MAANDALIZI YA RAMADHAN//JUICE INAYOKAA MWEZI MZIMA BILA KUHARIBIKA
HTML-код
- Опубликовано: 1 окт 2024
- maandalizi ya ramadhan,Leo tunatengeneza juice,juice hii unaweza kukaa mwezi mzima bila kuharibika
kwa recipe zingine za juice bonyeza link hizi
ROZELA
KAROTI
EMBE
😋😋😋😋😋 yuuum! Refreshing! Delicious! Love it sis- thanks for sharing dear..
ION nmecheka na wewe hapo ukianza yet sijajua tunacheka nini🤣
Hahahah yaaani acha tu,vicheko hivi😂😂😂nilisema hiyo "wajionaje na hali" nikaona imekaa wierd even the person next to me sighed😂😂😂akanimaliza kabisa😂😂thank you for watching love😘😘😘😘
@@kekiplus1andonly 😂😂😂😂😂😂😂😂
Naomba namba yako
Jamani naomba tuwekane sawa katika hili,
1.kila hatua inayofanyika hapa ina maana,ivo basi unaweza ukafuata hatua zote hizi ,lakini vyombo vyako vikawa sio visafi wakati wa kuhifadhi au vina mabaki ya juisi wakati unasaga,hasa chujio na vijiko,juisi yako lazima itaharibika...kwaiyo kuwa makini sana katika hilo,nafkiri mnajua kwanini chakula kinaharibika,kwaiyo timia elimu hiyo kuhakikisha unafanya kila kitu kwa ufasaha ili kuepuka janga hilo
Nashukuru sana je parachichi na tikiti maji unaweza pia utavichemsha? Tujuze my
Je pasipo kuweka kwa frige inaweza kuharibika?
Me ndo naiweka kwenye jokofu hapa. Ahsante sana dada, endelea kutujuza...
Woooow MashaAllah.. Hongera sana dear..asante sana kwa support
N lazma ihifadhiwe Kwenye Fridge Au Hata Kama huna Fridge
MashaaAllah my love hemu angalia simu yako nimekutumia soda😂😂😂umenimaliza mm chauvivu😋😋
Hapo mwanzo ulipocheka nimejikumbuka😂😂😂mm hua nacheka sanaa naimagine nikiweka hivo vituko 😂😂😂😂mara nikizungumza nakosea khaaaa
Hahahah iyo soda 😂😂😂😂😂sidanganyiki hadija😂😂😂😂
Hahahah voice over in shida😂😂😂😂
Hahahah na wewe si mvivu hadija😂😂😂
Darasa zuri, ahsante
Parachichi je unaweza kuchemsha nayo. Naomba unisaidie kwa hilo
Ndo moja ya tunda usoweza kupata ladha ukifanya ivo,ila unaweza kujaribu..ni moja ya elimu
Asante kwa maujuzi
Nauzaje dada la hivyo
Stay blesssed jmn
Duuuu allah kakuruzuku kipaji kbs allah akuzididhie mafanikiyo amin.
Amin Amin🙏🙏🙏Allah atuzidishie mafanikio sote dear,shukran sana kwa support yako😘😘
Shukran dada
Sijui kama shemeji anaweza kukuacha kipenz si kwa ujuz huu unaotupa
Atamuachaje kwa mfano
Hahahah alhamdulillahi rabbil alamin ,Amen🙏🙏Jacky wewe una vituko😂😂😂hata wewe hawezi kukiacha shoga angu,Amen Amen sababu una bidii hatari😘😘😘MashaAllah
Hahahah Amen dear...dear Jacky huyu humuwezi 😂😂😂😂
@@kekiplus1andonly kabisaa toka moyon mwangu ninakupenda haswaa ndo maana nami sichoki kujifunza saiv naandaa butter cream nijipambie kikeki changu polepole tu nitaelewa
@@kekiplus1andonly uwiii mbavu zangu jamani
Shukran dadaa, je naweza kusaga maembe na passion kwa pamoja kisha nikafata process ulizoelekeza?
Ndiyo
Umenisaidia swali
Hongera sana,umenipa ujuzi mpya mungu akubariki
Amen,Mungu akubariki pia
Shukran sana
Maa shaa allah inavutia kweli Asantee kwakutufahamisha vitu adim
Alhamdullilah, karibu sana dear..😘😘😘asante sana kwa support
Hongera kungwi wa mapishi, nenda duka lolote lililopo karibu yko upate soda bariiiid bili kwangu😋👌
Hahahaha maimuna utoe na contact sasa,nsije kudaiwa mie Ramadan hii😂😂😂
@@kekiplus1andonly namba zangu hzo +9715454 73676 ukidaiwa nitafute
Mzuri Sana hiyo
😋😋😋 Masha'ALLAH
Alhamdullilah🙏🙏🙏asante sana kwa kufika kwangu kipenzi,pole nimechelewa kujibu,sina cha kujitetea,ila Nina firaha sana kukuona hapa..nashukuru sana😘🙏🙏🙏
Asante kipezi kwa Mambo mazuri barikiwa sn
😘😘😘karibu sana dear..asante sana kwa support
Mashaallah sis.Msy Allah bless you for educating us.
Amin Amin 🙏🙏Allah bless us all..
Ramadan Mubarak love😘😘
Sijajaribu lakini nafeel itakua tamu. Asante saaaaana. Nakupenda.
Asante pia🙏🙏🙏nakupenda sana pia
Huu mtindo wa kuchemsha juice umeniokoa sana. Nimetengeza Mara mbili sasa, na leo tena ntatengeza. Ni tamu na inadumu sana. You saved my life!!!!!!
Nimefikia ❤
😍😍😍😘😘😘karibia dear..asante sana
@@kekiplus1andonly asnt
Umenipa miujuzi mipya barikiwa
Amen,barikiwa pia dear🙏🙏
Niazme fridge bas😂😂😂😂
😂😂😂huku kuntia majaribuni zulfat jamani
Asante kwa ujuzi
Karibu sana dear😘
Shukraan nimependa sana
Karibu sana dear
Ata juice ya palachichi unaweza kuipika?
Jaribu utuletee mrejesho na sisi,kupika ni kujifunza
Ndo moja ya tunda usoweza kupata ladha ukifanya ivo,ila unaweza kujaribu..ni moja ya elimu
@@kekiplus1andonly nitajaribu nione
🙏🙏🙏
🙏🙏😘😘😘😘
U r doing amazing usichoke kutujuza
Amen,thank you soo much for supporting,inshaAllah ,sitochoka
Yaaani umenifaa sana,❤️
Nafutahi sana kuskia ivo,Alhamdullilah🙏🙏
Shule nzuri Sana kwa kuuza inakuaje