BABA AMTOA KAFALA MTOTO WAKE/MAMA AMTAKA MWANAE ARUDISHWE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • BABA AMTOA KAFALA MTOTO WAKE/MAMA AMTAKA MWANAE ARUDISHWE

Комментарии • 305

  • @ZAIFICHARILTYOPENSCHOOLHOMESCH
    @ZAIFICHARILTYOPENSCHOOLHOMESCH 3 месяца назад +4

    Mungu, tulehemu na hiki kizazi cha injili, kizazi hatari sana kizazi cha nyoka na utapeli.

  • @SylvestreNdayishimiye-fc6zp
    @SylvestreNdayishimiye-fc6zp 3 месяца назад +1

    Bwana Yesu asifiwe. Mtumishi wa Mungu naomba kuombewa mimi pamoja na familiya yangu. Tumefungiwa milango imefungwa. Naomba kufunguliwa.

  • @DaudiMwangati-id1tk
    @DaudiMwangati-id1tk 5 месяцев назад

    Naomba mtumishi kiboko wawachawi naamini nabii uniombee na mimi uchumi nimbaya nazalauliwa kwa maisha uniombee Mungu wamadhabahu hii namwamini amen.

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui 7 месяцев назад +1

    Mchungaji ananja nakupenda sana. Mungu akubariki, maana ujinga kama hii kwako hamnaga.

  • @obedisiarangiriki8142
    @obedisiarangiriki8142 10 месяцев назад +1

    Mungu anaweza, nafurahi sana Mungu huyu mtenda miujiza kupitia nabii huyu

  • @EvaMussa-xi7vh
    @EvaMussa-xi7vh 10 месяцев назад +2

    nabarikiwa sana baba mungu azidi kukupa maisha marefu

  • @BenadethaJoshua-nn4zy
    @BenadethaJoshua-nn4zy 5 месяцев назад

    Baba kiboko ya wachawi Nina Imani na wewe Mimi naitwa Joshua amani maisha yangu ni magumu sana nafanya kazi lakini naishi katika madeni naomba unisaidie baba

  • @ReginaMushi-gp3ct
    @ReginaMushi-gp3ct 5 месяцев назад

    NaoMba nikafanikiwee katka maisha yanguu fireeeeee katkaa jinaa la yesuuuuuuu fireeeee watuu ambaoo siyo sahihi kwanguu naombaa waondokeee kwa jinaa la yesuuu

  • @dorophinadeus9203
    @dorophinadeus9203 6 месяцев назад

    Bwana Yesu asifiwe mtumishi,naomba Mungu anisaidie mume wangu apone

  • @MatildaaFrancis-wf9qm
    @MatildaaFrancis-wf9qm 10 месяцев назад

    Baba shalom me naitwa gerald mahamud salum baba nateseka baba maisha ang hayana mbele wala nyuma nimekuwa mtu wa kuangika baba ang naomba nisaidie baba

  • @HappyMubiligi-hq9uv
    @HappyMubiligi-hq9uv 10 месяцев назад +1

    Naitwa happy matheo. Baba nisaidie sipat siku zangu za hedhi na mtoto pia. Nabii tabili juu yangu

  • @KhadijaMachale
    @KhadijaMachale 5 месяцев назад +1

    Nabii naomba ukateminyororo katika maisha yangu

  • @JamesMassawe-t7r
    @JamesMassawe-t7r 7 месяцев назад

    Naitwa James maisha yangu yamekua magumu sana Baba sipati kazi wala biashara miguu na mikono inawasha tu.

  • @suzan4712
    @suzan4712 5 месяцев назад

    Shalom shalom apostle Dominic plse niombe maana nateseka na muguuwakuliya unanisumbuwa kwa myaka nyingi nipohapa Dubai bt I'm from Malawi plse help mi ma pastor

  • @ShabanulimwenguBangeka
    @ShabanulimwenguBangeka 10 месяцев назад

    Shalom baba naitwa Shaban ulimwengu nashida Sana kila nikifanya kitu ambacho kinaniingizia pesa hazikai zinapotea najikuta zinaisha bila malengo yoyote yale

  • @JasmineMushi-bs8pm
    @JasmineMushi-bs8pm 10 месяцев назад +2

    Umeniguza sana nimesisimka mwili mzima yaana mimi napitia magumu naomba maombi yako baba

  • @WinfridaMgimba
    @WinfridaMgimba 6 месяцев назад +1

    Amina baba ubarikiwe na huduma

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui 7 месяцев назад +9

    Halooooo, hizi huduma ni ngumu sana, wamama hatunaga akili kabisa, nyie wenye akili mnisahee , huku unabii utaondoka na wamama wengi sana .

