Sefuuu wewe unajua mpira sio shabiki yani nikikusikiriza wewe huwa nasikia burudani san Bg up broo yani unakua nahamu yakukusikiriza utafika mbali broo unakitu kichwani mwako endelea mungu hanachoyo ishaala mungu akutangulie .lakini ukimsikili mtu kama mwalimu yanga kama chizi
Tulikua tunamsubiri kaka seif❤
Akili kubwa sana hii inaongea...Big up Seif Simba
Sawa
Fact broo❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Uko vizur sana kwa maana unaeleza kinaeleweka
Uko vzr kaka
Seif simba nakubali sana sana tu
Mdogo wangu nakukubali sana unaujuwa mpira
Kaka 👌
Kaka nakukubalisana simba nguvumoja ubaya ubwela
Sefuuu wewe unajua mpira sio shabiki yani nikikusikiriza wewe huwa nasikia burudani san Bg up broo yani unakua nahamu yakukusikiriza utafika mbali broo unakitu kichwani mwako endelea mungu hanachoyo ishaala mungu akutangulie .lakini ukimsikili mtu kama mwalimu yanga kama chizi
Inshaallah
Wewe unajua sana sana jamaa mukwakwala anajua sana waaa
Ujawahi kosea mzeeya
Broo Sefu nkukubar sana unajua sana mpira kuchambua
Nikweki kaka
Unajuw mno
Kaka poa binseif mpira unachezwa sasa staika refu kuliko goli waa
Sefu ni mtalamu Sana wa kuongea mashabiki WA simba ila ni mtu anaejua mpira
Huyu jama anakitu anaongea kwa point siyo kulopoka bila mpangilio safi sana
Kaka sauti hiko chini sana
Una simu mbovu maana sauti nikubwa hadi inakera