MB Dogg: Latifa alinitesa, nilikuwa Michael Jackson, Mrembo wa Mombasa alinitosa kwa muonekano wangu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024
  • Sehemu ya kwanza ya #ChillnaSky tukiwa na MB Dogg. Anafunguka kuhusu maisha yake yalivyobadilika baada ya kuachia wimbo wake Latifa

Комментарии • 106

  • @pamelauwera3830
    @pamelauwera3830 3 года назад +39

    Natamani huyu jamaa arudi kwenye game👌👌👌👌👌👌like za MB DOG jamani

    • @safariadrien5348
      @safariadrien5348 3 года назад +1

      Game imebadilika Bro he doesn't matter hapo kitambo alikua mkubwa kiasi gani.wangapi wamerudi na hawaendi sehemu

  • @sarahali5938
    @sarahali5938 3 года назад +28

    Sijui watu wanaona nn Kwa diamond ... wakat wasanii ndio Kama huyu mb dog for life❤️❤️

    • @jaymwinyi6957
      @jaymwinyi6957 2 года назад +1

      Kabisaaa hz ndo zilikua ngoma za kikweli

  • @msabaa3962
    @msabaa3962 3 года назад +52

    Kama unamkubalj huyu jamaa mb dog gonga like apa

  • @salmacazzy1915
    @salmacazzy1915 3 года назад +18

    Mb dog nyimbo zake zote Nzurii
    Sijaona nyimbo mbaya love boy

  • @misapinamiswi5751
    @misapinamiswi5751 3 года назад +16

    Skay nakubali kumleta huyu jmaa where did this guy go .. big love toka 254 WATABOMBSHELL

  • @zabibunduwimana4612
    @zabibunduwimana4612 3 года назад +14

    Ngoma ya Latifa adi leo iko mu Simu yangu 🔥🔥🔥

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga8318 3 года назад +14

    my always smart guy in 🇹🇿music industry

  • @oneclick2023
    @oneclick2023 3 года назад +7

    Kama wewe ni mhenga umewahi kutumia lyrics ya Huyu jmaaa kumwimbia mtoto mzuri ..Gonga like .
    Latifaaa
    Si ulinambia
    ongezea zingine 🙂🙂

    • @otarurosie
      @otarurosie 3 года назад

      😀😀😀😀😀

    • @oneclick2023
      @oneclick2023 3 года назад

      @@otarurosie usicheke au haukupokea lyrics za huyu jamaa😅😅😂

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard4872 3 года назад +17

    What a memory! Daaah! I miss those days when life was too simple! No complications!

  • @malaika7021
    @malaika7021 3 года назад +8

    MB Dogg..Omg. Really Missed You..💗💜❤🥰I Remember The Last Time You Came To Germany..Wow Long Time..Miss,You Though ,❤Your Music was The Best Ever..Lots Of Love From Germany..Malaika.♥️♥️♥️🙏🥰

  • @kizzydollar3357
    @kizzydollar3357 3 года назад +40

    Wangapi walikua wanaisubirii hiii😂😂

  • @muyurip7157
    @muyurip7157 Год назад +1

    Dogg for sure ilove your music uliniambia kwamba waja bado dogman nakungoja

  • @MwasWanjiru
    @MwasWanjiru 3 года назад +3

    Kenyan fan hapa.... Namtambua Sana Dogg!

  • @malaika7021
    @malaika7021 3 года назад +7

    My Best Song From MB Dogg..Like Natamanii Nikuone Sijui Ntakuona Vipii..Omg🤩🤩🤩🤩🔥🔥🔥This Song Is Still Liiit🔥🔥🔥🔥🥰🤩🥰🤩🥰♥️❤

    • @oneclick2023
      @oneclick2023 3 года назад +1

      wewe muhenga wa kweli

    • @malaika7021
      @malaika7021 3 года назад

      @@oneclick2023 💯💯🔥🔥🔥❤♥️❤💜💗❤♥️😍🤩

  • @stevebupamba5009
    @stevebupamba5009 3 года назад +2

    Interview imenifurahisha sana....baada ya P.Majani kupiga mdundo to the fullest 360 degrees .MBdoggy akapata Kina Latifa kama mianane hivi. Ninkawaida people loves you with something and not nothing. Respect MB.Doggy.

  • @aishafahdi8355
    @aishafahdi8355 2 года назад +2

    ❤️❤️❤️❤️🔥🔥Bado nipo nakusikiliza Mb Dog

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 3 года назад +5

    Pamoja sana sky kutoka Finland🇫🇮🇫🇮

  • @saifalmughairi83
    @saifalmughairi83 3 года назад +6

    King mb dogg give us one more latifa siulinambia inamana

  • @stephanokigosi656
    @stephanokigosi656 3 года назад +2

    safi sana sky weez..unampa mtu uhuru wa kujieleza then unampa swali lingine.

  • @jumanjiwa5567
    @jumanjiwa5567 3 года назад +3

    Big up Mb dog,💪💪💪💪

  • @victorchampion1513
    @victorchampion1513 3 года назад +2

    Dada angu anakukubar sana Dogg

  • @nebulazzkenya9916
    @nebulazzkenya9916 3 года назад +2

    I enjoyed watching this.

  • @4484_4e
    @4484_4e 3 года назад +6

    Huyu jamaa nilikuwa namukubali kinoma wimbo wake wa latifa,siuliniambia nazingine zilinifariji saaana hadi leo tafadhali rudi kwenye music brother we mi mkali toka kitambo peace

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 3 года назад +2

    Latifa is still a live wallah 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🌹🌷🌷🌷🌷

  • @veronicacharles2427
    @veronicacharles2427 3 года назад +1

    Awee i lov this man

  • @amkilsim8961
    @amkilsim8961 Год назад +1

    Before wasafi there was Mb dogg

  • @evansmahero9149
    @evansmahero9149 3 года назад

    Mb Dogg one and the only one Natamani nikuone sijui ntakuona vipi tuangushie ingine tunakusubiri.

