GB 64 AWAKA KWA HASIRA TUNATAKA THANK YOU YA JOBE, NIMESIKITIKA AGGY SIMBA NA DR. MO KUFUNGIWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024

Комментарии • 16

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 3 месяца назад +3

    Honestly AGGY SIMBA nje ya UCHAWA ni Mtu anayejitolea mno bin Sana kuipigania Simba ..siyo yule Muha dr Mohamed

  • @MsaleElongo
    @MsaleElongo 3 месяца назад +1

    Mimi nipo Marekani naipenda Simba na naifuatilia kila siku kwa kweli tunaimia sana na uongozi Simba

  • @TomasyLakson
    @TomasyLakson 3 месяца назад +3

    Nakukubali sna bro gb64 ipo cku nakuja kwenye. Tawi lako hapo karume

  • @hassanomary2950
    @hassanomary2950 3 месяца назад +1

    Mangungu amekua dondandugu , haelewi walahasikii, duu !!

  • @ahmadmasoud1350
    @ahmadmasoud1350 3 месяца назад +1

    Huyu nan ndani ya simba??? Ambaye anaona simba aende zke

  • @ramadhanichaurembokahunge
    @ramadhanichaurembokahunge 3 месяца назад +1

    Doctar mo ana ipinginia sana simba

  • @husseinchalamila2624
    @husseinchalamila2624 3 месяца назад

    We jb 64 katiba ikizungumze haaaitaji mkurugenzi wa mashabiki yule ni mujiliwa2 kwakua kwa Sasa huyupo mkurugenzi ni sahiii uongozi upande wa wanachama kutolea muongozo ambao wao hawajajiuzuru upande wa wanachama waliojiuzuru ni upande wa muwekezaji na. Wao hawana mamlaka kishelia kufungia wanachama elewa hivyo kaka

  • @msovueliuze1920
    @msovueliuze1920 3 месяца назад

    Sisi wanachana pamoja na mashabiki ndio tunawasababisha haw viongozi wanagoma kuachia nadaraka. Chamsingi nikutohudhuria uwanjani pamoja na kutonunua uzi wa simba. Hatuna nguvu yakuwatoa hiyo ndio silaha yetu iliyobaki.

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 3 месяца назад

    Gb 64 nkukubar sana maneno yetu namasikitiko yetu mungu atajibu tu hata kwakuchelewa Mangungu atoke mbona haskii

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 3 месяца назад

    Bocco tutakumis ila Haina namna umeitendea haki mpira wetu

  • @MsaleElongo
    @MsaleElongo 3 месяца назад

    Sasa ikiwa mlijua Mangungu alitoka Panafricain ambayo mnasema ni upande Young African kwa nini mlimpitisha Mangungu kuwa mwenyekiti?

  • @franccoz94
    @franccoz94 3 месяца назад

    BILA MANGUNGU KUTOKA MADARAKANI SISI WANASIMBA HATUTANUNUA JEZI NA UWANJAN HATUENDI

  • @MuthannaNgondi
    @MuthannaNgondi 3 месяца назад

    GB 64 utapiga kelele sana huyo mangungu anataka chai

  • @MuthannaNgondi
    @MuthannaNgondi 3 месяца назад

    Chai muhimu

  • @hamisimshamu8968
    @hamisimshamu8968 3 месяца назад

    😃😃😃