Amani Karume aweka hadharani kuhusu Maalim Seif

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024

Комментарии • 74

  • @doctorghalib1045
    @doctorghalib1045 2 года назад +8

    Mungu mbarikii naalim seif sharifu hamadi Amin

    • @hasneindharamsi396
      @hasneindharamsi396 9 месяцев назад

      555⁵55⁵5555⁵⁵5555⁵⁵⁵⁵⁵is a very much can 😢😢a 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga2344 7 месяцев назад

    Mhe: rais mstaafu mungu akuongezee maisha marefu kwa kutambua kuwa sote ni wamoja na lengo kuu ni kuwatumikia wananchi, na ukakubali kuleta maridhiano ya umoja wa kitaifa kwa lengo la kuilinda amani ya nchi "UBARIKIWE SANA"

  • @saidabdala4980
    @saidabdala4980 2 года назад +6

    Sijui lakini BARKA imepoteya ZANZIBAR. .ukweli unajulikana

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Год назад +2

    Lakini tambueni hata leo bado hamuaminiwi katika siasa kila uchaguzi maafa

  • @khadijamohd5741
    @khadijamohd5741 6 месяцев назад

    Babu unakosea maalimu seif sio mungu huwezi kumfananisha mungu na mtu yoyote na mungu hapotei

  • @iddyshabaan7481
    @iddyshabaan7481 2 года назад +6

    Mungu amlaze maalim sefu mahali pema peponi amin

    • @bakarbakarali-cw3gc
      @bakarbakarali-cw3gc Год назад +1

      Angelikuwa kinana yupo angelipiga kampeni maana ccm ni kanisa nyerere

  • @shaibhamdun5225
    @shaibhamdun5225 2 года назад +9

    Hiyi inaonesha wazi, kama wa Zanzibari ni ndugu na waoneana huruma, bali wako wachache wenye kuleta fitna, kwa njaa zao. Tumekufahamu Aman.

  • @hamzamakame7360
    @hamzamakame7360 2 года назад +3

    Tujifunze isiwe maneno tu

  • @hussencode2.117
    @hussencode2.117 2 года назад +3

    mumekifahamu vizuri kisa cha EDMAPH,, Aman anakili sana

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 2 года назад +5

    MACCM NI WANAFIKI NA MADHALIMU WAKUBWA.

  • @hajishaibu8295
    @hajishaibu8295 2 года назад +4

    Unafiq mtupu mumemfanyia Mambo mengi mabaya kumdhulum kafa tena fyoko fyoko

  • @kinyutatonha8831
    @kinyutatonha8831 2 года назад +1

    shida sio wazanzibari ao vibaraka ndio wanao iharibu zanzibar ivi unadhani c wazanzibar tunapenda kuishi kwenye miji ya watu shida tupu tunapenda kuishi kwetu ila ndio ivyo

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Год назад

    Usitukane watu wewe unajijua mwisho wako jee unajua kizazi chako mungu atunusuru wewe unamsema mtu mlevi jee wewe unajua litakukuta lipi watoto wenu wapo ulaya huko wanaolewa na wazungu unayajua yahuko

  • @ramadhanrajabu699
    @ramadhanrajabu699 2 года назад +4

    Innalilaah wainnailaih raajighuun hakika wote ni wa alaah na kwake tutarejea

  • @user-su6yd2lt5f
    @user-su6yd2lt5f 7 месяцев назад

    Ukoo wa karume, Niwasema kweli. Mungi awazidishie amina

  • @mosaidi2633
    @mosaidi2633 2 года назад +3

    Acha siasa Ulishindwa uraisi hukukubali kuachia

  • @khadijamohd5741
    @khadijamohd5741 6 месяцев назад

    Huyu raisi anaakili kweli kweli

  • @aliisaid854
    @aliisaid854 8 месяцев назад

    Si salama leku we jichwa ni assalamualaikum,halaf malizia warahmatu llwah wabarakatu,mshenzi wewe

