Rayvanny X Silver nyota _ PAULA (official Audio)
HTML-код
- Опубликовано: 8 дек 2023
- @Wasafi_Media @Rayvannychui @dplatnumz @officialzuchu @NextLevelMusicTz
@bongotrendinghabari6419
@officialzuchu
@Phina_
@middlesimba
@SimuliziNaSauti
millardayoTZA
@millardayoTZA
@globaltv_online #wasafi #rayvanny #diamond #zuchu #bongo24 #mgahawa #globaltv #mpenjatv #azamtv #middlesimba
Nimeikubali🔥🔥🔥💯
Amemiss Natural paula,huyo wa bleaching hana lake.
Apo umeupiga mwingi Rey
Ako wapi Rayvanny mwenye alikuwa anaimba nyimbo emotional 😢😢
Unyama sana bro 🔥🔥🔥
Nice one take love from 001🫴💅 best 🇰🇪🇹🇿 nice job
Pau anakutesa sana kale katoto ni moto ndo maana ulitamba Nako fai mwenyewe ndo mda mwingine anamtukana pau ila pau mda mwingine hamjibu Yuko bize na marioo wake watanzania tunaona acha kutuzingua pau utamuona hivo hivo ray fanya Yako.
Fahima nimzuriii mashallh shepu anayo sura anyoo mtoto kajaziaaa mashlh mtoto huna mpinzaniii mama jiachie kwa mumeo ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️💋💋💋
Oman!
Paula anampenda ray kweli
Hatarii 😮
Walai paula achana n reyvanny n faymah,faymah daa mzuri kukuliko
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤Fahyma le coeur de quelqu'un chui🎉🎉🎉
❤
napenda sana kazi zako bloood,
mungu akukosea kutu kutanisha🔥🔥🔥🙏🙏🙏🤪🤪
Real blood
Fahima mere ❤❤❤
Paula anakupenda mpe one more chance
Fay we love you from KENYA
Silvaaaaaaaa✴️✴️✴️
Fahima hajamfikia paula
Fai mzuri Tena katulia ray ndo mgombanishi uliwataka wote wa nn,we mchezeaji watoto wa watu na mbona hufungi ndoa na faymah kama unampenda muheshimishe Kwa kumuoa ndoa tuione kama wengine mfano Nandy na bill wameweka heshima mjini acha kutuletea mafumbo ya kiswahili muoe fayma Kwa ndoa
Tunakujua kama bado unamtaka ila humpati tena kashapata anae jua mapenzi na kumuenzi
Daaa 😢😢😢😢
Unajuwa Sanaa kipenzi 🥰
❤
Pauuuuuu
🙏🙏🙏
Fahyma is so beautiful❤❤❤❤❤
❤❤
hamuachi vituko 😂😂😂😂😂
Paula kakuweza kabsxa jamani 😂😂😂
Na ndio nyimbo gani hio
Bong siham😂
Twende mjini kaka
Blood
pamban baba uktak kutoboa usiangalie wapambe nkubar😂😂
Ila ray ni nshezi sana kakosa n'a fasi kwa paula ndo kaanza upumbavu wake.funga ndoa n'a fai pau hana muda n'a wewe hata kidigo anatulia kwa marioo hakuna shida kabisa😏😏😏😏🤫🤫🤫🤫
😅😅😅
😅
Funga ndoa na faymah umuheshimishe sio porojo had mdada wa watu azeeke ndo umuoe kama kizazi anacho amekuzalia acha kumuimbia paula tunataka ndoa ya halali tujue unampenda sio kuzini kila siku sio mkeo halali mnafanya mauzo ya sura funga ndoa
Kwani kakufuata Nini mbona mnamchokoza mtoto katulia zake Paula kipenzi
Umeishiwa chui kama huna nyimbo ya kuimba muache paula
Mwambie Tena n Tena
Ukitaka kujua kwamba paula bado anakutesa umetungia nyimbo umemsifia umondani yanyimbo yani ndo unatuaminisha ule wimbo wa unaweweseka unakutesa mwenyew yani bola ata usimtajete utaishi kwa amani
Ndio maana ametoa nyimbo Bado anampenda Paula acha kiki
😂
Ray unampenda pau bado!anaye block Huwa haongei Tena pia kama fayma unampenda mbn unamchiti fai kila siku na kwa pau ulifata nn na ww utulie
Muambiye Kweli Paula ache kusumbuwa kipendda roho fahma
Tuache unafi Ray vvanny bado unateseka napenzi la Paula unampenda sana, Paula nawapenda sana wewe na marioo achaneni nae mkyusa uyoo Kwanza Paula mzuri sana kuliko fayma