WAZIRI BASHUNGWA AFIKA ENEO MVUA ILIPOHARIBU BARABARA LINDI - DAR - SAA 72 ZITATUMIKA KUREJESHA...
HTML-код
- Опубликовано: 4 май 2024
- WAZIRI BASHUNGWA AFIKA ENEO MVUA ILIPOHARIBU BARABARA LINDI - DAR - SAA 72 ZITATUMIKA KUREJESHA...
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, ameeleza kuwa timu ya watalaamu wa Wakala ya Barabara (TANROADS) na Makandarasi itatumia saa 72 (siku 3) kukamilisha zoezi la kurejesha miundombinu ya barabara ya Lindi - Dar es Salaam, ambayo imeharibiwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha zilizombatana na kimbunga Hidaya.
Amesema hayo Mkoani Lindi Mei 05, 2024, mara baada ya kuwasili na kukagua uharibifu wa miundombinu ya barabara ya Lindi - Dar es Salaam na kuzungumza na wananchi na wasafiri wa Mikoa ya Mtwara, Lindi, Ruvuma, na Dar es Salaam wanaotumia barabara hiyo na kutoa pole na kuwataka kuwa wavumilivu wakati Serikali ikiendelea na jitihada za kujereshwa miundombinu.
“Mitambo ipo inaletwa hapa, kazi ya kurudisha mawasiliano ya barabara hii itaanza wakati wowote kuanzia sasa, ni lazima tuanze na kipande kimoja ili tuweze kufika katika maeneo mengine yaliyoathiriwa. Namna miundombinu imeharibika na tathmini iliyofanyika tunahitaji masaa yasiyopungua 72 ili kuweza kurudisha mawasiliano,” amefafanua Bashungwa.
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Hakika niwakati wa kufanya maombi tukimuomba mungu atuepushe na majanga
Ndio amefika Leo?
Alikuwa wapi siku zote?
Inashangaza Sana,yaani hakuna hata emergency force ambayo ingesimama kwa kazi hiyo kwa siku tatu Tu?
Kimbunga Hidaya hicho kimbunga cha kike balaa tupu kikiwa Na nyege yake ni kuvuma ovyo ovyo Na kusababisha maafa kadha wanaume wa tangagiza nendeni misituni mkapige punyeto Na umwage wazungu kwenye misitu ili mkitulize kimbunga hidaya
Pelekeni Elukoputa😂 izo ziwavushe watu wafike kwao nyi mubaki na majuku yenu
Hizo ndiyo kazi Baba mambo ni Fastar kama hovyo
Yaan dalaja linaondoka. Na man kama mtu anavuta logos kichwani tanzania,,,
Hiyo ilishatokea Mozambique inatakiwa madaraja mkubwa kama ra kirumi msoma sio karavati
Wekeni daraja kubwa Kila kwenye kona ndio maji huwa yanafuata
😂😂😂 kwa wabongo walivo kuwa wanajiongeza hapo wanapita mabasi yatabaki yenyewe hayo mtu hana muwai mkewe hakae hapo masaa sabina mbili hapana kwakweli kimbunga hidaya kikimkuta yupo hapo 😂😂😂😂😂😂😂
Kumuwahi mke wa Nini? Hali kam hiyo unadhani hata nyege zinakuwepo Basi?¡
@@israelkisaila8401 kakaaa unasema tuu kama hapo mtu katoka uko hana miezi 5 ajala chakura halisha jua ngoma hina toboa harafu hidaya kaalibu ujue hata raumika sana hidaya kaka🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yaan mama wa kizanzibar kama kweli anaitaka mitano tena anawakat mgumu sana wa kutuaminisha kwa miundombinu hii iliyoharibika maana uharibifu ni nchi nzima! Yaan apambane sana ili tumuelewe ee!!
Hizo barabara zilijengwa chini ya usimamizi wa hayati Magufuli pindi alipokuwa waziri wa ujenzi na akaendelea kuzijenga pindi alipokuwa raisi sasa hapa mama analaumiwa kwa lipi?! Tutambue maafa ya kiasili yatokanayo na Mungu mwenyewe hayana cha uimara wa daraja wala umadhubuti wa barabara alizozijenga mwanadamu. Kwa hiyo hayati Magufuli sio wa kulaumiwa na wala mama pia hastahili lawama, kaangalie Dubai huko namna mafuriko yalivyofanya kazi yake.
Uko sahihi ndugu @@rayisadesigns2646
@@rayisadesigns2646hawakumbuki hata kidogo mi nashangaa hivi ni kwa nini