Mhe: rais mstaafu mungu akuongezee maisha marefu kwa kutambua kuwa sote ni wamoja na lengo kuu ni kuwatumikia wananchi, na ukakubali kuleta maridhiano ya umoja wa kitaifa kwa lengo la kuilinda amani ya nchi "UBARIKIWE SANA"
shida sio wazanzibari ao vibaraka ndio wanao iharibu zanzibar ivi unadhani c wazanzibar tunapenda kuishi kwenye miji ya watu shida tupu tunapenda kuishi kwetu ila ndio ivyo
Usitukane watu wewe unajijua mwisho wako jee unajua kizazi chako mungu atunusuru wewe unamsema mtu mlevi jee wewe unajua litakukuta lipi watoto wenu wapo ulaya huko wanaolewa na wazungu unayajua yahuko
Ss tushukuru kuwa na amani tu bali hata kama atakua raisi nani kama sio mzee wako usijidanganye shukuru ulipo siasa isituhadae shukuruni mulipo vyama vngi havina mana hata kidogo mwache rais alie kuwepo akae maisha kwahali hii ss ni manyangau tu
Jifunzeni kwa maalimu sefu hukutokwa roho na mali za uma leo wengine manajirundikia mali za uma bila ya aibu leo zazibary wamekwenda kutununulia meli bovu halafu wanatudanganya wanasema malipya
Katika watu wenye busara amani ameweka amani zanzibary mungu muongowe mtu huyu umuongolee kizazazi chake yarabi muongoe mwanawe huyu anaitwa fatma rabii muongowe mtoto huyu
Yani mimi nimekuelewa vizuri na nikweli hakuna kikwazo nje isipokua kuna mitazamo ya watu binafsi wenye ushawishi lakini engo ya mungano hayakua kikwazo,
Wajinga nyie pumbavu hamna akili, mzee amekaa muda mrefu kachoka mpaka yeye mwenyewe anasema apewe maji ya kunywa, hivi hapo mlipo nyie vijana mna akili kweli, mimi ningekuwa hapo na mamlaka kwenye mkutano Huwo ningewatimulia nje vijana wote Hapo, mzee anachoka mpaka yeye mwenyewe anaomba maji !. Pole sana mzee Wangu
Mungu mbarikii naalim seif sharifu hamadi Amin
555⁵55⁵5555⁵⁵5555⁵⁵⁵⁵⁵is a very much can 😢😢a 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mhe: rais mstaafu mungu akuongezee maisha marefu kwa kutambua kuwa sote ni wamoja na lengo kuu ni kuwatumikia wananchi, na ukakubali kuleta maridhiano ya umoja wa kitaifa kwa lengo la kuilinda amani ya nchi "UBARIKIWE SANA"
Wenye kheri nae
Sijui lakini BARKA imepoteya ZANZIBAR. .ukweli unajulikana
Lakini tambueni hata leo bado hamuaminiwi katika siasa kila uchaguzi maafa
Babu unakosea maalimu seif sio mungu huwezi kumfananisha mungu na mtu yoyote na mungu hapotei
Mungu amlaze maalim sefu mahali pema peponi amin
Angelikuwa kinana yupo angelipiga kampeni maana ccm ni kanisa nyerere
Hiyi inaonesha wazi, kama wa Zanzibari ni ndugu na waoneana huruma, bali wako wachache wenye kuleta fitna, kwa njaa zao. Tumekufahamu Aman.
Tujifunze isiwe maneno tu
mumekifahamu vizuri kisa cha EDMAPH,, Aman anakili sana
MACCM NI WANAFIKI NA MADHALIMU WAKUBWA.
Unafiq mtupu mumemfanyia Mambo mengi mabaya kumdhulum kafa tena fyoko fyoko
shida sio wazanzibari ao vibaraka ndio wanao iharibu zanzibar ivi unadhani c wazanzibar tunapenda kuishi kwenye miji ya watu shida tupu tunapenda kuishi kwetu ila ndio ivyo
Usitukane watu wewe unajijua mwisho wako jee unajua kizazi chako mungu atunusuru wewe unamsema mtu mlevi jee wewe unajua litakukuta lipi watoto wenu wapo ulaya huko wanaolewa na wazungu unayajua yahuko
Innalilaah wainnailaih raajighuun hakika wote ni wa alaah na kwake tutarejea
Ukoo wa karume, Niwasema kweli. Mungi awazidishie amina
Acha siasa Ulishindwa uraisi hukukubali kuachia
Huyu raisi anaakili kweli kweli
Si salama leku we jichwa ni assalamualaikum,halaf malizia warahmatu llwah wabarakatu,mshenzi wewe
Nakupongeza kwa nuhudi zako miheshimiwa karume. Ila bado ccm haitabiriki kiuutawara
Kweli Tanganyika ndp inaiongoza Zanzibar maana Rais huyu anaonyesha kusikitishwa na maamuzi mengi kama vile hakuwa na mamlaka
Ss tushukuru kuwa na amani tu bali hata kama atakua raisi nani kama sio mzee wako usijidanganye shukuru ulipo siasa isituhadae shukuruni mulipo vyama vngi havina mana hata kidogo mwache rais alie kuwepo akae maisha kwahali hii ss ni manyangau tu
Jifunzeni kwa maalimu sefu hukutokwa roho na mali za uma leo wengine manajirundikia mali za uma bila ya aibu leo zazibary wamekwenda kutununulia meli bovu halafu wanatudanganya wanasema malipya
Mimi najua mtu mwema Mh.
