VIDEO: MFANYABIASHARA GSM AMUULIZA MWIJAKU 'SIMBA MMEJIANDAAJE', BABA LEVO APINGILIA MSUMARI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 июл 2022

Комментарии • 74

  • @silvertv8083
    @silvertv8083 2 года назад +24

    Mashabiki kindaki Ndaki au machawa 😂😂 sema wanaupiga mwingi sana

  • @johnmushi8739
    @johnmushi8739 2 года назад +32

    Sema nachojifunza happo tajir hana maneno meng, hata kwenye maish tunayoishi tujifunze kukaa kimya, ukiwa na njaa ndo utaongea usk kucha

    • @jaymandy8136
      @jaymandy8136 2 года назад

      😂😆😆😆😆

    • @bomanimedia
      @bomanimedia 2 года назад

      Mbona kama unamsema mtu😂😂😂

    • @rehemaabdullah7606
      @rehemaabdullah7606 2 года назад

      Watakusikia wenyewee🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @Teksani
      @Teksani 2 года назад

      Sasa wewe mbona upo kimya na bado ni masikini? Au ndio masikini jehuri?

    • @kennedylukwembe577
      @kennedylukwembe577 2 года назад

      😂😂

  • @naldotheprince7
    @naldotheprince7 2 года назад +5

    Hii nchi Ina vijana wa hovyo sanaa 🤣😂🤣😂🤣🤣🤣😂😂🤣🤣hawa daaaah haya vizazi visije rithi tuu🤣😅🤣🤣🤣

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 2 года назад +5

    Mwijaku nakupenda,ila chonde usimguse boss wetu kipenzi,itakucost saana

    • @lucymtuka6393
      @lucymtuka6393 2 года назад

      Hpo mwijaku mate sasa😂😂😂😂

    • @alicenice1711
      @alicenice1711 2 года назад

      @@lucymtuka6393 nakwambia apo anatamani awe GSM😄😄

  • @zikirination6769
    @zikirination6769 2 года назад +5

    Machawa wakifika kwa boss kubwa mishipa inachomoka 😁😁😁Promax wa mond na nokia toch ya konde gang😁😁

  • @peterdavid4230
    @peterdavid4230 2 года назад +11

    iv mwijaku mbona una laana sana jamani yaan umefika uko kumwambia mwanadamu mwenzio kua unategemea rohoo yake ifike mda ujieshimu kumbuka aya maisha tu ya duniani sikuzote amtegemeae mwanadamu na kumfanya kua kinga yake nae alaaniwe

    • @salehsenkondo5399
      @salehsenkondo5399 2 года назад +2

      Kaka, vitu vya mitandaoni visikutie maudhi utaishia kuumia tu Kaka.

    • @anchortechnicx5014
      @anchortechnicx5014 2 года назад

      @@salehsenkondo5399 kweli kabsaa haya mambo sio ya kuyaweka akilini kabisaaa

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis9825 2 года назад +9

    Jamaa Utawaona Kama Machiz Lkn Ugali Wao Ndio Wanapata Kwa Njia Hz Za Masihara

  • @madooog6067
    @madooog6067 2 года назад +18

    Hawa watu wakisema wazishe ligi ya kuongea wanajaza uwanja wa taifa

  • @japhethmangaka3768
    @japhethmangaka3768 2 года назад +3

    😂😂😂 Baba levo bhn
    Ety hizo dua adi na kocha nabi anazipiga

  • @user-pg1xe1qs2g
    @user-pg1xe1qs2g 2 года назад +2

    Babalevo bhana 😁😁

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 2 года назад +3

    Hahahah hawa watu wamemfanya asahau msiba kwa muda

  • @stephanomoses7694
    @stephanomoses7694 2 года назад +2

    Haya majamaa lazima yachote fungu refu apo boss kubwa .

  • @renatuswilson1577
    @renatuswilson1577 2 года назад +2

    Unaongea na Tajiri unarusharusha mikono

  • @kwilasacharles1747
    @kwilasacharles1747 2 года назад +3

    Uchawa mpaka msibani tutafute hela ili watoto wetu wakienda msibani wakatoe pole tu🤣🤣🤣

  • @musason1680
    @musason1680 2 года назад +1

    Uchawa n Kaz asee

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 2 года назад +2

    Professional Chawas.. mjinj akili,kijijini nguvu.

