MB Dogg: Latifa alinitesa, nilikuwa Michael Jackson, Mrembo wa Mombasa alinitosa kwa muonekano wangu
HTML-код
- Опубликовано: 17 сен 2024
- Sehemu ya kwanza ya #ChillnaSky tukiwa na MB Dogg. Anafunguka kuhusu maisha yake yalivyobadilika baada ya kuachia wimbo wake Latifa
Natamani huyu jamaa arudi kwenye game👌👌👌👌👌👌like za MB DOG jamani
Game imebadilika Bro he doesn't matter hapo kitambo alikua mkubwa kiasi gani.wangapi wamerudi na hawaendi sehemu
Sijui watu wanaona nn Kwa diamond ... wakat wasanii ndio Kama huyu mb dog for life❤️❤️
Kabisaaa hz ndo zilikua ngoma za kikweli
Kama unamkubalj huyu jamaa mb dog gonga like apa
Mb dog nyimbo zake zote Nzurii
Sijaona nyimbo mbaya love boy
Skay nakubali kumleta huyu jmaa where did this guy go .. big love toka 254 WATABOMBSHELL
Ngoma ya Latifa adi leo iko mu Simu yangu 🔥🔥🔥
naomba unitumie
@@victorchampion1513 Yooo situmiyi Carte Sim Boss amehichukuwaga
my always smart guy in 🇹🇿music industry
Kama wewe ni mhenga umewahi kutumia lyrics ya Huyu jmaaa kumwimbia mtoto mzuri ..Gonga like .
Latifaaa
Si ulinambia
ongezea zingine 🙂🙂
😀😀😀😀😀
@@otarurosie usicheke au haukupokea lyrics za huyu jamaa😅😅😂
What a memory! Daaah! I miss those days when life was too simple! No complications!
Tell me about it Bruv
MB Dogg..Omg. Really Missed You..💗💜❤🥰I Remember The Last Time You Came To Germany..Wow Long Time..Miss,You Though ,❤Your Music was The Best Ever..Lots Of Love From Germany..Malaika.♥️♥️♥️🙏🥰
Wangapi walikua wanaisubirii hiii😂😂
Mimi hapaa daa
Dogg for sure ilove your music uliniambia kwamba waja bado dogman nakungoja
Kenyan fan hapa.... Namtambua Sana Dogg!
My Best Song From MB Dogg..Like Natamanii Nikuone Sijui Ntakuona Vipii..Omg🤩🤩🤩🤩🔥🔥🔥This Song Is Still Liiit🔥🔥🔥🔥🥰🤩🥰🤩🥰♥️❤
wewe muhenga wa kweli
@@oneclick2023 💯💯🔥🔥🔥❤♥️❤💜💗❤♥️😍🤩
Interview imenifurahisha sana....baada ya P.Majani kupiga mdundo to the fullest 360 degrees .MBdoggy akapata Kina Latifa kama mianane hivi. Ninkawaida people loves you with something and not nothing. Respect MB.Doggy.
❤️❤️❤️❤️🔥🔥Bado nipo nakusikiliza Mb Dog
Pamoja sana sky kutoka Finland🇫🇮🇫🇮
King mb dogg give us one more latifa siulinambia inamana
safi sana sky weez..unampa mtu uhuru wa kujieleza then unampa swali lingine.
Big up Mb dog,💪💪💪💪
Dada angu anakukubar sana Dogg
I enjoyed watching this.
Huyu jamaa nilikuwa namukubali kinoma wimbo wake wa latifa,siuliniambia nazingine zilinifariji saaana hadi leo tafadhali rudi kwenye music brother we mi mkali toka kitambo peace
Latifa is still a live wallah 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🌹🌷🌷🌷🌷
Awee i lov this man
Before wasafi there was Mb dogg
Mb Dogg one and the only one Natamani nikuone sijui ntakuona vipi tuangushie ingine tunakusubiri.
