Jinsi ya Kutengeneza Aina 10 ya Juisi na Smoothie Tamu sana /10 Superb Smoothies and Juices Recipes
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- RECIPES ZENGINE KAMA HIZI ⬇️
Sharbat /Jinsi ya Kutengeza Sharbete Tamu Ajab ➡️ • Sharbete /Mango Apple ...
Pineapple juice /Jinsi ya kutengeza juisi ya Mananasi na Maganda yake ➡️ • Juice /Jinsi ya Kuteng...
Mango Mousse /Jinsi ya Kutengeza Mango Mousse Tamu Ajab ➡️ • Mango Mousse / Jinsi y...
Banana, Apples Smoothie /Jinsi ya Kutengeza Banana, Apple Smoothie ➡️ • SMOOTHIE /JINSI YA KUT...
JacKfruit Smoothie /Kinywaji Tamu na Bora kwa Afya ➡️ • Kinywaji cha Fenesi/ F...
Mango Shake Smoothie /Jinsi ya kutengeneza Kinywaji Bora kwa Afya ➡️ • JINSI YA KUTENGENEZA K...
Pineapple, Ginger and Lemon /Jinsi ya kutengeza Kinywaji Bora ➡️
• JUICE /JINSI YA KUTENG...
Strawberry Banana MilkShake ➡️ • SMOOTHIE /STRAWBERRY B...
Juisi ya Kuvutia na Tmau sana /Orange Juice / Juice ya Machungwa /➡️ • Juisi ya Kuvutia na Tm...
*Follow me on Instragram ➡️ ...
*Follow me on Facebook ➡️ / tajiris-kitchen-100334...
#juice #juisi #smoothie #tajiriskitchen
Ma shaa Allah.. Ntajaribu, Mwenyezi Mungu akuzidishie
Ameen. Shukran.
Hi sister, notoriously, iam the happiest to hear from u ,according the juices details,urs most reliably H
Thank you so much for your support 🙏
Ty so much Tajiris kitchen for the awesome lovely 10 fruits juice recipe n supper results I'm pleased and happy watching ur post from Tanga Tanzania Wow
Most welcome dear
Mashaallah Tabaraka Allah
Shukran
Love your presentation ,, easy and sweet
Thank you 😘
I just woke up..can i have two of these please?very nice and refreshing
You can have all 🤣🤣🤣🤣
Maashaallah mm naipenda hiyo sharbathi
🤣 Shukran
Mashaall
Very very nice
Thank you
Ntajaribu 💕
Asante
I love it
Uko poa❤
Nimependa sana
mashaala zote nice
Shukran
Masha ALLAH will try mine
Insha'Allah
Boss sijakuelewa mbona hujachanganya hizo juis mbili kwa wakat mmoja
À. Alykum hizo barafu unatengenezaje
Waaleikum musalam, kama vile juice tu
Hayo maziwa nifresh au mgando
Nimetumia yote kwa recipe tofauti dear
Utamu kama wote-😋
Kabisa tena
Dah Milkshake ya maembe best😝😝😝 nitajaribu dear
Shukran dear.
nicee
Yummy
❤
Maziwa umechemsha
Hapana
@@tajiriskitchenswahiliflavo1723 je nikichemsha inawezekana.alafu nasubr yapoe ndio nayatumia
Nitajataribu
hiy smooth ni maziwa ya kawaid au hata ya boksi??
Majani ya minti mm sielewi jamn
Nice nice. Yougort ndio mtindi?
Ndio
❤❤❤❤❤❤❤❤
Soory dear je una weza kutengeneza thimithi yyote kupitia hvy vitu vya kuchanganyia au lazima fenesi tu
Nilikuwa namfatilia sana shuna's lkn leo nmekujuwa ww nmekupenda wapika vyema sana nawajuwa kuelekeza
Shukran sana na karibu sana 🥰
🤩🤤🤤
Kweli hapa ni utamu tu
Asante sana
Mbona hauchuji juice kipenzi vip unakunywa na maganda Yale yanayokuwaga kama miche😂😂😂
Sio juice zote zinazo chungwa dear. Jaribu kupata benefits kwa matunda na maganda yake.
Habari badala ya yoghurt unaeza weka maziwa ?? Kama hio yoghurt imekosekana??
Yes unaweza
Kuna tofauti ipi kati ya smoothies na juice?
Smoothie ni nzito na juice ni nyepesi.
Mtu wa kisukari anaweza kutumia
Yeah anaweza sababu huweki sukari
😂😂😂😂hivi kuchunga ndo kuchuja sema kadaaada una kitu saana
👍😋
Shukran
Je naweza tumia maziwa fresh badlands ya yogurt
Yes unaweza
unaweza tumia sukar badala ya sukari??
Yes
Nimependa vidio yako lakin kuweka barafu kwenye juis ni lazima? Au inasaidia nn
Sio lazima
Naweza kufanya kwako ajili ya biashara
Ndio
Kama hupendi yogurt waeza kutumia vanilla ice-cream dear
Yes dear. Ama maziwa ya kawaida tu
Sasa vanila nawek kiasi gani dada
Hio barafu KAZI yake N NN
😋😋♥️
Thank you
Maziwa mabichi au
Dada unapatikana wapi.?
Nipo Marekani
Nzuri Sana Sana na nitamuuu naomba namba yako ya whatsapp dear
Yanifa uku na joto ili lililo mombasa
🤣🤣🤣
Nzuri Sana Sana na nitamuuu naomba namba ya WhatsApp
Asante
Karibu sana
Unwtumia plain yoghurt??
Yes dear
@@tajiriskitchenswahiliflavo1723 yaani yogurt ya maziwa mala??
Nzuri Sana Sana na nitamuuu naomba namba yako ya whatsapp dear