Fix You: Usiingie kwenye ndoa kabla hujamsikiliza Mshauri huyu, yafahamu haya kwanza

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web...
    Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali

Комментарии • 101

  • @fettyrcial2790
    @fettyrcial2790 Год назад +21

    Sijawai comment ata siku moja nimesikiliza vipindi vingi kutoka @FixYou but for the first time leo nimejifunza nimepata mwalimu She is the Best kwenye icho kitengo I wish awe anakuja kutufindisha mara kwa mara maua yake please🌹🌹🌹💐💐❤❤❤

    • @InviolataLuena-f2j
      @InviolataLuena-f2j 4 месяца назад

      Ndoa ngumu kwa hiyo Mungu mgumu. Tusigeneralize hivyo.ke mwema anatoka kwa MUUMBA. Ndoa nyingi zinaanza na mila potofu mbuzi wa mababu Mizimu drama za Shetani. Mlioolewa wengi mnalala sana usingizi. Mnabase ktk Utakatifu wa kufunga ndoa.vivyo hivyo Hawa waume kwaya inakuwa byeeee

  • @ingabireritha3740
    @ingabireritha3740 Год назад +3

    One of the best jamani tumejifunza sana thanks again

  • @leahmwanjela8657
    @leahmwanjela8657 Год назад +2

    Asanteeee Sana'a kwa maneno mazuriiiiiii yaliyojaa hekima busara yakutoshaaaaa

  • @magekata7229
    @magekata7229 Год назад +2

    Asante sana kwa kweli nimejifunza kitu 🙇‍♀️🙏❤

  • @flavianlaizer8863
    @flavianlaizer8863 Год назад +2

    I think she is a super and brilliant woman. Bless is her husband for sure. Anastahili maua yake

  • @khadijarashidy9304
    @khadijarashidy9304 Год назад +8

    Kama umerudia kuangalia gonga like

  • @KikiKasawa-ru9yf
    @KikiKasawa-ru9yf Год назад +2

    Nimeipenda saaana !!

  • @WTC492
    @WTC492 Год назад +2

    Sijui kwa nini nimekupenda Salome.
    Yani unaonekana ni msomi ambaye unajua kutumia elimu yako.

  • @mwajumabinwa604
    @mwajumabinwa604 Год назад +1

    Simu duh😅😅😅

  • @bokimmwamba2322
    @bokimmwamba2322 Год назад +16

    mdada wa leo mzuriiii ana akiliii hekima yaan wife material haswaaaa yaan bro popote ulipo shem tunae

  • @neemayatosha1618
    @neemayatosha1618 Год назад +5

    Bwana Kiondo hakika macho yake yaliona vyema,asijefanya kosa la kumpoteza Salome ....... arudi tena jamani ,ana hekima na yuko halisi mno. Sio wale wageni ambao wanatuleteaga mazingaombwe😂 a.k.a hekaya za Abunuwas

    • @ahz6907
      @ahz6907 Год назад

      Kama Dokta mwaka😂

  • @rodgersgregory7198
    @rodgersgregory7198 Год назад +12

    Huyu dada ni mwalimu mzuri mwenye tajiriba kubwa sana!!!

  • @josephathema
    @josephathema Год назад +10

    Protect Salome at all costs

  • @InviolataLuena-f2j
    @InviolataLuena-f2j 4 месяца назад

    Hii mielekeo ya kimila Mungu mgumu? Ndoa ngumu. Mnaanza ndoa na mbuzi wa mababu? Drama za mizimu zinatake role sana. Usingizi fofofo hapo vipi! Ndoa tamu.

  • @aureliayuktankabebwa5066
    @aureliayuktankabebwa5066 Год назад +5

    Ukikuzwa kiutamaduni wakuomba Ruhusa basi hutoona shida kabisa👏🏽,binafsi nimekuzwa ni muhimu kuomba ruhusa nyumbani kwa Wazazi endapo ni sehemu tofauti na kazini ,though kuna muda mwanzoni unaona kero but Kama wazazi wangu wanaona ni muhimu na ni kwa usalama zaidi hiyo ndio point Yao kubwa kwetu kutuelimisha,MUNGU atusaidie.

