Baba kiboko ya wachawi Nina Imani na wewe Mimi naitwa Joshua amani maisha yangu ni magumu sana nafanya kazi lakini naishi katika madeni naomba unisaidie baba
Baba shalom me naitwa gerald mahamud salum baba nateseka baba maisha ang hayana mbele wala nyuma nimekuwa mtu wa kuangika baba ang naomba nisaidie baba
Shalom shalom apostle Dominic plse niombe maana nateseka na muguuwakuliya unanisumbuwa kwa myaka nyingi nipohapa Dubai bt I'm from Malawi plse help mi ma pastor
Shalom baba naitwa Shaban ulimwengu nashida Sana kila nikifanya kitu ambacho kinaniingizia pesa hazikai zinapotea najikuta zinaisha bila malengo yoyote yale
Ubarikiwe Mtumishi wa MUNGU,lakini huyo ungemwambia aokoke aje kwa YESU aache kabisa aunguze vitu vyote vibaya ,pengine anaweza acha akimjua YESU kuja kwakwe kanisani hapo ndyo kupona kwake, aokoke huyo mzee mali atapata kwa YESU
Nimefiwa Na Mwanangu Kama Wiki Mbili Zilizopta Kama Kama Apo2 Unajua Mpango Huo Umepangwa Akuna Mke Na Mme Apo Wangetaja Maeneo Wanatoka Walio Na Ujilani Nao Wakometi Ukweli Wao Tunaweza Kuletewa Wakongo Wakenya Kutoa Ushuhuda Feki Bila Kujua Wawe Wanasema Wazaliwa Wawapi Kijiji Mtaa Mpaka Wajumbe Wa Nyumba Kumi
Ivi wanadam sijui mkoje mnadai nabii wa uongo taften wa kwen.wakweli kuamini kwako ndiyo kupona mbona yesu alimpaka kipofu matope kwenye macho na akaona naitwa grory nipo mombasa dar es salam
Shalom baba naitwa Shaban ulimwengu nashida Sana kila nikifanya kitu ambacho kinaniingizia pesa hazikai zinapotea najikuta zinaisha bila malengo yoyote yale
Mtumishi wamungu naomba unisaindie mama yang anaumwa miguu kam fagasi mchungaji m naitwa asteria pia naomb uniombee baba nipate mwanaume wakunioa mim mchungj naomb unisaindie naomba
Mambo vip kwan mume wako anaitwa nani dear nikusaidie mawazo maan majina yanayoanzia na h yanakuwa na changamoto Sana inawezekana umeowana na mwanaume mwenyew nyot adui
Umri wa mwanao huujui unasema ni kama miaka 12 yani huna uhakika, tena we ndie ulie mzaa yani mwanamke hasahaugi umri wa mtoto tena mtoto ni mmoja wangekua zaidi ya mmoja je?mmmh mapichapicha yapo MUNGU ATUSAIDIE SANA WANADAMU WA KIZAZI HIKI
Yani wamama wanao sahau kuhusu kuzaliwa kwa watoto wao ni wengi Sana. Mm dada yangu ni msomi Sana tu ila linapofika suala la huko ofisini kwao wakihitaji data za watoto hajawai kumbuka lazima tu atatuuliza
Kiboko ya wachawi nisaidie nilisingiziwa kes Kam nmeiba hela laki saba Mwaka 2019 mm nakataa Mpaka Leo sijaiba Baba nisaidie mm jmn Huyu bos popote alipo anitafte arudishe Pesa aliyodai nmeiiba na akanilaza kituon Siku 2
Mungu, tulehemu na hiki kizazi cha injili, kizazi hatari sana kizazi cha nyoka na utapeli.
Bwana Yesu asifiwe. Mtumishi wa Mungu naomba kuombewa mimi pamoja na familiya yangu. Tumefungiwa milango imefungwa. Naomba kufunguliwa.
Acha ujing ww muomb mung
Naomba mtumishi kiboko wawachawi naamini nabii uniombee na mimi uchumi nimbaya nazalauliwa kwa maisha uniombee Mungu wamadhabahu hii namwamini amen.
