Sanerial y huu mchezo wa yanga n Keny gold ni yanga waneingia kwenye mfumo w Kenny gold nje y uwanja ndio mana wachezaji w yanga kuanzia viungo w chini n wa juu n pia washambuliaji walivuka mitego y Kenny gold ndio mana wachezaji w yanga walikuwa wazito
Kiwang Cha yang kimeshuk wazee weng half we mchom ingalikua upo Zanzibar tungalikua tumeshakufira zaman man ww mseng hakun kulik may zind we kibond icho mumeshindw kushnd gol lao mumelitoa ww roh isikuum sem we utopolo ata bado 😂😂😂😂
Yani huyu gamondi,sijuwi halioni!, anakazi yaku sifiya wafungaji,nawakati hawafungi magoli, sijuwi anawasifiya nini kwani!, Tunaitaji magoli na siyo sifa zake za ovyo, amujalibu baleke, asituchoshe na misifa yake iyo..
Mnaoishi na huyu mpumbavu mbona mnamtazama tu. Huyu angekuwa hapa Kigoma sidhani kama mpaka leo angekuwa anasogelea Camera. Angekutana na kitu kizito kwa njia yeyote ile. Anaiponda Simba, anaponda viongozi,anaponda mashabiki,anaponda wachezaj,anaponda Jezi, na kuiombea Simba mabaya na kuwatakia wapinzani mazuri.
Sahihi bro yanga tunakosa sana magoli msimu huu
Kutengeneza nafasi arafu auzitumii inasaidia nini katika mpira? Washaanza kuishiwa wanatoa sababu za mchongo mchongo
Uchovu wa mechi ya kimataifa na safari kutoka Zanzibar. Hali ya hewa Mbeya ni tofauti na Visiwani. La msingi points 3.
Mmeshaansa na Bora point 3
@@lenziangowoko9325😂😂😂😂 mdogo mdogo wanaanza kuishiwa maneno
Wachezaji wetu mpone mnaooteza sana nafas
Sanerial y huu mchezo wa yanga n Keny gold ni yanga waneingia kwenye mfumo w Kenny gold nje y uwanja ndio mana wachezaji w yanga kuanzia viungo w chini n wa juu n pia washambuliaji walivuka mitego y Kenny gold ndio mana wachezaji w yanga walikuwa wazito
Utahumbuka bure😂😂
Huyu jamaaa ni yanga kabsa bila ubishi
Mie mwenyewe nilikua ni Simba kumbe kuma
Huyu mbwa tuu
Acha utoto we unamtukanaje mtu bila sababu za msingi
Duh! Mbona matusi anasema kweli au ww ndo yanga ya urithi
Kutengeneza nafas afu usifunge ndio ubovu huo acha ubwabwa
Sasa kuna timu hata nafasi hawatengenezi magoli wanafunga kwa bahati tu
@@R10_Rajab huwezi kufunga bila kutengeneza nafas acha ujinga na hakuna goli la bahat shenzi kabsa
@@YusuphBenjamin-uf7lh tatizo wewe haujacheza na wala huujui huo mpira wenyewe wewe ni miongoni mwa wale zoa zoa wa baada ya ujio wa Maximo
@@R10_Rajab shenzi kabsa wewe unajua nn
Waendelee kupunguza MAGOLI LKN point 3 hawawezi kupunguza.
Kweli kabsa
Ken gold ni nzuri kuliko Simba kama ingekuwa fifa iko Tz muda huu Makolo ishafutwa sababu wanananunua mechi wanahonga Waamuzi wakisaidiwa na Tff
Mhhhhhh pyeee
Utopolo na simba na mabingwa wa kununua mechi pimbi wewe acha ufala wewe.
Ujui unachoongea ww ninawasiwasi na ww
Wachezaji wanafanya ujinga wanajipigia tu bila kutumia akili. Wanatia hasira wachezaji
Walikuwa wanechoka mapumziko nayo muhimu wametoka znz to mbeya wao wamekuwa marobot wamech9ka jana wamecheza chini ya kiwango kabisa
Kweli kabisa wanajitahidi kutengeneza nafasi lakini wafungaji sasa
Kiwang Cha yang kimeshuk wazee weng half we mchom ingalikua upo Zanzibar tungalikua tumeshakufira zaman man ww mseng hakun kulik may zind we kibond icho mumeshindw kushnd gol lao mumelitoa ww roh isikuum sem we utopolo ata bado 😂😂😂😂
Yani huyu gamondi,sijuwi halioni!, anakazi yaku sifiya wafungaji,nawakati hawafungi magoli, sijuwi anawasifiya nini kwani!, Tunaitaji magoli na siyo sifa zake za ovyo, amujalibu baleke, asituchoshe na misifa yake iyo..
