MAUMIVU YA MGONGO, CHANZO ,DALILI NA TIBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 сен 2024

Комментарии • 46

  • @Mwanaid-m7u
    @Mwanaid-m7u 5 дней назад

    Habari naitwa mwana dokta naomba nisaidie nina teseka sana wakwangu ukotofauti naumwa katikati ya chembe yamoyo kwa mgongini.hadi nikanyagwe ndio na pata nafuu nishaulu dokta nifanyeje.

  • @matridahtongamwakipagala2078
    @matridahtongamwakipagala2078 Месяц назад +1

    Naomba unisaidie ushauri kwa wale ambao maumivu yamgongo yameanzia na sindano ya usingizi yaani ya upasuji hosp.asante,anatbiwa vipi

  • @mausseinsheith2235
    @mausseinsheith2235 Год назад +1

    Ahsante sana Dr.Laurent Mchome kwa Elimu kubwa hii unayotupatia,ni Vizuri sana na tunawafuatilia kupitia MOI TV!

  • @user-yy6zl5kb5o
    @user-yy6zl5kb5o 11 дней назад

    Naomba no yako daktari

  • @melkiorimagesamh6449
    @melkiorimagesamh6449 3 месяца назад +2

    halooo, naitwa maria npo mwanza nina xhda ya uti wa mgongo, nina maswal mawil naomba kuuliza, kama uti wa mgongo umepinda ni zoezi gan la kufanya ili uti unyooke?, pili je mtu mwenye maumivu ya uti wa mgongo anaweza kubeba mimba?

  • @saidkundya9087
    @saidkundya9087 Год назад

    Ni elimu nzuri sana, tupatie mawasiliano dokta wa viungo

  • @elizabethjakobo279
    @elizabethjakobo279 Год назад

    Asante Sana doctor... Umetuelewesha vizuri Sana. Mungu akubariki Sana

  • @user-ky5dm6kb3w
    @user-ky5dm6kb3w 9 месяцев назад +1

    Naomba no zako docter

  • @mohameditwahili723
    @mohameditwahili723 Год назад +1

    mnapatikana wap doctor mm nna tatizo la mishipa ya mgongo .

  • @user-dj2wk2hu7i
    @user-dj2wk2hu7i 9 месяцев назад

    Daah namimi naumwa nimepiga x ray naambiwa mifupa imekakamaa nifanye mazoez hivi nitakua sawaa

  • @allytalhata7250
    @allytalhata7250 Месяц назад

    Jamani watu wengi tunashida ya mgongo hinabidi tupate mjadala mrefu

  • @user-om5ho5tx4x
    @user-om5ho5tx4x Год назад

    Mimi nimeambiwa disc aitibiki lakini Asante doctor Kwa elimu uliotoa matibabu disc Kwa ujumla yote yanafanyika apakwetu moi.

  • @AbdyKitadu
    @AbdyKitadu 24 дня назад

    Docter kwema naomba ushauri mtoto wangu anajipida na kulia Kwa nyumba ya mgongo naomba msaada wako

  • @queenmwanzia3283
    @queenmwanzia3283 Месяц назад

    Thank you doctor

  • @winifridamashaga3174
    @winifridamashaga3174 8 дней назад

    Dr naomba namba yako naumwa mgogo

  • @mamylnkuzi8482
    @mamylnkuzi8482 Год назад

    Asant sana doctor MUNGU AKULINDE

  • @SophiaAlly-f6m
    @SophiaAlly-f6m 20 дней назад

    Doctor nomba no yako

  • @user-oy5wh1hh1e
    @user-oy5wh1hh1e Год назад +1

    Docter Mimi naumwa kiuno sana kinakuja mpk mgongo

  • @LuciaMasalu
    @LuciaMasalu 10 месяцев назад

    Hat mm napata maumiv sana

  • @MdoeHerbert
    @MdoeHerbert 2 месяца назад

    Dr mke wangu anasumbuli sana na maumivu ya mgongo atumie Dawa gani?