  • @VannyThomas
    @VannyThomas 4 месяца назад

    Shalom mtumishi na omba uni ombee maisha yangu ni magumu pia Sina kaz

  • @felisterandrew8418
    @felisterandrew8418 6 месяцев назад +3

    Kwan kwa waganaga . Tumeenda sana lkn kwn ht km cyo nguvu za mungu kuna nn ili mradi tu natatua shida zangu kuna shda gan

  • @LeilaNora-u6g
    @LeilaNora-u6g 4 месяца назад

    Aslm naomba namimi unisaidie kweli mtumìshi wa mungu niko mbali

  • @NoraMhoro
    @NoraMhoro 8 месяцев назад +1

    Naomba uniombee!nikue kiuchum mim na familia yangu,pia umponye mama yangu na miguu

  • @AnaMauricioPatricio
    @AnaMauricioPatricio 2 месяца назад

    Amém 🙏🇲🇿 napokea Mimi Ana😊

  • @benardbemerengwe9332
    @benardbemerengwe9332 7 месяцев назад +1

    Amina pastor

  • @FatinaIddi
    @FatinaIddi 7 месяцев назад +1

    Mungu akubariki baba

  • @SuperRamso
    @SuperRamso 4 месяца назад +3

    Naitwa mama dan. Baba mwanangu toka azaliwe anajikolea na anatumikishwa kichaw. naomba nisaidie baba .

  • @MAYAMIKOIMON-bo7qp
    @MAYAMIKOIMON-bo7qp 5 месяцев назад

    Baba asante sana niko kwa radio baba nasubilia huduma yako baba niongee naw

  • @NyiranezaWarda-bk1yn
    @NyiranezaWarda-bk1yn 4 месяца назад

    Amen amen God bless you 🥰🥰🥰💯🙏

  • @papaamishael4115
    @papaamishael4115 10 месяцев назад +1

    Naitwa Mishael . ninatatizo la kiuchimi napanda na kushuka sjajuwa tatizo Nini mtumishi...

  • @happynesskimango184
    @happynesskimango184 3 месяца назад

    Nabii naomba uniombee mimi naitwa happy hojes tangu nijifungue naumwa umwa sana nyonga na miguu

  • @getrudaadrian8558
    @getrudaadrian8558 9 месяцев назад

    Ubarikiwe Mtumishi wa MUNGU,lakini huyo ungemwambia aokoke aje kwa YESU aache kabisa aunguze vitu vyote vibaya ,pengine anaweza acha akimjua YESU kuja kwakwe kanisani hapo ndyo kupona kwake, aokoke huyo mzee mali atapata kwa YESU

  • @neemajuma1015
    @neemajuma1015 5 месяцев назад

    Naitwa Neena juma Baba nisaidie madeni yanga yaishe chap Nariman yanaisha ameen

  • @loycepaulo1946
    @loycepaulo1946 2 месяца назад

    Nabii rejesha uchumi wangu nyota yangu nipate kazi naitwa loyce nipo dodoma naomba unisaidie baba

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 9 месяцев назад +1

    Nimefiwa Na Mwanangu Kama Wiki Mbili Zilizopta Kama Kama Apo2 Unajua Mpango Huo Umepangwa Akuna Mke Na Mme Apo Wangetaja Maeneo Wanatoka Walio Na Ujilani Nao Wakometi Ukweli Wao Tunaweza Kuletewa Wakongo Wakenya Kutoa Ushuhuda Feki Bila Kujua Wawe Wanasema Wazaliwa Wawapi Kijiji Mtaa Mpaka Wajumbe Wa Nyumba Kumi

  • @GraceZachalia
    @GraceZachalia 4 месяца назад +1

    Sms zote zinazotumwa kwa kumpinga nabii kiboko ya wachawi na kumsema vibaya zinatoka kwa wachawi,na wafe kabisa

  • @annastaziakalula1475
    @annastaziakalula1475 7 месяцев назад

    Nabarikiwa na mahubiri yako baba!ninaomba unifungue na maumivu ya miguu

  • @DennisFungo
    @DennisFungo 4 месяца назад

    Shalom Nabii,nitabirie

  • @emmanuelbayda4640
    @emmanuelbayda4640 6 месяцев назад

    Ramli chonganishii hakuna cha Roho waMungu full comedian kama ni mimi hii kanisa ni ya kufungaaaaaaaaaa

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 2 месяца назад

    Du huyu baba alikiwa anafanya mambo mabaya sana hadharani hivi sio sawa

  • @lucypangahela5603
    @lucypangahela5603 5 месяцев назад

    Hizo nyimbo za nini Tena xinazuia tussikie jamani?

