwa hawa aminn

  • @ayshahamsi2297
    @ayshahamsi2297 7 лет назад +1

    kweli sheikh kabisa inshallah tutarekebsha mwenyezmung akupe umri mrefu

  • @hijarwambo404
    @hijarwambo404 7 лет назад +6

    Inshaallah mungu anipe mke mwema amin

  • @nooraallahuakibarumwenyeez3079
    @nooraallahuakibarumwenyeez3079 3 года назад

    Shekhe shukran nimekuelew

  • @bintsalimalbimany9373
    @bintsalimalbimany9373 7 лет назад +6

    Subhanallah jaman me naona nasisimka mwil tujitahidin wanawake wenzang

    • @UmJarra7
      @UmJarra7 4 года назад

      In shaa Allah

    • @UmJarra7
      @UmJarra7 4 года назад

      Kweli tupo hasarani wanawake

  • @alimaomar3618
    @alimaomar3618 9 лет назад +1

    Mashallah jazakallah her mola hakuzidishe ishallah Amin

  • @asyaluay5787
    @asyaluay5787 5 лет назад +2

    Allah asitujaalie kuwa miongoni mwa wanawake hawa

  • @fahim412
    @fahim412 9 лет назад +3

    stahil sheikh juma... watoe taka dada zetu...jazakallahu kheir

  • @suleimanmboma5456
    @suleimanmboma5456 5 лет назад +2

    Allah akulipe mema shekh

  • @38wahida
    @38wahida 10 лет назад +17

    napenda mawaidha yako sheikh

  • @aishamother9943
    @aishamother9943 5 лет назад +1

    Asalam alaikum sheikh nimependa sana mawaidha yako lkn kitu kimoja umeongea sheikh kuhusu wafanya kazi mambo ya waarabu hayo kila kitu mfanyikazi

  • @fatumaabdulla8097
    @fatumaabdulla8097 10 лет назад +6

    Jazaka llahu kheir sheikh

  • @salehekiluwasha474
    @salehekiluwasha474 6 лет назад

    waallah Shk Juma Amiri Allah akuzidishie ufahamu uzidi kutuelimisha

  • @ibrahimruhizo1710
    @ibrahimruhizo1710 6 лет назад +2

    Mungu. Awafanyie. Wepes. Wa kuelewa

  • @kulthumusaidy1496
    @kulthumusaidy1496 5 лет назад +1

    Sema shekh wanaume nao ndo wakatixhaji tamaa kwa wake zao unkuta anachepuka Alf mke akijua ndo mapnzi yanapungua

  • @hfj9315
    @hfj9315 5 лет назад +2

    Asante sana kwa kutuambia udhaifu wetu

  • @chichifufu8285
    @chichifufu8285 9 лет назад +1

    one of my favourite sheikh

  • @rakshanbilally-1341
    @rakshanbilally-1341 5 лет назад +1

    😍😍😍😍😍thnks much sheikh

  • @abdulhida8291
    @abdulhida8291 2 года назад

    Masha Allah, shekhe

  • @ShazeenBaby
    @ShazeenBaby 5 лет назад +1

    Kweli maashallah so nice

  • @PrincesesShanty
    @PrincesesShanty 8 лет назад

    Mashallah sheikh jazakallah

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 4 года назад

    Subhanallah 😭 hali nipo nayo inanitesa nifanye nini sheikh mm

  • @yassinsaid5346
    @yassinsaid5346 5 лет назад

    TBT hapo sheikh yusuf bado still looking young..mashaaALLAH

  • @amirsab1158
    @amirsab1158 6 лет назад

    Mashallah shekh umeongea mambo ambaya yapo mpaka sasa wanawake wa mombasa ndio hali zao

  • @faridabakari8511
    @faridabakari8511 7 лет назад

    inshaAllah ALLAH atujalie tuwe waaksame wema kwawaume zetu na tutii sheria na amri

