Aina 7 Za Wanawake Wabaya Part 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 167

  • @estermpagama9664
    @estermpagama9664 3 года назад +3

    Shehe elimu hiyo unayotupa ni bora sana kimaisha naupenda uislam nitasllimu kwa sababu ni dini ina sheria na miongozo aksante

  • @hiyammuslimah5151
    @hiyammuslimah5151 8 лет назад +4

    Mashalllah mawaidha yanatukumbusha wajibu wetu ktk kutunza ndoa. Mwanamke mzembe huwa mtihani hajui majukumu yake na ndo chanzo cha maadili mabaya. Jazaka llahu lkhyr .....amin. Salam

  • @halimahomari4574
    @halimahomari4574 6 лет назад +26

    Mawaidha mazuri mashaallah na yote yasemwayo hapa na shekhe ni ukweli mtupu, tujirekebisheni jamani, tupe ukweli shekhe japo yauma cha muhimu hapa nikujirekebisha tuliokua na tabia hizi

  • @ishadamour9536
    @ishadamour9536 5 лет назад +10

    He is my fav...sheikh Juma

    • @isaacdulla8587
      @isaacdulla8587 5 лет назад

      Isha D'amour are you sure???

    • @isaacdulla8587
      @isaacdulla8587 5 лет назад

      It will be nice if you'll continue to listen what he's talking about then you've to change according to his instructions please!!!

  • @bintyramadhan6993
    @bintyramadhan6993 8 лет назад +11

    MASHAALLAH Jazaka Allahu khery

  • @wazirbashir7626
    @wazirbashir7626 9 лет назад +2

    Asanteni sana ndg zetu waislamu kwa kutushirikisha mawaidha haya ni mazuri sana binafsi nimebarikiwa kiukweli

  • @sabrasuleiman524
    @sabrasuleiman524 6 лет назад +3

    Jazakallahu Kheir.Maa Shaa Allah.....................

    • @ibn2073
      @ibn2073 6 лет назад

      Sabra wajina

  • @38wahida
    @38wahida 11 лет назад +8

    Si mchezo m.mungu atujaalie tusiwe ktk miongon hilo kundi

  • @suemuhammad5701
    @suemuhammad5701 6 лет назад +2

    MashaaAllah napenda mawaidha yako.sheikh juma amiri..mungu akuzidishea amiin..atuongoze na sisi sote waislamu..

  • @abdinasirali3460
    @abdinasirali3460 4 года назад +2

    Masha Allah watching now from USA . Great lecture Masha allah sheikh Juma great sheikh May almighty Allah reward for him even though it could have been fine if he could have been translating in to English too so that non kisiwahili speakers could benifits more .

  • @sitikhamis7978
    @sitikhamis7978 8 лет назад +8

    maa shaa ALLAH, mawaidha mazuri ALLAH akujaalie umri sheikh uzidi kutuelimisha

  • @alwyalsaggaf8260
    @alwyalsaggaf8260 11 лет назад +6

    Thanks for the video. Will be great tukipata wanaume wabaya pia inshaALLAH.

  • @haninmahfood2450
    @haninmahfood2450 9 лет назад +7

    mungu akupe umri mrefu uzidi kutupa darasa.mawaiza mazuri kweli

  • @allyadam5511
    @allyadam5511 10 лет назад +4

    Jazakallah khaila

  • @maamasuli9351
    @maamasuli9351 9 лет назад +5

    Very educative ! May Allah reward you ubandantly . Ila Kuna wajinga nimechoma waponda mawaidha hay a, let them remain black as they are! SHEIKH AMIR NI CHUO NA MOOR KEA UMA. AL HAMUDUL LAH.

