MAANDALIZI YA RAMADHAN//JUICE INAYOKAA MWEZI MZIMA BILA KUHARIBIKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • maandalizi ya ramadhan,Leo tunatengeneza juice,juice hii unaweza kukaa mwezi mzima bila kuharibika
    kwa recipe zingine za juice bonyeza link hizi
    ROZELA
    KAROTI
    EMBE

Комментарии • 74

  • @cookwithmsoo
    @cookwithmsoo 3 года назад +2

    😋😋😋😋😋 yuuum! Refreshing! Delicious! Love it sis- thanks for sharing dear..
    ION nmecheka na wewe hapo ukianza yet sijajua tunacheka nini🤣

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  3 года назад

      Hahahah yaaani acha tu,vicheko hivi😂😂😂nilisema hiyo "wajionaje na hali" nikaona imekaa wierd even the person next to me sighed😂😂😂akanimaliza kabisa😂😂thank you for watching love😘😘😘😘

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban 3 года назад

      @@kekiplus1andonly 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Amina-y7q
    @Amina-y7q 7 месяцев назад

    Naomba namba yako

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly  3 года назад

    Jamani naomba tuwekane sawa katika hili,
    1.kila hatua inayofanyika hapa ina maana,ivo basi unaweza ukafuata hatua zote hizi ,lakini vyombo vyako vikawa sio visafi wakati wa kuhifadhi au vina mabaki ya juisi wakati unasaga,hasa chujio na vijiko,juisi yako lazima itaharibika...kwaiyo kuwa makini sana katika hilo,nafkiri mnajua kwanini chakula kinaharibika,kwaiyo timia elimu hiyo kuhakikisha unafanya kila kitu kwa ufasaha ili kuepuka janga hilo

    • @safiaomary2956
      @safiaomary2956 3 года назад

      Nashukuru sana je parachichi na tikiti maji unaweza pia utavichemsha? Tujuze my

    • @anitaharun8491
      @anitaharun8491 3 года назад

      Je pasipo kuweka kwa frige inaweza kuharibika?

  • @SHAUMEDIA-27
    @SHAUMEDIA-27 3 года назад +1

    Me ndo naiweka kwenye jokofu hapa. Ahsante sana dada, endelea kutujuza...

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  3 года назад

      Woooow MashaAllah.. Hongera sana dear..asante sana kwa support

  • @batulisalim4333
    @batulisalim4333 3 года назад

    N lazma ihifadhiwe Kwenye Fridge Au Hata Kama huna Fridge

  • @HadijaSheban
    @HadijaSheban 3 года назад

    MashaaAllah my love hemu angalia simu yako nimekutumia soda😂😂😂umenimaliza mm chauvivu😋😋

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban 3 года назад +1

      Hapo mwanzo ulipocheka nimejikumbuka😂😂😂mm hua nacheka sanaa naimagine nikiweka hivo vituko 😂😂😂😂mara nikizungumza nakosea khaaaa

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  3 года назад

      Hahahah iyo soda 😂😂😂😂😂sidanganyiki hadija😂😂😂😂

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  3 года назад

      Hahahah voice over in shida😂😂😂😂

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  3 года назад

      Hahahah na wewe si mvivu hadija😂😂😂

  • @Amina-y7q
    @Amina-y7q 7 месяцев назад

    Darasa zuri, ahsante

  • @latifatilya8639
    @latifatilya8639 3 года назад

    Parachichi je unaweza kuchemsha nayo. Naomba unisaidie kwa hilo

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  3 года назад

      Ndo moja ya tunda usoweza kupata ladha ukifanya ivo,ila unaweza kujaribu..ni moja ya elimu

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 года назад

    Asante kwa maujuzi

  • @lesthermulagha6687
    @lesthermulagha6687 3 года назад

    Nauzaje dada la hivyo

  • @huceynkileo4072
    @huceynkileo4072 3 года назад

    Stay blesssed jmn

  • @nadiaifrahmu4168
    @nadiaifrahmu4168 3 года назад

    Duuuu allah kakuruzuku kipaji kbs allah akuzididhie mafanikiyo amin.

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  3 года назад

      Amin Amin🙏🙏🙏Allah atuzidishie mafanikio sote dear,shukran sana kwa support yako😘😘

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma5209 3 года назад

    Shukran dada

  • @jackyluns8224
    @jackyluns8224 3 года назад +1

    Sijui kama shemeji anaweza kukuacha kipenz si kwa ujuz huu unaotupa

    • @norbertenock3154
      @norbertenock3154 3 года назад

      Atamuachaje kwa mfano

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  3 года назад

      Hahahah alhamdulillahi rabbil alamin ,Amen🙏🙏Jacky wewe una vituko😂😂😂hata wewe hawezi kukiacha shoga angu,Amen Amen sababu una bidii hatari😘😘😘MashaAllah

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  3 года назад

      Hahahah Amen dear...dear Jacky huyu humuwezi 😂😂😂😂

    • @jackyluns8224
      @jackyluns8224 3 года назад

      @@kekiplus1andonly kabisaa toka moyon mwangu ninakupenda haswaa ndo maana nami sichoki kujifunza saiv naandaa butter cream nijipambie kikeki changu polepole tu nitaelewa

    • @jackyluns8224
      @jackyluns8224 3 года назад

      @@kekiplus1andonly uwiii mbavu zangu jamani

  • @fatmabakari7350
    @fatmabakari7350 3 года назад

    Shukran dadaa, je naweza kusaga maembe na passion kwa pamoja kisha nikafata process ulizoelekeza?

