THE MIXIKILLER: DARASA KANITAPELI PESA/HAJANILIPA/SIMU HAPOKEI/NIMEMSHITAKI BASATA
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2024
- 𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
sema inauma the whole day hulali unaspend time kwenye computer! afu unadhurumiwa hela dah😖
Alipe Hela Ya Watu ...Themixkiller Anaonekana Tu Anasema Ukweli Kwa Kumuangalia Tu ... Darasaa Kuvimba Kote Kule Hela Ya Kulipa Producer Hana Aibu Saaana ,Halaf Unataka Kumvimbia Diamond 😅😅😅😅😅😅😅
Darasa km haya malalamiko ni ya kweli bhas mpatie kijana haki yake,anaonekana mpole sana
Yeah jamaa anaonekana anongea ukweli
Awa wasanii wengine tabu kwel iv mtu anakesha kuktengenezea ngoma zako uende mjin af unamchukulia poa poa 2 dah!
Hilo so fair brother darasa,kutapeli producer so Jambo poa,pole kwa mixkiller🙏from kenya
Producers wanaonewa sana inabidi ifike time serikali iingilie kati kuhusu maslahi ya production kwa ujumla. Tale kasema bungeni lkn utashangaa viongozi watakavyochukua muda kufanya maamuzi.
Hapa msanii kawekeza na producer lkn wanafaidikaje bado hakuna kitu.
Darasa pia anazingua why usiwe karibu na mtu aliyekufanikishia Jambo lako kwa ukubwa hatakama huna unajificha nn sasa!
Maproducers wanadhulumiwa Sana Sana..hata huyo laiza hatuoni maendeleo yake hata maproducers wengine
Kwahyo ulitaka laizer kila analofanya akuonyeshe ww mkewe
Laiza ana magari anaishi vzuri ule ako kwa kampuni kubwa afu ako kwa mikono salama
Watu kma hawa ndo wanafanya ma upcoming tunashindwa kusaidiwa na ma producer wa maana kma hawaa ila brother mixkiller muachie mungu hakuna mkubwa chini ya jua zaidii ya Allah alaf shida sio siku moja
Likes zangu wajameni 😅🔥👍🏾
Darassa unatukatisha tamaa mashabiki wako
Duuh aisee 🙊🙊
Yann jamaa nimemuonea huruma cn kama wamerudia siwangemwambia kabla waong ty
The killer...upo juu..kazi zako ni noma...mama Amina my fav.
Hao matapeli temana nao.
Unajua maana ya mkataba..???
Hapo ndipo utapojua kuwa wasanii wabongo pesa hawana ni kiki na mbwembwetu
Na nyinyi kueni na hakili siwezi fanya kazi bila kazi razima pesa kwanza
Muziki haupo hivyo kaka, Muziki ni Vibe kaka. wenzetu wana charge kwa Saa na kuna mikataba simple tu ya kufanya kazi unasign fasta fasta baada ya kumaliza kwamba ameingia saa fulani mpaka fulani okay okay kila mtu anasepa na yake, Mtalipana baadae...
kwa kweli sanyoingine tusiaminiane kwa kupitiliza kihivyo ,labda alikua na nia ya kulipa ila mauzo hayakukubali, lakini ingekua kuna mikataba ya makubaliano ingesaidia hata kuichukua album hio nakufanya biashara nakurudisha hasara
Darasa na menejaa wako mna ji shushaa achane uta pel eb mlipen Hyoo Dogo pesaa yake😂😂😂
Ndio maana aufiki mbali darasa
Much love from juba 🇸🇸🇸🇸🇸🇸😊
Huyu jamaaa anaweza ila darasa alipe
Anataka kik hana lolote laki9 ni ndogo kwa darasa aache ujinga boya uyo amna asie daiwa
Jasho la mtu haliliwi
Jina la ig mixxing killer please
Ukitaka ubaya dai chako
Teja lipa pesa za watu
The beat killer ❤❤
3rd on replied😀😀😀
The mix kilaaaaaaaaa classic music
Nahisi huyuuu jamaa kapangwa aje kumchafua darasa Baada ya darasa kulalamika kuhusu Diamond platinum so naona wafanyakazi wa wasafi Tv wanatumika vibaya kuhujumu watu ili wampendeze Boss wao Diamond platinum
Acheni kuchafua watu sasa anakuja kuongerea hapo ndo Basata? Au ndo Mahakamani??
Hii ni ujuma kwa wasanii wenzao tuu ili wasikike wao Tu na Mimi naungana na Kigogo 2014 kwamba kura yangu aiendi kwa diamond
Sure kabisaaaaa....wasafi wanakosoa saaana aiseee
Hata huku Kenya kuna mtu kamu zarumu ona kwenye peji yangu kijinga sana darasa
2022🦅🦅
uyu darassa kumbe kuma ee dah
Naona mnajibu mashambulizi dawa imewaingia 😅😅😅
Hizi ni hujuma....kisa darasa kamsema negatv..nae wameanza kumuundia mamluki...hawa wasafi sio vizur wanavyofanya aisee..nmegundua hata hii tv nayo ni bias
Bro next time mkataba uwe unaupa kipaumbere now days dunia imebadirika, god will pay you
Sema darasa unazingua coz huyu Dogo sio mtu wa mitandao ila kazi zake zionekana hivyo awezi kuongea kitu ambacho sio kweli, pia nitabia yako kuwadharau up coming producer nakumbuka hata Black ulishawai kumletea dharau ila baada ya kusikia nyimbo ya nyegezi ya van na Diamond ukaanza kumletea shobo yakutaka kufanyanae kazi ila Dogo akachomoa
Darasa haana hela
Hatar sana bro but uaminifu ni kila kitu kwenye kax Darasa akulipe kwa hyo Kaz mzeee
Kwahyo Wasafi ndio mahakama au kiki..?
Yan ww kuma xn mtu anadai Haki yke tangu December mwaka jana bado hajuii nn hatima yke unaleta ufala tena mbn uchangnya vitu na unakosa ungwana fala Sana ww unajua kuzulumiwa Kuna uma
Wasafi wapo kikazi daah
@@libanda1newz300 huyo ni mpuzi saana
Wabongo kila kitu mnaleta mjadala,sasa wasafi wanahusika aje na hili issue,kila mahali lazma mtaje wasafi,chenye hamjui bila wasafi hamngekua popote.. much love and blessings from KENYA 💯
@@willinjowritter206 wasafi wapo kazi kaka
Alubam haijauza hiyo laxima darasa apate MUHAHO jmn
The mixkiller Mzee wa li mmbwa Wuuuu wuuuuu Hatari Sana huyu jamaa Sasa darassa lipa hela ya watu bhna
Msanii pekee ambaye ameona mziki umemlipa ni simba2,hawa wengne wanasikitisha kwa,kweli,ukute Hata hela ya kula niyakuiwazia
We ungaunga mitambo mi nipo hewani kwa kula pesa za watu duuu
Huyu dogo anamambo ya kishamba sana, Sasa akimtangaza iv ndio atalipwa?
Hizi kiki hizi...eti darassa kadedi kwa ajali...dah is too much guys
Wcb 4life
uyu darassa mwizi uyu mtoto uyu
Kumbe huyu mwamba hela hanaga duuh!!
dalasa kweli ? siokweli
Wakaangaji siwapendi
Dogo anazengua asitafute kick.wasafi wawekeni sawa
🤔
Nani kagundua hii ni Kiki
KAMAUNATAKA KIKI KWAPIKIPIKI
Darassa sio muongeaji sana