MCHOME MAPOVU NAUMIA ROHO YANGA WANAKOSA MAGOLI/WAPINZANI WANAIKAMIA/BACCA NI ZAIDI YA MUKWALA WETU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024
  • #alikamwe #azizki #hersisaid #mayele #yangaleo #yangatv #live_ #yanga #yangasc #msuva

Комментарии • 75

  • @Saidindenya
    @Saidindenya 3 дня назад +9

    Sahihi bro yanga tunakosa sana magoli msimu huu

    • @marckmark2738
      @marckmark2738 2 дня назад

      Kutengeneza nafasi arafu auzitumii inasaidia nini katika mpira? Washaanza kuishiwa wanatoa sababu za mchongo mchongo

  • @elirahammwiri6519
    @elirahammwiri6519 3 дня назад +8

    Uchovu wa mechi ya kimataifa na safari kutoka Zanzibar. Hali ya hewa Mbeya ni tofauti na Visiwani. La msingi points 3.

    • @lenziangowoko9325
      @lenziangowoko9325 3 дня назад +1

      Mmeshaansa na Bora point 3

    • @marckmark2738
      @marckmark2738 2 дня назад

      ​@@lenziangowoko9325😂😂😂😂 mdogo mdogo wanaanza kuishiwa maneno

  • @happysanga6846
    @happysanga6846 3 дня назад +1

    Wachezaji wetu mpone mnaooteza sana nafas

  • @DripGod-js4ss
    @DripGod-js4ss 3 дня назад

    Sanerial y huu mchezo wa yanga n Keny gold ni yanga waneingia kwenye mfumo w Kenny gold nje y uwanja ndio mana wachezaji w yanga kuanzia viungo w chini n wa juu n pia washambuliaji walivuka mitego y Kenny gold ndio mana wachezaji w yanga walikuwa wazito

  • @HassanEnericko-h3h
    @HassanEnericko-h3h 3 дня назад

    Utahumbuka bure😂😂

  • @YusuphBenjamin-uf7lh
    @YusuphBenjamin-uf7lh 3 дня назад

    Huyu jamaaa ni yanga kabsa bila ubishi

  • @JafetiKanyala
    @JafetiKanyala 3 дня назад

    Mie mwenyewe nilikua ni Simba kumbe kuma

  • @mbwanamungia9921
    @mbwanamungia9921 3 дня назад

    Huyu mbwa tuu

    • @WilliamHerman-e4r
      @WilliamHerman-e4r 3 дня назад

      Acha utoto we unamtukanaje mtu bila sababu za msingi

    • @HassaniUlenge-j5j
      @HassaniUlenge-j5j 3 дня назад

      Duh! Mbona matusi anasema kweli au ww ndo yanga ya urithi

  • @YusuphBenjamin-uf7lh
    @YusuphBenjamin-uf7lh 3 дня назад

    Kutengeneza nafas afu usifunge ndio ubovu huo acha ubwabwa

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab 3 дня назад +1

      Sasa kuna timu hata nafasi hawatengenezi magoli wanafunga kwa bahati tu

    • @YusuphBenjamin-uf7lh
      @YusuphBenjamin-uf7lh 3 дня назад

      @@R10_Rajab huwezi kufunga bila kutengeneza nafas acha ujinga na hakuna goli la bahat shenzi kabsa

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab 2 дня назад

      @@YusuphBenjamin-uf7lh tatizo wewe haujacheza na wala huujui huo mpira wenyewe wewe ni miongoni mwa wale zoa zoa wa baada ya ujio wa Maximo

    • @YusuphBenjamin-uf7lh
      @YusuphBenjamin-uf7lh 2 дня назад

      @@R10_Rajab shenzi kabsa wewe unajua nn

  • @IddyyFumbwe
    @IddyyFumbwe 3 дня назад +3

    Waendelee kupunguza MAGOLI LKN point 3 hawawezi kupunguza.

  • @ElishaMahora
    @ElishaMahora 3 дня назад +5

    Kweli kabsa

  • @AbdallahShekhan-qx3kp
    @AbdallahShekhan-qx3kp 3 дня назад +4

    Ken gold ni nzuri kuliko Simba kama ingekuwa fifa iko Tz muda huu Makolo ishafutwa sababu wanananunua mechi wanahonga Waamuzi wakisaidiwa na Tff

    • @faaubwa4158
      @faaubwa4158 3 дня назад

      Mhhhhhh pyeee

    • @RajabRashidi-h1e
      @RajabRashidi-h1e 3 дня назад

      Utopolo na simba na mabingwa wa kununua mechi pimbi wewe acha ufala wewe.