  • @broka_genius3615
    @broka_genius3615 2 года назад +2

    Baba levo bhana 😂

  • @irhamseif
    @irhamseif 2 года назад +6

    Misiba ya matajiri bana dah hata awana huzuni waangalie wale wa kigoma wawatu sita dah

    • @MohammedAli-rh5si
      @MohammedAli-rh5si 2 года назад +1

      Ya kigoma acha ww hata wangekua matajiri huzuni ingekuwepo tofautisha marehemu alegua naalie uwawa au kupata ajali anaegua unajiandaa kiakili kutokana na hali yake lile la kigoma pigo mwee Allah atunusuru

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 года назад +1

      Wewe kweli Ndimu

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 года назад +1

    Ama kweli nyie waha kiboko

  • @youngweezy3846
    @youngweezy3846 2 года назад

    Dah awa jamaa 😁😁😁

  • @katyalengajua6716
    @katyalengajua6716 2 года назад +1

    Watu weusi wapo kwa tajiri

  • @victormushi6641
    @victormushi6641 2 года назад +3

    unategemea roho ya mwanaume mwenzako, mwijaku punga kweli yani likoje hili mbona km shoga vile

  • @daxxlatestmovies6194
    @daxxlatestmovies6194 2 года назад +3

    Hivi hawa jamaa hawawezi kuongea bila kutikisa mikono

    • @missangela6720
      @missangela6720 2 года назад

      😂😂😂

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 2 года назад

      DAXX....... Hiyo ndio KIGOMA Brother , WAMEITEKA Dar na Vitongoji vyake.

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior 2 года назад

    ILA MWIJAKU AJIFUNZE KUONGEA BILA KUSHIKASHIKA WATU.
    MWINGINE ANAKUWA HAPENDI ILA ANASHINDWA KUSEMA.

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 2 года назад +1

    Yn hapo hakuna anaejua mpira Bali ni uchawa tu

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 2 года назад

    Waha kama waha🤣🤣🤣

  • @king-size8114
    @king-size8114 2 года назад +3

    Hahahaha 🤣🤣🤣

  • @ladysasty
    @ladysasty 2 года назад +1

    Dawa ya makovu sugu
    ruclips.net/video/7OOs2j5ahDw/видео.html

  • @isaacsimon3580
    @isaacsimon3580 2 года назад +1

    Wanajua kuganga njaa🤪🤪🤪🤪

  • @user-pg1xe1qs2g
    @user-pg1xe1qs2g 2 года назад +1

    😁😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣

  • @idrissatuppa3997
    @idrissatuppa3997 2 года назад

    Machawa😂😂😂

  • @UFC_HIGHLIGHT123
    @UFC_HIGHLIGHT123 2 года назад

    Hawa jamaa wanajua kutafuta pesa 😂😂😂😂

  • @user-pg1xe1qs2g
    @user-pg1xe1qs2g 2 года назад

    Ila matajiri bhana 😁😁😁😁 anawashangaa tu

  • @mtorosenga1272
    @mtorosenga1272 2 года назад +3

    Chawas in advance

  • @msafirisalum8436
    @msafirisalum8436 2 года назад

    Hivi mo unaweza kumsogelea na kuongea hivi kweli

  • @jumakibe5032
    @jumakibe5032 2 года назад +4

    Chawas🤣🤣🤣

  • @fredrickdaudy4798
    @fredrickdaudy4798 2 года назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @mwalimumasoudy4699
    @mwalimumasoudy4699 2 года назад

    😂😂😂😂😂

  • @skylove5146
    @skylove5146 2 года назад

    Wanatafuta mulo tu awana lolote

  • @user-pg1xe1qs2g
    @user-pg1xe1qs2g 2 года назад

    Hawa jamaa saivi wanaoendezana sana

  • @jumbeojaso5767
    @jumbeojaso5767 2 года назад +3

    Mtu kafiwa nyie mnafanya comedy, siamini hiyo familia inafuraha kiasi hicho ndugu zangu, fanyeni vitu kwa hekima

    • @benardmwakasoko7813
      @benardmwakasoko7813 2 года назад +1

      Baba levo mwambie huyo mweusi na mikono yake ya shombo asimshikeshike bosi wetu

    • @kennyrogers4734
      @kennyrogers4734 2 года назад +1

      @@benardmwakasoko7813😂😂 Itakuwa ametumwa na Makolo yule asimtie nuksi Boss wetu bhana

    • @salmamakweta1198
      @salmamakweta1198 2 года назад

      @hapo ndo anafarijiwa

  • @rockyvlogs2214
    @rockyvlogs2214 2 года назад

    Mtu wakuongea anashika shika watu asee

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana8776 2 года назад

    Brack people to rich family

  • @drsalma837
    @drsalma837 2 года назад +1

    ruclips.net/video/6aWWNqSKKq8/видео.html
    DAWA YA KUMSHIKA MPENZI KIGANJANI*#.

  • @drsalma837
    @drsalma837 2 года назад +1

    ruclips.net/video/6aWWNqSKKq8/видео.html
    DAWA YA KUMSHIKA MPENZI KIGANJANI*#.