SEIF SIMBA: AMALIZA UTAMU WOTE KWA MUKWALA | FADLU NI MASTER PLAN | UBINGWA BADO TUNAUTAKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024
  • СпортСпорт

Комментарии • 22

  • @زينبالخالدي-م4م
    @زينبالخالدي-م4م 10 часов назад +2

    Tulikua tunamsubiri kaka seif❤

  • @vincentpazzia1688
    @vincentpazzia1688 7 часов назад +2

    Akili kubwa sana hii inaongea...Big up Seif Simba

  • @AthumanKinaku
    @AthumanKinaku 7 часов назад +2

    Sawa

  • @anwaryyahyamohd3880
    @anwaryyahyamohd3880 7 часов назад +1

    Fact broo❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @anwaryyahyamohd3880
    @anwaryyahyamohd3880 7 часов назад +1

    Uko vizur sana kwa maana unaeleza kinaeleweka

  • @DeborahSaitoti-oy7fm
    @DeborahSaitoti-oy7fm 9 часов назад +1

    Uko vzr kaka

  • @abrahmankhamis-n4e
    @abrahmankhamis-n4e 11 часов назад +1

    Seif simba nakubali sana sana tu

  • @MohamedRugamana
    @MohamedRugamana Час назад

    Mdogo wangu nakukubali sana unaujuwa mpira

  • @TumainiSawee
    @TumainiSawee Час назад

    Kaka 👌

  • @AshuraChamwana
    @AshuraChamwana 8 часов назад +1

    Kaka nakukubalisana simba nguvumoja ubaya ubwela

  • @hassanjalikazi6754
    @hassanjalikazi6754 3 часа назад +2

    Sefuuu wewe unajua mpira sio shabiki yani nikikusikiriza wewe huwa nasikia burudani san Bg up broo yani unakua nahamu yakukusikiriza utafika mbali broo unakitu kichwani mwako endelea mungu hanachoyo ishaala mungu akutangulie .lakini ukimsikili mtu kama mwalimu yanga kama chizi

  • @AliMpenda
    @AliMpenda 10 часов назад +1

    Wewe unajua sana sana jamaa mukwakwala anajua sana waaa

  • @jofreymhagule7505
    @jofreymhagule7505 8 часов назад +1

    Ujawahi kosea mzeeya

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 10 часов назад +2

    Broo Sefu nkukubar sana unajua sana mpira kuchambua

  • @AliMpenda
    @AliMpenda 10 часов назад +1

    Nikweki kaka

  • @MakarotiKamugisha
    @MakarotiKamugisha 10 часов назад +1

    Unajuw mno

  • @AliMpenda
    @AliMpenda 10 часов назад +1

    Kaka poa binseif mpira unachezwa sasa staika refu kuliko goli waa

  • @stevematias7809
    @stevematias7809 11 часов назад +1

    Sefu ni mtalamu Sana wa kuongea mashabiki WA simba ila ni mtu anaejua mpira

  • @mnyongeiddi2454
    @mnyongeiddi2454 8 часов назад +1

    Huyu jama anakitu anaongea kwa point siyo kulopoka bila mpangilio safi sana

  • @Fundirichie
    @Fundirichie 9 часов назад

    Kaka sauti hiko chini sana

    • @hassanmakame4382
      @hassanmakame4382 8 часов назад

      Una simu mbovu maana sauti nikubwa hadi inakera