  • @GroryJumaa
    @GroryJumaa 6 месяцев назад +1

    Ivi wanadam sijui mkoje mnadai nabii wa uongo taften wa kwen.wakweli kuamini kwako ndiyo kupona mbona yesu alimpaka kipofu matope kwenye macho na akaona naitwa grory nipo mombasa dar es salam

  • @ShabanulimwenguBangeka
    @ShabanulimwenguBangeka 10 месяцев назад

    Shalom baba naitwa Shaban ulimwengu nashida Sana kila nikifanya kitu ambacho kinaniingizia pesa hazikai zinapotea najikuta zinaisha bila malengo yoyote yale

    • @vicklandplatnurry7382
      @vicklandplatnurry7382 10 месяцев назад

      Pole ndugu ila pesa nayo yanataka mikakati ya mpangilio kabla utumie

    • @JesckarKaliati
      @JesckarKaliati 10 месяцев назад

      Naomba maombi yako baba katika uchumi afya na ndoa ubarikiwe

  • @ShangweNgiroliti
    @ShangweNgiroliti 4 месяца назад

    Inaitwa shangwe baba nipoo Arusha Naomba utabiri neno baba juu ya familia yangu

  • @AsteriaJoseph
    @AsteriaJoseph 3 месяца назад +1

    Mtumishi wamungu naomba unisaindie mama yang anaumwa miguu kam fagasi mchungaji m naitwa asteria pia naomb uniombee baba nipate mwanaume wakunioa mim mchungj naomb unisaindie naomba

  • @RazackSepetu
    @RazackSepetu 8 месяцев назад

    Naomba uniombee kazi ziende vizuri

  • @kanumanjisi1623
    @kanumanjisi1623 8 месяцев назад

    Mtumishi mungu akutunze kwa ajili yetu

  • @felixnelsony5747
    @felixnelsony5747 6 месяцев назад

    Amina pastor

  • @SamwelJoseph-px6tc
    @SamwelJoseph-px6tc 5 месяцев назад

    NAOMBA MAOMBI JUU YA ELIMU YANGU YA CHUO NKAFANIKIWE KATIKA IMANI...AMEN🙏

  • @shakirashakira-gc2yw
    @shakirashakira-gc2yw 9 месяцев назад +1

    Nina ndugu yangu mwaka wa tano amefaliki lakini mbaka Leo tunamuota anasema yeye yupo ajafa da inaniumiza sana

  • @ThadeusFrida
    @ThadeusFrida 5 месяцев назад

    Naomba unisaidie wazazi wangu wanakunywa Sana pombe na kaka zangu

  • @loycepaulo1946
    @loycepaulo1946 2 месяца назад

    Ninakataa roho ya umasikini ninaomba unisaidie maisha yangu magumu sana mpaka bac nitabitie naitwa loyce nipo dodoma

  • @selinajacob-zk4cm
    @selinajacob-zk4cm 6 месяцев назад

    Naitwa Selina Jacob Nduru Amina mtumishi

  • @JamesMassawe-t7r
    @JamesMassawe-t7r 7 месяцев назад

    Naitwa James massawe nifungue maisha yangu nabii

  • @gracew7460
    @gracew7460 6 месяцев назад

    The music is too loud

  • @MeshakShedrack
    @MeshakShedrack 5 месяцев назад

    Kiboko ya wachawi niombee nipate pesa kila siku na wachawi wote wafe amina

  • @LevinaModesti
    @LevinaModesti 2 месяца назад

    Wanaompinga mtumishi wa Mungu ni wachawi wanatapatapa wachawi imekula kwenuuu

  • @MamaKayolo
    @MamaKayolo 5 месяцев назад

    Naomba mungu uponye mwanangu devi anauvimbe kichwani

  • @LeahLaizer-v4n
    @LeahLaizer-v4n 3 месяца назад

    Nabiii uwaa by Leah lucas

  • @VeronicaEmanueli
    @VeronicaEmanueli 5 месяцев назад

    Pastor nisaidie niolewe na nidum kwenye ndoa

    • @FredMaulid
      @FredMaulid 5 месяцев назад

      Ucjali mungu ni mwema umeshampata mume mwenye upendo wa kweli na mcha mungu nipo mwanza tanzania