Mchungaji ananja nakupenda sana. Mungu akubariki, maana ujinga kama hii kwako hamnaga.
Mungu anaweza, nafurahi sana Mungu huyu mtenda miujiza kupitia nabii huyu
nabarikiwa sana baba mungu azidi kukupa maisha marefu
Baba kiboko ya wachawi Nina Imani na wewe Mimi naitwa Joshua amani maisha yangu ni magumu sana nafanya kazi lakini naishi katika madeni naomba unisaidie baba
NaoMba nikafanikiwee katka maisha yanguu fireeeeee katkaa jinaa la yesuuuuuuu fireeeee watuu ambaoo siyo sahihi kwanguu naombaa waondokeee kwa jinaa la yesuuu
Bwana Yesu asifiwe mtumishi,naomba Mungu anisaidie mume wangu apone
Baba shalom me naitwa gerald mahamud salum baba nateseka baba maisha ang hayana mbele wala nyuma nimekuwa mtu wa kuangika baba ang naomba nisaidie baba
Naitwa happy matheo. Baba nisaidie sipat siku zangu za hedhi na mtoto pia. Nabii tabili juu yangu
Nabii naomba ukateminyororo katika maisha yangu
Naitwa James maisha yangu yamekua magumu sana Baba sipati kazi wala biashara miguu na mikono inawasha tu.
Shalom shalom apostle Dominic plse niombe maana nateseka na muguuwakuliya unanisumbuwa kwa myaka nyingi nipohapa Dubai bt I'm from Malawi plse help mi ma pastor
Shalom baba naitwa Shaban ulimwengu nashida Sana kila nikifanya kitu ambacho kinaniingizia pesa hazikai zinapotea najikuta zinaisha bila malengo yoyote yale
Umeniguza sana nimesisimka mwili mzima yaana mimi napitia magumu naomba maombi yako baba
Amina baba ubarikiwe na huduma
Halooooo, hizi huduma ni ngumu sana, wamama hatunaga akili kabisa, nyie wenye akili mnisahee , huku unabii utaondoka na wamama wengi sana .
Nikopamoja nawewe
Shalom mtumishi na omba uni ombee maisha yangu ni magumu pia Sina kaz
Kwan kwa waganaga . Tumeenda sana lkn kwn ht km cyo nguvu za mungu kuna nn ili mradi tu natatua shida zangu kuna shda gan
Na kwel cha msing mtu upone
Aslm naomba namimi unisaidie kweli mtumìshi wa mungu niko mbali
Naomba uniombee!nikue kiuchum mim na familia yangu,pia umponye mama yangu na miguu
Amém 🙏🇲🇿 napokea Mimi Ana😊
Amina pastor
Mungu akubariki baba
Naitwa mama dan. Baba mwanangu toka azaliwe anajikolea na anatumikishwa kichaw. naomba nisaidie baba .
Baba asante sana niko kwa radio baba nasubilia huduma yako baba niongee naw
Amen amen God bless you 🥰🥰🥰💯🙏
Naitwa Mishael . ninatatizo la kiuchimi napanda na kushuka sjajuwa tatizo Nini mtumishi...
Nabii naomba uniombee mimi naitwa happy hojes tangu nijifungue naumwa umwa sana nyonga na miguu
Ubarikiwe Mtumishi wa MUNGU,lakini huyo ungemwambia aokoke aje kwa YESU aache kabisa aunguze vitu vyote vibaya ,pengine anaweza acha akimjua YESU kuja kwakwe kanisani hapo ndyo kupona kwake, aokoke huyo mzee mali atapata kwa YESU
Naitwa Neena juma Baba nisaidie madeni yanga yaishe chap Nariman yanaisha ameen
Nabii rejesha uchumi wangu nyota yangu nipate kazi naitwa loyce nipo dodoma naomba unisaidie baba
Nimefiwa Na Mwanangu Kama Wiki Mbili Zilizopta Kama Kama Apo2 Unajua Mpango Huo Umepangwa Akuna Mke Na Mme Apo Wangetaja Maeneo Wanatoka Walio Na Ujilani Nao Wakometi Ukweli Wao Tunaweza Kuletewa Wakongo Wakenya Kutoa Ushuhuda Feki Bila Kujua Wawe Wanasema Wazaliwa Wawapi Kijiji Mtaa Mpaka Wajumbe Wa Nyumba Kumi
Sms zote zinazotumwa kwa kumpinga nabii kiboko ya wachawi na kumsema vibaya zinatoka kwa wachawi,na wafe kabisa
Nabarikiwa na mahubiri yako baba!ninaomba unifungue na maumivu ya miguu
Shalom Nabii,nitabirie
Ramli chonganishii hakuna cha Roho waMungu full comedian kama ni mimi hii kanisa ni ya kufungaaaaaaaaaa
Du huyu baba alikiwa anafanya mambo mabaya sana hadharani hivi sio sawa
Hizo nyimbo za nini Tena xinazuia tussikie jamani?