  • @TatuBakari-ng3hg
    @TatuBakari-ng3hg 2 месяца назад

    Doctor me mama yangu anasumbuliw na mgogo amefanya exley ameambiwa pingili simesagana naomba unipe ushaul gan au daw gan atumie

  • @aishajumbe7964
    @aishajumbe7964 Год назад

    naomba namba ya simu

  • @zaharamsuya3749
    @zaharamsuya3749 Год назад

    Dokta naomba no Nina mgonjwa wangu anaumwaa

  • @nahnaally6932
    @nahnaally6932 Год назад

    Mm nmefika hyo hatua ya ganzi kwenye miguu doctor

  • @hildarajab2891
    @hildarajab2891 2 года назад +2

    Napia nikibeba tu mimba mgongo unauma mpka inatoka

    • @consolatashayo616
      @consolatashayo616 2 года назад

      Habari Hilda, pole kwa tatizo hili... Ninakushauri ungetembelea Hospitali ya MOI, Clinic., ili vipimo kadhaa vya mgongo vifanyike kuona shida haswa iko wapi uweze kupata matibabu stahiki kwa shida hii...
      Kama unalipia cash,clinic ni Jumatano mchana au Ijumaa asubuhi... Kama unabima ya afya, Clinic zipo kila siku.

    • @hildarajab2891
      @hildarajab2891 2 года назад

      @@consolatashayo616 asante sana kwasasa yenyewe naumwa sana laba ukikaa sawa nifanye kuja huko Dr au Arusha mna kituo chochote, na je sidano za mgongo huwa nisababu ya haya maumivu.

    • @godfreylukas6305
      @godfreylukas6305 Год назад

      Ninaumwa mgongo tokea2018 nilifanyiwa cityscan wakaniambia pingili imebend mwishoe walinipa dawa ya maumivu mpaka Leo bado maumivu yanazidi

    • @user-xb2qd6ik6d
      @user-xb2qd6ik6d 9 месяцев назад

      Poleni sana ndugu zangu kwa changamoto mnazopitia

    • @user-xb2qd6ik6d
      @user-xb2qd6ik6d 9 месяцев назад

      Nawashauri mzingatie hii elimu inayotolewa na wataalam wetu

  • @user-ef5qt8wr8i
    @user-ef5qt8wr8i 9 месяцев назад

    Naomba namba zako

  • @PaulJuma-rj7ux
    @PaulJuma-rj7ux Год назад

    Doctor mamba zako

  • @jackobjoel103
    @jackobjoel103 Год назад +1

    Nasumbuliwa na tatizo a kiuno lumber four na five nimehudhuria vipimo vya MRI na ninapewa dawa ya ligaba Mara nyingi tu na dawa za maumivu maumivu makali yamepungua nahudhuria mazoezi mwaka sasa bado sijapona naomba ushauri hakuna pingili iliyosagika kama kuna dawa itakayonisaidia naomba msaada kazi zangu ni mwl

  • @hildarajab2891
    @hildarajab2891 2 года назад

    Mimi naumwa sana mgogo naomb tu nisaidie dkt,

    • @user-by7ie6yy5n
      @user-by7ie6yy5n Год назад

      Vipi ulipata tiba ya mgongo

    • @sebastianjameskapala3243
      @sebastianjameskapala3243 Год назад

      Doctor me nasumbiliwa na mgongo nimepimwa nimeambiwa mgongo umenyooka hivyo nimepewa dawa natumia lakini bado unasumbua ? Nomba maraschino doctor nipate kuwasiliana

  • @aishajumbe7964
    @aishajumbe7964 Год назад

    doctor unaptikana wapi

  • @riyamahassan821
    @riyamahassan821 9 месяцев назад

    Dokta nomba namba zako

  • @marthakimari9560
    @marthakimari9560 3 месяца назад

    Pls doc your numbers