Hicho Chama mbona siku zote wenye Akili wanajua kuwa ni sakosi ya Mbowe ukiwa unahakili za kutosha huwezi kuwa humo labda uwe kubwa Ujinga Mwenyekiti wa kudumu wa milele akina Waitara Joshua Nasari Zito Kabwe Professor Kitila Mkumbo nk walijua mapema waliobaki ni KUPE wasiojijua
Njaa kali mkuu,,, unaweka chama pembeni unapiga pesa,,, Wote waliobadilisha vyama hasa kutoka cdm to ccm ni njaa za madaraka na kula pesa za bure za bunge,,,, anahebisha ajitokeze,,,, Nitajie mbunge aliye hasi chama na kutulia na mambo yake,, kutoa hayati mzee lowasa,,, Wote kina joshua, kitila, na wengineo tumbo mbelee
Kabuki’s. Nagupenda Nakuomba Mutoni kwa yareunayoyazungumuza. Rakini Musigwa ni Berger nimusariti Mimi naona Hagar?
Sasa huo urafiki Bado hukumwelewa Msigwa utuulize sisi tuliyeishi naye
Hicho Chama mbona siku zote wenye Akili wanajua kuwa ni sakosi ya Mbowe ukiwa unahakili za kutosha huwezi kuwa humo labda uwe kubwa Ujinga Mwenyekiti wa kudumu wa milele akina Waitara Joshua Nasari Zito Kabwe Professor Kitila Mkumbo nk walijua mapema waliobaki ni KUPE wasiojijua
Huyo msigwa hataki kukaa bila cheo!! Mwabukusi utajishushia hadhi kwa kumtetea huyo.
Njaa kali mkuu,,, unaweka chama pembeni unapiga pesa,,,
Wote waliobadilisha vyama hasa kutoka cdm to ccm ni njaa za madaraka na kula pesa za bure za bunge,,,, anahebisha ajitokeze,,,,
Nitajie mbunge aliye hasi chama na kutulia na mambo yake,, kutoa hayati mzee lowasa,,,
Wote kina joshua, kitila, na wengineo tumbo mbelee
Mwambukusi nawewe hovyo kumbe
Mtu kama msigwa hafai kupata nafasi yoyote na hata urafuki nae haitakiwi huyo ni rafiki kwenye naslahi tofauti na hapo hafai kabisaaa
Na nibora angeenda chama kingine cha upinzani sio ccm, hovyo sana msigwa njaaa imehamia kichwani Pepo mpuuzi
Tatizo la msigwa na Akina mwambukusi wanajiona wao ni akili kubwa nahawawezi kusikuza ,kuongozwa na wengine
Mchungaji msigwa, alipaswa kustahafu siasa kama Dr silaa akawa mshauri namwanasiasa huru
Mwabukusi achakushusha haziyako nawewe utaenda ccm tu nibolawewe unaonekanamapema