Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Ma shaa Allah.. Ntajaribu, Mwenyezi Mungu akuzidishie
Ameen. Shukran.
Ty so much Tajiris kitchen for the awesome lovely 10 fruits juice recipe n supper results I'm pleased and happy watching ur post from Tanga Tanzania Wow
Most welcome dear
Hi sister, notoriously, iam the happiest to hear from u ,according the juices details,urs most reliably H
Thank you so much for your support 🙏
Love your presentation ,, easy and sweet
Thank you 😘
Very very nice Thank you
Maashaallah mm naipenda hiyo sharbathi
🤣 Shukran
Mashaallah Tabaraka Allah
Shukran
Ntajaribu 💕
I just woke up..can i have two of these please?very nice and refreshing
You can have all 🤣🤣🤣🤣
Uko poa❤
À. Alykum hizo barafu unatengenezaje
Waaleikum musalam, kama vile juice tu
Nice nice. Yougort ndio mtindi?
Ndio
Masha ALLAH will try mine
Insha'Allah
Boss sijakuelewa mbona hujachanganya hizo juis mbili kwa wakat mmoja
mashaala zote nice
I love it
Hayo maziwa nifresh au mgando
Nimetumia yote kwa recipe tofauti dear
Utamu kama wote-😋
Kabisa tena
Dah Milkshake ya maembe best😝😝😝 nitajaribu dear
Shukran dear.
Nimependa sana
Mashaall
Maziwa unachemsha?
nicee
❤❤❤
Maziwa umechemsha
Hapana
@@tajiriskitchenswahiliflavo1723 je nikichemsha inawezekana.alafu nasubr yapoe ndio nayatumia
Nilikuwa namfatilia sana shuna's lkn leo nmekujuwa ww nmekupenda wapika vyema sana nawajuwa kuelekeza
Shukran sana na karibu sana 🥰
Soory dear je una weza kutengeneza thimithi yyote kupitia hvy vitu vya kuchanganyia au lazima fenesi tu
Ayo mabarafu mengine km ya karot n ayo majan umefanyaje?
Majani ya minti mm sielewi jamn
Yummy
Habari badala ya yoghurt unaeza weka maziwa ?? Kama hio yoghurt imekosekana??
Yes unaweza
Asante
Karibu sana
❤❤❤❤❤❤❤❤
Je naweza tumia maziwa fresh badlands ya yogurt
❤
unaweza tumia sukar badala ya sukari??
Yes
Mbona hauchuji juice kipenzi vip unakunywa na maganda Yale yanayokuwaga kama miche😂😂😂
Sio juice zote zinazo chungwa dear. Jaribu kupata benefits kwa matunda na maganda yake.
Mtu wa kisukari anaweza kutumia
Yeah anaweza sababu huweki sukari
Nitajataribu
Naweza kufanya kwako ajili ya biashara
😂😂😂😂hivi kuchunga ndo kuchuja sema kadaaada una kitu saana
🤩🤤🤤
Nimependa vidio yako lakin kuweka barafu kwenye juis ni lazima? Au inasaidia nn
Sio lazima
Kweli hapa ni utamu tu
Asante sana
Kuna tofauti ipi kati ya smoothies na juice?
Smoothie ni nzito na juice ni nyepesi.
Unwtumia plain yoghurt??
Yes dear
@@tajiriskitchenswahiliflavo1723 yaani yogurt ya maziwa mala??
Dada unapatikana wapi.?
Nipo Marekani
Maziwa mabichi au
👍😋
😋😋♥️
Thank you
Yanifa uku na joto ili lililo mombasa
🤣🤣🤣
Hio barafu KAZI yake N NN
Kama hupendi yogurt waeza kutumia vanilla ice-cream dear
Yes dear. Ama maziwa ya kawaida tu
Sasa vanila nawek kiasi gani dada
Nzuri Sana Sana na nitamuuu naomba namba yako ya whatsapp dear
Nzuri Sana Sana na nitamuuu naomba namba ya WhatsApp
hiy smooth ni maziwa ya kawaid au hata ya boksi??
Ma shaa Allah.. Ntajaribu, Mwenyezi Mungu akuzidishie
Ameen. Shukran.
