Istghfari Hii Inafuta Madhambi Yote Soma /Maulid Hayana Shida Na Siyo Bidaa /Sheikh Walid Alhad Omar
HTML-код
- Опубликовано: 12 окт 2024
- Istghfari Hii Inafuta Madhambi Yote Soma /Maulid Hayana Shida Na Siyo Bidaa /Sheikh Walid Alhad Omar
Mashaa Allah Sheikh Walid Bin Sheikh Alhad Omar akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Istghfari Hii Inafuta Madhambi Yote Soma /Maulid Hayana Shida Na Siyo Bidaa /Sheikh Walid Alhad Omar
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Airtel Money +255782466586
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/Dars...
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: /
► LIKE DARSA TV on Facebook: /
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
RUclips @Darsa tv
TikTok @Darsa tV
Allah aku hifadhi ya shaikh waleed na akumiminie baraka na rehma
Mashaallaa sheikh wetu Waleed
Asante shekhe nmejifunza kitu kupitia mawaidha yako shekhe kaz kwangu kuyatekeleza na kuyafanyia kaz
Mash Allah tabarak Allah ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri shekhe.
Shukran Ahsante
Shukran
Mashaallah shukran shekhe
Shukraan sheikh
Mashaallah!!
Mbona mnaichukia sana bakwata
Masha Allah 🙏🙏🙏
Mimi naukiza hivi sisi tunaoskiliza mawaidha ktk cimu jee nasie tunafunikwa na malaika nakutajwa na M/Mungu
Ongela shehe
Mawaidha maxur
Hiz darsa zinafanyikaga wap na saa ngap na lini na ni kwa wanaume tu?
Subhanalah! Muogopeni Allah maulidi ni ya dini ya bakwata. Dini ya mjumbe wa Allah Haina maulidi. Mtume SAW hakufanya Wala masahaba hawakufanya. Mtajibu kesho mbele ya Allah mliyapata wapi?
Kuna mambo muhimu zaka ni nguzo ya tatu mbona hamfanyii kazi? Wapeni watu haki zao. Mtamwambia nini kesho Allah. Hiyo ni mtihani ya nyie Maulamaa.
Kalale na mke wako uko
Huko ndo ufukunyuku !! Pilipili IPO shamba kinakuwasha nini !???😅😅
Watu wengine hamnaga adabu wala aibu na iyo ndiyo sababu waislam tunarudi nyuma mno yaani mtu mzima mzima na matatizo ambayo yapo duniani wewe ume kaa maulidi tu mtaulizwa wewe, je una msada upi? Na kwanini unafata jitulize na umuombe mola wako msamaha.
Sheikh walidi Allah akuzidishiye apa duniani na kesho akhera watu tunajifunza kwako mengi Allah akupe umri mtefu wenye manufa Aamiin Aamiin ❤
@S.Swarfa Ikiwa Maulid hayafai kwakuwa hakufanya mtume wetu na maswahaba, Je mashindano ya kusoma Qur'an pia yakataze.
Swahaba gani alishindanisha watu kusoma Quran?