  • @ghanimaaghanimaa181
    @ghanimaaghanimaa181 5 лет назад

    Mashallah anaelimisha sana huyu shekh

  • @halidshemweta2267
    @halidshemweta2267 4 года назад +1

    Maashallah

  • @munaswaleh1790
    @munaswaleh1790 6 лет назад +2

    Masha Allah

  • @38wahida
    @38wahida 11 лет назад +3

    He mtihaan ila sheikh umesema jambo ! Hao wanawake tupo tulio na hizo tabia tuombe m.mungu atuongoshe tuwe wanawake bora dunian na akhera yarabbi

  • @farhaawadh209
    @farhaawadh209 7 лет назад

    mashallah sheikh ur ryt!👌

  • @udeudedeniskhamis8446
    @udeudedeniskhamis8446 5 лет назад +2

    Mungu awasimamie nyote

  • @mariammganga7737
    @mariammganga7737 7 лет назад +1

    Mashallah 😍

  • @hawatognolasuleiman7832
    @hawatognolasuleiman7832 5 лет назад

    Asalmalekum .ijuma Karim . Nyote .hasateni kwa mawadha shukran .🙏😚

  • @nassimkassim8022
    @nassimkassim8022 3 года назад

    Asalam aleikum utakuja lini mombasa

  • @jairatuhappy634
    @jairatuhappy634 5 лет назад +1

    Mashaallah sheik asante sana kwa mawaidha mazuri

  • @hawawambui6151
    @hawawambui6151 5 лет назад

    Ma sha Allah

  • @safari34410
    @safari34410 8 лет назад +12

    Na aina zawanaume wabaya ningapi? Mume nihaki kumsaidia mkewe

  • @hamadjuma515
    @hamadjuma515 3 года назад

    Mashaalah

  • @ayoubnazir1493
    @ayoubnazir1493 5 лет назад

    Jazzaka'Allah khair

  • @elcappuccinno444
    @elcappuccinno444 11 лет назад +5

    Shekhe jina yake nani huyu? He's good mashallah

  • @shadiahborandi2687
    @shadiahborandi2687 4 года назад

    Subhanallah

  • @mmvopvjairatu8185
    @mmvopvjairatu8185 6 лет назад +1

    Mashaallah sheik

  • @yasintaswahasni4747
    @yasintaswahasni4747 6 лет назад

    Allah tujaalie iman wake kwa waume

  • @aishaanuu838
    @aishaanuu838 6 лет назад

    mashallah tabarakaalah

  • @rechok.k.m.5117
    @rechok.k.m.5117 7 лет назад +1

    asante kwa kutupa mafuzo twajifuza ASANTENI sana

  • @scayroad8500
    @scayroad8500 5 лет назад +1

    NIKWELI WAPO WENGI SANA JAMANI WANAMME WANA MITIHANI NA WANAWAKE PIA TUNA MITIHANI PIA KWA WAUME ZETU TUJIREKEBISHENI WOTE.

  • @muhammadabassi8428
    @muhammadabassi8428 5 лет назад

    shekhe hasa hizi zama zetu ni mtihani kwelikwel

  • @alirashid5238
    @alirashid5238 10 лет назад +1

    Mashaa Allah! Naipenda sana!

  • @saudaantony4879
    @saudaantony4879 4 года назад

    Mashaallah

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 5 лет назад

    Kweli sheikh wanawke wengi wanazo hzo tabia, lkn na wanaume wafahamisheni pia km m'ke anahitaji kusaidiwa. Maisha ya sasa sio yale ya zamani. Sasa waume waroho kila chakula anakitaka yy, halafu watu wa siku hz hawali sahani moja kwa pamoja kila mtu na yake. Mlo mara mbili au tatu. Nyumba imejaa furniture na makorokoro ya kusafishwa, watoto wanahitaji kushughulikiwa. Mana mke km hajatumia akili ya kuzaliwa hata haki yake itamshinda au hatojisikia kwa machofu. Atakua yupo yupo tu anatimiza wajib lkn kachoka hapati raha yeyote.

