Suali langu ni huyu iblis aljuaje kama huyu kipofu kasamehewa dhambi manake iblis hajui ghaib ispokuwa Allah na mtume pia hakuteremshiwa wahyi je iblis aljuaje? Kama mwanafunzi naomba kufundishwa SHUKRAN
@@ahmedmpimbi9684 kusikia na kuwa kweli ni vitu viwili tofauti. Hizi hadithi ni za kiisrail wao ndio wana hadithi nyingi za uwongo. Na pia Waislamu tumekuwa wavivu wa kusoma Quran na kuielwa matokeo yake tunapenda hadithi zilizotungwa na watu. Subhanna LLAH
@@thabitalwiy1 kuna sheikh alitoa hicho kisa namaanisha hvo, hadithi zipo ambazo ni sahih na zisizo sahihi hapo tunakuja kwenye matni yake, labda useme tu sio sahihi kwasababu zipi, Qur-an tunasoma na hadithi zinasomwa vile vile ili kuelewa zaidi
@@thabitalwiy1 Astaghfirullah. Unadhani pale msikitini hamkuwa na wanachuoni waliokuwa wanasikiliza sheikh alipokuwa akizungumza? Hata mimi mwenyewe najua sheikh alichokizungumza ni ukweli na nilifunzwa na sheikh wangu. Ulioyazungumza utahukumiwa,mtafute sheikh umuombe msamaha. Kama hujawai sikia kitu katika dini basi endeleza masomo usiseme ni uongo.Wewe hujasoma kama hujui hicho kisa.Endelea kusoma utoe ujinga na kiburi. Na uache kusingizia masheikh kuwa wanazungumza uongo wakati muongo ni wewe, ambae hajui kitu...
Huwa napendaga kusikiliza visa unavyosimulia maashallah
Am not a Muslim but this guy is the best ever he preaches the word without critising other religions
Nuru sureymani
Allah akupe umri mrefu wenye kheir na wewe tuzidi kufaidika
Allah akuzidishie Shekh Kipozeo uendelee kutupa dawa. Ameen in shaa Allah
MashaAllah
Allah akuzidishie elmu ,rizq ,umri na Afya
Masha Allah
Nimesema kwako mzee sababu najuwa ujumbe umefika .
Mungu amlaani shaithwan
Ma Sha Allah ya sheik
Nomba radhi kutoka leo nitajitahidi kukaa kimya si dini si siasa nikiwa na nia njema na watu wote tutakiane rehma shukran
Shekh kpoozeo nakupnda kwa ajil ya Allaa
Profesa kipoozeo!
Barabbara kabisa🙏🏃
Maashallah
Allah Akbar
Hakika ya sheitwan kwenu ni adui na nyinyi mfanyeni adui hakika yeye sheitwan anawaita katika kundi lake ili muwe watu wa motoni
masha Allah
Mashaallah
Mim siyo wa Muhammad ila wew Kipozeo sina shaka nawe
Tuletee habari za mizigo bana sisi tunapenda mizigo km wewe tu
Weeeeee
Jazakallah khaira
Shekh mashallah
Subhanallah
Jazaka Allah kheri mzee
MashaaAllah kisa kizuri kimenikumbusha babu yangu alikuwa kipofu ila MashaaAllah alikuwa akienda msikitini ALLAH amrehemu
Saf sana shehe kipozeo
Jazaka Allah khaira shekh kipozeo
SubuhanaAllah
Shukuran.shekh.tumevifika
Huyu sheikh ana thwawabu kama zote peponi
🤣🤣🤣 shetan mjinga na ana wivu mnoo
Mungu Jehovah ndiye anajua kila kitu kwa kisa hk
Ndo mungu yupi huyo?..
Maisha mema mazuri ya muislamu .
SubhanAllah
Mashaallah tabarakaallah
Anzu biilhai minashaitwani raajim.
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍
Kipozeo acha kunyoa ndevu
Fc POROJO 🤔🤔🤔🤔
Ibillis sio wa mchezo mchezo😂
Bloody
Suali langu ni huyu iblis aljuaje kama huyu kipofu kasamehewa dhambi manake iblis hajui ghaib ispokuwa Allah na mtume pia hakuteremshiwa wahyi je iblis aljuaje? Kama mwanafunzi naomba kufundishwa SHUKRAN
Wanajua Kheri Zote shekhe ndio mana anatumia Nguvu Kubwa Kkupotosha
Bilis alikua malaika acha kujisahaulisha
Kipozeo maneno yako ya hicho kisa tupe source. Naona maneno matupu
Weee nn kwan
Hivi Sheikh kipoozeo hii Hadith inapatikana wapi mbona unatupiga makamba 😂😂😂
Nilishawahi kuisikia sehemu ingine ni kweli
@@ahmedmpimbi9684 kusikia na kuwa kweli ni vitu viwili tofauti. Hizi hadithi ni za kiisrail wao ndio wana hadithi nyingi za uwongo. Na pia Waislamu tumekuwa wavivu wa kusoma Quran na kuielwa matokeo yake tunapenda hadithi zilizotungwa na watu. Subhanna LLAH
@@thabitalwiy1 kuna sheikh alitoa hicho kisa namaanisha hvo, hadithi zipo ambazo ni sahih na zisizo sahihi hapo tunakuja kwenye matni yake, labda useme tu sio sahihi kwasababu zipi, Qur-an tunasoma na hadithi zinasomwa vile vile ili kuelewa zaidi
@@thabitalwiy1 Astaghfirullah. Unadhani pale msikitini hamkuwa na wanachuoni waliokuwa wanasikiliza sheikh alipokuwa akizungumza? Hata mimi mwenyewe najua sheikh alichokizungumza ni ukweli na nilifunzwa na sheikh wangu. Ulioyazungumza utahukumiwa,mtafute sheikh umuombe msamaha. Kama hujawai sikia kitu katika dini basi endeleza masomo usiseme ni uongo.Wewe hujasoma kama hujui hicho kisa.Endelea kusoma utoe ujinga na kiburi. Na uache kusingizia masheikh kuwa wanazungumza uongo wakati muongo ni wewe, ambae hajui kitu...
@@ahmedmpimbi9684 hicho kisa anachokielezea hakina mashiko. Na wala sio Hadithi ya Mtume Muhammed wasimzulie.
Umejaribu hii
ruclips.net/video/Ruf9qGLFocw/видео.html
UTENZI MPYZ HURUMA KWA MAYATIMA ruclips.net/video/vXaCVwHoLsE/видео.html
ruclips.net/video/dVGl3gcdjAE/видео.html
TIBA YA KIISLAMU SEHEMU YA (18)
MADA : FALSAFA YA KUU UGUWA NI NINI
Kipozeo wacha porojo, kisa hiki cha patikana kwenye kitabu kipi? Na huyo swahaba kipofu aitwa nani?
Wewe wacha kuongea mbaya kwa Sheikh Umbwa wewe
@@mohamaalim7013 mbwa ni mamako shoga wewe
Kisa Cha wongo mtupu. Uyo kipofu Jina lake ni Nani?
Acha ujinga usichokujua ww sio useme tu uongo wew soma tu elimu haijamaliza
Mashaallah
Kipozeo acha kunyoa ndevu