  • @rahmamohamedi1471
    @rahmamohamedi1471 9 лет назад +4

    Anayozungumza. shekhe. nikweli. wapo. wanawake. wanamna hiyo. asante. kwa mafundisho. mazuri. Allah. awalipe kila la kheri. inshaallah

  • @manikwata6167
    @manikwata6167 7 лет назад +1

    tunatakiwa tujitahidi tenatuwaacchane na mambo yakishetani maana sanyegine tunamuuingiza tu kwakumlazimisha tuishaalwa mungu atusaidie sisi wenyewe pamoja nawatoto wetu nawaislam kwaujumla aaamiiin

  • @naimaahmada6399
    @naimaahmada6399 8 лет назад +26

    NAPENDA SANA MAWAIDHA YA SHEIKH HUYU, ALLAH AMZIDISHIE KHEIR

  • @mansurahmed5069
    @mansurahmed5069 8 лет назад +3

    Sheikh Allah Akujaze khayr na Akuhifadhi daima na afya madhbuti Akupe,hakika hachukii na au kupinga haya ila aliepotea na yuwapendà kupotea,keep on

  • @asyaluay5787
    @asyaluay5787 5 лет назад +1

    Masha Allah Mungu akueke sheikh sichoki kuskiza hii darsa 😃

  • @mohamedsurur2726
    @mohamedsurur2726 6 лет назад +1

    Shabash professor Jumaa Amer

  • @SaudaMabruk-vw5ze
    @SaudaMabruk-vw5ze Год назад

    Mashallah wa Allahu barik

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 3 года назад +1

    Mashaallah shekh bless you Ameen

  • @samiraalikiba1852
    @samiraalikiba1852 6 лет назад +1

    Maa shaa Allah tabarakallah nice my sheikh Allah kujalie mwisho mwema ,Allahumma ameen

  • @savannacollection5205
    @savannacollection5205 9 лет назад +3

    Allah awalipe kila la kheir shukran kwa mawaidha mazuri na yote ni ya kweli sasa ni sisi tupange karata zetu zipasavyo.

  • @aminbajuberry6961
    @aminbajuberry6961 11 лет назад +1

    Masha Allah ni mawaidha mazuri sana ahsante sheikh tafadhali tunakuomba utuletee part 2 tunaisubiri kwa hamu kubwa mno insha Allah

  • @ahmedfarahsosjr428
    @ahmedfarahsosjr428 10 лет назад +1

    Masha Allah ni mawaidha mazuri sana ahsante sheikh tafadhali tunakuomba utuletee part 2 tunaisubiri kwa hamu kubwa mno

  • @halimakhamisi8774
    @halimakhamisi8774 7 лет назад +1

    mawaidha mazuri sanaaa mungu akupe umri mrefu mashaallaah

  • @mohamedshaaban7412
    @mohamedshaaban7412 7 лет назад +5

    wanawake ndo watu wakorofi sana lkn hata wanaume wpo ndo maana kuna sura nzima inaeleza vitimbi vya wanawake,,,,,,, #

  • @zahramunir8596
    @zahramunir8596 8 лет назад +3

    Shukran mashekh MMungu akujaalieni kher..

  • @abdallahsaid420
    @abdallahsaid420 6 лет назад +3

    Alhamdu Lilah Allah amlipe KHERI kwa mchango wake ktk dini,kwani umma Leo hii wapotea

  • @FatmaFatma-kt1or
    @FatmaFatma-kt1or 5 лет назад

    Mashallah sheikhe munqu akujalie pumzi uendelee kutupa somo

  • @slowclimbertothetop4572
    @slowclimbertothetop4572 4 года назад

    Jazakallah khair. Allah akuzidishie sheikh

  • @hiyammuslimah5151
    @hiyammuslimah5151 8 лет назад +5

    Please dears hapa c mahali pa kusema nani mwema wala nani muovu la kufanya comment kitu cha faida ili tufaidike sote. Allah atuongoze sote...amin

  • @ninaally4485
    @ninaally4485 11 лет назад +7

    ma shaa Allah!where Is part 2?

