Kitabu cha Mhubiri

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 сен 2024
  • Katika Mhubiri, tunaisikia sauti ya kushuku ya "mwalimu." Anagundua kuwa kuishi kulingana na kitabu cha Mithali hakuleti matokeo mazuri kila wakati. Wakati mwingine maisha ni magumu na hayaeleweki kirahisi. Je, unaishije na mvutano huu, na bado uwe na shauku na jitihada ya kupata hekima? Mhubiri ni kitabu cha pili cha vitabu vya hekima.
    #BibleProject #Biblia #Mhubiri
    Wahusika Katika Utayarishaji wa Video:
    Timu Ya Utayarishaji Wa Toleo La Kiswahili
    Tai Plus
    Dar es Salaam, Tanzania
    Toleo la Asili la Kiingereza na Utayarishaji Wake
    BibleProject Portland, Oregon, USA

Комментарии • 3

  • @nassonimfumbilwa6461
    @nassonimfumbilwa6461 Месяц назад

    UBARIKIWE Sana mtumishi wa MUNGU

  • @japhetmwashilindi8081
    @japhetmwashilindi8081 5 месяцев назад

    💪

  • @stiangabrirl
    @stiangabrirl 7 месяцев назад +1

    Ni elimu kubwa sana hii, ilipaswa nione watu wengi sana kwenye video hii, lakini, Cha kushangaza ni Mimi pekee najiona kwenye uwanja naangalia hivi Sasa inamwaka mmoja na comment inayoonekana ni yangu pekee kwanini...?