MZEE CHEMBELA & NASSORO WAMPANGUSA DOSA STESHENI KISA KUMSIFIA DEBRA MAVAMBO | AMETUKOSEA SANA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024
  • JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
    KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.

Комментарии • 51

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe День назад

    Laana ya Mzee MAGOMA imeanza kuwatafuna

  • @sebastianthadeus5270
    @sebastianthadeus5270 3 дня назад

    Wache ni ujinga Dosa hana kosa alilofanya kama mchezaji anafanya bidii Wacha ukweliusemwe bila kujali ni simba au yanga

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu 3 дня назад +1

    Tatizo wanayanga niwanafki hivi wangapi wanayanga wanaomkubali DEBORA?

  • @mariamabdallah9847
    @mariamabdallah9847 3 дня назад +1

    Mzee saidi mbona anamsifia azizi k

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 3 дня назад

    Haya mtoe na hersi si kamsifia sana chama na juzi kamsifia balua acheni ujinga bhana nyie ndo wenye njaa mtu asioongeee mpira bhana acheni ujinga bhana

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu 3 дня назад +1

    Kwani HERSI alivokuwa akimsifia CHAMA kipindihicho chama alikuwa anachezeawapi? Nanikweli HERSI alikuwa anakosa usingizi mbona awajamtenga? DOSA wamemuonea kwasababu nimnyongetu .

  • @JaphariMwangu
    @JaphariMwangu 3 дня назад

    mbna hersi anamkubali balua kumkubali mtu dhambi ngogwe Amna kitu kichwani

  • @JosephatMassae
    @JosephatMassae 3 дня назад

    Mbona hamumfukuzi injinia hersi kumsifia balua na chama kabla hajaja yanga !! Acheni unyumbu mnaishi maisha ya kufwata mkumbo kama NYUMBU !! Dosa kakosea nini!? Ndo maana mko wawili tu katika wenye akili😀😁😂😀😁😂😀😁😂

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu 3 дня назад

    Nyie mbona mlikuwa mnamsifia MABULULU Mbona amjaamia LIBYA?

  • @salummkicha6636
    @salummkicha6636 3 дня назад

    Ila dosa mbona hajakosea kama wanavozungumza yy amesema mavambo anafaa kuw mbadala wa halid Aucho

  • @mariamabdallah9847
    @mariamabdallah9847 3 дня назад

    Miraji mbona anasifiwa yanga uto acheni ujinga

  • @AminoKhalif
    @AminoKhalif 3 дня назад

    Jamani wanayanga wenzangu kakosa lakini msameheni tu

    • @bone102
      @bone102 3 дня назад

      Dosa hana kosa lolote labda nasoro ndo anakosa

  • @fatoommeraje2133
    @fatoommeraje2133 3 дня назад

    Nyie yanga msimponde dosa huwo sio ubinaadamu

  • @peterpain5594
    @peterpain5594 3 дня назад

    Dosa anapenda sifa kwanza ajui ata kuongea mm kuna mashabiki 2 wa yanga huwa siwaelewagi dosa nimwenzake mwalimu wanangeaga usenge tu

  • @maulidmusa8902
    @maulidmusa8902 3 дня назад

    Hawa Yanga wa ajabu sana. Ni aibu

  • @mariamabdallah9847
    @mariamabdallah9847 3 дня назад

    Uto acheni wivu

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 3 дня назад

    Mchome vipi 😂😂😂dah

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu 3 дня назад

    Kwani HERSI alivokuwa akimsifia CHAMA kipindihicho chama alikuwa anachezeawapi? Nanikweli HERSI alikuwa anakosa usingizi.

  • @mohammedmohamed9969
    @mohammedmohamed9969 3 дня назад

    Afadhali mumfukuze huyo dogo aliongea UPUUZI sana Jana huyo dosa ikiwezekana afutwe uanachama

  • @StephanoJames-c3d
    @StephanoJames-c3d 3 дня назад

    Utoo jamani

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 3 дня назад

    Roho zakichawi

  • @joanitamligo6321
    @joanitamligo6321 3 дня назад

    Nyinyi hamjui mpira dosa hajakosea kila mtu anamaoni yake ngoja team ianze kufanya vibaya mtamkumbuka dosa anacho sema mcheza mzuri anasifiwa na yeyote yule

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 3 дня назад

    RUDISHENI FUNGUWO NYUMBA SIO YENU 😂😂😂😂 KURUJUWANI ITAWAMALIZ SUPU CHAPATI FC NYIE 😂😂😂😂😂 KURUJUWANI OYEEEEEE 😂😂😂😂😂 MZEE MAGOMA ZEE LA KATIBA OYEEEEEE 😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO

  • @Mkubwa_jr
    @Mkubwa_jr 2 дня назад

    Yanga wengi kuanzia viongozi wao wapo hivyo wana roho mbaya wamekaa kichawi yaani hawajui mpira....mpira unataka kizuri ukisifie hata km hakipo upande wako wao wanataka hata km mchezaji wako mbovu ndo umpambe tu

  • @bone102
    @bone102 3 дня назад

    Hersi aliongea chama ni mchezaji bora Tanzania na akaulizwa anataman akachezee yanga akasema why not leo chama yupo yanga juzi hersi kamsifia balua imekuwaje huyu Nasoro amfukuze dosa kisa deborah na sio akashinikizaz kumfukuzaz hersi aliyewasifia wachezaji wawili wa simba

  • @SilasJacob-z6v
    @SilasJacob-z6v 3 дня назад

    Acheni ujinga kumbe hata ww hujitambui umefanya ivooo ili uwe unaongea ww mpira hauko ivooo nyie ukweli unasemwa

  • @yuzoooyuso583
    @yuzoooyuso583 3 дня назад

    Nyie mashabiki wa yanga kweli mmepungukiwa akili.kumsifia mchezaji wa Simba kunaubaya Gani?huyo Chama huyo injiniaaliwaahi msiffia Chama maana yake huko uanga kulikia na wachezaji wabovu ndio mama Chama mmemchukua.makubwa jinga hàya gongowazi manara aliwahi sema wenye akili ni wawili haina haja ya kuwataja.huyo injinia wamemfanya ni Mungu wao kwaamba hakosei

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 2 дня назад

    Mm naona aliteleza mngemuita mkamuelewesha Dosa mm nina uakika ni mpile atawaelewa binadamu tumeumbiwa makosa jmn yeye sio kama wakina mchome wala meja

  • @lenziangowoko9325
    @lenziangowoko9325 3 дня назад

    Mnakuza tu mambo! Mbona mashabiki wa simba wanasifia wachezaji wa yanga,mfano mzee saidi anamsifia sana Azizo ki

  • @gerphasntaziha4475
    @gerphasntaziha4475 3 дня назад

    Baadhi ya mashabiki wa yanga kama huyu nasoro na chembela wana roho mbaya, kosa la dosa liko wapi kusema ya moyoni?

  • @silvesterrichardhelenya1319
    @silvesterrichardhelenya1319 3 дня назад

    Sawa kakosea kwani huko kwenu hakuna onyo mtu kakosea mara moja tu leo unamuondoa kwenye uanachama

  • @binbadru8408
    @binbadru8408 3 дня назад

    Yanga washamba bamjyi mpira,mtu kutoa maoni yake iwe nongwa!?

  • @MohamedHaruna-l8c
    @MohamedHaruna-l8c 3 дня назад

    Manara aliwahi sema wana yanga wote hawana akili kosoro kikwete na mzee sande manara nikweli

  • @DormanDorman-jm3dz
    @DormanDorman-jm3dz 3 дня назад

    KWA MAANA HIYO DOSA YUPO FREE .SASA ANAWEZA KUENDELEA NA MSIMAMO WKE POPOTE

  • @HerryLazaro
    @HerryLazaro День назад

    Mbona injia amemsifia balua na mbaka leo ni kiongozi?

  • @AllyShaban-ms7ot
    @AllyShaban-ms7ot 3 дня назад

    Kumamako zenu

  • @WakiliAbasi
    @WakiliAbasi 3 дня назад

    ili jamaa lina jazba

  • @AllyShaban-ms7ot
    @AllyShaban-ms7ot 3 дня назад

    Wasenge nyinyi

  • @abdallahshariff6555
    @abdallahshariff6555 3 дня назад

    Simba kuna Mchome na Said wanaiponda Simba Kila siku,mpaka Simba imemchapa Ahli Bado wanakosowa,Wana Simba hawajazuia waandishi wasiongee nao,Uto mna shida

  • @GeradGmwambe
    @GeradGmwambe 3 дня назад

    Sio watu wa mpira yanga

  • @bakanga1410
    @bakanga1410 3 дня назад

    Kwa utaratibu huo nyuma mwiko hamuwezi kupata wapenz wa kizazi kipya kwa sababu vijana wa sasa hivi wanataka furaha cyo kuwafunga mdomo

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 3 дня назад

    Mnajidai mnajua scout mngechukuwa wazee wa Simba

  • @AyubuErnest-x1k
    @AyubuErnest-x1k 3 дня назад

    Tatizo yanga uelewa mdogo

  • @DenisSanga-bj5ud
    @DenisSanga-bj5ud 3 дня назад

    Dosa asirudi tena hapo atumtaki aondoke zake