  • @ummuaisha1045
    @ummuaisha1045 8 лет назад +1

    mashaallah

  • @minaminaa1669
    @minaminaa1669 6 лет назад

    MashaAllah

  • @ashaathina9831
    @ashaathina9831 7 лет назад +1

    mashallah

  • @isayaisaya1602
    @isayaisaya1602 9 лет назад +7

    mimi mke wangu anazo hila zote hizo shekhe

    • @nkinyavubaluahapochacha1063
      @nkinyavubaluahapochacha1063 8 лет назад

      subhanallah sheihk jua wher a u from uko sawa swadakta mungu akuzidishe umri utuelimishe zaid hao wanawake samply hiyo wako tele

    • @saidykipalo9116
      @saidykipalo9116 8 лет назад

      Fanya bidii kumuelimisha uyo ndie ulie mchagua kaka kwani ukumjua!

    • @biimumwinyi3355
      @biimumwinyi3355 7 лет назад

      He is from Mombasa

    • @mzeemwalim5255
      @mzeemwalim5255 7 лет назад

      Isaya Isaya pole sana

    • @nuraabdulkadir9098
      @nuraabdulkadir9098 6 лет назад

      pole kaka mueke chini umuelezee anapokosea usimtangaze mungu akupe subra na mke huyo

  • @mesalimrashid8808
    @mesalimrashid8808 6 лет назад

    Si town tu uku likoni pia wako watoto matumbo yameshikana na maungo kwa njaa na babazao wala kwa mama ntilie subhanah allah mola tuhifadhi cc wanawake..

  • @abdulrahmanlubembeja6612
    @abdulrahmanlubembeja6612 5 лет назад

    masha allaah

  • @nabilamaashaallahmaashaall6977
    @nabilamaashaallahmaashaall6977 7 лет назад +1

    😆😆😆😆😆😆 hahahahahahaaaaaa jamaniii

  • @ummymohd8836
    @ummymohd8836 5 лет назад +1

    kisheria kazi zote za mume ,mke kazi yake kuzaa tu ,ila kutokana na huruma zetu wanawake tunaamua kufanya tu

  • @africanqueen2506
    @africanqueen2506 5 лет назад

    😂😂😂Subhallah Allah atusalim Salama

  • @wazirihongo3761
    @wazirihongo3761 6 лет назад

    asante sheikh

  • @jamilahabeid4352
    @jamilahabeid4352 10 лет назад

    Mashallah

  • @babymuniral6840
    @babymuniral6840 3 года назад

    😀

  • @khadijamoha689
    @khadijamoha689 5 лет назад

    Mashallah 😂😂😂😂😂😂

  • @wardas3605
    @wardas3605 7 лет назад +1

    Shukran

  • @esthernyabuto3845
    @esthernyabuto3845 5 лет назад

    Nyinyi waswahili mwajua wanawake wenu ndo Tania zao poleni olewenu

  • @seiflukuni7863
    @seiflukuni7863 6 лет назад

    Duuuh nmtihan sheikh

  • @farhaawadh209
    @farhaawadh209 7 лет назад

    Allah atuongozee

  • @abdalahhamdani1843
    @abdalahhamdani1843 6 лет назад

    Maashaallaah

  • @phariosore6242
    @phariosore6242 5 лет назад

    Hawo hawo

  • @asmahankassimmssami8115
    @asmahankassimmssami8115 5 лет назад +4

    Je aina za wanaume utaziongelea lini?

  • @curvestudiokenya9959
    @curvestudiokenya9959 5 лет назад

    Jamani mmetuzidi

  • @خديجهبورندي-ش9م
    @خديجهبورندي-ش9م 5 лет назад

    Shehe?tunashukuru

  • @omarbilal9203
    @omarbilal9203 5 лет назад

    Napeana talaka leo leo nishaelewa wanawake

  • @bintsalimalbimany9373
    @bintsalimalbimany9373 7 лет назад

    Manake tunakwenda mbali tumuogopen mungu

  • @emmyyahya8358
    @emmyyahya8358 5 лет назад +1

    😂😂😂😂🙌

  • @jahbless4063
    @jahbless4063 5 лет назад +1

    Hahahah 🤣🤣🤣🤣

  • @swabrinaahmed3580
    @swabrinaahmed3580 6 лет назад

    Aa waume wengine ndo wakwambia mwache maid afanye sitwamlipa.

  • @adammasero
    @adammasero 8 лет назад +3

    mashallahu Tena wako wengi Sana wape