Mwamba anateseka Sana uyu ila hatuna chakumwambia zaidi ya pole maan pau ndo huyoooo🕊️🕊️ulizingua mwenyew bad anaenjoy tu now na watu tunakupenda couple Ile kisenge😅😅😂😂
Kama lichizi vile umeshindwa kumoveone SI uneona mtoto WA watu paulah kapata WA kumstiri inaanza kumtajataja, mwache aendelee na maisha yake, ulimuona WA nini, saivi kapata mtu kashaanza kukuuma.
Rayvanny anampenda sana Paula ❤❤❤❤
Kweli nimehamini uyu jamaa anampenda sana Paula
Nikweli kabisa
Anamuektia tu hampendi at
Ila mliendana sana daaaaah mapenz mapenz 🙌🏾
Duuh mapenzi yanauma 😢i feel sad to ue vanny😢
Ray pol sanaa Kaka yangu unampend sana paul basi punguza shoboo uachane na Paul ule niwa Mario ray vanny wangu❤❤
Paula yupo kwenye damu ya Ray mwamba ameshindwa kuchomoa
Unaumwa Paula Ray amakweli nimeamini fayma atalua sana nataongea sana Ila ugojwa wako ni pau🎉🎉🎉
Huyo fayvani unashida mine majukwaani Paula hanamda naweee
Bro iyo siyo vizuri ni bora uhache ku mtaja paula mbona mke wako ni mrembo sn tuh??
Umemuexa fahyma wewe chui hongera from🇰🇪
Ila jeshi anajuwa kuchangamusha umati akiwa stejini, energy sana harmonize
Ray vanny big up ❤❤
Broth congratulations
amakweli mwamba umeumiyasana kuzaa Paula pole
Moyo uwo❤❤❤❤❤❤
Jifunze kumove on
Umeniangusha mbeya boy
Bila paula show haibambi mbwaaa ww😂😂😂
Safi sana
kweli kabisa hawezi kumsahau paula
Pole
Usiungee usicho kijua komwe lile ww
Love this guy.... Toboa mkuu
Kupenda bana noma
Sema ya moyoni upone
😂😂😂😂😂
Nilicho gundua chuiii alimpenda Sana Paula
Kweli
Na yye ndio kachukua ubikira wake, sbb ataki kumtoa kinywani mwake 🙄🙄
Wap paula unapendwa sana shooo😂😂😂😂
Acha kuzuga Paula ni mazuri ndomana yakuish kichwan
Pole sana Paula hakutoki kichwani
Mbona Paula kila mara? Kumbe ulimpenda saana yaonyesha
Ad mwenza wake anamwambia mbona huyo Ex wako hakutoki kichwani
Huyu jamaa ni hatalii si kwa verrse hizi😂😂😂😂
🤣🤣 nimeceka jmn
Daaah kinaumaa😢😢😢
Mwamba anateseka Sana uyu ila hatuna chakumwambia zaidi ya pole maan pau ndo huyoooo🕊️🕊️ulizingua mwenyew bad anaenjoy tu now na watu tunakupenda couple Ile kisenge😅😅😂😂
Hatawai pona aki
She's shinning and trending hama tz
Ashapeeendaaaa nakuwacha haweziii
Zoea hiyo sauti😂😂😂😂
Unajitahidi kutunga mashairi kichwani humo😂😂😂
Yaan nacheka natamani kulia jamaa anateseka San 😂😂😂 Paula Paula pau umempa Nini kaka wawatu bikra Gani hii😂😂😂 fahma kazi anayo mpaka asemee
Unachekecha mbona ex akutoke kinywani ungali unampenda
Mm simuelewagi huyu jamaa 😹😹
Mara utunge wimbo wa mimba.Pole zoesha moyo kuwa sio wako tena
😂😂😂
Yaan huyu bila marioo uridhik kwenye shoo uwiii
Achana na paullah wewe ameshakua wa mwengine😂
Umechanganyikiwa Paula kila ukipanda jukwaani huoni pakutafuta kiki muache mtoto wawatu
Mapenzi kweli 😢
Wow kali😊
