Oh its sheikh juma amir..nimeiona jina yake at beggining of part 1 video...he's very good mashallah. Thanks for posting..keep them coming...Jazzakka Allah kheiraan yakhi
MA AHA ALLAH sheikh Juma JazakhaLLAHU kheyr nimeipenda sana na hii nimeisikiza ni Mara ya tatu sasa. natumai itanisaidia wakati huu wangu wa kusearch search.
saah saaah kalam wallah laadhim.....nimefiwa gede na babu yangu ila nilipo ingia utube nmechekaa sanaa asante tutaji rekbsha inshallah naangalia nikiwa Dubai ..al ain
Tamazi kilyamhogo kweli maneno yote ni sah kwel habibty tujirekebishen hakika pepo ipo chin ya waume zetu sasa ka mtu kashajipamba anampambia nani kama akiguswa hatak kuharib kucha na nywele zake sasa kwel mdoa zwtu zitadumu hapa???
Tamazi kilyamhogo sheikh sasa wanawake wakadeke kwa nani na ivi kazi za ndani ni jukumu lao au wafanya kama msada na kuusu kupendeza nani amuambie kile anachokitaji
Kweli sheikh wanawke wengi wanazo hzo tabia, lkn na wanaume wafahamisheni pia km m'ke anahitaji kusaidiwa. Maisha ya sasa sio yale ya zamani. Sasa waume waroho kila chakula anakitaka yy, halafu watu wa siku hz hawali sahani moja kwa pamoja kila mtu na yake. Mlo mara mbili au tatu. Nyumba imejaa furniture na makorokoro ya kusafishwa, watoto wanahitaji kushughulikiwa. Mana mke km hajatumia akili ya kuzaliwa hata haki yake itamshinda au hatojisikia kwa machofu. Atakua yupo yupo tu anatimiza wajib lkn kachoka hapati raha yeyote.
Si town tu uku likoni pia wako watoto matumbo yameshikana na maungo kwa njaa na babazao wala kwa mama ntilie subhanah allah mola tuhifadhi cc wanawake..
Among of my favorites sheikh Allah mpe mwisho mwema sheikh juma amiir
I never get tried of watching this video jazaakAllah sheikh.
Yaan hachoshi kbxa kumsikiliza sheikh wetu
Mungu akuzidishie sheikh mawaidha yako yamenigusa..
Kombo
SHEIKH JUMA AMIR....one of my favourite sheikhs
Umeletà
naam maalim
Ni kweli jamani wanawake tuache uvivu inuka changamka umeolewa jamani inukaa jishughulishe Ahsante sheikh wetu🙏🙏🙏
Swadakta Aaaaaaaaaaaaa my
Mwanamke jiongezeee ndo maana kichwa kila cku
Anaitwa sheikh nani
Wallahi shekh umewasoma sana wanawake Allah akuzidishie kweli tupu tupe tujirekebishe
Mash Allah, tuna waidhika sheikh, Mungu akupe kheir nyngi sana na baraka tele
MashaAllah sheikh Juma Amir mimi sichoki kuirudia hii video jamani, Allah akubarik tunajifunza huku tunacheka
Sanaa walhi hata mm
Shukran sheikh Allah akupe umri mrefu na afya azidi kutuelimisha umma.
kweli kabisa sheikh wavivu sisi tupe maana tumejaa majumbani tupotupo Kama wafu 😍😍😍
Asante shekhe, ubarikiwe na Baraka za Allahu ( SW).
Allah atujaalie waume zetu ndo pepo yetu 💙💚💛💜
Ameen
Amin
Um Arwa Amini
Amini
Um Arwa wenzio halijui hilo .
Alhamdulillah asante sheikh
Daah alie cheka kama mm leta cometi yako mashaalah mwanamke namba tano story yake mie hii sharaka nimecheka mpaka basi
Hatari sana
Allah awape imani wake zetu wawefaraja kwetu
Oh its sheikh juma amir..nimeiona jina yake at beggining of part 1 video...he's very good mashallah. Thanks for posting..keep them coming...Jazzakka Allah kheiraan yakhi
MA AHA ALLAH sheikh Juma JazakhaLLAHU kheyr nimeipenda sana na hii nimeisikiza ni Mara ya tatu sasa. natumai itanisaidia wakati huu wangu wa kusearch search.