    • @vannie-gggg
      @vannie-gggg 2 дня назад

      Ujui unachoongea ww ninawasiwasi na ww

  • @TwahaKahatan-pt9hg
    @TwahaKahatan-pt9hg 3 дня назад +2

    Wachezaji wanafanya ujinga wanajipigia tu bila kutumia akili. Wanatia hasira wachezaji

    • @Lulualshagri
      @Lulualshagri 2 дня назад

      Walikuwa wanechoka mapumziko nayo muhimu wametoka znz to mbeya wao wamekuwa marobot wamech9ka jana wamecheza chini ya kiwango kabisa

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 3 дня назад +1

    Kweli kabisa wanajitahidi kutengeneza nafasi lakini wafungaji sasa

  • @ShehaSalum-p3s
    @ShehaSalum-p3s 2 дня назад

    Kiwang Cha yang kimeshuk wazee weng half we mchom ingalikua upo Zanzibar tungalikua tumeshakufira zaman man ww mseng hakun kulik may zind we kibond icho mumeshindw kushnd gol lao mumelitoa ww roh isikuum sem we utopolo ata bado 😂😂😂😂

  • @OlivaMHANDO
    @OlivaMHANDO 2 дня назад

    Yani huyu gamondi,sijuwi halioni!, anakazi yaku sifiya wafungaji,nawakati hawafungi magoli, sijuwi anawasifiya nini kwani!, Tunaitaji magoli na siyo sifa zake za ovyo, amujalibu baleke, asituchoshe na misifa yake iyo..

  • @mbokanitaribo5106
    @mbokanitaribo5106 2 дня назад

    Tatizo ni coach wa YANGA Mzinze siyo mchezaji wakuanza mechi nimzuri akitokeya out

  • @BullahSambiga
    @BullahSambiga День назад

    Wamekaza kwasabab wanakutan timu kubwa ngoja wakutane na vilaza wenzie sasa😂 ila wakija bongo hao wajiandae mvua za magoli

  • @lydiathomas2905
    @lydiathomas2905 2 дня назад

    Vipi kuhusu goli la kengold kunyimwa goli😂😂😂 utaongea sana na bado.

  • @SheheHamad-pg5bk
    @SheheHamad-pg5bk 3 дня назад

    Jamani em nikumbusheni msimu uliopiita kuna machine gani ya mikoani tumeshinda gold zaidi ya tatu,mm ckumbuki

  • @lydiathomas2905
    @lydiathomas2905 2 дня назад

    Ingeuwa Simba katoka hivyo, ungesema mbovu

  • @festamwaibabile2190
    @festamwaibabile2190 2 дня назад

    Hivi wewe ni msemaji WA Uto mbona unajipendekeza

  • @SaidMohammed-c8o
    @SaidMohammed-c8o 3 дня назад

    Nafikili ata ww unaemhoji kama msenge hivi maana unahoji kisenge wakati mechi ya ligi ww unasema ngao

  • @annethfredy4285
    @annethfredy4285 3 дня назад

    Kwa kwl sijpenda kbs ushindi mwembamba sn hatujazoea hvi jmn wananchi

  • @vannie-gggg
    @vannie-gggg 2 дня назад

    Huyu anaichafua simba sasa siavae tu jezi ya yanga aache unafiki

  • @KarokiaNdirango-lj3wf
    @KarokiaNdirango-lj3wf 3 дня назад

    Tusikate tamaa magori yatafungwa mengi sana Daima mbele nyuma mwiko

  • @lydiathomas2905
    @lydiathomas2905 2 дня назад

    Hili Yanga hamna lolote😂😂😂

  • @AbdulRahman-jp6ks
    @AbdulRahman-jp6ks 3 дня назад

    Nafasi wanatumia ila haijawa bahati tu

  • @AishaAlly-n6t
    @AishaAlly-n6t 3 дня назад

    Unaongea ukweli kaka

  • @NtamamiloGibson
    @NtamamiloGibson 3 дня назад

    Mnaoishi na huyu mpumbavu mbona mnamtazama tu. Huyu angekuwa hapa Kigoma sidhani kama mpaka leo angekuwa anasogelea Camera. Angekutana na kitu kizito kwa njia yeyote ile. Anaiponda Simba, anaponda viongozi,anaponda mashabiki,anaponda wachezaj,anaponda Jezi, na kuiombea Simba mabaya na kuwatakia wapinzani mazuri.

