As salaam aleykum warahmatullah wabakatuh,,,jazakha Allah kheiran,,namefurahiya sana..kwa maada zenye,,,ningetaka kujuwa ni Madras kipi hilo angaa watoto wetu wajiunge nalo,,,ni bora kuwapa watoto elimu ya Dini,,,
Shekh Hapo kwenye rusha roho nadhani umeteleza yani wasema warushe roho kidogo lkn Mimi nataka kujuwa hao warushaji roho wana rusha na Qur'an au Music nakama ni Music bac Wallah haifai hata kusogea eneohilo.
sheikh huwa huna mada zingine zaid ya wanawake na tendo la ndoa. jaribu kutumia hata tafsida basi looh hivi kweli wasio kuwa waislam watavutiwa kweli kwa hivyo unavyopreach
Twafaa tushkuru Allah ametupa mashekhe wazuri natuseme Alhamdulila kwakila daawa watowayo maana dawa zao ni akiba kubwa Sana kwetu. Tuna watoto jamani.
Jazzaka Allah kheri shekhe mola akupe umri mrefu wenye manfaa, Ili tuendelee kunufaika na akukinge na kila Shari Amina. imshaallah
As salaam aleykum warahmatullah wabakatuh,,,jazakha Allah kheiran,,namefurahiya sana..kwa maada zenye,,,ningetaka kujuwa ni Madras kipi hilo angaa watoto wetu wajiunge nalo,,,ni bora kuwapa watoto elimu ya Dini,,,
Mashallah Mashallah tabarakallah
sheikh maneno yako n dawa naamini tutachenge in shaa allah .
Masha Allah
MASHAALLAH MAWAIZA YAMENIKOSHA MAZULI SANA HAHAHAHA NAWAPENDA MASHEIKH ZANGU ALLAH HAWAPE KHER AMIN
👌👌👌😅😅mashalh Grazie mille
Huyo anaemlaumu shekh kuhusu mada anazo toa kwani lazima kaambiwa atizame asituharibie shekh wetu
shukran shek
MashaAllah,,mwenye namba ya simu ya sheikh Juma Amir naomba tafadhali,au account yake Instagram
Shekh Hapo kwenye rusha roho nadhani umeteleza yani wasema warushe roho kidogo lkn Mimi nataka kujuwa hao warushaji roho wana rusha na Qur'an au Music nakama ni Music bac Wallah haifai hata kusogea eneohilo.
Amesha jibu kuwa haifai na akaweka x kabisa alipo ulizwa mwanzo akuelewa Ila alipo ulizwa Mara ya pili alifahamu
Asalmalekum mimi hawa. wanicekesha 😅😅😅😅😆mashalh hasante
sheikh huwa huna mada zingine zaid ya wanawake na tendo la ndoa.
jaribu kutumia hata tafsida basi looh
hivi kweli wasio kuwa waislam watavutiwa kweli kwa hivyo unavyopreach
Said Kibasila kwani wanawake si watu
Tafsida gani hazungumzi na watoto.na wanawake wananufaika na mawaidha yake
Twafaa tushkuru Allah ametupa mashekhe wazuri natuseme Alhamdulila kwakila daawa watowayo maana dawa zao ni akiba kubwa Sana kwetu. Tuna watoto jamani.
Wew acha zako kama utak kuskiza acha