  • @brightyona9815
    @brightyona9815 Год назад +4

    huyu dada amebarikiwa hekima busara na maarifa yuko makini sana huku ndio kujitambua hata kama mume wake anacheat lazima anajutia sana nakuumia

  • @isayaanthon7063
    @isayaanthon7063 Год назад +4

    Dada mzuri kwa sura na akili. What a wife material is the woman. Chukua maua yako mrembo

  • @elizabertpaul7215
    @elizabertpaul7215 Год назад +6

    Nilikua natafuta sana mtu mwenye mindset kama hii, dada Salome Mungu akulinde na akuinue zaidi. This has impacted my life, I really needed to hear this right before I get married

  • @KoudraAbdoul
    @KoudraAbdoul Год назад +2

    Kamugisha nimeuliza from Burundi 🇧🇮 (sns) ipo sehemu gani dar?mwezi wa 10 najipanga kuja dar naitaji nipite hapo niwasabayi.

  • @manyamalima1916
    @manyamalima1916 Год назад +2

    Dah sikujua kama bado kuna wife material, Great mindset…

  • @yassirkayowa506
    @yassirkayowa506 4 месяца назад

    Mafundisho murua ktk maandaliz special ya ndoa🎉

  • @teacher_dory
    @teacher_dory Год назад +2

    Asante sana Dada Salome nimejifunza vitu vikubwa. Nitafute mema na sio mabaya yake

  • @salamisindimwo303
    @salamisindimwo303 Год назад +3

    huyu Mwalim tunaomba arudi,arudi jamani
    kisha kuna yule Teacher Timothee, hajambo? tumeli-miss darasa lake...
    fix you...kipindi kizuri mno, Hongereni

  • @HappyPaul-z8i
    @HappyPaul-z8i 4 месяца назад

    Airine napenda sana kipindi chako mungu akubariki sana

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Год назад +20

    When my son grows up,s I pray he finds a wife material like Salome😂😂❤

    • @francismtunda4030
      @francismtunda4030 Год назад +1

      Irene ana wivu sana yaani kama haelewi somo daah

    • @sibhonikealiko
      @sibhonikealiko Год назад

      ​@@francismtunda4030😂😂😂😂😂

  • @economistshillajr.1317
    @economistshillajr.1317 Год назад +5

    Kuhusu majukumu hasa katika masuala ya kifedha, kwa asili yake Mwanaume anapaswa ahakikishe basic needs zinapatikana lakini kwa mwanamke anapaswa kushughulika na masuala ya Elimu za watoto n.k, lakini ushiririkiano ni muhimu lakini kila mtu anapaswa kuratibu eneo kwa asili au makubaliano!!!

    • @rogath_silayo
      @rogath_silayo Год назад +1

      Elimu NI mwanaume...
      Both elimu ya darasani na elimu ya duniani huku.
      Baba unastahili uwe vizuri. Mama analea mpaka miaka mitano yaani anamtambulosha mtoto duniani kazi inayofuata ni ya baba kwa asilimia kubwa kumuongoza katika kufanya chaguzi nzuri za maisha Hali kadhalika jinsi ya kukabiliana na mazingira yanayomzunguka.
      Ingekuwa mwanaume NI kutafuta pesa Pekee hata mwanamke anaweza kufanya, na hapo inakuwa umetunza na sio kulea.
      Kwa hiyo mwanaume anastahili kuwa vizuri kwenye kila sekta.
      Tukiwaachia kila kitu wanawake tutatenge eza kizazi kibovu ndio maana kila siku wanalalamika wakina baba hawako available...

  • @muhamadharun9432
    @muhamadharun9432 Год назад +2

    Dada salome , upo vizuri sana, wife material 🌹👑

  • @AngelaGKalala-ix3wm
    @AngelaGKalala-ix3wm Год назад +4

    That's my sis 😍😍😍..
    What an incredible interview..
    💪💪💪💪💪💪..

