🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 16

  • @jjjohn3988
    @jjjohn3988 Год назад

    Mheshimiwa Rais Samia, kumteua Makonda kua katibu muenezi ulimtendea HAKI kazi anaifanya kwa moyo mweupe Mungu amuongoze nasisiwanachi tumemkubali sana. Kazi iendelee.

  • @DavidMalimbegu-dq8tp
    @DavidMalimbegu-dq8tp Год назад +1

    Kwa kweli makonda Mungu akulinde sana maana unakutana namajabali du!!! Utalipwa na Mungu usipo zimia moyo utavuna duniani na mbinguni ukavune

    • @DanielTumaini
      @DanielTumaini Год назад

      Ni kweli Mungu atamlipa kama alivyomlipa magufuli

    • @DanielTumaini
      @DanielTumaini Год назад

      Ndio maana Magufuli saivi anafagia nyumba za malaika

  • @faithmapondo7370
    @faithmapondo7370 Год назад +1

    Yaan jmn swala la kujifungua msilifanyie masihara jmn mtu anaumwa uchungu harafu mnamuomba hela km hana hamumuhudumii vzr na au kuwatesa inaumiza kusema ukwel

  • @faridahalil4456
    @faridahalil4456 7 месяцев назад

    MAKONDA unapo ongea kinyumbani unatueka mataani, please tumia national language (swahili) or english at least

  • @anoldamkumba3208
    @anoldamkumba3208 Год назад +1

    Mh,Makonda hiyo ndiyo Tanzania yetu Wanyonge hatuna haki, Ukiwa mkweli ndo unakandamizwa zaidi hata unacholalamikia utanyimwa hata kama una haki.

  • @dicksonulotu7427
    @dicksonulotu7427 Год назад

    Hi nchi tukifahamu hu mchezo hawatatusumbua akili

  • @amarually5457
    @amarually5457 Год назад

    Mama yetu rais wetu watanzania tuna onewa sana na viongozi uliowapa dhamana ya kutuhudumia angalia mkuu wa mkoa yupo mkuu wa wilaya yupo lakini shida za watu hazitekelezeki mkurugenzi anapata wapi jeuli ya kupinga maagizo ya mkuu wa mkoa tunaomba hawa wakurugenzi wazembe uwawajibishe

  • @HeriMohamedi-p6g
    @HeriMohamedi-p6g Год назад +1

    Watanganyika mambumbumbumbumbumbu huyo makonda yangu ameanza kuzurura amefanua kitu gani cha maana kama siyo anacheza na akili za watanganyika

  • @sulemanmagesa2181
    @sulemanmagesa2181 Год назад

    Watumishi na viongozi mikoani hawatimizi Majukumu Yao. Wanaingia Ofisi za Umma kutengeneza deal za upigaji TU.

  • @amarually5457
    @amarually5457 Год назад +1

    Mh mwenezi huyo mkurugenzi hafai muonekanowake tu anaonekana jeuli

    • @faithmapondo7370
      @faithmapondo7370 Год назад

      Sio kwel Msumba n peace sana ila Hawa wa chin yke wanamuangusha na akiwagundua hawaachi

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward Год назад

      Makonda anatuonyesha, sisi ni nani upendo tunaojidai kuwa nao ni unafiki tu.

    • @KipajiMgalula1
      @KipajiMgalula1 Год назад

      Makonda unatukumbusha bali mungu atapigana nao wanakuchukia ww na aliyekutuma mama sasa anavaa kiatu

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm Год назад

    Haya matatizo yanastahili sheria na mahali pake. Kwa hali hii huwezi tatua matatizo ya ardhi nchi nzima. Tukiri kuna shida katika uongozi. Na uongozi nchi nzima ufanyiwe kazi ili matatizo yote ya ardhi yaishe. Ni mapungufu ya kiserikali nchi nzima. Hii itakuwa njia sahihi. Si hivi.