Aina 7 Za Wanawake Wabaya Part 3

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025

Комментарии • 18

  • @abdulhida8291
    @abdulhida8291 2 года назад

    Jazzaka Allah kheri shekhe mola akupe umri mrefu wenye manfaa, Ili tuendelee kunufaika na akukinge na kila Shari Amina. imshaallah

  • @wondersmotivation5543
    @wondersmotivation5543 5 лет назад +1

    As salaam aleykum warahmatullah wabakatuh,,,jazakha Allah kheiran,,namefurahiya sana..kwa maada zenye,,,ningetaka kujuwa ni Madras kipi hilo angaa watoto wetu wajiunge nalo,,,ni bora kuwapa watoto elimu ya Dini,,,

  • @nafisabarasa1917
    @nafisabarasa1917 Год назад

    Mashallah Mashallah tabarakallah

  • @38wahida
    @38wahida 10 лет назад

    sheikh maneno yako n dawa naamini tutachenge in shaa allah .

  • @asyaluay5787
    @asyaluay5787 5 лет назад

    Masha Allah

  • @samirahassani4931
    @samirahassani4931 7 лет назад

    MASHAALLAH MAWAIZA YAMENIKOSHA MAZULI SANA HAHAHAHA NAWAPENDA MASHEIKH ZANGU ALLAH HAWAPE KHER AMIN

  • @hawatognolasuleiman7832
    @hawatognolasuleiman7832 5 лет назад

    👌👌👌😅😅mashalh Grazie mille

  • @sakinamohd8101
    @sakinamohd8101 5 лет назад

    Huyo anaemlaumu shekh kuhusu mada anazo toa kwani lazima kaambiwa atizame asituharibie shekh wetu

  • @vibestudio4707
    @vibestudio4707 5 лет назад

    shukran shek

  • @fathiyaali6171
    @fathiyaali6171 5 лет назад

    MashaAllah,,mwenye namba ya simu ya sheikh Juma Amir naomba tafadhali,au account yake Instagram

  • @notykagawa4318
    @notykagawa4318 10 лет назад +7

    Shekh Hapo kwenye rusha roho nadhani umeteleza yani wasema warushe roho kidogo lkn Mimi nataka kujuwa hao warushaji roho wana rusha na Qur'an au Music nakama ni Music bac Wallah haifai hata kusogea eneohilo.

    • @adamkatet274
      @adamkatet274 8 лет назад +1

      Amesha jibu kuwa haifai na akaweka x kabisa alipo ulizwa mwanzo akuelewa Ila alipo ulizwa Mara ya pili alifahamu

    • @hawatognolasuleiman7832
      @hawatognolasuleiman7832 5 лет назад

      Asalmalekum mimi hawa. wanicekesha 😅😅😅😅😆mashalh hasante

  • @saidkibasilah8267
    @saidkibasilah8267 8 лет назад

    sheikh huwa huna mada zingine zaid ya wanawake na tendo la ndoa.
    jaribu kutumia hata tafsida basi looh
    hivi kweli wasio kuwa waislam watavutiwa kweli kwa hivyo unavyopreach

    • @adamkatet274
      @adamkatet274 8 лет назад

      Said Kibasila kwani wanawake si watu

    • @zaykirah867
      @zaykirah867 7 лет назад +1

      Tafsida gani hazungumzi na watoto.na wanawake wananufaika na mawaidha yake

    • @aminariziki1677
      @aminariziki1677 6 лет назад +1

      Twafaa tushkuru Allah ametupa mashekhe wazuri natuseme Alhamdulila kwakila daawa watowayo maana dawa zao ni akiba kubwa Sana kwetu. Tuna watoto jamani.

    • @mwajumawaziri9141
      @mwajumawaziri9141 3 года назад

      Wew acha zako kama utak kuskiza acha