"RAYVANNY AKIMUOA FAHYMA NIFUKUZWE KAZI WASAFI, BADO ANAMPENDA PAULA" - JUMALOKOLE ALA KIAPO
HTML-код
- Опубликовано: 17 апр 2023
- "RAYVANNY AKIMUOA FAHYMA NIFUKUZWE KAZI WASAFI, BADO ANAMPENDA PAULA" - JUMALOKOLE ALA KIAPO
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Развлечения
Exactly,anamtumia tu juu y Kiki,hkuna story na kuoa
Mi.imi ki mimi ni shapiki wa ravany Chui🐯🐯
Hivo ndo ulisema kuhusu nandy, yakakutokea puani achana na maisha ya watu juma
😂😂😂😂hivi hivi
😂😂😂
Ray anafanya kumkomoa mtu cause anatumia nguvu kweli
Mimi juma simupendagi ila kwaili nikweli rayvan anamukomoa mutu siyo mapenzi nikweli 💯💯💯 atamimi imesha wayi kunitokeya muzazi mwenzangu kajifanya amenirudiya mapenzi Moto Moto kumbe katimukiwa upande wapili.
Raivyan ana mpenda sanaaaaaaaa Faivyan
Huyu kaka ni mzandiki
Hasidi namba moja
Juma kichaa ww kuna kipind ulisema Paula ataolewa na rayvanny mbona kaachaa😂😂
Mimi Juma damu damu akisema kasema kweli😂❤
nampenda juma lokole mie😂😂😂
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Wasikudanganyi jumma wetu
Ukisikia uchawi wa roho ndio huu sasa wamchukia fayma alikufanyia nn mtoto wa kiume wewe kumbuka pia wewe ni mzazi na uko na ndugu pia kuwa makini na maneno yako maasalama
Ni kawaida sana 😂😂😂😂😂 fahy anatumiwa kwa Kiki tu,kama kweli rayvanny anamupenda fahy amuowe tuone😂😂😂😂
Paula ndiye alikuwa anatumiwa, mbona rayvanny yuko na paula na anavalishwa na fayma😂😂😂😂
Yamkera kumbe 😂😂 nisemeje vile
Uyu juma Ako na girlfriend kweli mbn mbeya ivi😂😂😂
😆😆
Yeye nae si wale wa ulaya
Atàkuwa anataka kuolewa YEYE kwa sababu mwanaume rijàli huwezi ongea pumba
Ana Ex Mke na Mtoto ila saiv yeye ni mke wa mtu
Mnamsikikiza huyo mwanamke mwanaume kwa nand alisema ivyo ivyo
Ramadhani imekwisha icyo kiapo kiyisheapo
Aaaaaaah wapi aacha kazi anaongea tu hyooo🤗🤗
Tzd....mna mambo🤣🤣🤣🤣🇰🇪🇰🇪🇰🇪...fahima na rayvany...hamna ndoa hao...huyo ni video vixen wa kawaida🤗🤗🤗🤗🤗
Jumaaaaa kaaaahhh 😳😳
Alishaongeaga hivihivi kwa Nandy na Bilinass..
Kweli
Kusema ukweli Rayvanny anatumia nguvu nyinyi sana kumkomoa Paula maanake bado anampenda Paula
@@agwalubifaridah7079 maoni yako hayo pekeyako
fayvany na rayvany hawajawai kuachana
Nom zan chuii
Rayvanny for real owa fahyma unyamaxishe hii utoto
Uyu wajina ana matizo sana
Fayma atakuja kumshukuru juma lokole sababu hata kajala Na hamo alimpa kadi ya gari kajala juu ya muhemko😆😆😆 asishangai Ray anamuoa kwa muhemko😄😄
Ataoa ili amkomoe juma 😂
Acha ushenzi juma w ewe ni mungu juma n akwanini mnajadili m ambo ya watu nyinyi hapo mna yenu kibao yanawashinda nyie m nafuatilia ya wenzenu kwanini yatawashinda sana acheni umbea m mezidi
Juma asiseme sana amuulize duka makabila
Yani waacha kazi kwa Sababu ya Maisha yawatu kweli🤔 huyu Juma kweli sio Riskii" nimeamini😂😂😂😂😂
Ibilisi
Jamani wanawake wa kiislamu wacheni zinaa fahyma muislamu na ray ni mkristo
Huyu ni mwehu tu hata msimsikize...nakumbuka juzi tu alisema Paula kafunga ndoa Leo ati marioo
Juma nakupend bure❤️❤️❤️❤️
Nyie mi nimecheka, umbea rahaa
Wewe juma kwani mchawi umewaroga wasioane mbora umeshupaa hivyoo......... 😅😅
Juma juma ku umbea nakupenda bure❤❤😂😂
Team Juma damu tujuwane mwamba kashasema 😂😂😂😂😂
Dida ananifurahisha
😂😂😂 eti Hakimi mkubwa wew
😂😂😂sasa ivi Harmo katiliwa mukabati ivi ni Rayvanny kafikiliw 😂😂😂😂😂
Kwa kweli wewe Juma una laana Kwani huyo rayvanny asimuoe fahima kisa nini ama pia huyo rayvanny ulikua unamtaka na mbona alivyokua na Paula ulikua ukifurahia Sai ameachwa ndio unatoa maneno ya shombo hebu acha hizo wewe sio mungu na ndoa anaepanga Ni mungu na sio wewe
🤣🤣🤣 love you juma
Juma juma juma!!! Acha umbea jamani
Oooh kumbe mruguru lokole hehe tuko nduguzo
Wewe naona utamtafutia huyo Paula mume akome usichana wote huo awezi kupata mume wake mpaka mume wa fayma namhurumia sana😂😂😂😂😂 huyo paula
Huyu juma kwani anataka kuolewa yeye???kwanini serikali haimpimi huyu jamaa?anaonekana shoga Sana yani,
😂😂😂😂juma team paula ka mie
Ivi Juma ana mpenz kweli
Dida umenichekesha sana et kufukuzewa kaz mtihan😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Dida😂🙌🙌
Mbona hakumuchora Paula anampenda fayima bhana
Ila juma unajua unaaibika wewe kuna mda unaongea mpka unajisahau akisha unapenda kufatilia maisha yake akisha sjui kwa nn?humpendi fahyma ss km akimuowa kweli uso wako utaeka wapi? Ww au wasaf washakuchoka maana esma alikuchamba unashadidia mtoto wa mwezio kubadlisha wanaume kila mara
Mmeshiba nyiye
Juma unaroho ya korosho!!
