"RAYVANNY AKIMUOA FAHYMA NIFUKUZWE KAZI WASAFI, BADO ANAMPENDA PAULA" - JUMALOKOLE ALA KIAPO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 апр 2023
  • "RAYVANNY AKIMUOA FAHYMA NIFUKUZWE KAZI WASAFI, BADO ANAMPENDA PAULA" - JUMALOKOLE ALA KIAPO
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 160

  • @truphosamoraa8383
    @truphosamoraa8383 Год назад +11

    Exactly,anamtumia tu juu y Kiki,hkuna story na kuoa

  • @user-yd8sp4es9n
    @user-yd8sp4es9n 7 месяцев назад +1

    Mi.imi ki mimi ni shapiki wa ravany Chui🐯🐯

  • @millymilly7244
    @millymilly7244 Год назад +28

    Hivo ndo ulisema kuhusu nandy, yakakutokea puani achana na maisha ya watu juma

  • @mwanajumamwinyi2665
    @mwanajumamwinyi2665 Год назад +30

    Ray anafanya kumkomoa mtu cause anatumia nguvu kweli

  • @olivemauwa2877
    @olivemauwa2877 Год назад +6

    Mimi juma simupendagi ila kwaili nikweli rayvan anamukomoa mutu siyo mapenzi nikweli 💯💯💯 atamimi imesha wayi kunitokeya muzazi mwenzangu kajifanya amenirudiya mapenzi Moto Moto kumbe katimukiwa upande wapili.

  • @jacklinejackline8607
    @jacklinejackline8607 Год назад +23

    Raivyan ana mpenda sanaaaaaaaa Faivyan

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Год назад +2

    Huyu kaka ni mzandiki
    Hasidi namba moja

  • @pendo8082
    @pendo8082 Год назад +16

    Juma kichaa ww kuna kipind ulisema Paula ataolewa na rayvanny mbona kaachaa😂😂

  • @swazeadolfine5072
    @swazeadolfine5072 Год назад +10

    Mimi Juma damu damu akisema kasema kweli😂❤

  • @fathimamohamed684
    @fathimamohamed684 Год назад +10

    nampenda juma lokole mie😂😂😂

  • @FridaUdoba-iw2jx
    @FridaUdoba-iw2jx Год назад

    🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @assinaassina1177
    @assinaassina1177 Год назад +1

    Wasikudanganyi jumma wetu

  • @mejumaabatano5262
    @mejumaabatano5262 Год назад +4

    Ukisikia uchawi wa roho ndio huu sasa wamchukia fayma alikufanyia nn mtoto wa kiume wewe kumbuka pia wewe ni mzazi na uko na ndugu pia kuwa makini na maneno yako maasalama

  • @enjobw5682
    @enjobw5682 Год назад +31

    Ni kawaida sana 😂😂😂😂😂 fahy anatumiwa kwa Kiki tu,kama kweli rayvanny anamupenda fahy amuowe tuone😂😂😂😂

    • @norahmakrean525
      @norahmakrean525 Год назад

      Paula ndiye alikuwa anatumiwa, mbona rayvanny yuko na paula na anavalishwa na fayma😂😂😂😂

    • @teresianjoroge2112
      @teresianjoroge2112 Год назад

      Yamkera kumbe 😂😂 nisemeje vile

  • @saumumasha4900
    @saumumasha4900 Год назад +23

    Uyu juma Ako na girlfriend kweli mbn mbeya ivi😂😂😂

  • @edenilyimoedenilyimo-we6dg
    @edenilyimoedenilyimo-we6dg Год назад +9

    Mnamsikikiza huyo mwanamke mwanaume kwa nand alisema ivyo ivyo

  • @assinaassina1177
    @assinaassina1177 Год назад +1

    Ramadhani imekwisha icyo kiapo kiyisheapo

  • @GraceLucian-fd5sm
    @GraceLucian-fd5sm Год назад +3

    Aaaaaaah wapi aacha kazi anaongea tu hyooo🤗🤗

  • @john-ke5838
    @john-ke5838 Год назад +1

    Tzd....mna mambo🤣🤣🤣🤣🇰🇪🇰🇪🇰🇪...fahima na rayvany...hamna ndoa hao...huyo ni video vixen wa kawaida🤗🤗🤗🤗🤗

  • @donathasimon9292
    @donathasimon9292 Год назад

    Jumaaaaa kaaaahhh 😳😳

  • @annasolomon9855
    @annasolomon9855 Год назад +15

    Alishaongeaga hivihivi kwa Nandy na Bilinass..

