THE MIXIKILLER: DARASA KANITAPELI PESA/HAJANILIPA/SIMU HAPOKEI/NIMEMSHITAKI BASATA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • 𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
    𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
    𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
    𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
    𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
    𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
    𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
    𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
    𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
    𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 66

  • @emmanuelisaya184
    @emmanuelisaya184 3 года назад +17

    sema inauma the whole day hulali unaspend time kwenye computer! afu unadhurumiwa hela dah😖

  • @einsteinmboje4730
    @einsteinmboje4730 3 года назад +14

    Alipe Hela Ya Watu ...Themixkiller Anaonekana Tu Anasema Ukweli Kwa Kumuangalia Tu ... Darasaa Kuvimba Kote Kule Hela Ya Kulipa Producer Hana Aibu Saaana ,Halaf Unataka Kumvimbia Diamond 😅😅😅😅😅😅😅

  • @zaynabyusuf4324
    @zaynabyusuf4324 3 года назад +17

    Darasa km haya malalamiko ni ya kweli bhas mpatie kijana haki yake,anaonekana mpole sana

  • @naseebamri2191
    @naseebamri2191 3 года назад +11

    Awa wasanii wengine tabu kwel iv mtu anakesha kuktengenezea ngoma zako uende mjin af unamchukulia poa poa 2 dah!

  • @officialbd-beemusic
    @officialbd-beemusic 3 года назад +12

    Hilo so fair brother darasa,kutapeli producer so Jambo poa,pole kwa mixkiller🙏from kenya

  • @dianajeremiah3180
    @dianajeremiah3180 3 года назад +8

    Producers wanaonewa sana inabidi ifike time serikali iingilie kati kuhusu maslahi ya production kwa ujumla. Tale kasema bungeni lkn utashangaa viongozi watakavyochukua muda kufanya maamuzi.
    Hapa msanii kawekeza na producer lkn wanafaidikaje bado hakuna kitu.
    Darasa pia anazingua why usiwe karibu na mtu aliyekufanikishia Jambo lako kwa ukubwa hatakama huna unajificha nn sasa!

  • @pikolaizaog7303
    @pikolaizaog7303 3 года назад +7

    Maproducers wanadhulumiwa Sana Sana..hata huyo laiza hatuoni maendeleo yake hata maproducers wengine

    • @josephkiwale3495
      @josephkiwale3495 3 года назад

      Kwahyo ulitaka laizer kila analofanya akuonyeshe ww mkewe

    • @mbezzoprince9462
      @mbezzoprince9462 3 года назад

      Laiza ana magari anaishi vzuri ule ako kwa kampuni kubwa afu ako kwa mikono salama

  • @laemoha_005
    @laemoha_005 Месяц назад +1

    Watu kma hawa ndo wanafanya ma upcoming tunashindwa kusaidiwa na ma producer wa maana kma hawaa ila brother mixkiller muachie mungu hakuna mkubwa chini ya jua zaidii ya Allah alaf shida sio siku moja

  • @Ntaba
    @Ntaba 3 года назад +7

    Likes zangu wajameni 😅🔥👍🏾

  • @frankyjohnmwikombe
    @frankyjohnmwikombe 3 года назад +6

    Darassa unatukatisha tamaa mashabiki wako

  • @eaglemusicog6193
    @eaglemusicog6193 3 года назад +8

    Duuh aisee 🙊🙊

  • @officialkimaro5001
    @officialkimaro5001 3 года назад +3

    Yann jamaa nimemuonea huruma cn kama wamerudia siwangemwambia kabla waong ty

  • @messageofloveandhope4249
    @messageofloveandhope4249 Год назад

    The killer...upo juu..kazi zako ni noma...mama Amina my fav.
    Hao matapeli temana nao.

  • @deejeydaev
    @deejeydaev 3 года назад +5

    Unajua maana ya mkataba..???

  • @shivalonso8277
    @shivalonso8277 2 года назад

    Hapo ndipo utapojua kuwa wasanii wabongo pesa hawana ni kiki na mbwembwetu

  • @janetahmed6948
    @janetahmed6948 3 года назад +4

    Na nyinyi kueni na hakili siwezi fanya kazi bila kazi razima pesa kwanza

    • @qadinacci
      @qadinacci 3 года назад

      Muziki haupo hivyo kaka, Muziki ni Vibe kaka. wenzetu wana charge kwa Saa na kuna mikataba simple tu ya kufanya kazi unasign fasta fasta baada ya kumaliza kwamba ameingia saa fulani mpaka fulani okay okay kila mtu anasepa na yake, Mtalipana baadae...