  • @MamaKayolo
    @MamaKayolo 5 месяцев назад

    Naomba mungu nisaidie nimalize madeni

  • @edwineMbuya-nd9gb
    @edwineMbuya-nd9gb 4 месяца назад

    Naomba umuombee mdogo wangu anaitwa Daudi Maro

  • @masindikizingi
    @masindikizingi 4 месяца назад

    Naitwa masinde niombee baba na ubarikiwe kwa huduma yako

  • @eliaikangui6543
    @eliaikangui6543 9 месяцев назад

    Nawaombea wanangu wa kiroho wapate fire fire fire wanipe mafungu ya Bwana Yesu Kristo wasilale usingizi

  • @eliaikangui6543
    @eliaikangui6543 9 месяцев назад

    Naomba nyumba za wanangu zirudishwe mikononi mwao kwa jina la Yesu Kristo Aliye Hai

  • @GeorgeMussa-i3n
    @GeorgeMussa-i3n 7 месяцев назад

    Mm George nachangamoto ya kiuchumi nombee

  • @JafetiEvalist
    @JafetiEvalist 4 месяца назад

    Nabii niponye na magojwa ndani ya familia yangu pia utukinge na wabaya woote

  • @HappyMshana
    @HappyMshana 2 месяца назад

    Naitwa happy wa Arusha naomba unisaidie sina maelewano na baba wa mtoto wangu nasijui shida ni nini

  • @HappyMshana
    @HappyMshana 2 месяца назад

    Mtumishi naomba unisaidie mim na baba wa mtoto wangu hatuna maelewano kabisa jamn nasijui shida nikitu gani

    • @happymrema7487
      @happymrema7487 2 месяца назад

      Mambo vip kwan mume wako anaitwa nani dear nikusaidie mawazo maan majina yanayoanzia na h yanakuwa na changamoto Sana inawezekana umeowana na mwanaume mwenyew nyot adui

  • @HappyMshana
    @HappyMshana 2 месяца назад

    Naitwa happy wa Arusha naomba unisaidie sina maelewano na baba wa mtoto wangu nasijui shida ni nini

  • @StelaKomugisha-cb3zb
    @StelaKomugisha-cb3zb 4 месяца назад

    Naomba umkomboe mama yangu SECILIA yupo KIGOMA

  • @ThomasngaleNgale
    @ThomasngaleNgale 3 месяца назад

    Naomba niombee naumwa mguu mwenz wa nne

  • @MonikaProsper
    @MonikaProsper 7 месяцев назад

    Mungu akubaliki sana baba

    • @MamaKayolo
      @MamaKayolo 5 месяцев назад

      Naomba mungu uponye mwanangu devi anauvimbe kichwani

  • @anithamsery1720
    @anithamsery1720 9 месяцев назад

    Kweliu mungu akubarik San baba

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 9 месяцев назад +1

    Hakuna kitu huyu mshenzi huyu tapeli mkubwa huyu

  • @FatumaNyabange
    @FatumaNyabange 4 месяца назад

    Naitwa fatuma, ninasumbuliwa na majini wa kutupiwa huu ni mwaka wa Saba sasa, naomba uniombee baba.

  • @Janetha-n6w
    @Janetha-n6w 10 месяцев назад +1

    Naitwa janeth pastor naomba maombi kwa familia yangu

  • @jeffreymgaya7568
    @jeffreymgaya7568 29 дней назад

    Nabii wa uongo,,yeye mwenyewe kashasema watanzania wapumbavu,,,hiyo yote ni mipango tu ,,badilikeni

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui 7 месяцев назад +4

    Hakuna unabii hapa.

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 8 месяцев назад

    Hayo Sasa, ulijuwaje kama anafunguo hapo?.