  • @rashidamzungu2389
    @rashidamzungu2389 3 года назад

    Hongera sana,umenipa ujuzi mpya mungu akubariki

  • @mariamissaahmed7675
    @mariamissaahmed7675 3 года назад

    Shukran sana

  • @maryamjuma1087
    @maryamjuma1087 3 года назад

    Maa shaa allah inavutia kweli Asantee kwakutufahamisha vitu adim

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  3 года назад

      Alhamdullilah, karibu sana dear..😘😘😘asante sana kwa support

  • @maimunabakari1654
    @maimunabakari1654 3 года назад

    Hongera kungwi wa mapishi, nenda duka lolote lililopo karibu yko upate soda bariiiid bili kwangu😋👌

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  3 года назад

      Hahahaha maimuna utoe na contact sasa,nsije kudaiwa mie Ramadan hii😂😂😂

    • @maimunabakari1654
      @maimunabakari1654 3 года назад

      @@kekiplus1andonly namba zangu hzo +9715454 73676 ukidaiwa nitafute

  • @naomikalinga3042
    @naomikalinga3042 3 года назад

    Mzuri Sana hiyo

  • @Villagelife2024-g3r
    @Villagelife2024-g3r 3 года назад

    😋😋😋 Masha'ALLAH

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  3 года назад

      Alhamdullilah🙏🙏🙏asante sana kwa kufika kwangu kipenzi,pole nimechelewa kujibu,sina cha kujitetea,ila Nina firaha sana kukuona hapa..nashukuru sana😘🙏🙏🙏

  • @shamsaamos3130
    @shamsaamos3130 3 года назад

    Asante kipezi kwa Mambo mazuri barikiwa sn

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  3 года назад

      😘😘😘karibu sana dear..asante sana kwa support

  • @fatmehfaraj5188
    @fatmehfaraj5188 3 года назад

    Mashaallah sis.Msy Allah bless you for educating us.

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  3 года назад

      Amin Amin 🙏🙏Allah bless us all..
      Ramadan Mubarak love😘😘

  • @dorothynyaduwa3853
    @dorothynyaduwa3853 3 года назад

    Sijajaribu lakini nafeel itakua tamu. Asante saaaaana. Nakupenda.

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  3 года назад

      Asante pia🙏🙏🙏nakupenda sana pia

    • @dorothynyaduwa3853
      @dorothynyaduwa3853 3 года назад

      Huu mtindo wa kuchemsha juice umeniokoa sana. Nimetengeza Mara mbili sasa, na leo tena ntatengeza. Ni tamu na inadumu sana. You saved my life!!!!!!

  • @tripple5
    @tripple5 3 года назад +1

    Nimefikia ❤

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  3 года назад

      😍😍😍😘😘😘karibia dear..asante sana

    • @tripple5
      @tripple5 3 года назад

      @@kekiplus1andonly asnt

  • @neemalambo9790
    @neemalambo9790 3 года назад

    Umenipa miujuzi mipya barikiwa

  • @zulfatdidas369
    @zulfatdidas369 3 года назад

    Niazme fridge bas😂😂😂😂

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  3 года назад +1

      😂😂😂huku kuntia majaribuni zulfat jamani

  • @shamsiarajabu458
    @shamsiarajabu458 3 года назад

    Asante kwa ujuzi

  • @nassraabdallah3585
    @nassraabdallah3585 3 года назад

    Shukraan nimependa sana

  • @tynernkwabi9316
    @tynernkwabi9316 3 года назад

    Ata juice ya palachichi unaweza kuipika?

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  3 года назад

      Jaribu utuletee mrejesho na sisi,kupika ni kujifunza

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  3 года назад

      Ndo moja ya tunda usoweza kupata ladha ukifanya ivo,ila unaweza kujaribu..ni moja ya elimu

    • @tynernkwabi9316
      @tynernkwabi9316 3 года назад

      @@kekiplus1andonly nitajaribu nione

  • @josephinekahangwa2992
    @josephinekahangwa2992 3 года назад

    🙏🙏🙏

  • @monica.abangi1996
    @monica.abangi1996 3 года назад +1

    U r doing amazing usichoke kutujuza

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  3 года назад

      Amen,thank you soo much for supporting,inshaAllah ,sitochoka

  • @neemalambo9790
    @neemalambo9790 3 года назад

    Yaaani umenifaa sana,❤️