Dah kweli usemayo shekhe ,eeh mwenyezi mungu nijaalie nije kuwa mke mwema na mwenye utii kwa yule atakaekuja kuwa mume wangu
InshaaAllah
Inshaallah
Inshaallah
Mungu atujaalie tuonane.
Latifa Ali Allaah akujalie maana kweli hali sio nzur katika ummah
In Sha Allah Mola Awaongoze wake zetu
saah saaah kalam wallah laadhim.....nimefiwa gede na babu yangu ila nilipo ingia utube nmechekaa sanaa asante tutaji rekbsha inshallah naangalia nikiwa Dubai ..al ain
farida bakari
farida bakari
Shekhe asante sana ujanjawooote wa wanawakeumeugundua niwajanja mno
subhanallah.
wanawake tujirejebishae jaman,tuwe na hofu ya allah
Tamazi kilyamhogo kweli maneno yote ni sah kwel habibty tujirekebishen hakika pepo ipo chin ya waume zetu sasa ka mtu kashajipamba anampambia nani kama akiguswa hatak kuharib kucha na nywele zake sasa kwel mdoa zwtu zitadumu hapa???
Tamazi kilyamhogo sheikh sasa wanawake wakadeke kwa nani na ivi kazi za ndani ni jukumu lao au wafanya kama msada na kuusu kupendeza nani amuambie kile anachokitaji
Darasa zuri sana Allah tujaalie tusiwe miongoni mwa hawa aminn
kweli sheikh kabisa inshallah tutarekebsha mwenyezmung akupe umri mrefu
Ameen
Inshaallah mungu anipe mke mwema amin
HIJA RWAMBO Ammin yarab hiz ndio dua za kuomba kaka ang
Shekhe shukran nimekuelew
Subhanallah jaman me naona nasisimka mwil tujitahidin wanawake wenzang
In shaa Allah
Kweli tupo hasarani wanawake
Mashallah jazakallah her mola hakuzidishe ishallah Amin
Sitra unayo Amirat?
Allah asitujaalie kuwa miongoni mwa wanawake hawa
stahil sheikh juma... watoe taka dada zetu...jazakallahu kheir
you are true shekhe juma mashallah wapo wengi sana wake namna hiyo
Allah akulipe mema shekh
napenda mawaidha yako sheikh
mtihaan
Asalam alaikum sheikh nimependa sana mawaidha yako lkn kitu kimoja umeongea sheikh kuhusu wafanya kazi mambo ya waarabu hayo kila kitu mfanyikazi
Jazaka llahu kheir sheikh
waallah Shk Juma Amiri Allah akuzidishie ufahamu uzidi kutuelimisha
Mungu. Awafanyie. Wepes. Wa kuelewa
Sema shekh wanaume nao ndo wakatixhaji tamaa kwa wake zao unkuta anachepuka Alf mke akijua ndo mapnzi yanapungua
Asante sana kwa kutuambia udhaifu wetu
one of my favourite sheikh
MUNGU AKULINDE sana.
