SEIF SIMBA: TTF INAIOGOPA YANGA | MO ANAHUJUMIWA KWENYE MCHAKATO | KARIA AMETENGENEZWA KUWA WAO.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 20

  • @jofreymhagule7505
    @jofreymhagule7505 2 дня назад +1

    Uwa unaongea point sana brother

  • @MedardAndrew-v3w
    @MedardAndrew-v3w 2 дня назад +1

    Seif simba🎉

  • @salymgaimale235
    @salymgaimale235 2 дня назад +1

    MPIRA WA CAMARA ULITOKA NA PRIZONI NI UZEMBE WA KIPA

  • @Sherrymwinyi
    @Sherrymwinyi 2 дня назад

    👏👏👏👏👏

  • @MashakaTamsonMwashilindi-hu9tt
    @MashakaTamsonMwashilindi-hu9tt 2 дня назад

    Simba ni timu ya Tanzania pia

  • @GodfreyJames-zt6ig
    @GodfreyJames-zt6ig 2 дня назад

    Wwe mwamba uwa nakuelewa sana unajuwa fct

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 2 дня назад

    Broo unaongea kwahisia sana inatuuma sana simbaetu inahujumiwa sana tff hatuna

  • @ElizabethTinuga
    @ElizabethTinuga День назад

    Kaka huenda Simba inachukuliwa kama ally hilall kaka tunaruhusiwa kucheza ligi lakini hatupaswi kuwa mabingwa nchi hii so wanapata maelekezo

  • @jumaali9243
    @jumaali9243 2 дня назад

    Yanga hata akichukuwa ubingwa feki na gms anaiharibu ligi

  • @ZahiruHamisi
    @ZahiruHamisi 2 дня назад

    Kuisema timu ya Serikal😮,we uogopi?

  • @AsanteAnastazi
    @AsanteAnastazi 2 дня назад

    Mo, ongea na tff Kuna tatizo gan kwenye lig yetu. Uhuni mtupu, mh, ongea na rahis w tff uone panapo vuja.

  • @JosephMwaipopo-px4wi
    @JosephMwaipopo-px4wi 2 дня назад

    Daaar!!!!! polen sana simba kumbe mnamaneno mengi namna hii,,

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill7353 2 дня назад

    Kwa maisha ya kawaida majumbani mwetu watoto wanaodekezwa kwenye malezi yao wanapata taabu Sana kwenye maisha yao baadae...
    Haya tunayolalamika vyombo vya Habari vinajitokeza nakusema timu yetu mbovu badala ya kujibu hoja za wale wazee...
    Timu mbovu inawezaje kuwafunga Al ahly tripoli ya Akina mabululu na mastaa lukuki Ndani yake?
    Awamu ya sita inatukosea wanasimba pakubwa Sana 😢

    • @JohnEugeni-f8m
      @JohnEugeni-f8m 2 дня назад

      Ukitoka nje ya Tanzania yanga timu namba mbili Simba Moja jiulize
      Kagame Simba bingwa wa kihistoria
      Caf Simba namba Saba ya kumi na tatu
      Ni Simba tangia ianzishwe yanga hakuwahi kuizid Simba caf
      Lakin ndani hapa yanga hiko juu kuliko Simba jiulize
      Vyombo vya habar mpaka wachambuz wote wanamonitiwa kuiongelea yanga kihustarabu hata ikikosea
      Embu check goli la daby mpira uko nje kabisa Kuna mchambuz anayejaribu kusema kweli?

  • @YusufuMwamlengaMwamlenga
    @YusufuMwamlengaMwamlenga 2 дня назад

    Wamesema yanga ni timu ya serikali

  • @Eliyaphilipo
    @Eliyaphilipo 2 дня назад

    Kama kosa ni la refa yanga anahusika vip? Kojoa ukalale

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 2 дня назад

    Nikweli KIKUNDI CHA WAHUNI WA TFF kina ibeba sana kikundi cha wahuni utopolo KUTOKANA na mkataba ule wa kihuni kati ya TFF NA GSM NDIO CHANZO CHA MPIRA WA TANZANIA KUHARIBIKA MIMI NDIO MAMA TFF WAME NI BLOCK KWENYE PAGE YAKO

  • @SaumuSaidi-z2v
    @SaumuSaidi-z2v 2 дня назад

    Tff na gsm walisaini mikataba hewa na wakasema wasiulizwe

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 2 дня назад

    Yule golikipa wa tz prison alimpa mpira mchezaji wa simba afunge, kwani hilo ni kosa la simba? Pia camora alidaka mpira na kuuacha max aka shot, je klsa ni la yanga?.

    • @nasseralshaibani6995
      @nasseralshaibani6995 2 дня назад

      Acheni ujinga hampendi kuambiwa ukweli lakini yanga imezowea vya kunyonga