MWONGOZO WA JUICE//A GUIDE TO A SUCCESSFUL JUICE BUSSINESS

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • mwongozo wa biashara ya juice,ni rahisi sana lufuata biashara hii kama ukiwa tayari na kuzingatia vigezo.
    kwa video zingine za biashara bonyeza link hizi
    BISKUTI ZA BIASHARA
    • Video
    BIASHARA 13 KWA AJILI YA MAMA WA NYUMBANI
    • BIASHARA 13 KWA AJILI ...
    BIASHARA 5 ZA KUKUINGIZIA 10,000/= KILA SIKU
    • BIASHARA 5 ZA KUKUINGI...

Комментарии • 72

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly  3 года назад +6

    Mwenye maoni zaidi/angalizo/ushauri zaidi tafadhali dodosha kwenye comment tujifunze pamoja.
    Pia usisahau kusubscribe,like,comment na kushare na ndugu jamaa na marafiki

    • @sofiaringo4901
      @sofiaringo4901 3 года назад +1

      Jamn uku nlipo juice nusu lita ndo 500 napenda sana hii biashar lkn changamoto yang napatia wap (disposable glasses) maan huku nlipo hakuna

    • @sofiaringo4901
      @sofiaringo4901 3 года назад +1

      Maan inabd ninunue chupa za maj za nusu lita nizfanyie usaf alafu niweke juice kwa wateja wng nlikua nahtaj class hiz ambazo mtu akitumia bac lakn huku nilipo hakun jamn na wateja wangu weng n wapitaj tuu sasa mteja Akija anahtaj umuekee kweny chupa weng hawanyw hapa hapa sasa napata changamoto nikiwa cna chupa duuh... Yan hela naikosa hvhv nkiangalia nsaidien mawazo nifanyaj

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  3 года назад

      Pole sana dear,upo wapi?hata mjini kwenu hamna?
      Basi niambie kama unataka kununuliwa na kutumiwa ulipo..nitakusaidia.usijali.
      Nitafute instagram kekiplus.youtubechannel

    • @sofiaringo4901
      @sofiaringo4901 3 года назад

      @@kekiplus1andonly ok

    • @happyfrances8854
      @happyfrances8854 3 года назад

      Samahani dear kama nikichanya na palachichi au napassion inakubalika

  • @user-oi7qm1ge9y
    @user-oi7qm1ge9y 7 месяцев назад +6

    Nataman sana dada angu tatizo mtaji tu,mtaji sio matunda tu hata friji na brenda pia mtaji

  • @stephenkadakwa2315
    @stephenkadakwa2315 Год назад

    Mungu asaidie ninampango wa kuanza kutengeneza na kuuza juice. Nitakutafuta mama kwa somo zaidi

  • @lesthermulagha6687
    @lesthermulagha6687 3 года назад

    Asante dada kwa ushauri ni kweli kabisa tunanunua vilivyoiva sana sana na juice huwa inaonyesha kabisa kuwa limeoza. Bariakia

  • @lesthermulagha6687
    @lesthermulagha6687 3 года назад +3

    jibu moja nimepa la bei. Je maji hayatajitenga na tunda.

  • @cookwithmsoo
    @cookwithmsoo 3 года назад +6

    Such an informative guide- this new series is Everything sis. Keep up the good work dear alafu naangalia tu hio maende mate yananindondoka, yameiva poa sana

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  3 года назад +1

      Hahaha...unapenda maembe eeh?
      Thanls dear,for always supporting..
      Did you check ur dm?

    • @cookwithmsoo
      @cookwithmsoo 3 года назад

      @@kekiplus1andonly maembe na mimi tuko inseparable.. I'll check my dm today been sooo busy this week

  • @user-gc2ui2hg2u
    @user-gc2ui2hg2u Месяц назад

    Wow very smart and clean netazama video Mingi but hawavai gloves

  • @HadijaSheban
    @HadijaSheban 3 года назад +1

    MashaaAllah mpenzi mm pia napenda sana kuonja juice kabla kuserve ama juisi ya aina yoyote.. Haya niletee glass yangu😋😋sijawahi fanya biashara ya juice ila nikimakinika nitafanya love

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  3 года назад +3

      Yes,kuonja ndo kila kitu.
      Hata glass usibebe,we njoo tu😂😂😂😂😂
      Kweli ukimakinika its possible kama time unayo

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban 3 года назад

      @@kekiplus1andonly eeeeh mpenzi nikujipanga💪

  • @binahmadkhalif6424
    @binahmadkhalif6424 Год назад

    Mwongozo mzuri kabisa huu, nakukubali dada

  • @renaldamelchiardy1032
    @renaldamelchiardy1032 3 года назад +1

    Asante mamy vitu vyako vinaeleweka kwakweli

  • @elizabethjulius651
    @elizabethjulius651 2 года назад +11

    Kwa wale wanaouza sh 500.....kuna glass za 250mls, zinaitwa glass bomba, lita 1 zinatoka glass 8

    • @twalibiddi3639
      @twalibiddi3639 2 года назад

      Ipo wap nabei gn

    • @queensiahclassicpoint1485
      @queensiahclassicpoint1485 11 месяцев назад +2

      Navipataje na wap

    • @user-lx5kn1rb7i
      @user-lx5kn1rb7i 5 месяцев назад

      Hesabu gani hizo ni glass nne

    • @corneliadamas6547
      @corneliadamas6547 Месяц назад

      Sorry hapo tumedanganyana, glass ya 250mls kwa Lita 1 huwezi kupata glass 8 hyo hesabu ya wapi? Coz 500mls ni nusu Lita how comes kwenye Lita 1 upate glass 8?