😍😍😍😍😍thnks much sheikh
Masha Allah, shekhe
Kweli maashallah so nice
Mashallah sheikh jazakallah
Subhanallah 😭 hali nipo nayo inanitesa nifanye nini sheikh mm
TBT hapo sheikh yusuf bado still looking young..mashaaALLAH
Mashallah shekh umeongea mambo ambaya yapo mpaka sasa wanawake wa mombasa ndio hali zao
inshaAllah ALLAH atujalie tuwe waaksame wema kwawaume zetu na tutii sheria na amri
Mashallah anaelimisha sana huyu shekh
Maashallah
Masha Allah
He mtihaan ila sheikh umesema jambo ! Hao wanawake tupo tulio na hizo tabia tuombe m.mungu atuongoshe tuwe wanawake bora dunian na akhera yarabbi
mashallah sheikh ur ryt!👌
Mungu awasimamie nyote
Mashallah 😍
Asalmalekum .ijuma Karim . Nyote .hasateni kwa mawadha shukran .🙏😚
Asalam aleikum utakuja lini mombasa
Mashaallah sheik asante sana kwa mawaidha mazuri
Mafuzo mazuri. Shehk
Ma sha Allah
Na aina zawanaume wabaya ningapi? Mume nihaki kumsaidia mkewe
Mashaalah
Jazzaka'Allah khair
Shekhe jina yake nani huyu? He's good mashallah
Anaitwa Sheikh juma Amri
Juma Amir
Subhanallah
Mashaallah sheik
Allah tujaalie iman wake kwa waume
mashallah tabarakaalah
asante kwa kutupa mafuzo twajifuza ASANTENI sana
Recho K.K.M. Asante Kwa mawaidha shee
NIKWELI WAPO WENGI SANA JAMANI WANAMME WANA MITIHANI NA WANAWAKE PIA TUNA MITIHANI PIA KWA WAUME ZETU TUJIREKEBISHENI WOTE.
shekhe hasa hizi zama zetu ni mtihani kwelikwel
Mashaa Allah! Naipenda sana!
Mashaallah
Kweli sheikh wanawke wengi wanazo hzo tabia, lkn na wanaume wafahamisheni pia km m'ke anahitaji kusaidiwa. Maisha ya sasa sio yale ya zamani. Sasa waume waroho kila chakula anakitaka yy, halafu watu wa siku hz hawali sahani moja kwa pamoja kila mtu na yake. Mlo mara mbili au tatu. Nyumba imejaa furniture na makorokoro ya kusafishwa, watoto wanahitaji kushughulikiwa. Mana mke km hajatumia akili ya kuzaliwa hata haki yake itamshinda au hatojisikia kwa machofu. Atakua yupo yupo tu anatimiza wajib lkn kachoka hapati raha yeyote.
mashaallah
MashaAllah
mashallah
mimi mke wangu anazo hila zote hizo shekhe
subhanallah sheihk jua wher a u from uko sawa swadakta mungu akuzidishe umri utuelimishe zaid hao wanawake samply hiyo wako tele
Fanya bidii kumuelimisha uyo ndie ulie mchagua kaka kwani ukumjua!
He is from Mombasa
Isaya Isaya pole sana
pole kaka mueke chini umuelezee anapokosea usimtangaze mungu akupe subra na mke huyo
Si town tu uku likoni pia wako watoto matumbo yameshikana na maungo kwa njaa na babazao wala kwa mama ntilie subhanah allah mola tuhifadhi cc wanawake..
Jazaka LLAH KHAYRA
Napenda sana mawaidha yako shekh juma amiri inshaallah Allah amzadishie
Shekh juma amiri Allah akuzaidishie
Allah atujalie wake wema inshaallah
masha allaah
😆😆😆😆😆😆 hahahahahahaaaaaa jamaniii
kisheria kazi zote za mume ,mke kazi yake kuzaa tu ,ila kutokana na huruma zetu wanawake tunaamua kufanya tu
😂😂😂Subhallah Allah atusalim Salama
asante sheikh
Mashallah
😀
Mashallah 😂😂😂😂😂😂
Shukran
Nyinyi waswahili mwajua wanawake wenu ndo Tania zao poleni olewenu
Mmmm wanawake wote ni sawa
Duuuh nmtihan sheikh
Allah atuongozee
Maashaallaah
Hawo hawo
Je aina za wanaume utaziongelea lini?
Jamani mmetuzidi
Shehe?tunashukuru
Napeana talaka leo leo nishaelewa wanawake
Manake tunakwenda mbali tumuogopen mungu
😂😂😂😂🙌
Umesitirika ww
Hahahah 🤣🤣🤣🤣
Aa waume wengine ndo wakwambia mwache maid afanye sitwamlipa.
mashallahu Tena wako wengi Sana wape