Great interview, Skywalker unajua kuchimba vitu / background story ambazo watu hatukuwahi kuzisikia
The best!
❤nakupenda bure mb dogmana rudi uimbe ten
I still love your songs
Jamaa anapenda Sana rangi ya manjano
Dogi ludisha mb zangu Unakula sana mb zangu
Huyu ni msanii na mwanamziki kwa Tz top five yupo miongoni mwa wasanii wa zamani
My idol ❤
Dah we bwan hlo jna hlo mm kila cku naimbiwa... big up sana
Hatar
Latifaaa
Nakukubali sky king of interview
Nakumbuka ukija kenya club lambada mtwapa ilikua niwe catain raiser wako but time ikawa kidogo so sikupanda jukwaan so ikabidi nlewe hadi nikaenda home bila fare duuuuhh noma sana
Haaahhh haahh MB Dog hongera sana...ila hao kina latifa enzi hizoooO standard six ilikuwa de boom boom boom
Two Years now Jambo la Oman hatujaliona
Broo sky naomba uniunganishe na mb dog Nina nyimbo Kali Sana ila nahisi yeye ndio anaweza kuimba
Mb doggie man,,naikubali sana
Respect🙏
Anafanana na Wale
Vp nasi sumari dodgy
Nashauri bro uwe unatuwekea na kibiti kwa mbali kidogo...
Wa kwanza
wewe ndo sky wocker daaaah zamani sana wewe mtu wewe na mb doggy mmeniludisha nyuma sana
Sky nawakubali sana lakini sijaelewa tofauti kati ya chill na sky na interview zingine ndani ya SNS.
Chill na Sky ni show ya TV! Huruka Plus TV kila Jumapili saa 2 usiku
@@SimuliziNaSauti Kwa sisi wenye Ving'amuzi vya Azam tunakukosa huko Plust Tv. Hadi uwe na DSTV. Ila You Tube tunakomaa na ww.
@@SimuliziNaSauti ile show unayofanya watanzania wa nje inaitwaje nimesahau jina
Wakenya nipeeni likes
Sky utatisha sana ukifanya na Innocent Nganyagwa
Nmkubali
Sio mara ya kwanza anaongelea mambo ya martial arts..
Mb Dogg ulipotea ukaenda wapi bro 😂😂 Latifah akoapi maze
Nice interview
Mie wa Sita
Mapenzi kitu gani mpka Leo najivunia sana
Skywalker utafikili ulikuwa na me ,,nilikuwa nataka nitume ombi umlete huyu jamaaa
Naomba mumlete king crazy gk
Mb dog na Z anti ndio wasanii pekee wanaojua kuimba Tanzania
😂😂😂😂nilitoa macho
Haaaaha ety wa kwanza bas m wa pili
🤣🤣
Emb namkubarisana arudikwenye gem
Miaka imepita sijakuona wangu maida
Kaka we muislam acha mambi kusuka kama shoga
sns
😂😂😂😂😂 umetisha 🐶
Sky walker doggy
hivi kwanini hawakutoa video, natamani sana mumuulize hili swali
Huyu alipotelea wapi
Tatizo anasuka nywele .
Kitambo
Dog man 🔥🔥🔥🔥
Latifa vipo vya kushea ila sio mapenz
Pingu yuapi
nakumbuka dua ya Madee ety yule atolewe abak Mb dog kwènýè wimbo wa latifa 😂😂😂😂
Chelea Man atolewe kisa alikuwa hajamkatia punga
Hahahahaha eti mfupi hivyo!!!😂😂😂😂
Dogg man
Huyu jamaa alitukosha xana roho zetu
😁😁😁
hahahahahahaha mze kapigwa napenda caus uko mkweli ingekuwa mwengine angesema alipiga kila mmtu but wewe unakubali uliwahi kupigwa Ubarikiwe dog
Sio mara ya kwanza anaongelea mambo ya martial arts..