  • @eshymohammed8837
    @eshymohammed8837 Год назад +3

    fayvany na rayvany hawajawai kuachana

  • @BigG-pb4xu
    @BigG-pb4xu Год назад +1

    Nom zan chuii

  • @judywambui3409
    @judywambui3409 Год назад

    Rayvanny for real owa fahyma unyamaxishe hii utoto

  • @mwajumakweli
    @mwajumakweli Год назад +1

    Uyu wajina ana matizo sana

  • @yuzarsifutv7716
    @yuzarsifutv7716 Год назад +6

    Fayma atakuja kumshukuru juma lokole sababu hata kajala Na hamo alimpa kadi ya gari kajala juu ya muhemko😆😆😆 asishangai Ray anamuoa kwa muhemko😄😄

    • @raybby9291
      @raybby9291 Год назад

      Ataoa ili amkomoe juma 😂

  • @selinatogolai3314
    @selinatogolai3314 Год назад +2

    Acha ushenzi juma w ewe ni mungu juma n akwanini mnajadili m ambo ya watu nyinyi hapo mna yenu kibao yanawashinda nyie m nafuatilia ya wenzenu kwanini yatawashinda sana acheni umbea m mezidi

  • @mashakhalfan-ix4xm
    @mashakhalfan-ix4xm Год назад +3

    Juma asiseme sana amuulize duka makabila

  • @barakatabdul3212
    @barakatabdul3212 Год назад +3

    Yani waacha kazi kwa Sababu ya Maisha yawatu kweli🤔 huyu Juma kweli sio Riskii" nimeamini😂😂😂😂😂

  • @nibigirahassina9308
    @nibigirahassina9308 Год назад +1

    Ibilisi

  • @guenterernst5481
    @guenterernst5481 Год назад

    Jamani wanawake wa kiislamu wacheni zinaa fahyma muislamu na ray ni mkristo

  • @vanjay8685
    @vanjay8685 Год назад +7

    Huyu ni mwehu tu hata msimsikize...nakumbuka juzi tu alisema Paula kafunga ndoa Leo ati marioo

    • @uwimana940
      @uwimana940 Год назад

      Juma nakupend bure❤️❤️❤️❤️

    • @wilper6318
      @wilper6318 Год назад

      Nyie mi nimecheka, umbea rahaa

  • @user-ct7vm7bq9w
    @user-ct7vm7bq9w Год назад

    Wewe juma kwani mchawi umewaroga wasioane mbora umeshupaa hivyoo......... 😅😅

  • @bigirumanalululouise4540
    @bigirumanalululouise4540 Год назад +2

    Juma juma ku umbea nakupenda bure❤❤😂😂

  • @makenealengalenga8817
    @makenealengalenga8817 Год назад +7

    Team Juma damu tujuwane mwamba kashasema 😂😂😂😂😂

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima3993 Год назад

    Dida ananifurahisha

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no Год назад +1

    😂😂😂 eti Hakimi mkubwa wew

  • @lydi791
    @lydi791 Год назад +5

    😂😂😂sasa ivi Harmo katiliwa mukabati ivi ni Rayvanny kafikiliw 😂😂😂😂😂

  • @zainabhussein5542
    @zainabhussein5542 Год назад +1

    Kwa kweli wewe Juma una laana Kwani huyo rayvanny asimuoe fahima kisa nini ama pia huyo rayvanny ulikua unamtaka na mbona alivyokua na Paula ulikua ukifurahia Sai ameachwa ndio unatoa maneno ya shombo hebu acha hizo wewe sio mungu na ndoa anaepanga Ni mungu na sio wewe

  • @chany9950
    @chany9950 Год назад +3

    🤣🤣🤣 love you juma

  • @elizabethbwakila3982
    @elizabethbwakila3982 Год назад +3

    Juma juma juma!!! Acha umbea jamani

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 Год назад

    Oooh kumbe mruguru lokole hehe tuko nduguzo

  • @annemwende3154
    @annemwende3154 Год назад +1

    Wewe naona utamtafutia huyo Paula mume akome usichana wote huo awezi kupata mume wake mpaka mume wa fayma namhurumia sana😂😂😂😂😂 huyo paula