  • @rayanyahya1936
    @rayanyahya1936 5 лет назад +2

    Masha Allah Allah ina mafunzo mazuri ❤

  • @najmarajabu9421
    @najmarajabu9421 7 лет назад +1

    mungu akulipe sheikh!! unayosema nikwelikabisa .endelea kutukumbusha tunapotea sana😢😢

  • @shahasinassir7594
    @shahasinassir7594 9 лет назад +3

    Amina Osman umekosea

  • @mariyamomar5984
    @mariyamomar5984 8 лет назад +8

    Mashaallah

  • @husseinhassan3498
    @husseinhassan3498 5 лет назад

    Mash Allah sh.juma amr

  • @abdalahhamdani1843
    @abdalahhamdani1843 6 лет назад +2

    Maashaallaah

  • @shuwehaharunaomariikwena233
    @shuwehaharunaomariikwena233 7 лет назад +1

    wanafiki waliomchomea shekhe Rogo kuuliwa wanaongea Allah atawaumbua

  • @alirashid5238
    @alirashid5238 10 лет назад +2

    Ilove it

  • @jamaljamala6005
    @jamaljamala6005 3 года назад

    Mashallh

  • @abdallahmwinyimvuabohari4111
    @abdallahmwinyimvuabohari4111 10 лет назад +4

    Maa shallah

  • @elenanizigiyimanaelenanizi6869
    @elenanizigiyimanaelenanizi6869 8 лет назад +1

    masha Allah sheh m ungu awalipe kilalakher

  • @saidally330
    @saidally330 7 лет назад +1

    Ma shaa Allah

  • @kililana
    @kililana 11 лет назад +3

    MashaAllah

  • @abdimengo7159
    @abdimengo7159 8 лет назад +3

    Masha Allah

  • @fammamourachy156
    @fammamourachy156 3 года назад

    Shukran jazzir

  • @jumashebby9251
    @jumashebby9251 6 лет назад +1

    Mwenyezi mungu akujalie pepo yake

  • @jumamustapha3566
    @jumamustapha3566 7 лет назад +6

    may Allah grant you jannatul firdaus .

  • @38wahida
    @38wahida 10 лет назад +7

    haha masha allah sheikh juma ameir

  • @chidykiboko3769
    @chidykiboko3769 6 лет назад +2

    😂😂😂😂😂nakupenda kufa billah shekh weyee unanipag rah na mafunzo ktk nasaa zako yan khataree Allah akukinge na hasada za binadaam🙏

  • @saidmohammad9180
    @saidmohammad9180 6 лет назад

    maaashalwa mawaidha mazuri shekhe juma

  • @minayahofficioll9138
    @minayahofficioll9138 7 лет назад

    Amina Osman mlaan sheitwan shehe atua mafundisho weye waona niujinga ee wangekua wapumbavu Kena diamond ungelisapote achaujinga fikiria usemalp kabdayakusema

  • @samsamegall6658
    @samsamegall6658 5 лет назад +3

    mwanamke amjali mume. je mume wameambiwaje na Mtume (s.a.w) kuhusu wake zao tunata kujua masheik .

    • @samsamegall6658
      @samsamegall6658 5 лет назад

      kila siku tunaambiwa tuwa tii waume ktk ndoa hao wanaume hakiyake gani juu yangu tena anakuona sichochote na hali umemzalia aheshimu wazazi wako upo tu kwasubra.ukingoja majibu kwa Ala myambie hakiza wake iliwamuogope Alah.

    • @iddyrubota6365
      @iddyrubota6365 5 лет назад

      kuwatendea kheri wanawake na si kinyume na hapo, lakin pia wameruhusiwa kuwaadhibu watakapokosea, iwe pigo dogo lisiloleta maumivu au kuacha alama ya maumivu ktk miili yao. Lakin ni lazima mume amlishe, amvishe na aishi kwa wema na mkewe.

  • @mimiummie
    @mimiummie 4 года назад +1

    2020 covid19 self isolation

  • @kultychuu
    @kultychuu 11 лет назад +3

    shukran

  • @ibrahimjahha674
    @ibrahimjahha674 6 лет назад +1

    maashallah

  • @allymohammed7323
    @allymohammed7323 2 года назад

    Uhakika siwezi acha kumpenda shehe juma

  • @yasintaswahasni4747
    @yasintaswahasni4747 6 лет назад

    Mashaallah nafurah sana yani

  • @salmamwagomba6529
    @salmamwagomba6529 2 года назад

    Hhhhh sheikh una vidaka wallahi

  • @salimmushefa6453
    @salimmushefa6453 3 года назад

    Sheikh shukrani Sana ,huku Uganda wanawake hawaambiwi ukweli was Mambo,wengi waolewa bila ya kujua kwanini anaolewa?.

