Kwa maisha ya kawaida majumbani mwetu watoto wanaodekezwa kwenye malezi yao wanapata taabu Sana kwenye maisha yao baadae... Haya tunayolalamika vyombo vya Habari vinajitokeza nakusema timu yetu mbovu badala ya kujibu hoja za wale wazee... Timu mbovu inawezaje kuwafunga Al ahly tripoli ya Akina mabululu na mastaa lukuki Ndani yake? Awamu ya sita inatukosea wanasimba pakubwa Sana 😢
Ukitoka nje ya Tanzania yanga timu namba mbili Simba Moja jiulize Kagame Simba bingwa wa kihistoria Caf Simba namba Saba ya kumi na tatu Ni Simba tangia ianzishwe yanga hakuwahi kuizid Simba caf Lakin ndani hapa yanga hiko juu kuliko Simba jiulize Vyombo vya habar mpaka wachambuz wote wanamonitiwa kuiongelea yanga kihustarabu hata ikikosea Embu check goli la daby mpira uko nje kabisa Kuna mchambuz anayejaribu kusema kweli?
Nikweli KIKUNDI CHA WAHUNI WA TFF kina ibeba sana kikundi cha wahuni utopolo KUTOKANA na mkataba ule wa kihuni kati ya TFF NA GSM NDIO CHANZO CHA MPIRA WA TANZANIA KUHARIBIKA MIMI NDIO MAMA TFF WAME NI BLOCK KWENYE PAGE YAKO
Yule golikipa wa tz prison alimpa mpira mchezaji wa simba afunge, kwani hilo ni kosa la simba? Pia camora alidaka mpira na kuuacha max aka shot, je klsa ni la yanga?.
Uwa unaongea point sana brother
Seif simba🎉
MPIRA WA CAMARA ULITOKA NA PRIZONI NI UZEMBE WA KIPA
👏👏👏👏👏
Simba ni timu ya Tanzania pia
Wwe mwamba uwa nakuelewa sana unajuwa fct
Broo unaongea kwahisia sana inatuuma sana simbaetu inahujumiwa sana tff hatuna
Kaka huenda Simba inachukuliwa kama ally hilall kaka tunaruhusiwa kucheza ligi lakini hatupaswi kuwa mabingwa nchi hii so wanapata maelekezo
Yanga hata akichukuwa ubingwa feki na gms anaiharibu ligi
Kuisema timu ya Serikal😮,we uogopi?
Mo, ongea na tff Kuna tatizo gan kwenye lig yetu. Uhuni mtupu, mh, ongea na rahis w tff uone panapo vuja.
Daaar!!!!! polen sana simba kumbe mnamaneno mengi namna hii,,
Kwa maisha ya kawaida majumbani mwetu watoto wanaodekezwa kwenye malezi yao wanapata taabu Sana kwenye maisha yao baadae...
Haya tunayolalamika vyombo vya Habari vinajitokeza nakusema timu yetu mbovu badala ya kujibu hoja za wale wazee...
Timu mbovu inawezaje kuwafunga Al ahly tripoli ya Akina mabululu na mastaa lukuki Ndani yake?
Awamu ya sita inatukosea wanasimba pakubwa Sana 😢
Ukitoka nje ya Tanzania yanga timu namba mbili Simba Moja jiulize
Kagame Simba bingwa wa kihistoria
Caf Simba namba Saba ya kumi na tatu
Ni Simba tangia ianzishwe yanga hakuwahi kuizid Simba caf
Lakin ndani hapa yanga hiko juu kuliko Simba jiulize
Vyombo vya habar mpaka wachambuz wote wanamonitiwa kuiongelea yanga kihustarabu hata ikikosea
Embu check goli la daby mpira uko nje kabisa Kuna mchambuz anayejaribu kusema kweli?
Wamesema yanga ni timu ya serikali
Kama kosa ni la refa yanga anahusika vip? Kojoa ukalale
Nikweli KIKUNDI CHA WAHUNI WA TFF kina ibeba sana kikundi cha wahuni utopolo KUTOKANA na mkataba ule wa kihuni kati ya TFF NA GSM NDIO CHANZO CHA MPIRA WA TANZANIA KUHARIBIKA MIMI NDIO MAMA TFF WAME NI BLOCK KWENYE PAGE YAKO
Tff na gsm walisaini mikataba hewa na wakasema wasiulizwe
Yule golikipa wa tz prison alimpa mpira mchezaji wa simba afunge, kwani hilo ni kosa la simba? Pia camora alidaka mpira na kuuacha max aka shot, je klsa ni la yanga?.
Acheni ujinga hampendi kuambiwa ukweli lakini yanga imezowea vya kunyonga