We jb 64 katiba ikizungumze haaaitaji mkurugenzi wa mashabiki yule ni mujiliwa2 kwakua kwa Sasa huyupo mkurugenzi ni sahiii uongozi upande wa wanachama kutolea muongozo ambao wao hawajajiuzuru upande wa wanachama waliojiuzuru ni upande wa muwekezaji na. Wao hawana mamlaka kishelia kufungia wanachama elewa hivyo kaka
Sisi wanachana pamoja na mashabiki ndio tunawasababisha haw viongozi wanagoma kuachia nadaraka. Chamsingi nikutohudhuria uwanjani pamoja na kutonunua uzi wa simba. Hatuna nguvu yakuwatoa hiyo ndio silaha yetu iliyobaki.
Honestly AGGY SIMBA nje ya UCHAWA ni Mtu anayejitolea mno bin Sana kuipigania Simba ..siyo yule Muha dr Mohamed
Mimi nipo Marekani naipenda Simba na naifuatilia kila siku kwa kweli tunaimia sana na uongozi Simba
Nakukubali sna bro gb64 ipo cku nakuja kwenye. Tawi lako hapo karume
Mangungu amekua dondandugu , haelewi walahasikii, duu !!
Huyu nan ndani ya simba??? Ambaye anaona simba aende zke
Doctar mo ana ipinginia sana simba
We jb 64 katiba ikizungumze haaaitaji mkurugenzi wa mashabiki yule ni mujiliwa2 kwakua kwa Sasa huyupo mkurugenzi ni sahiii uongozi upande wa wanachama kutolea muongozo ambao wao hawajajiuzuru upande wa wanachama waliojiuzuru ni upande wa muwekezaji na. Wao hawana mamlaka kishelia kufungia wanachama elewa hivyo kaka
Sisi wanachana pamoja na mashabiki ndio tunawasababisha haw viongozi wanagoma kuachia nadaraka. Chamsingi nikutohudhuria uwanjani pamoja na kutonunua uzi wa simba. Hatuna nguvu yakuwatoa hiyo ndio silaha yetu iliyobaki.
Gb 64 nkukubar sana maneno yetu namasikitiko yetu mungu atajibu tu hata kwakuchelewa Mangungu atoke mbona haskii
Bocco tutakumis ila Haina namna umeitendea haki mpira wetu
Sasa ikiwa mlijua Mangungu alitoka Panafricain ambayo mnasema ni upande Young African kwa nini mlimpitisha Mangungu kuwa mwenyekiti?
BILA MANGUNGU KUTOKA MADARAKANI SISI WANASIMBA HATUTANUNUA JEZI NA UWANJAN HATUENDI
GB 64 utapiga kelele sana huyo mangungu anataka chai
Chai muhimu
😃😃😃