Ivi wanadam sijui mkoje mnadai nabii wa uongo taften wa kwen.wakweli kuamini kwako ndiyo kupona mbona yesu alimpaka kipofu matope kwenye macho na akaona naitwa grory nipo mombasa dar es salam
Shalom baba naitwa Shaban ulimwengu nashida Sana kila nikifanya kitu ambacho kinaniingizia pesa hazikai zinapotea najikuta zinaisha bila malengo yoyote yale
Pole ndugu ila pesa nayo yanataka mikakati ya mpangilio kabla utumie
Naomba maombi yako baba katika uchumi afya na ndoa ubarikiwe
Inaitwa shangwe baba nipoo Arusha Naomba utabiri neno baba juu ya familia yangu
Mtumishi wamungu naomba unisaindie mama yang anaumwa miguu kam fagasi mchungaji m naitwa asteria pia naomb uniombee baba nipate mwanaume wakunioa mim mchungj naomb unisaindie naomba
Naomba uniombee kazi ziende vizuri
Mtumishi mungu akutunze kwa ajili yetu
Amina pastor
NAOMBA MAOMBI JUU YA ELIMU YANGU YA CHUO NKAFANIKIWE KATIKA IMANI...AMEN🙏
Nina ndugu yangu mwaka wa tano amefaliki lakini mbaka Leo tunamuota anasema yeye yupo ajafa da inaniumiza sana
Naomba unisaidie wazazi wangu wanakunywa Sana pombe na kaka zangu
Ninakataa roho ya umasikini ninaomba unisaidie maisha yangu magumu sana mpaka bac nitabitie naitwa loyce nipo dodoma
Naitwa Selina Jacob Nduru Amina mtumishi
Naitwa James massawe nifungue maisha yangu nabii
The music is too loud
Kiboko ya wachawi niombee nipate pesa kila siku na wachawi wote wafe amina
Wanaompinga mtumishi wa Mungu ni wachawi wanatapatapa wachawi imekula kwenuuu
Naomba mungu uponye mwanangu devi anauvimbe kichwani
Nabiii uwaa by Leah lucas
Pastor nisaidie niolewe na nidum kwenye ndoa
Ucjali mungu ni mwema umeshampata mume mwenye upendo wa kweli na mcha mungu nipo mwanza tanzania
Naomba mungu nisaidie nimalize madeni
Naomba umuombee mdogo wangu anaitwa Daudi Maro
Naitwa masinde niombee baba na ubarikiwe kwa huduma yako
Nawaombea wanangu wa kiroho wapate fire fire fire wanipe mafungu ya Bwana Yesu Kristo wasilale usingizi
Naomba nyumba za wanangu zirudishwe mikononi mwao kwa jina la Yesu Kristo Aliye Hai
Mm George nachangamoto ya kiuchumi nombee
Nabii niponye na magojwa ndani ya familia yangu pia utukinge na wabaya woote
Naitwa happy wa Arusha naomba unisaidie sina maelewano na baba wa mtoto wangu nasijui shida ni nini
Mtumishi naomba unisaidie mim na baba wa mtoto wangu hatuna maelewano kabisa jamn nasijui shida nikitu gani
Mambo vip kwan mume wako anaitwa nani dear nikusaidie mawazo maan majina yanayoanzia na h yanakuwa na changamoto Sana inawezekana umeowana na mwanaume mwenyew nyot adui
Naitwa happy wa Arusha naomba unisaidie sina maelewano na baba wa mtoto wangu nasijui shida ni nini
Naomba umkomboe mama yangu SECILIA yupo KIGOMA
Naomba niombee naumwa mguu mwenz wa nne
Mungu akubaliki sana baba
Naomba mungu uponye mwanangu devi anauvimbe kichwani
Kweliu mungu akubarik San baba
Hakuna kitu huyu mshenzi huyu tapeli mkubwa huyu
Naitwa fatuma, ninasumbuliwa na majini wa kutupiwa huu ni mwaka wa Saba sasa, naomba uniombee baba.