  • @emmanueltuppa5459
    @emmanueltuppa5459 10 месяцев назад +1

    Umri wa mwanao huujui unasema ni kama miaka 12 yani huna uhakika, tena we ndie ulie mzaa yani mwanamke hasahaugi umri wa mtoto tena mtoto ni mmoja wangekua zaidi ya mmoja je?mmmh mapichapicha yapo MUNGU ATUSAIDIE SANA WANADAMU WA KIZAZI HIKI

    • @victoriajasson917
      @victoriajasson917 10 месяцев назад

      Yani wamama wanao sahau kuhusu kuzaliwa kwa watoto wao ni wengi Sana. Mm dada yangu ni msomi Sana tu ila linapofika suala la huko ofisini kwao wakihitaji data za watoto hajawai kumbuka lazima tu atatuuliza

  • @SwaumuRamadhan-yu5zn
    @SwaumuRamadhan-yu5zn 4 месяца назад

    Bwanayesu asifiwe baba naomba nisaidie ndoa yngu Iko matatani.baba

  • @SaleheMkuza-tb4ss
    @SaleheMkuza-tb4ss 6 месяцев назад

    Naitwa Salehe Bakari maisha yangu yamekuwa magum mno

  • @HanifaBruno-lv1qf
    @HanifaBruno-lv1qf 6 месяцев назад

    Nifungue maisha yangu nabii

  • @faithndanu9546
    @faithndanu9546 7 месяцев назад

    Bibilia inasema ,siku za mwisho kutakuwa na wahubiri wa uwongo na na wataponya na kufanya miujiza wakilitumia jina la Yesu,Tuweni makini

    • @rosemarykimath9337
      @rosemarykimath9337 4 месяца назад

      Hayajakukuta ww ndo maana unaongea hvyo mganga unamwamini lkn mtumishi wa Mungu humwamini

  • @LameckJester
    @LameckJester 9 месяцев назад

    Nisaidie mm maisha yangu siyaelewi

  • @NdayisabaClaude-i7w
    @NdayisabaClaude-i7w 8 месяцев назад

    Hapa ni Tanzania wapi

  • @EzekieliLafaeli
    @EzekieliLafaeli 10 месяцев назад

    Naomba mzaada baba mchungaji naandamwana yadunia

  • @VeronicaNgasama
    @VeronicaNgasama 3 месяца назад

    Kiboko ya wachawi nisaidie nilisingiziwa kes Kam nmeiba hela laki saba Mwaka 2019 mm nakataa Mpaka Leo sijaiba Baba nisaidie mm jmn Huyu bos popote alipo anitafte arudishe Pesa aliyodai nmeiiba na akanilaza kituon Siku 2

  • @ErickBahati-t4k
    @ErickBahati-t4k 11 месяцев назад

    Mungu atusaidie

  • @sharifahood8734
    @sharifahood8734 4 месяца назад

    Ameen baba

  • @MagrethNgairo
    @MagrethNgairo 7 месяцев назад

    munguakubalikinamiminahitajimaombimtumishiniponjombe

  • @niyiesther6571
    @niyiesther6571 8 месяцев назад

    YESU KRISTO wa KIBOKO ya wachawi yupo kazini. Na Mimi anitumikie

  • @innoprince3832
    @innoprince3832 3 месяца назад

    Naitwa innocent,niko mbinga ruvuma.Nahangaika sana lkn sifanikiwi,na nimejaribu kuona wanawake wa2 naishia kugombana tyuu na wanaondoka wenyewe... naomba nijui shida nn?

  • @AgustinoChisanza
    @AgustinoChisanza 4 месяца назад

    Baba nitabire agustino Niko Arusha

  • @PeterMalamsha-zo8bg
    @PeterMalamsha-zo8bg 10 месяцев назад

    Naitwa Peter pasian malamsha nashida napamban nakaz sana Ila bado changamoto nitabirie pasta

  • @SalimKiba-vt3kn
    @SalimKiba-vt3kn 6 месяцев назад

    Naomba uniombee mtumishi wa mungu

  • @dionestermwinuka7520
    @dionestermwinuka7520 9 месяцев назад

    Mmmm!! Ya kweli haya imekuwaje mzee nae kaenda kwa nabii wakat anajua mtoto yuko ndani siamin japo nakupendaga nabii

    • @pendorobert3552
      @pendorobert3552 8 месяцев назад

      😂😂😂😂😂ila watu uso wake mkavu hata haya hana jaman tuombeni kufunuliwa

    • @pendorobert3552
      @pendorobert3552 8 месяцев назад

      MUNGU tusaidie tuijue kweli yako😢

  • @KorduniMolell
    @KorduniMolell 3 месяца назад

    Wachawi wapo duniani kwl wemeisha 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @DM_15
    @DM_15 7 месяцев назад

    Ukisikia kuvuruga amani ndiohuku ilibidi tuu uzungumze kwa password father maana watu wengine hawana moyo huyo.mzee akitoka hapo hakuna usalama father

  • @benardbemerengwe9332
    @benardbemerengwe9332 7 месяцев назад

    Baba naomba nisaidie Sina kazi kwa sasa