Jmn jumaaaaaaa🤣
nimemshinda tabia uyu kaka,, basi ata paula anatumiwa
Juma muongo
Kweli kbc ray anamtumia dada wa watu maan anavofany km anamkomoa mtu yn anaumia bdo hajamove on
Akuna kitu apo rayvanny anatumia fayma kuumiza paula
Nyie dida kiapo baby kiapo 😂😂😂😂🙌 nyie kazi 😜😂😂😂
Juma juma😂
Acha wivuu ww shogaa kaz kukashfu wa2
Huyu Juma alisema Billnass hatamuoa Nandy,akimuoa atakunya.Mbona Nandy ameolewa na Billnass.Mbona hajanya hayo mavi kweli
Nimefurahi mno 😂😂😂😂😂
Mwanaume uko mbeya ivi heee
Hahahaa dida mtihani
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤
@Dida unacfa ww🤣🤣🤣🤣🤣ety anaongea kiingereza
Mmmmmm juma kwani wewe wewe ndoo Paula hata unasema mpaka povu
Aky juma ukifka mbingun ufukuzwe wnifurahisha kw kweli🤣🤣🤣🤣😊😊
Dida asimamishwe kwa wiki 2😅😅😅
Wallah huyu jamaa akiwa kenya mimi binafsi na mfiraaaaaaa
Haaaa
Wewe si ni mwisilm kweli unawaza mtu kumfanya mwanamme mwezio kweli jamani mmmm nyie ndio mabaasha
Dida kwanini munamupa sanaaa time yakumusikiriza uyo juma ???
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 juma juma juma
Juma juma 😂😂😂😂
😂😂😂
Juma muache fahyma ulisema hawezi rudiwa mara ni mfupi mwisho karudiwa na huyo paula na ufundi wake kaachwa achana na tanga girl Tanga kawashinda babu zako we uweze kuibeba mcheeew
Duh huyo juma nom 😂😂😂
Subuhaanah lahu
mimi juma naanza kumchukia
Huyu nae anamtumia vp na mzazi mwenzie
Juma Hana akili hata kwa Nandi ulisema haolewi
Huyu kole anachekesha bc nawe tafuta wakuoa tuone
Huyu sijui anajini wivu.Ww umekuwa dalali wakila jambo.Umeshampeka Paula kwa marioo,kwahyo inacheza namaisha yawatu.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mnafirahisha
Unaapa kwa kutumia iPhone? 😂we juma
Juma acha wivu, ulisema billinas hawez muoa Nand
😂😅😅😅😅😅
Maisha ya rayvanny inakuwashia nini juma lokole , huna lolote wewe wivu tu , fayma ataolewa na rayvanny utake usitake, , ,
Huyu choko bwana utasema yeye ndio roho ya rayvany😏😏 me nakuita mbwa tuu ww
Sasa juma kazi yake kwenye wasafi nikutangaza umbea au nini maana sijui kazi ya juma mm😂😂
Nawapenda mnanip burudani
Bas we ndo Mchawi wake ushindwi na ulegehe kwa Jina la yesu pepo mkubwa wewe
Juma miaka yote ampendi fayma wivu navile Hana marinda utaolewa wewe juma
Demu wa Diamond platnam punguza makasiriko mbwa wewe
Haaaaaahaaaaa
😁😁😁😁😁😉😉😉😉
Kumekucha 😂😂😂
Anamtumia kumuumiza Paula
Juma anakuaga na wivu kah mwanamke sijaiona....ameoa?
Nonsense
Huyo juma anadomo zege sula yako utayificha wapi wakiwoana embutoka hapo
Alaf kuolewa saiv sio jambo la kustua km zaman
😂😂😂😂😂
Yaani namupenda bure juma dida sas kanishekesh adi mbavu zinauma 😂
Dida wanimaliza mbavu🤣🤣🤣🤣🤣🤣