Shekh asimulia Kijana mwenye matatizo ya Akili kupotea kabla ya Dua Handeni

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2023
  • Mkurugenzi wa #MapitoAfricaFoundation @zali_mapito ameongozana na Waandishi wa Habari mpaka Handeni Tanga kutoka Jijini Dar Es Salaam kutokana na taarifa ya kupotea kwa Kijana #ZakariaKassim mwenye umri wa miaka 17 ambaye alikuwa akiishi na rafiki yake huko Handeni Chaga na baada kupotea kwenye mazingira ya kutatanisha huku baadhi ya watu wake wa karibu wakidai kuwa alikuwa na tatizo la akili kabla ya kutoweka kwake
    Kama unazo taarifa za UHAKIKA na za KUAMINIKA kuhusu mahali alipo Zakaria, wasiliana na familia yake kwa namba za simu zifuatazo:
    0764 081 096
    0682 634 435.
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 2