  • @jamalalnadhir4058
    @jamalalnadhir4058 11 лет назад +2

    Mash alla

  • @pedafomumurugwa5626
    @pedafomumurugwa5626 9 лет назад +3

    Aksanteni ndg zetu kwa kutupatia mafundisho hayo mazuri ya dini

  • @aishairakoze2639
    @aishairakoze2639 6 лет назад

    Masha llah

  • @jamilatoodhe5181
    @jamilatoodhe5181 7 лет назад +1

    Mashallah

  • @nawaryissa2897
    @nawaryissa2897 7 лет назад +1

    mashaalah

  • @richardherman7118
    @richardherman7118 8 лет назад +1

    Good

  • @aliabdiabdi4067
    @aliabdiabdi4067 4 года назад

    nilijifunza mengi kutoka hio mawaidha

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender2747 9 лет назад +2

    ilike

  • @wardaomar3001
    @wardaomar3001 11 лет назад +2

    Nimeipenda hy aina 7 ya wnwk wabaya wallah nimeelimika lkn haijaisha wheres part 2?

  • @fayscope2123
    @fayscope2123 10 лет назад +1

    mashallah

  • @zennasheria1762
    @zennasheria1762 7 лет назад +1

    Mawaidha mazuri yanafundisha

  • @mrshila1260
    @mrshila1260 6 лет назад +1

    2 nikama waarabu hajuichochote sheikh wanawake wa kiarabu

    • @rayaalaisari4592
      @rayaalaisari4592 6 лет назад

      Sasa hapo kanzungumzia warabu Au mnataka kuwatukana tu kwa roho zenu zilivyo mbaya tu yani siku hizi kila kitu mnafanisha na warabu Hasbiallah waneema lwakili.. Mtukome

  • @abdulibrahim2104
    @abdulibrahim2104 5 лет назад

    Tunao hao majumbani kwetu

  • @aliabdiabdi4067
    @aliabdiabdi4067 4 года назад

    nimeona wanaka kama hawa kama unakabaliana na mi.

  • @samsamegall6658
    @samsamegall6658 5 лет назад +2

    hizo haki za mume mbona adimu mashei k hayasemi hamna mawaidha kuhusu haki za mume juu ya mke wake kimya.

    • @iddyrubota6365
      @iddyrubota6365 5 лет назад

      Haki kubwa kuliko zote ambayo mume anihitaj kutoka kwa mkewe, ni mwanamke kumtii mumewe atakapoamrishwa pasina kuijali nafsi yake au mali yake hata kama anayomrishwa atakuwa anayachukia. Kikubwa isiwe kumuasi Allah

  • @fifo262
    @fifo262 5 лет назад +3

    Wanaume wabaya hakunaaaa?

    • @slowclimbertothetop4572
      @slowclimbertothetop4572 4 года назад +1

      Tulia kwanza dozi iingie...wanaume wabaya nao wametajwa tafuta darsa zingine za sheikh.

  • @Namanda425
    @Namanda425 Год назад

    -25:18

  • @hamiskasheba8209
    @hamiskasheba8209 10 лет назад +1

    suitable

  • @kassimsultan5884
    @kassimsultan5884 11 лет назад

    Nice

  • @kanezadiane7462
    @kanezadiane7462 10 лет назад +1

    10x

  • @maryammahamed5099
    @maryammahamed5099 4 года назад

    May ALLAH grant you jannah

  • @umarwa4833
    @umarwa4833 8 лет назад +1

    Subhana llah
    mashekhe wengi wa ki Africa hawana mawaidha isipokuwa ni wanawake basi kila aina za lawama wanapewa wanawake
    ni kweli moto wa jahanam wengi wao ni wanawake tungeomba mashekhe wetu wangewasaidia wanawake kujiokoa ktk adhabu iyo..
    kuweni RIJAL wa kweli ktk majumba yenu muyaweze masuuliya ya nyumba zenu muone kama wake zenu hatotengenea.....