  • @criminalminds7723
    @criminalminds7723 Год назад +1

    Huyu juma kwani anataka kuolewa yeye???kwanini serikali haimpimi huyu jamaa?anaonekana shoga Sana yani,

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 Год назад +1

    😂😂😂😂juma team paula ka mie

  • @veronicamikoma9687
    @veronicamikoma9687 Год назад

    Ivi Juma ana mpenz kweli

  • @shakilaabdallah7890
    @shakilaabdallah7890 Год назад +3

    Dida umenichekesha sana et kufukuzewa kaz mtihan😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @jamilahabibu9299
    @jamilahabibu9299 Год назад +1

    Dida😂🙌🙌

  • @HarimahtheAnny
    @HarimahtheAnny Год назад +2

    Mbona hakumuchora Paula anampenda fayima bhana

  • @fatmaali4921
    @fatmaali4921 Год назад

    Ila juma unajua unaaibika wewe kuna mda unaongea mpka unajisahau akisha unapenda kufatilia maisha yake akisha sjui kwa nn?humpendi fahyma ss km akimuowa kweli uso wako utaeka wapi? Ww au wasaf washakuchoka maana esma alikuchamba unashadidia mtoto wa mwezio kubadlisha wanaume kila mara

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад

    Mmeshiba nyiye

  • @sharonnemartins2798
    @sharonnemartins2798 Год назад +1

    Juma unaroho ya korosho!!

  • @happysixbert7091
    @happysixbert7091 Год назад +1

    Jmn jumaaaaaaa🤣

  • @AruaKanduru
    @AruaKanduru Год назад +2

    nimemshinda tabia uyu kaka,, basi ata paula anatumiwa

  • @jayloveofficial8428
    @jayloveofficial8428 Год назад +1

    Juma muongo

  • @SabySuley-et9cd
    @SabySuley-et9cd Год назад

    Kweli kbc ray anamtumia dada wa watu maan anavofany km anamkomoa mtu yn anaumia bdo hajamove on

  • @MwanajemaPharmacy
    @MwanajemaPharmacy Год назад

    Nyie dida kiapo baby kiapo 😂😂😂😂🙌 nyie kazi 😜😂😂😂

  • @samiraramathan-bd5bc
    @samiraramathan-bd5bc Год назад +2

    Juma juma😂

  • @upendocalvin8543
    @upendocalvin8543 Год назад +1

    Acha wivuu ww shogaa kaz kukashfu wa2

  • @matildamkombachepa2149
    @matildamkombachepa2149 Год назад

    Huyu Juma alisema Billnass hatamuoa Nandy,akimuoa atakunya.Mbona Nandy ameolewa na Billnass.Mbona hajanya hayo mavi kweli

  • @carolineelias5847
    @carolineelias5847 Год назад +1

    Nimefurahi mno 😂😂😂😂😂

  • @Everina4
    @Everina4 Год назад +2

    Mwanaume uko mbeya ivi heee

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад

    Hahahaa dida mtihani

  • @bellaniyo6527
    @bellaniyo6527 Год назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤

  • @bwanabrainex433
    @bwanabrainex433 Год назад

    @Dida unacfa ww🤣🤣🤣🤣🤣ety anaongea kiingereza

  • @hassinaalharthi5984
    @hassinaalharthi5984 Год назад

    Mmmmmm juma kwani wewe wewe ndoo Paula hata unasema mpaka povu

  • @dhahabucharo-os2rr
    @dhahabucharo-os2rr Год назад

    Aky juma ukifka mbingun ufukuzwe wnifurahisha kw kweli🤣🤣🤣🤣😊😊

  • @mwanahamishamis2711
    @mwanahamishamis2711 Год назад

    Dida asimamishwe kwa wiki 2😅😅😅

  • @kazungualii5368
    @kazungualii5368 Год назад

    Wallah huyu jamaa akiwa kenya mimi binafsi na mfiraaaaaaa

    • @barakamwamba288
      @barakamwamba288 Год назад

      Haaaa

    • @edinakyaruzi9226
      @edinakyaruzi9226 Год назад

      Wewe si ni mwisilm kweli unawaza mtu kumfanya mwanamme mwezio kweli jamani mmmm nyie ndio mabaasha

  • @nibigirahassina9308
    @nibigirahassina9308 Год назад

    Dida kwanini munamupa sanaaa time yakumusikiriza uyo juma ???