  • @theresiamhina9714
    @theresiamhina9714 3 года назад +1

    Asante kwa ushauri mzuri

  • @carolainenyakundi3316
    @carolainenyakundi3316 3 года назад +1

    Asante Sana dada barikiwa 🙏

  • @marybrison5504
    @marybrison5504 10 месяцев назад +1

    blessed

  • @HappyJoellwaga-if9gz
    @HappyJoellwaga-if9gz 2 месяца назад

    Nmependa saaana mafunzo yako ubarikiwe saana

  • @mbonihankuyelissa6931
    @mbonihankuyelissa6931 3 года назад +2

    Asante sanaa dada

  • @katherinemoroni9591
    @katherinemoroni9591 3 года назад

    Asante sana kwa video, nimejifunza mengi sana sanaaaa

  • @shakilashakila5142
    @shakilashakila5142 2 года назад

    Asante Sana Kwa somo,nimependa sana

  • @user-ib5no8vn5g
    @user-ib5no8vn5g 4 месяца назад

    Santee sana nimejifunza vingi

  • @annaanthony2850
    @annaanthony2850 5 месяцев назад

    Shukran

  • @lindamlaki8103
    @lindamlaki8103 3 года назад +1

    Umesema kweli dear mazingatio uliyosema ni sahihi kabisaa asante my.hivi nikitaka kukutana nawe uko na nafasi hiyo?

  • @joycepeterwilliam2143
    @joycepeterwilliam2143 Год назад

    Ahsante kwa somo dear

  • @shidalikenge1085
    @shidalikenge1085 3 года назад

    Mashallah 😍😍😍

  • @kautharibrahim9691
    @kautharibrahim9691 3 года назад

    Asante sn

  • @mercymsupa1624
    @mercymsupa1624 3 года назад

    Asante sana ❤️💯

  • @tumainimwakisile4855
    @tumainimwakisile4855 7 месяцев назад

    Asante dada kwa mafundisho naomba uniambie nitumie nini?ili juice yangu iwe na radha nzuri.please

  • @ibraabuemu9231
    @ibraabuemu9231 3 года назад

    Thanks a lot

  • @glorylymo958
    @glorylymo958 2 года назад

    Axante dear

  • @annaanthony2850
    @annaanthony2850 Год назад +1

  • @user-gg7td9fy7v
    @user-gg7td9fy7v 7 месяцев назад

    Nazipataje izo crass

  • @JennyJocktan-gl2ps
    @JennyJocktan-gl2ps 8 месяцев назад

    Samahani dada unaweza kunionyesha radha unazoweza kutumia kweny juice ili iwe tamu zaidi

  • @habibarajabkiriwacho5921
    @habibarajabkiriwacho5921 3 года назад

    shukran ukhty kwa ushauri wako

  • @mariammanoni4531
    @mariammanoni4531 3 года назад +2

    Asante dada naomba namba ako

  • @user-nl6cc2lw3x
    @user-nl6cc2lw3x 6 месяцев назад

    vifaa gani naweza kuandaa vya kuuzia juice ambayo tayar ime andaliwa madam msaada please ?

  • @mkamirachel9006
    @mkamirachel9006 Месяц назад

    Mbn radha hujatwambia bby

  • @stellakapwapwa9550
    @stellakapwapwa9550 Год назад

    Asante my 🥰

  • @Dizzolee-tz
    @Dizzolee-tz 5 месяцев назад +1

    Nampango wa kuuza juisi na kilacku nafatilia mafunzo yako napenda sana coz yanaeleweka sana mafunz yako

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  5 месяцев назад +1

      MashaAllah 😘 nakuombea uanze rasmi,usfkirie sana,Anza tu,

    • @Dizzolee-tz
      @Dizzolee-tz 5 месяцев назад

      Ccta kunamtu alnambia kwamb biashara ya juic sio yakutegemea sana coz wakati wa masika wateja upungua naomb ushauli ccta

  • @marthajoseph3297
    @marthajoseph3297 3 года назад

    Napenda mafunzo yako

  • @mariajuma8994
    @mariajuma8994 Год назад +1

    Namba yako ya simu tafadhari

  • @shineyourlifechannel.6753
    @shineyourlifechannel.6753 Год назад

    Hiyo glass y juice unauza kwa sh ngap kila glass

  • @BrendaJuddy
    @BrendaJuddy 3 месяца назад

    Sio lazma kuweka tangawizi ? Na limao?

  • @CollinsMafuwe
    @CollinsMafuwe 10 месяцев назад

    Juice nzuri nimependa

  • @rahmaomari5544
    @rahmaomari5544 2 года назад

    Dada me naomb nmba yakoo nikutafute nashida

  • @happyfrances8854
    @happyfrances8854 3 года назад

    Kama natumia barafu inakuwaje??

  • @lesthermulagha6687
    @lesthermulagha6687 3 года назад +1

    dada Glass nauzaje napenda sana kufanya biashara ya juice. Naomba namba yako ya simu.

  • @LovenessAnisia
    @LovenessAnisia Год назад

    Me nataka kufungua biashala yamatunda nashukulu kwa mafunzo

    • @LovenessAnisia
      @LovenessAnisia Год назад

      Naomba pia namba yako ili uzid kunifunza

  • @NanceUlomi
    @NanceUlomi 4 месяца назад

    Shukran

  • @ayshahussen7452
    @ayshahussen7452 11 месяцев назад

  • @bernadethansumba5568
    @bernadethansumba5568 3 года назад +3

    Shukran