  • @hassanibakari9667
    @hassanibakari9667 2 года назад +1

    Nakupongeza kwa nuhudi zako miheshimiwa karume. Ila bado ccm haitabiriki kiuutawara

  • @gotshape5475
    @gotshape5475 2 года назад +2

    Kweli Tanganyika ndp inaiongoza Zanzibar maana Rais huyu anaonyesha kusikitishwa na maamuzi mengi kama vile hakuwa na mamlaka

    • @omarmohd279
      @omarmohd279 Год назад

      Ss tushukuru kuwa na amani tu bali hata kama atakua raisi nani kama sio mzee wako usijidanganye shukuru ulipo siasa isituhadae shukuruni mulipo vyama vngi havina mana hata kidogo mwache rais alie kuwepo akae maisha kwahali hii ss ni manyangau tu

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Год назад

    Jifunzeni kwa maalimu sefu hukutokwa roho na mali za uma leo wengine manajirundikia mali za uma bila ya aibu leo zazibary wamekwenda kutununulia meli bovu halafu wanatudanganya wanasema malipya

  • @suleimansaid2633
    @suleimansaid2633 6 месяцев назад

    Mimi najua mtu mwema Mh.

  • @yussufsheha9136
    @yussufsheha9136 2 года назад +3

    Hizi ndio siasa za zanziber wanakuchoma halafu baadae wanakuuliza kisha unatulia kma moja

  • @ibrahimmsabah440
    @ibrahimmsabah440 2 года назад +1

    Waliomtunukia udokta,hawakukosea kabisa,he is true a doctor.

  • @bobtango8749
    @bobtango8749 2 года назад

    Amani karume na Maalim Seif....No comment for today but tomorrow I will

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Год назад

    Katika watu wenye busara amani ameweka amani zanzibary mungu muongowe mtu huyu umuongolee kizazazi chake yarabi muongoe mwanawe huyu anaitwa fatma rabii muongowe mtoto huyu

  • @mahfoudhally2879
    @mahfoudhally2879 2 года назад +1

    hongera

  • @issakara9403
    @issakara9403 2 года назад +2

    Amani hafichi

  • @abdulrazakblackstar563
    @abdulrazakblackstar563 Год назад

    Zanzibar ipo nyuma hakuna usirias wwot Zaid ya watu kupga michongo ktk siasa

  • @saidabdala4980
    @saidabdala4980 2 года назад

    MUNGEMUULIZA KUHU LUKUVI KULE KANISANI. ALIKUSUDIYA KUSEMA NINI..

  • @sharifuhusseinally542
    @sharifuhusseinally542 8 месяцев назад

    Yani mimi nimekuelewa vizuri na nikweli hakuna kikwazo nje isipokua kuna mitazamo ya watu binafsi wenye ushawishi lakini engo ya mungano hayakua kikwazo,

  • @doctorghalib1045
    @doctorghalib1045 2 года назад +3

    Ukweli utabakii tu kuwa ukwelii Ahsante mzee Aman

  • @SuLeimanHusseinShehe
    @SuLeimanHusseinShehe Год назад

    Hahahahahahaaaaa Chaguzi za ZANZIBAR kila baada ya miaka mitano vituko.siku ya uchaguzi nalala na kupumzika nyumbani

  • @ameryharoun7223
    @ameryharoun7223 2 года назад +1

    Mmmmmh hatar

  • @godymbanyi1878
    @godymbanyi1878 2 года назад +2

    Huyu ndo Baba mzazi wa Shangazi wa Taifa, Fatma 🔥

  • @truthspeaker2062
    @truthspeaker2062 2 года назад +2

    Huyu ndie raisi aliekuwa na hikma ya tuliishi kwa afuweni.

