Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

KISA CHA NABII MUSSA NA SALA YA KUOMBA MVUA SHEIKH KIPOZEO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 авг 2024

Комментарии • 32

  • @ismaelkambale3024
    @ismaelkambale3024 Год назад +2

    Manshallah

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 2 года назад +5

    Profesa kipoozeo!!!

  • @abdulbogoyo1243
    @abdulbogoyo1243 Год назад +2

    MashaAllah

  • @lulunabdallah
    @lulunabdallah Год назад

    Allah Akbar Jamil

  • @sady_khan
    @sady_khan 2 месяца назад

    Mashaallah

  • @alisaleh2507
    @alisaleh2507 2 года назад +5

    ALLAH AKUSAMEHE MAKOSA YKO NA AKULIPE UJIRA WA JITIHADA YAKO.

  • @hamzaforogo
    @hamzaforogo Год назад

    Maashallah fundi kipozeo

  • @mohamudmohamed7245
    @mohamudmohamed7245 2 года назад +1

    Jazakallah

  • @donedaddy4561
    @donedaddy4561 2 года назад +1

    Mashallah

  • @abdulhakimhasan7673
    @abdulhakimhasan7673 2 года назад +2

    Ndugu Rajabu Twalha , hapa sio pahala pa kumzungumzia sheikhe . Sio heshima au uadilifu wa uisilamu . Desturi ni uongee naye ana kwa ana , au umuandikie .

  • @sidisoumare6214
    @sidisoumare6214 2 года назад +1

    machaa allah Baka llah flk

  • @ahmadally9160
    @ahmadally9160 2 года назад +4

    🤣🤣🤣 ila huyu sheikh, Ma sha Allah

  • @rajabutwalha2313
    @rajabutwalha2313 2 года назад +3

    As Salam alaykum warahmatullah wabarakatuh samahan sana napenda kusema kuhusu sheikh wangu huyu nampenda kwa ajili ya ALLAH ila sasa hivi amekuwa sio kama zamani maana zamani alikuwa hafichi haqqi ila sasa hivi siyo yule sijui vip

    • @rajabutwalha2313
      @rajabutwalha2313 2 года назад +1

      As Salam alaykum warahmatullah wabarakatuh samahan sana ndugu yangu Abdul hakiim Hassan nikwambie tu kwamba umesema kuwa humu sio sehemu ya kumkumbusha je nikuulize tu mimi kukosa kumuona humu ningejuaje kama sasa hivi siyo yule kumbuka kuwa hata yeye mwenyewe alimkosoa sheikh mmoja hivi kupitia humu humu mitandaoni sasa ukumbusho ni mahala popote pale hata ww ukikosea bas tutakosoa au mm vile vile nilikosea nitakosolewa.

    • @abdulhakimhasan7673
      @abdulhakimhasan7673 2 года назад +1

      @@rajabutwalha2313 Ndugu Rajabu Twalha , Mola Mueza amempa ilimu sheikhe, na kufaidi viumbe vingi sana duniani. Na mwalimu, heshima yake, hairuhusu kumtangaza au kumsemea hadharani. Fanya taabu ya kutafuta anwani yake. Mtu hufanya makosa, lakini huwezi kurekebisha makosa kwa makosa .

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 2 года назад

      Wewe usiyeficha haki inatosha,,,,Sisi tuachie sheikh wetu mawaidha yake Tu yanatutosha

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 2 года назад +1

      @@rajabutwalha2313 inaonekana Una chuki binafsi na sheikh,,,,kwasababu sheikh toka miaka ya 1980 's mpaka leo amefanya juhudi kubwa katika kuusukuma mbele uislam, sasa wewe mtaka haki sijui umeufanyia nini uislam mpaka sasa?

  • @mwassamwassa7264
    @mwassamwassa7264 2 года назад +1

    Imani ya uongo na kutunga mambo

    • @abdulhakimhasan7673
      @abdulhakimhasan7673 2 года назад

      Ndugu Mwassa , endelea kufuata ilimu ya sheikhe, hakika hamna hasara , burudika .

    • @mohamedimohamedi8933
      @mohamedimohamedi8933 2 года назад

      Do research about Islam brother

    • @twahakhamis6520
      @twahakhamis6520 2 года назад

      Iv kati ya uisilam na dini zingine zipi zinaonekana za kutunga. Ndugu hata iyo biblia yenu iliteremshwa na mtume yupi wa mungu. Ama ni watu walijiandikia kupiigia hela😁😁. Kaa uitafakari hio dini yene usidanganywe na miujiza ambayo nyuma ya pazia ni demon ndo wanafanya kazi

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 2 года назад

      Unateseka ukiwa wapi?

    • @idrissamustafabukenya6110
      @idrissamustafabukenya6110 Год назад

      Hawuna ilimu kaa kimya wewe mwasa

  • @mathiasmageni8568
    @mathiasmageni8568 2 года назад

    Musa alikuwa myahudi msidanganye Sana watu hamwogopi hata Moto ?

    • @mrwideputin2038
      @mrwideputin2038 2 года назад

      Uislamu ni kujisalimisha kwa Mungu. Tangu mtume Adam na mitume wote walikuwa waislamu.

    • @aliabdallah8456
      @aliabdallah8456 2 года назад

      Huyaudi ni kabila dini ni muislamu kabila muaya dini islam

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 2 года назад

      Unateseka ukiwa wapi,,,,,maana alichosema sheikh ndio ukweli

    • @idrissamustafabukenya6110
      @idrissamustafabukenya6110 Год назад

      Kasome rafiki yangu ndo utajuwa ukweli. Huyo ni sheikh kabisa siyo masiyara

  • @jumamohammed5378
    @jumamohammed5378 2 года назад +1

    MashaAllah

  • @najmakiria7164
    @najmakiria7164 2 года назад

    Mashallah

  • @shahaabedy2368
    @shahaabedy2368 2 года назад +1

    MashaAlla