  • @enjobw5682
    @enjobw5682 Год назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 juma juma juma

  • @onanarosse9657
    @onanarosse9657 Год назад +1

    Juma juma 😂😂😂😂

  • @user-fo4md6ke5b
    @user-fo4md6ke5b Год назад

    😂😂😂

  • @starzone0458
    @starzone0458 Год назад +1

    Juma muache fahyma ulisema hawezi rudiwa mara ni mfupi mwisho karudiwa na huyo paula na ufundi wake kaachwa achana na tanga girl Tanga kawashinda babu zako we uweze kuibeba mcheeew

  • @zuwenaally6403
    @zuwenaally6403 Год назад

    Duh huyo juma nom 😂😂😂

  • @eshymohammed8837
    @eshymohammed8837 Год назад

    mimi juma naanza kumchukia

  • @cocorita8367
    @cocorita8367 Год назад

    Huyu nae anamtumia vp na mzazi mwenzie

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo Год назад

    Juma Hana akili hata kwa Nandi ulisema haolewi

  • @teresianjoroge2112
    @teresianjoroge2112 Год назад

    Huyu kole anachekesha bc nawe tafuta wakuoa tuone

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 Год назад

    Huyu sijui anajini wivu.Ww umekuwa dalali wakila jambo.Umeshampeka Paula kwa marioo,kwahyo inacheza namaisha yawatu.

  • @bimuidrissa6617
    @bimuidrissa6617 Год назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @sampachino5184
    @sampachino5184 Год назад

    Mnafirahisha

  • @LouisaFidelis69
    @LouisaFidelis69 Год назад

    Unaapa kwa kutumia iPhone? 😂we juma

  • @lynnkyra4101
    @lynnkyra4101 Год назад

    Juma acha wivu, ulisema billinas hawez muoa Nand

  • @hannah-mc1lj
    @hannah-mc1lj Год назад

    😂😅😅😅😅😅

  • @annnekesa7977
    @annnekesa7977 Год назад +1

    Maisha ya rayvanny inakuwashia nini juma lokole , huna lolote wewe wivu tu , fayma ataolewa na rayvanny utake usitake, , ,

  • @nawechi4818
    @nawechi4818 Год назад

    Huyu choko bwana utasema yeye ndio roho ya rayvany😏😏 me nakuita mbwa tuu ww

  • @aminabashir1167
    @aminabashir1167 Год назад

    Sasa juma kazi yake kwenye wasafi nikutangaza umbea au nini maana sijui kazi ya juma mm😂😂

  • @lilymuro8882
    @lilymuro8882 Год назад

    Nawapenda mnanip burudani

  • @judyjudy3513
    @judyjudy3513 Год назад

    Bas we ndo Mchawi wake ushindwi na ulegehe kwa Jina la yesu pepo mkubwa wewe

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1lt Год назад

    Juma miaka yote ampendi fayma wivu navile Hana marinda utaolewa wewe juma

  • @jacklinejackline8607
    @jacklinejackline8607 Год назад +5

    Demu wa Diamond platnam punguza makasiriko mbwa wewe

  • @fatmarashid8163
    @fatmarashid8163 Год назад

    Anamtumia kumuumiza Paula

  • @magdalenewandei4084
    @magdalenewandei4084 Год назад

    Juma anakuaga na wivu kah mwanamke sijaiona....ameoa?

  • @lydiahboyani1021
    @lydiahboyani1021 Год назад

    Nonsense

  • @alicedusabe7510
    @alicedusabe7510 Год назад

    Huyo juma anadomo zege sula yako utayificha wapi wakiwoana embutoka hapo

  • @lilianmasoud1444
    @lilianmasoud1444 Год назад

    Alaf kuolewa saiv sio jambo la kustua km zaman

  • @esthakilicho
    @esthakilicho Год назад

    😂😂😂😂😂

  • @hannah-mc1lj
    @hannah-mc1lj Год назад

    Yaani namupenda bure juma dida sas kanishekesh adi mbavu zinauma 😂

  • @lolollololi1050
    @lolollololi1050 Год назад

    Dida wanimaliza mbavu🤣🤣🤣🤣🤣🤣