  • @fatmarashid0005
    @fatmarashid0005 2 года назад +2

    Ovyooooooo unafki mtupu hamna hata aibu kumbukeni tu Dunia inamwisho wake

  • @yussufsheha9136
    @yussufsheha9136 2 года назад +1

    Ndivyo tulivyo

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Год назад +2

    Maneno mazima kwa wenye akili na wanye busara

  • @allyabdallah1776
    @allyabdallah1776 2 года назад +3

    safi sana AMANI

  • @bakarbakarali-cw3gc
    @bakarbakarali-cw3gc Год назад +1

    Ahsante Sana amani

  • @jumamaisara7557
    @jumamaisara7557 2 года назад +3

    Wewe unaongea ukweli kizungu mm nakukukuli sana mkuu mm Sina chama ila uko vizuri mkuu

  • @iddyshabaan7481
    @iddyshabaan7481 2 года назад

    Kulu nafsi zalikat maiti kila nafsi itaonja mauti atojisahau hiyari yake atajua isituhadae duniya tutaiwacha kama tulivyo ikuta

  • @bakarbakarali-cw3gc
    @bakarbakarali-cw3gc Год назад

    Mazungu ya nn umo au mashushu

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Год назад

    This time urais znz akae jussa huyu ambae yuko sasa ccm hawawez huyu

  • @maikoandrew58
    @maikoandrew58 2 года назад +7

    Wajinga nyie pumbavu hamna akili, mzee amekaa muda mrefu kachoka mpaka yeye mwenyewe anasema apewe maji ya kunywa, hivi hapo mlipo nyie vijana mna akili kweli, mimi ningekuwa hapo na mamlaka kwenye mkutano Huwo ningewatimulia nje vijana wote Hapo, mzee anachoka mpaka yeye mwenyewe anaomba maji !. Pole sana mzee Wangu

    • @user-ki4sg8yz9j
      @user-ki4sg8yz9j Год назад

      Kwani si kapenda mwenyewe kutoa historia kwa urefu? Wee mpumbavu?? Bunjunwee

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 Год назад

    MNAFIKI MUONGO

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Год назад

    Ifaa utunge kitabu

  • @buluush9741
    @buluush9741 2 года назад +3

    Muungwana

  • @nak3477
    @nak3477 2 года назад +2

    Aman mungu kampa kipaji cha kuongea na hekma

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr Год назад

    Unajuwa. Watu. Wengi. Hawajuwi. Utawala. Bora. Wapowapo. Tu

  • @Jal210
    @Jal210 Год назад

    Mnafiki tu

  • @benjaminmotanya6462
    @benjaminmotanya6462 Год назад

    😂

  • @jacksonmwendi9293
    @jacksonmwendi9293 2 года назад

    Amelewa ni mlevi huyu karume namfahamu hata aliyoongea yote ni pombe pumba tupu

  • @abbiecox1
    @abbiecox1 9 месяцев назад

    AHMADA ATAWAPELEKA KUSIKO!

  • @mbaroukrashid6201
    @mbaroukrashid6201 2 года назад

    Nani ameachwa kwa point 3 mbona unazingua wewe mchambuzi mchongo

  • @SaidNassor-gx3pb
    @SaidNassor-gx3pb 2 года назад +1

    Mtoto w nyoka ni nyoka ccm waongo t

  • @udaku..travel8506
    @udaku..travel8506 2 года назад +2

    Pombe ciyo chai

    • @alishaheidshia9026
      @alishaheidshia9026 2 года назад +1

      Ww ndio unakunywa pombe adui wa wazanzibar.

    • @zahorsalum663
      @zahorsalum663 2 года назад +1

      ww sio mzanzibar .tunajua nn kinatutesa wazanzibar niwale wazanzibara .km ww.

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 2 года назад

      @@alishaheidshia9026 Sema Mungu atuhidi...

  • @hajishaibu8295
    @hajishaibu8295 2 года назад +2

    Unafiq mtupu mumemfanyia Mambo mengi mabaya kumdhulum kafa tena fyoko fyoko