    • @mukhtaribrahim5064
      @mukhtaribrahim5064 8 лет назад

      Um Arwa una machungu kweli, kwani umeguswa ama nini?

    • @mohameda.mohamed2703
      @mohameda.mohamed2703 8 лет назад +2

      Um Arwa Anayasema mabaya yao ilia waume wayajue na wajue how to deal with it...
      wakika kimya wengi hawatojua.
      pia usiwanukuu vibaya Masheshe wa Kiafrika.
      Tafuta mashekhe woote wa Africa uangalie mada wanazozungumza ...
      sio wote wanazungumzia wanawake...

    • @baderabdallah7592
      @baderabdallah7592 7 лет назад

      Um Arwa yakweli kubali

    • @Barutiification
      @Barutiification 7 лет назад +1

      ruclips.net/video/IbV2Km53Qlw/видео.html

    • @mtoromtoro3338
      @mtoromtoro3338 6 лет назад +1

      Um Arwa unakosea hawatungi wao ila nivitabu wanafuata

  • @hamza89945
    @hamza89945 6 лет назад

    Juma Amiri asema mume na mke yafaa kurambana tupu za nyuma. Je ni sawa?? Mahali pa mavi mtu kuweka ulimi. ASTAGHFIRULLAH

  • @khalifanassor5349
    @khalifanassor5349 5 лет назад

    Kuna wanawake wana act wanawazim na mashetani sababu ya uvivu na kuwaangaminza waume zao

  • @aminaosmannoor1565
    @aminaosmannoor1565 9 лет назад

    Mbona wawa kashifu wanawake? hebu tuwate na utupe amani. kaa ukijuwa aliekuza ni mwanamke!!!

    • @safwanosman6329
      @safwanosman6329 9 лет назад +3

      +Amina Osman Noor
      Ukhty, wee ni mmoja wa hao walo wabaya.Na sio kashfa ilotolewa hapo. Ni mawaidha ukipenda sikiliza uchukue faida au wachana yao. Kesho kaburini ndio mwisho wa mbio na maringo na majivuno. Wacha kibri ukhty

    • @Barutiification
      @Barutiification 7 лет назад

      ruclips.net/video/IbV2Km53Qlw/видео.html

    • @mtoromtoro3338
      @mtoromtoro3338 6 лет назад

      Amina Osman Noor hatukashifu hiyo nikweli

    • @ummyleylahadya5202
      @ummyleylahadya5202 6 лет назад

      Amina Osman Noor wewe mwehu kabisa yawezekana ni mmojawapo ya hao wanawake waovu kwa waume zao!

  • @aminaosmannoor1565
    @aminaosmannoor1565 9 лет назад +1

    utasemaje kuwa mimi nimoja wa wale 'wabaya' kwani wewe ndie mzuri???? wacha kujifanya mtu wa kheri . umenijulisha kuwa roho yako ni mbaya. atakae hukumu ni mwenyezi mngu. sio mbea kama wewe. wajidai kuwa umislamu. kesho akhera kila mtu akakwenda na amal yake!!!!

  • @zabibuiddy9257
    @zabibuiddy9257 10 лет назад

    mashaallah

  • @hamza89945
    @hamza89945 6 лет назад

    Anapotosha watu huyu Shekh na sijui kwann watu wanamsikiza

  • @allyadam5511
    @allyadam5511 10 лет назад +5

    Jazakallah khaila

  • @hawaamad1540
    @hawaamad1540 5 лет назад +2

    Masha Allah

  • @amishrage52
    @amishrage52 6 лет назад +2

    Manshaallah

  • @lubymarshed4553
    @lubymarshed4553 5 лет назад +1

    Mashaaallh

  • @sabrinaimran7968
    @sabrinaimran7968 8 лет назад +5

    mashaallah

  • @saumouramadan4588
    @saumouramadan4588 6 лет назад

    Mashallah

  • @aliabdighani2454
    @aliabdighani2454 9 лет назад +1

    mashallah

  • @abdallahmwinyimvuabohari4111
    @abdallahmwinyimvuabohari4111 10 лет назад

    Maa shallah