Wewe Rayvan mjinha sana yAnausu nini mambo ya poshy qeen mkome posh na hamo. FAnya yako mbona umsemi mwambimo na zuchu
Ni kweli ulipenda Paula wewe
Paul ulimpa nn ray😂😂😂jamani
😅
😂😂😂😂noma
Ali ngumu kwa sasa kijana rayvan 6:54 7:06
Nikwer kak ishi na fahyima
Kumbe uli mpenda mwanangu paula .sasa ili kuwaje uji changanye
Mbona mkeo nimzuri sana tena mwenye adabu
Poleee ila ndo hvyo tena😢
Mapenzi ya natural kwa paula
Shenz Ako kumbe unampenda Paula ,fayma kafoce t na dawa za Tanga hata hajawah kukupenda
Dada pau Bado anapendwa❤
Dar pole brother vanny 4:08
Ndugu imetosha sana punguzo kulia kuachwa kawaida
Jamani paula ulimpa nini huyo kijana mbona anakupenda. Sana
Ndo shida ya kupenda sana
Maisha yaendelee kaka ata mmi nilikua hvyo
Mboona umeutoa huo wiimbo sasa usitoe wakati Fayma ana mimba
Ila ww na Paula ndo mliendana sana ila marioo mhiii hata awapendezeani polee
Paula sasa ya marioo bila shaka!
Rayvan kapigwa panapouma
Anampenda paula
Bila Paula show haijaenda na kweli hakutokiiii
Ww na mke wako paula hawatoki kichwani😂😂😂alikushika pabaya😅
😂😂😂😂hatarii
Mnafiki ww unaumia tena inakuuma
Nimecheka sana jmn ana kweli marioo anatesa watuu
Mbona kofia kama ya mondi iliyopotea
Magari na nyumba na watoto c mapenzi boss ndio maana utamwachanukimrudia because umemzoea si mapenzi Paula kakufunza kupenda kubali yaishe
Hapo anakuzuga t fayma lakin akili ipo kwa Paula Kazan kuroga dawa zishaanza kuchuja
Ulimpenda paula kweli 😂😂
Paula ninyota yako
Kweli rayvan nampenda Paul
MSHAMBA HUYO BADO ANA MTAKA PAULA MANA UKIONA MTU ANAMTAJA X WAKE KILA MUDA UJUE BADO HAJA MOVE ON
Hapo ulizimua kidogo
😂😂😂😂 angezidixhiwa kidogo tungemkosa
Anampenda sana Paula sema kwakuwa anapenda kulelewa ndio maana anashindwa atokeje kwa mama watoto wake maana ndio anae mweka mjini 😂😂😂
Sauti Iko?
Paul hutk kuMsahau hta sku moj🤣
Huna lolote, unaumia sana, iloooo
Kakh kiukwel mqpenz Yan Uma ad so pw
Kama lichizi vile umeshindwa kumoveone SI uneona mtoto WA watu paulah kapata WA kumstiri inaanza kumtajataja, mwache aendelee na maisha yake, ulimuona WA nini, saivi kapata mtu kashaanza kukuuma.
Kuwa kama HARMONIZE ukiacha imetoka. Unamchana demu halafu unampotezea.
Pol sasa ndo mme achana
Ray anataman paula at amrudie ata kam anamimba
Duuuh atar
Ukiona mtu bado anamuongelea mtu ujue bado anampenda
Ni atari
Ansnogesha show uyu
Rofaa
Kaka bd ulampend paula
Mapenzi yanauma 😢😢
😂😂😂😂😂 mapenzi yameanza na nguvu zake😂😂😂😂😂 juzi ali kuwa hamudala dulla makabila😂😂😂
Umuowe sasa
Tushaga kuchoka umuache paula hakupendi tena
Unampenda sana2 ila unajitoa😂😂😂😂
😂😂😂watanzaniya
Huyu anampenda Paula ....ukiskia MTU anasema simtaki jua yuwampenda
Ulisema wa Nini wenzio wanasema ......,.......but faima pia n mzur kaa kwa kutulia,...
Vijembe
Hahahahhah ama kweli dunia duara jamani kumbe huwa hamsahau rey ndio nini hiki