  • @nkurunzizalydia1720
    @nkurunzizalydia1720 Год назад +3

    Umurudishe siku nyingine wallah leo mimi nimenyoka😊😊😊

  • @joycejohn493
    @joycejohn493 Год назад +4

    Waooooooooo🎉🎉❤.
    What a nice Interview...
    It's a Perfect One..
    Thanks 🙏

  • @christopherjames-em2mk
    @christopherjames-em2mk Год назад +2

    Barikiwa sana
    Kama Dunia wakiwepo wa mama 5 tu watabadilisha Dunia

  • @ElyMgaya
    @ElyMgaya Год назад +3

    Dada yukovizuli sana mualikeni tena tupate madini mazuli

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Год назад +2

    Mwalimu wa mafundisho ya ndoa nimesha mpata bado tu uyo mtt wa mama mkwe come babe uenjoy 🥰

  • @mariamame4403
    @mariamame4403 Год назад +1

    Hapo kwenye mme kutokuomba ruhusu sikubali nae, wote wawili waombane ruhusa ndio hudumisha amani na upendo kwenye nyumba

  • @hamadsaidy8740
    @hamadsaidy8740 Год назад +1

    Salome kama msundani vire mzuri na ubongo wako uko vzr hgr san

  • @edinambwambo4847
    @edinambwambo4847 Год назад +4

    Heshima yako mgeni wa leo🙌🏼 ....Maana sina la kuongea.📌

    • @salomenelson711
      @salomenelson711 Год назад +1

      Nashukuru sana

    • @ahz6907
      @ahz6907 Год назад

      ​@@salomenelson711 upo vzuri.unayoongea ni sahihi.nipo ndoani mwaka wa nane. Milima na mabonde...mungu ni mwema🙏

  • @economistsarafina8085
    @economistsarafina8085 Год назад +7

    My counselor and sister, never disappoints.

  • @agnesskiginga3890
    @agnesskiginga3890 Год назад +1

    Dada salome anapika kwenye platform ipi au ni katika Fix you hapa tu

  • @noelmarapachi1808
    @noelmarapachi1808 Год назад +3

    Ile fix you na pastor carlos iliishia njiani, please weka part 2 yake ili tuimalizie

  • @jumaassomane7775
    @jumaassomane7775 Год назад +2

    Asante sana kwa somo zuri na nimejifuza mengi 💜💜💜

  • @rhodalameck5722
    @rhodalameck5722 Год назад +1

    Naomba uniunge kwenye group la proud wife jamani

  • @maishaforreal7798
    @maishaforreal7798 Год назад +3

    Ameongeye vizuri uyu madam kabisa

  • @mohamedomar7692
    @mohamedomar7692 Год назад +1

    Salome nakupenda mwanamke material wewe ni kweli Salome

  • @ahz6907
    @ahz6907 Год назад +3

    Mjadala mzuri.mmeupiga mwingi wadada wazuri❤

  • @stevenobunde9345
    @stevenobunde9345 Год назад +1

    Salome umegusa watu wengi kwa mahelezo yako!

  • @alicekarisa7362
    @alicekarisa7362 4 месяца назад

    Thanks for the good advice

  • @ahz6907
    @ahz6907 Год назад +6

    Salome is so sweet....❤

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Год назад +3

    Uyu sis anaakiri kama mimi 👏

  • @directorimmah_vfx3043
    @directorimmah_vfx3043 Год назад +3

    mdada yupo smart sana

  • @faithedgar144
    @faithedgar144 Год назад +3

    Mungu nipe akili na moyo kama wa uyu dada ❤

    • @valentinetesha8536
      @valentinetesha8536 Год назад

      wadada wengi akili zao wanawaza ndoa ni sawa na kudanga wao cha muhim mwanaume awe na ela tuu hawajui kumjali mwanaume na kum heshimu

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 Год назад

    Irene mi ninashida yangu binafsi nitakupateje?

  • @witnessmalle771
    @witnessmalle771 Год назад +3

    Nmependa hii

  • @echolude
    @echolude Год назад +5

    Irene, big fan here. I'm a Kenyan based in the States & all I watch on this chanel is your FIX YOU show. Of all the guests Salome has been the most impressive, especially when her wisdom is centered on reality & not idealism. Furthermore, she's one of the few women who seems to have unconditional respect for men or manhoood. She doesn't qualify her idea about who's the head of household with arbitrary rules. She actually has fidelity to men being head of households, especially when it's central to African customs and culture. As a father of two boys i hope my sons eventually marry women with such unconditional respect because it's the only way to gain reciprocity from men that is based on a similar fundamental respect. Anyways, your show is great and has tremendeously helped my own marriage, albeit in a different context. Thank you!