  • @brycesonmathias6112
    @brycesonmathias6112 3 дня назад

    Nafasi zinapotea kwa sababu ya UCHOYO! Kila mmoja anataka afunge!

  • @AyubuMohamedi
    @AyubuMohamedi 3 дня назад

    😂

  • @MigaboJohn
    @MigaboJohn 3 дня назад +4

    Kweli kaka magoli 2nakosa sana

  • @DamarisOsward
    @DamarisOsward 3 дня назад

    Ni kweli kabisa, tunapoteza sana nafasi msimu huu

  • @simonsadala2386
    @simonsadala2386 3 дня назад

    Ww ni VAR wa bongo ndg zako Kolo ubwela wakiona huu moto mavi yanawabana

  • @Evance-op4jw
    @Evance-op4jw 3 дня назад

    jamani yanga hii haijamaliza hata wiki tokea ampige mtu 6 cbe ko tusiwakatie tamaa

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 3 дня назад

    Wamezoezwa Bonas, wakati ni kazi yao

  • @JafetiKanyala
    @JafetiKanyala 3 дня назад +1

    Wana Simba popote tutakapo muona uyu kaa jezi yeti tumvue azalani kama vile jeshi lawananchi linavyo wavua watu wanapo vaa nguo zao

  • @MuhammedAbdallah-h2t
    @MuhammedAbdallah-h2t 3 дня назад

    Huyo ni Shoga yao sio Simba huyo Wanamla tu

  • @IMANIMWAITEGE-ve8gr
    @IMANIMWAITEGE-ve8gr 3 дня назад

    Anaulizwa hiki anajibu kingine

  • @Haruni-e4d
    @Haruni-e4d 3 дня назад

    😂😂😂ameanzaa kujiletaa..hatukutaki

  • @VeronicaAdam-lx8yd
    @VeronicaAdam-lx8yd 3 дня назад

    😂😂😂😂Bado hamjasem Kuma nyie

  • @comsmkemwa2671
    @comsmkemwa2671 3 дня назад

    Sema all in all, !! sio OLO IN OLO😅

  • @jonathanmbilinyi9556
    @jonathanmbilinyi9556 3 дня назад

    Huyu jamaa ni yanga damu damu nilikuwa sijui

  • @HamisiKadege
    @HamisiKadege 3 дня назад

    Mwandishi umeuliza swali nzuri halafu jibu la kijinga.

  • @KifanyiJulie
    @KifanyiJulie 3 дня назад

    Mwanangu sanaaq

  • @LeticiaBukuku
    @LeticiaBukuku 3 дня назад

    Upo sahh mchome

  • @lenziangowoko9325
    @lenziangowoko9325 3 дня назад

    Olo in olo ndio nini!

  • @lenziangowoko9325
    @lenziangowoko9325 3 дня назад

    Mimacho hyo!!

  • @IMANIMWAITEGE-ve8gr
    @IMANIMWAITEGE-ve8gr 3 дня назад

    Ila huyu mbuzi mchome we acha tu ila ipo siku.ajidai km yupo simba wakati yupo yanga

    • @Carolina-sm5zt
      @Carolina-sm5zt 3 дня назад

      Huu ni mpila tu sasa chuki ya nini mbona wachezaji wenyewe wanacheza hata team ambayo ni pinzani

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 3 дня назад

    Yanga hakuna ktu Kama ken gold unateseka HV vp kwa akina Al ahaly

    • @IddyyFumbwe
      @IddyyFumbwe 3 дня назад

      HATA wee kolo alikusaidia REFA kupunguza MAGOLI.

  • @MuhammedAbdallah-h2t
    @MuhammedAbdallah-h2t 3 дня назад

    Wewe hao Yanga wape Matako basi

  • @saralulambo6758
    @saralulambo6758 3 дня назад +1

    bado hujasema...
    ipo siku utawakataa... wanasimba kuleni mtori nyama zipo chini