Tatizo ni coach wa YANGA Mzinze siyo mchezaji wakuanza mechi nimzuri akitokeya out
Wamekaza kwasabab wanakutan timu kubwa ngoja wakutane na vilaza wenzie sasa😂 ila wakija bongo hao wajiandae mvua za magoli
Vipi kuhusu goli la kengold kunyimwa goli😂😂😂 utaongea sana na bado.
Jamani em nikumbusheni msimu uliopiita kuna machine gani ya mikoani tumeshinda gold zaidi ya tatu,mm ckumbuki
Ingeuwa Simba katoka hivyo, ungesema mbovu
Hivi wewe ni msemaji WA Uto mbona unajipendekeza
Nafikili ata ww unaemhoji kama msenge hivi maana unahoji kisenge wakati mechi ya ligi ww unasema ngao
Kwa kwl sijpenda kbs ushindi mwembamba sn hatujazoea hvi jmn wananchi
Huyu anaichafua simba sasa siavae tu jezi ya yanga aache unafiki
Tusikate tamaa magori yatafungwa mengi sana Daima mbele nyuma mwiko
Hili Yanga hamna lolote😂😂😂
Nafasi wanatumia ila haijawa bahati tu
Unaongea ukweli kaka
Mnaoishi na huyu mpumbavu mbona mnamtazama tu. Huyu angekuwa hapa Kigoma sidhani kama mpaka leo angekuwa anasogelea Camera. Angekutana na kitu kizito kwa njia yeyote ile. Anaiponda Simba, anaponda viongozi,anaponda mashabiki,anaponda wachezaj,anaponda Jezi, na kuiombea Simba mabaya na kuwatakia wapinzani mazuri.
Nafasi zinapotea kwa sababu ya UCHOYO! Kila mmoja anataka afunge!
😂
Kweli kaka magoli 2nakosa sana
Ni kweli kabisa, tunapoteza sana nafasi msimu huu
Ww ni VAR wa bongo ndg zako Kolo ubwela wakiona huu moto mavi yanawabana
jamani yanga hii haijamaliza hata wiki tokea ampige mtu 6 cbe ko tusiwakatie tamaa
Wamezoezwa Bonas, wakati ni kazi yao
Wana Simba popote tutakapo muona uyu kaa jezi yeti tumvue azalani kama vile jeshi lawananchi linavyo wavua watu wanapo vaa nguo zao
Ulimnunulia wewe
Kwani hajanunua kwa hela yake mwenyewe
Akili kidogo
Jaribu wewe kwanza
Huyo ni Shoga yao sio Simba huyo Wanamla tu
Anaulizwa hiki anajibu kingine
😂😂😂ameanzaa kujiletaa..hatukutaki
😂😂😂😂Bado hamjasem Kuma nyie
Sema all in all, !! sio OLO IN OLO😅
Huyu jamaa ni yanga damu damu nilikuwa sijui
Mwandishi umeuliza swali nzuri halafu jibu la kijinga.
Mwanangu sanaaq
Upo sahh mchome
Olo in olo ndio nini!
Mimacho hyo!!
Ila huyu mbuzi mchome we acha tu ila ipo siku.ajidai km yupo simba wakati yupo yanga
Huu ni mpila tu sasa chuki ya nini mbona wachezaji wenyewe wanacheza hata team ambayo ni pinzani
Yanga hakuna ktu Kama ken gold unateseka HV vp kwa akina Al ahaly
HATA wee kolo alikusaidia REFA kupunguza MAGOLI.
Wewe hao Yanga wape Matako basi
Why unashndwa ktmia kauli nzri
Mpe ya kwako bas
bado hujasema...
ipo siku utawakataa... wanasimba kuleni mtori nyama zipo chini
Kwani ww una point ngapi