  • @mathewdyzymaleyafrica9128
    @mathewdyzymaleyafrica9128 3 года назад +2

    kwa kweli sanyoingine tusiaminiane kwa kupitiliza kihivyo ,labda alikua na nia ya kulipa ila mauzo hayakukubali, lakini ingekua kuna mikataba ya makubaliano ingesaidia hata kuichukua album hio nakufanya biashara nakurudisha hasara

  • @dogotwaanails_mafunzo
    @dogotwaanails_mafunzo 3 года назад +1

    Darasa na menejaa wako mna ji shushaa achane uta pel eb mlipen Hyoo Dogo pesaa yake😂😂😂

  • @adamalfred9348
    @adamalfred9348 3 года назад +3

    Ndio maana aufiki mbali darasa

  • @Gojarific95
    @Gojarific95 3 месяца назад

    Much love from juba 🇸🇸🇸🇸🇸🇸😊

  • @philbertemmanuel7630
    @philbertemmanuel7630 3 года назад

    Huyu jamaaa anaweza ila darasa alipe

  • @siaminja1066
    @siaminja1066 3 года назад +1

    Anataka kik hana lolote laki9 ni ndogo kwa darasa aache ujinga boya uyo amna asie daiwa

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 3 года назад +3

    Jasho la mtu haliliwi

  • @Givan-nu7mi
    @Givan-nu7mi 3 года назад

    Jina la ig mixxing killer please

  • @kibeginiblue7188
    @kibeginiblue7188 3 года назад

    Ukitaka ubaya dai chako

  • @mbezzoprince9462
    @mbezzoprince9462 3 года назад

    Teja lipa pesa za watu

  • @Gojarific95
    @Gojarific95 3 месяца назад

    The beat killer ❤❤

  • @takeafastlook5693
    @takeafastlook5693 3 года назад +3

    3rd on replied😀😀😀

  • @kingcopper_tz
    @kingcopper_tz 3 года назад +3

    The mix kilaaaaaaaaa classic music

  • @digitaltv5678
    @digitaltv5678 3 года назад +2

    Nahisi huyuuu jamaa kapangwa aje kumchafua darasa Baada ya darasa kulalamika kuhusu Diamond platinum so naona wafanyakazi wa wasafi Tv wanatumika vibaya kuhujumu watu ili wampendeze Boss wao Diamond platinum
    Acheni kuchafua watu sasa anakuja kuongerea hapo ndo Basata? Au ndo Mahakamani??
    Hii ni ujuma kwa wasanii wenzao tuu ili wasikike wao Tu na Mimi naungana na Kigogo 2014 kwamba kura yangu aiendi kwa diamond

    • @abeidbhuzo520
      @abeidbhuzo520 3 года назад

      Sure kabisaaaaa....wasafi wanakosoa saaana aiseee

  • @kingbyaro6016
    @kingbyaro6016 3 года назад +1

    Hata huku Kenya kuna mtu kamu zarumu ona kwenye peji yangu kijinga sana darasa

  • @maleek11flacko
    @maleek11flacko 2 года назад

    2022🦅🦅

  • @kakamimi8100
    @kakamimi8100 3 года назад +1

    uyu darassa kumbe kuma ee dah

  • @mzeemohamed9286
    @mzeemohamed9286 3 года назад +1

    Naona mnajibu mashambulizi dawa imewaingia 😅😅😅

    • @abeidbhuzo520
      @abeidbhuzo520 3 года назад

      Hizi ni hujuma....kisa darasa kamsema negatv..nae wameanza kumuundia mamluki...hawa wasafi sio vizur wanavyofanya aisee..nmegundua hata hii tv nayo ni bias

  • @dynothekid6760
    @dynothekid6760 3 года назад

    Bro next time mkataba uwe unaupa kipaumbere now days dunia imebadirika, god will pay you

