WAZIRI BASHUNGWA AFIKA ENEO MVUA ILIPOHARIBU BARABARA LINDI - DAR - SAA 72 ZITATUMIKA KUREJESHA...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 май 2024
  • WAZIRI BASHUNGWA AFIKA ENEO MVUA ILIPOHARIBU BARABARA LINDI - DAR - SAA 72 ZITATUMIKA KUREJESHA...
    Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, ameeleza kuwa timu ya watalaamu wa Wakala ya Barabara (TANROADS) na Makandarasi itatumia saa 72 (siku 3) kukamilisha zoezi la kurejesha miundombinu ya barabara ya Lindi - Dar es Salaam, ambayo imeharibiwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha zilizombatana na kimbunga Hidaya.
    Amesema hayo Mkoani Lindi Mei 05, 2024, mara baada ya kuwasili na kukagua uharibifu wa miundombinu ya barabara ya Lindi - Dar es Salaam na kuzungumza na wananchi na wasafiri wa Mikoa ya Mtwara, Lindi, Ruvuma, na Dar es Salaam wanaotumia barabara hiyo na kutoa pole na kuwataka kuwa wavumilivu wakati Serikali ikiendelea na jitihada za kujereshwa miundombinu.
    “Mitambo ipo inaletwa hapa, kazi ya kurudisha mawasiliano ya barabara hii itaanza wakati wowote kuanzia sasa, ni lazima tuanze na kipande kimoja ili tuweze kufika katika maeneo mengine yaliyoathiriwa. Namna miundombinu imeharibika na tathmini iliyofanyika tunahitaji masaa yasiyopungua 72 ili kuweza kurudisha mawasiliano,” amefafanua Bashungwa.
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 17

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  20 дней назад

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @msafirinyagali5636
    @msafirinyagali5636 20 дней назад

    Hakika niwakati wa kufanya maombi tukimuomba mungu atuepushe na majanga

  • @EdiltrudesMalivata
    @EdiltrudesMalivata 19 дней назад

    Ndio amefika Leo?
    Alikuwa wapi siku zote?
    Inashangaza Sana,yaani hakuna hata emergency force ambayo ingesimama kwa kazi hiyo kwa siku tatu Tu?

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 20 дней назад

    Kimbunga Hidaya hicho kimbunga cha kike balaa tupu kikiwa Na nyege yake ni kuvuma ovyo ovyo Na kusababisha maafa kadha wanaume wa tangagiza nendeni misituni mkapige punyeto Na umwage wazungu kwenye misitu ili mkitulize kimbunga hidaya

  • @rdjgumbo9921
    @rdjgumbo9921 20 дней назад +1

    Pelekeni Elukoputa😂 izo ziwavushe watu wafike kwao nyi mubaki na majuku yenu

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 21 день назад

    Hizo ndiyo kazi Baba mambo ni Fastar kama hovyo

  • @user-wf2yg7sl4v
    @user-wf2yg7sl4v 20 дней назад

    Yaan dalaja linaondoka. Na man kama mtu anavuta logos kichwani tanzania,,,

  • @kasongoIDDi-mx7gz
    @kasongoIDDi-mx7gz 21 день назад

    Hiyo ilishatokea Mozambique inatakiwa madaraja mkubwa kama ra kirumi msoma sio karavati

  • @kasongoIDDi-mx7gz
    @kasongoIDDi-mx7gz 21 день назад

    Wekeni daraja kubwa Kila kwenye kona ndio maji huwa yanafuata

  • @user-db4cg5mh5b
    @user-db4cg5mh5b 21 день назад +2

    😂😂😂 kwa wabongo walivo kuwa wanajiongeza hapo wanapita mabasi yatabaki yenyewe hayo mtu hana muwai mkewe hakae hapo masaa sabina mbili hapana kwakweli kimbunga hidaya kikimkuta yupo hapo 😂😂😂😂😂😂😂

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 21 день назад

      Kumuwahi mke wa Nini? Hali kam hiyo unadhani hata nyege zinakuwepo Basi?¡

    • @user-db4cg5mh5b
      @user-db4cg5mh5b 21 день назад

      @@israelkisaila8401 kakaaa unasema tuu kama hapo mtu katoka uko hana miezi 5 ajala chakura halisha jua ngoma hina toboa harafu hidaya kaalibu ujue hata raumika sana hidaya kaka🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @KenedyMwaipaja
    @KenedyMwaipaja 21 день назад +2

    Yaan mama wa kizanzibar kama kweli anaitaka mitano tena anawakat mgumu sana wa kutuaminisha kwa miundombinu hii iliyoharibika maana uharibifu ni nchi nzima! Yaan apambane sana ili tumuelewe ee!!

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 20 дней назад

      Hizo barabara zilijengwa chini ya usimamizi wa hayati Magufuli pindi alipokuwa waziri wa ujenzi na akaendelea kuzijenga pindi alipokuwa raisi sasa hapa mama analaumiwa kwa lipi?! Tutambue maafa ya kiasili yatokanayo na Mungu mwenyewe hayana cha uimara wa daraja wala umadhubuti wa barabara alizozijenga mwanadamu. Kwa hiyo hayati Magufuli sio wa kulaumiwa na wala mama pia hastahili lawama, kaangalie Dubai huko namna mafuriko yalivyofanya kazi yake.

    • @happynesbaemuhappynes8813
      @happynesbaemuhappynes8813 20 дней назад

      Uko sahihi ndugu ​@@rayisadesigns2646

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 20 дней назад

      ​@@rayisadesigns2646hawakumbuki hata kidogo mi nashangaa hivi ni kwa nini