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 Год назад +2

    Thank you so much my sister. Love u ❤❤❤❤❤❤yani dada ww MashaAllah MashaAllah hongera una akili sana.umetufungua vingitu.thank SALOME

    • @salomenelson711
      @salomenelson711 Год назад +1

      Asante kwa kushukuru asante kwa kufuatilia

    • @yasodishonest9792
      @yasodishonest9792 Год назад

      @@salomenelson711 love you so much my sister .umetibu ugonjwa wangu true. ♥️😍

  • @ashaidd2912
    @ashaidd2912 Год назад +2

    Arudi tena

  • @NovathPanga-me7el
    @NovathPanga-me7el Год назад +1

    👏👏👏👏👏acha nimpe 🌷🌷maua yake

  • @maishaforreal7798
    @maishaforreal7798 Год назад +2

    Asante . Dizasta Vina mumualike anailimu

  • @kuluthumuzalari
    @kuluthumuzalari Год назад +2

    Thank a lot

  • @tusekonga3030
    @tusekonga3030 Год назад +2

    Asanteni sana❤

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 Год назад +1

    Ndoa ni mpango wa mungu

  • @AldaBahati-pd8cl
    @AldaBahati-pd8cl Год назад

    Naomba naomba ya daSalome please

  • @economistshillajr.1317
    @economistshillajr.1317 Год назад +4

    Hongeraa Salome, omeongea vizuri sana!!!!

  • @fidelisyombya1288
    @fidelisyombya1288 Год назад +1

    Thanks Irene👊

  • @maishaforreal7798
    @maishaforreal7798 Год назад +3

    Dizasta vina

  • @ashaidd2912
    @ashaidd2912 Год назад +1

    Salome big up

  • @kevinokal9619
    @kevinokal9619 Год назад

    Mausia mazuri mno

  • @debbiethomas9825
    @debbiethomas9825 Год назад +2

    KWA WAZAZI NLIKUWA NAOMBA RUHUSA….NA SASA NIKO NA MAISHA YANGU NIOMBE RUHUSA….. NOOOOOO NI KUTOA RAARIFA SIO NIOMBE RUHUSA… YEYE AKITOKA AAGE … ME PIA NIAGE…. LAKINI SIO NIOMBE RUHUSA… EACH OF US MUST KNOW WHERE THE OTHER IS…

    • @elishaluhwago6940
      @elishaluhwago6940 Год назад

      Aya😂

    • @baltazalbalanzize2193
      @baltazalbalanzize2193 Год назад

      Baki nyumbani huko mana ukiingia kwenye ndo utapigwa kama ngoma

    • @ahz6907
      @ahz6907 Год назад

      Naona kabisa Ndoa yako ishavunjika kabla ya uwepo wake 😂

    • @ednantabalwa1118
      @ednantabalwa1118 Год назад

      😂😂

    • @rogath_silayo
      @rogath_silayo Год назад

      Kuomba ruhusa sio unyonge, hata mwanaume anaweza omba ruhusa..
      Shida ulikuwa unaishi nyumbani Kama shule.
      Toxic feminism imewashika wanawake wengi.
      You need therapy!!!!
      Kutoa au kuomba ruhusa( sasa hapa NI lazima muafiki pande zote mbili)NI pale ambapo mtu anaenda sehemu ambayo haijazoeleka katika maisha ya kila siku na kutoa taarifa NI kwenda sehemu ya mizunguko yako ya kila siku.
      Kiusalama NI vizur Sana Ila Jambo likitokea watu wajue ulipo.

  • @Teddymassawe-rf1kl
    @Teddymassawe-rf1kl Год назад +1

    jaman samahanini ambaye anaweza kuandika hiyo hiyo social media yake ya kumpata salome ninaomba mniandikie coz nimejaribu nimeshindwa, ni ninahitaji msahada wake jamn

  • @Udindigwa
    @Udindigwa Год назад +2

    Ujumbe Mzuri SANA

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Год назад +1

    👍👌❤

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj Год назад +2

    Asante sana