  • @officialt-starboy9343
    @officialt-starboy9343 3 года назад

    Sema darasa unazingua coz huyu Dogo sio mtu wa mitandao ila kazi zake zionekana hivyo awezi kuongea kitu ambacho sio kweli, pia nitabia yako kuwadharau up coming producer nakumbuka hata Black ulishawai kumletea dharau ila baada ya kusikia nyimbo ya nyegezi ya van na Diamond ukaanza kumletea shobo yakutaka kufanyanae kazi ila Dogo akachomoa

  • @ombeniruvubika5392
    @ombeniruvubika5392 3 года назад +1

    Darasa haana hela

  • @drbeats3103
    @drbeats3103 3 года назад

    Hatar sana bro but uaminifu ni kila kitu kwenye kax Darasa akulipe kwa hyo Kaz mzeee

  • @venancekavishe9823
    @venancekavishe9823 3 года назад +7

    Kwahyo Wasafi ndio mahakama au kiki..?

    • @libanda1newz300
      @libanda1newz300 3 года назад +2

      Yan ww kuma xn mtu anadai Haki yke tangu December mwaka jana bado hajuii nn hatima yke unaleta ufala tena mbn uchangnya vitu na unakosa ungwana fala Sana ww unajua kuzulumiwa Kuna uma

    • @shivonjeshikali2654
      @shivonjeshikali2654 3 года назад +1

      Wasafi wapo kikazi daah

    • @shivonjeshikali2654
      @shivonjeshikali2654 3 года назад +1

      @@libanda1newz300 huyo ni mpuzi saana

    • @willinjowritter206
      @willinjowritter206 3 года назад

      Wabongo kila kitu mnaleta mjadala,sasa wasafi wanahusika aje na hili issue,kila mahali lazma mtaje wasafi,chenye hamjui bila wasafi hamngekua popote.. much love and blessings from KENYA 💯

    • @shivonjeshikali2654
      @shivonjeshikali2654 3 года назад

      @@willinjowritter206 wasafi wapo kazi kaka

  • @bonifacehassan1309
    @bonifacehassan1309 3 года назад

    Alubam haijauza hiyo laxima darasa apate MUHAHO jmn

  • @dinoboyarnold4324
    @dinoboyarnold4324 3 года назад +3

    The mixkiller Mzee wa li mmbwa Wuuuu wuuuuu Hatari Sana huyu jamaa Sasa darassa lipa hela ya watu bhna

  • @josephkiwale3495
    @josephkiwale3495 3 года назад

    Msanii pekee ambaye ameona mziki umemlipa ni simba2,hawa wengne wanasikitisha kwa,kweli,ukute Hata hela ya kula niyakuiwazia

  • @augustinojonas2643
    @augustinojonas2643 3 года назад

    We ungaunga mitambo mi nipo hewani kwa kula pesa za watu duuu

  • @gerry_macopper3808
    @gerry_macopper3808 3 года назад +1

    Huyu dogo anamambo ya kishamba sana, Sasa akimtangaza iv ndio atalipwa?

  • @EastCoasTGorilla90
    @EastCoasTGorilla90 3 года назад

    Hizi kiki hizi...eti darassa kadedi kwa ajali...dah is too much guys

  • @jorgettemwajuma5428
    @jorgettemwajuma5428 3 года назад +1

    Wcb 4life

  • @kakamimi8100
    @kakamimi8100 3 года назад

    uyu darassa mwizi uyu mtoto uyu

  • @josephkiwale3495
    @josephkiwale3495 3 года назад

    Kumbe huyu mwamba hela hanaga duuh!!

  • @sultanmakofia2252
    @sultanmakofia2252 3 года назад

    dalasa kweli ? siokweli

  • @kapona927
    @kapona927 3 года назад

    Wakaangaji siwapendi

  • @peterbuberwa4694
    @peterbuberwa4694 3 года назад

    Dogo anazengua asitafute kick.wasafi wawekeni sawa

  • @buddahmakucha6848
    @buddahmakucha6848 3 года назад

    🤔

  • @bakarisuleiman3824
    @bakarisuleiman3824 3 года назад +1

    Nani kagundua hii ni Kiki

  • @mudyfaisaly5705
    @mudyfaisaly5705 3 года назад +1

    KAMAUNATAKA KIKI KWAPIKIPIKI

  • @romakoko2292
    @romakoko2292 3 года назад

    Darassa sio muongeaji sana