Ty so much Tajiris kitchen for the awesome lovely 10 fruits juice recipe n supper results I'm pleased and happy watching ur post from Tanga Tanzania Wow
Most welcome dear
Hi sister, notoriously, iam the happiest to hear from u ,according the juices details,urs most reliably H
Thank you so much for your support 🙏
Love your presentation ,, easy and sweet
Thank you 😘
Very very nice
Thank you
Maashaallah mm naipenda hiyo sharbathi
🤣 Shukran
Mashaallah Tabaraka Allah
Shukran
Ntajaribu 💕
I just woke up..can i have two of these please?very nice and refreshing
You can have all 🤣🤣🤣🤣
Uko poa❤
À. Alykum hizo barafu unatengenezaje
Waaleikum musalam, kama vile juice tu
Nice nice. Yougort ndio mtindi?
Ndio
Masha ALLAH will try mine
Insha'Allah
Boss sijakuelewa mbona hujachanganya hizo juis mbili kwa wakat mmoja
mashaala zote nice
Shukran
I love it
Hayo maziwa nifresh au mgando
Nimetumia yote kwa recipe tofauti dear
Utamu kama wote-😋
Kabisa tena
Dah Milkshake ya maembe best😝😝😝 nitajaribu dear
Shukran dear.
Nimependa sana
Mashaall
Maziwa unachemsha?
nicee
❤❤❤
Maziwa umechemsha
Hapana
@@tajiriskitchenswahiliflavo1723 je nikichemsha inawezekana.alafu nasubr yapoe ndio nayatumia
Nilikuwa namfatilia sana shuna's lkn leo nmekujuwa ww nmekupenda wapika vyema sana nawajuwa kuelekeza
Shukran sana na karibu sana 🥰
Soory dear je una weza kutengeneza thimithi yyote kupitia hvy vitu vya kuchanganyia au lazima fenesi tu
Ayo mabarafu mengine km ya karot n ayo majan umefanyaje?
Majani ya minti mm sielewi jamn
Yummy
Habari badala ya yoghurt unaeza weka maziwa ?? Kama hio yoghurt imekosekana??
Yes unaweza
Asante
Karibu sana
❤❤❤❤❤❤❤❤
Je naweza tumia maziwa fresh badlands ya yogurt
Yes unaweza
❤
unaweza tumia sukar badala ya sukari??
Yes
Mbona hauchuji juice kipenzi vip unakunywa na maganda Yale yanayokuwaga kama miche😂😂😂
Sio juice zote zinazo chungwa dear. Jaribu kupata benefits kwa matunda na maganda yake.
Mtu wa kisukari anaweza kutumia
Yeah anaweza sababu huweki sukari
Nitajataribu
Naweza kufanya kwako ajili ya biashara
Ndio
😂😂😂😂hivi kuchunga ndo kuchuja sema kadaaada una kitu saana
🤩🤤🤤
Nimependa vidio yako lakin kuweka barafu kwenye juis ni lazima? Au inasaidia nn
Sio lazima
Kweli hapa ni utamu tu
Asante sana
Kuna tofauti ipi kati ya smoothies na juice?
Smoothie ni nzito na juice ni nyepesi.
Unwtumia plain yoghurt??
Yes dear
@@tajiriskitchenswahiliflavo1723 yaani yogurt ya maziwa mala??
Dada unapatikana wapi.?
Nipo Marekani
Maziwa mabichi au
👍😋
Shukran
😋😋♥️
Thank you
Yanifa uku na joto ili lililo mombasa
🤣🤣🤣
Hio barafu KAZI yake N NN
Kama hupendi yogurt waeza kutumia vanilla ice-cream dear
Yes dear. Ama maziwa ya kawaida tu
Sasa vanila nawek kiasi gani dada
Nzuri Sana Sana na nitamuuu naomba namba yako ya whatsapp dear
Nzuri Sana Sana na nitamuuu naomba namba ya WhatsApp
Asante
hiy smooth ni maziwa ya kawaid au hata ya boksi??
Nzuri Sana Sana na nitamuuu naomba namba yako ya whatsapp dear