Naitwa janeth pastor naomba maombi kwa familia yangu
Nabii wa uongo,,yeye mwenyewe kashasema watanzania wapumbavu,,,hiyo yote ni mipango tu ,,badilikeni
Hakuna unabii hapa.
Hayo Sasa, ulijuwaje kama anafunguo hapo?.
Umri wa mwanao huujui unasema ni kama miaka 12 yani huna uhakika, tena we ndie ulie mzaa yani mwanamke hasahaugi umri wa mtoto tena mtoto ni mmoja wangekua zaidi ya mmoja je?mmmh mapichapicha yapo MUNGU ATUSAIDIE SANA WANADAMU WA KIZAZI HIKI
Yani wamama wanao sahau kuhusu kuzaliwa kwa watoto wao ni wengi Sana. Mm dada yangu ni msomi Sana tu ila linapofika suala la huko ofisini kwao wakihitaji data za watoto hajawai kumbuka lazima tu atatuuliza
Bwanayesu asifiwe baba naomba nisaidie ndoa yngu Iko matatani.baba
Naitwa Salehe Bakari maisha yangu yamekuwa magum mno
Nifungue maisha yangu nabii
Bibilia inasema ,siku za mwisho kutakuwa na wahubiri wa uwongo na na wataponya na kufanya miujiza wakilitumia jina la Yesu,Tuweni makini
Hayajakukuta ww ndo maana unaongea hvyo mganga unamwamini lkn mtumishi wa Mungu humwamini
Nisaidie mm maisha yangu siyaelewi
Hapa ni Tanzania wapi
Naomba mzaada baba mchungaji naandamwana yadunia
Kiboko ya wachawi nisaidie nilisingiziwa kes Kam nmeiba hela laki saba Mwaka 2019 mm nakataa Mpaka Leo sijaiba Baba nisaidie mm jmn Huyu bos popote alipo anitafte arudishe Pesa aliyodai nmeiiba na akanilaza kituon Siku 2
Mungu atusaidie
Ameen baba
munguakubalikinamiminahitajimaombimtumishiniponjombe
YESU KRISTO wa KIBOKO ya wachawi yupo kazini. Na Mimi anitumikie
Naitwa innocent,niko mbinga ruvuma.Nahangaika sana lkn sifanikiwi,na nimejaribu kuona wanawake wa2 naishia kugombana tyuu na wanaondoka wenyewe... naomba nijui shida nn?
Baba nitabire agustino Niko Arusha
Naitwa Peter pasian malamsha nashida napamban nakaz sana Ila bado changamoto nitabirie pasta
Naomba uniombee mtumishi wa mungu
Mmmm!! Ya kweli haya imekuwaje mzee nae kaenda kwa nabii wakat anajua mtoto yuko ndani siamin japo nakupendaga nabii
😂😂😂😂😂ila watu uso wake mkavu hata haya hana jaman tuombeni kufunuliwa
MUNGU tusaidie tuijue kweli yako😢
Wachawi wapo duniani kwl wemeisha 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ukisikia kuvuruga amani ndiohuku ilibidi tuu uzungumze kwa password father maana watu wengine hawana moyo huyo.mzee akitoka hapo hakuna usalama father
Baba naomba nisaidie Sina kazi kwa sasa