Hizi ndio siasa za zanziber wanakuchoma halafu baadae wanakuuliza kisha unatulia kma moja
Waliomtunukia udokta,hawakukosea kabisa,he is true a doctor.
Yv
Kasomea wapi udokta? Labda udokta wa miti shamba
Fani ya babako unampa karume!bwege kwelikweli weye.
Amani karume na Maalim Seif....No comment for today but tomorrow I will
😊
Katika watu wenye busara amani ameweka amani zanzibary mungu muongowe mtu huyu umuongolee kizazazi chake yarabi muongoe mwanawe huyu anaitwa fatma rabii muongowe mtoto huyu
hongera
Amani hafichi
Zanzibar ipo nyuma hakuna usirias wwot Zaid ya watu kupga michongo ktk siasa
MUNGEMUULIZA KUHU LUKUVI KULE KANISANI. ALIKUSUDIYA KUSEMA NINI..
Yani mimi nimekuelewa vizuri na nikweli hakuna kikwazo nje isipokua kuna mitazamo ya watu binafsi wenye ushawishi lakini engo ya mungano hayakua kikwazo,
Ukweli utabakii tu kuwa ukwelii Ahsante mzee Aman
Hahahahahahaaaaa Chaguzi za ZANZIBAR kila baada ya miaka mitano vituko.siku ya uchaguzi nalala na kupumzika nyumbani
Mmmmmh hatar
Huyu ndo Baba mzazi wa Shangazi wa Taifa, Fatma 🔥
Huyu ndie raisi aliekuwa na hikma ya tuliishi kwa afuweni.
Ovyooooooo unafki mtupu hamna hata aibu kumbukeni tu Dunia inamwisho wake
Ndivyo tulivyo
Maneno mazima kwa wenye akili na wanye busara
safi sana AMANI
Ahsante Sana amani
Wewe unaongea ukweli kizungu mm nakukukuli sana mkuu mm Sina chama ila uko vizuri mkuu
Kulu nafsi zalikat maiti kila nafsi itaonja mauti atojisahau hiyari yake atajua isituhadae duniya tutaiwacha kama tulivyo ikuta
Mazungu ya nn umo au mashushu
This time urais znz akae jussa huyu ambae yuko sasa ccm hawawez huyu
Wajinga nyie pumbavu hamna akili, mzee amekaa muda mrefu kachoka mpaka yeye mwenyewe anasema apewe maji ya kunywa, hivi hapo mlipo nyie vijana mna akili kweli, mimi ningekuwa hapo na mamlaka kwenye mkutano Huwo ningewatimulia nje vijana wote Hapo, mzee anachoka mpaka yeye mwenyewe anaomba maji !. Pole sana mzee Wangu
Kwani si kapenda mwenyewe kutoa historia kwa urefu? Wee mpumbavu?? Bunjunwee
MNAFIKI MUONGO
Ifaa utunge kitabu
Muungwana
Aman mungu kampa kipaji cha kuongea na hekma
Unajuwa. Watu. Wengi. Hawajuwi. Utawala. Bora. Wapowapo. Tu
Mnafiki tu
😂
Amelewa ni mlevi huyu karume namfahamu hata aliyoongea yote ni pombe pumba tupu
AHMADA ATAWAPELEKA KUSIKO!
😃😃😃
Nani ameachwa kwa point 3 mbona unazingua wewe mchambuzi mchongo
Mtoto w nyoka ni nyoka ccm waongo t
Pombe ciyo chai
Ww ndio unakunywa pombe adui wa wazanzibar.
ww sio mzanzibar .tunajua nn kinatutesa wazanzibar niwale wazanzibara .km ww.
@@alishaheidshia9026 Sema Mungu atuhidi...
Unafiq mtupu mumemfanyia Mambo mengi mabaya kumdhulum kafa tena fyoko fyoko