Pori tengefu la Msomera Handeni lafutwa, kupangiwa matumizi mengine

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Serikali imetangaza rasmi kufuta pori tengefu la Msomera wilayani Handeni mkoani Tanga na ardhi yake itapangiwa matumizi mengine,ikiwemo kupewa wananchi kwaajili ya shughuli za maendeleo.
    Akitoa taarifa ya serikali katika mkutano mkuu maalum wa kijiji cha Msomera uliojumuisha wananchi wageni na wenyeji,mkuu wa wilaya ya Handeni Albert Msando amesema ardhi hiyo itakabidhiwa serikali ya kijiji kwaajili ya matumizi mengine.

Комментарии • 1

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 Год назад

    Katiba mpya iwatambue walipa Kodi kuliko pesa zinakwenda kujenge miladi ya jami tunasema Rais kaleta pesa sio sawa