Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Pumzika milele mwanga akuangazie Amina 🙏🙏🙏
Asante Mungu kwa zawadi ya mtumishi wako tunakuomba umpe pumziko la milele mbinguni amina
Padri Thadeus Ponela maisha yako duniani yalikuwa mfano wa kuigwa na sisi kondoo wako uliotuchunga kwa miaka 34. Pumzika kwa amani mbinguni.
Pumzika kwa Amani Paroko wangu
Mungu akupe pumziko la milele fr Ponera ,na wale wote waliopatwa na msiba😭😭
Poleni kwa msiba Baba Askofu na wanajimbo
Sr. Jose Mungu akupe uvumilivu na uwatie moyo ndugu zako.
Pole sana Baba Askofu Kiangio kwa kuondokewa na Padre Thadeus Ponera. Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi amina.
Nafasi yako katika utume hakuna wa kiziba,daima tutakukumbuka na tunashukuru kwaajili ya maisha yako,pumzika kwa amani baba😭😭
Pole sana sr Josephine kaka yetu PD Ponera apumzike kwa amani Amina.
Uwe na moyo mkuu dada yangu Sr Josephine
Pumzika kwa Amani baba yetu mpedwa japo parokia ya Tekwa tunahuzuni😢😢😭😭😭
Pumzika kwa Amani mpendwa wetu
Wanajimbo tunapaswa tu sali sana kuongea kaka zetu
PUMZIKA KWA AMANI FR. MTU WA WATU, MUNGU AKUPOKEE MBINGUNI.😭😭
Pumzika milele mwanga akuangazie Amina 🙏🙏🙏
Asante Mungu kwa zawadi ya mtumishi wako tunakuomba umpe pumziko la milele mbinguni amina
Padri Thadeus Ponela maisha yako duniani yalikuwa mfano wa kuigwa na sisi kondoo wako uliotuchunga kwa miaka 34. Pumzika kwa amani mbinguni.
Pumzika kwa Amani Paroko wangu
Mungu akupe pumziko la milele fr Ponera ,na wale wote waliopatwa na msiba😭😭
Poleni kwa msiba Baba Askofu na wanajimbo
Sr. Jose Mungu akupe uvumilivu na uwatie moyo ndugu zako.
Pole sana Baba Askofu Kiangio kwa kuondokewa na Padre Thadeus Ponera. Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi amina.
Nafasi yako katika utume hakuna wa kiziba,daima tutakukumbuka na tunashukuru kwaajili ya maisha yako,pumzika kwa amani baba😭😭
Pole sana sr Josephine kaka yetu PD Ponera apumzike kwa amani Amina.
Uwe na moyo mkuu dada yangu Sr Josephine
Pumzika kwa Amani baba yetu mpedwa japo parokia ya Tekwa tunahuzuni😢😢😭😭😭
Pumzika kwa Amani mpendwa wetu
Wanajimbo tunapaswa tu sali sana kuongea kaka zetu
PUMZIKA KWA AMANI FR. MTU WA WATU, MUNGU AKUPOKEE MBINGUNI.😭😭
Pumzika kwa Amani baba yetu mpedwa japo parokia ya Tekwa tunahuzuni😢😢😭😭😭
Pumzika kwa Amani baba yetu mpedwa japo parokia ya Tekwa tunahuzuni😢😢😭😭😭