  • @shanelrichard832
    @shanelrichard832 3 года назад

    Great interview, Skywalker unajua kuchimba vitu / background story ambazo watu hatukuwahi kuzisikia

  • @fidelslick2086
    @fidelslick2086 3 года назад +1

    The best!

  • @ShehaSwaleh
    @ShehaSwaleh 11 месяцев назад

    ❤nakupenda bure mb dogmana rudi uimbe ten

  • @dawaninja1719
    @dawaninja1719 Год назад

    I still love your songs

  • @Mpembuzi
    @Mpembuzi 3 года назад

    Jamaa anapenda Sana rangi ya manjano

  • @user-pw4ui6zd8c
    @user-pw4ui6zd8c Год назад

    Dogi ludisha mb zangu Unakula sana mb zangu

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 3 года назад +3

    Huyu ni msanii na mwanamziki kwa Tz top five yupo miongoni mwa wasanii wa zamani

  • @mdedsm5522
    @mdedsm5522 3 года назад +2

    My idol ❤

  • @latifrank8257
    @latifrank8257 3 года назад

    Dah we bwan hlo jna hlo mm kila cku naimbiwa... big up sana

  • @ramcosaly3324
    @ramcosaly3324 3 года назад +1

    Hatar

  • @veronicadaniel1122
    @veronicadaniel1122 3 года назад +2

    Latifaaa

  • @isacknassirjuma2832
    @isacknassirjuma2832 3 года назад

    Nakukubali sky king of interview

  • @ramadhansadik001
    @ramadhansadik001 Год назад

    Nakumbuka ukija kenya club lambada mtwapa ilikua niwe catain raiser wako but time ikawa kidogo so sikupanda jukwaan so ikabidi nlewe hadi nikaenda home bila fare duuuuhh noma sana

  • @tonyi6807
    @tonyi6807 3 года назад

    Haaahhh haahh MB Dog hongera sana...ila hao kina latifa enzi hizoooO standard six ilikuwa de boom boom boom

  • @edwardasumwisye3010
    @edwardasumwisye3010 Год назад

    Two Years now Jambo la Oman hatujaliona

  • @salumuathumani2217
    @salumuathumani2217 3 года назад

    Broo sky naomba uniunganishe na mb dog Nina nyimbo Kali Sana ila nahisi yeye ndio anaweza kuimba

  • @kingbizzo7438
    @kingbizzo7438 3 года назад

    Mb doggie man,,naikubali sana

  • @alanamani4575
    @alanamani4575 3 года назад +1

    Respect🙏

  • @stevenmeshack467
    @stevenmeshack467 3 года назад +2

    Anafanana na Wale

  • @adilimakuza251
    @adilimakuza251 3 года назад +2

    Vp nasi sumari dodgy

  • @isayacharles8725
    @isayacharles8725 3 года назад

    Nashauri bro uwe unatuwekea na kibiti kwa mbali kidogo...

  • @mrsliverpool4235
    @mrsliverpool4235 3 года назад +1

    Wa kwanza

  • @danieljames7648
    @danieljames7648 3 года назад

    wewe ndo sky wocker daaaah zamani sana wewe mtu wewe na mb doggy mmeniludisha nyuma sana

  • @godiray3908
    @godiray3908 3 года назад +1

    Sky nawakubali sana lakini sijaelewa tofauti kati ya chill na sky na interview zingine ndani ya SNS.

    • @SimuliziNaSauti
      @SimuliziNaSauti  3 года назад +3

      Chill na Sky ni show ya TV! Huruka Plus TV kila Jumapili saa 2 usiku

    • @kibwamoko8767
      @kibwamoko8767 3 года назад

      @@SimuliziNaSauti Kwa sisi wenye Ving'amuzi vya Azam tunakukosa huko Plust Tv. Hadi uwe na DSTV. Ila You Tube tunakomaa na ww.

    • @emmanuelmwendo2073
      @emmanuelmwendo2073 3 года назад

      @@SimuliziNaSauti ile show unayofanya watanzania wa nje inaitwaje nimesahau jina

  • @fenasuptownlife
    @fenasuptownlife 8 месяцев назад

    Wakenya nipeeni likes

  • @usanifumaandishi7519
    @usanifumaandishi7519 3 года назад

    Sky utatisha sana ukifanya na Innocent Nganyagwa

  • @miriamlucian9646
    @miriamlucian9646 3 года назад

    Nmkubali

  • @jaquubjummah7538
    @jaquubjummah7538 3 года назад

    Sio mara ya kwanza anaongelea mambo ya martial arts..

  • @wybzokizzy4416
    @wybzokizzy4416 Год назад

    Mb Dogg ulipotea ukaenda wapi bro 😂😂 Latifah akoapi maze

  • @minabuelysee8
    @minabuelysee8 3 года назад

    Nice interview

  • @salmacazzy1915
    @salmacazzy1915 3 года назад +1

    Mie wa Sita

  • @anthonykamaukuria
    @anthonykamaukuria 2 года назад

    Mapenzi kitu gani mpka Leo najivunia sana

  • @oneclick2023
    @oneclick2023 3 года назад +1

    Skywalker utafikili ulikuwa na me ,,nilikuwa nataka nitume ombi umlete huyu jamaaa

  • @barakaanthony5943
    @barakaanthony5943 3 года назад

    Naomba mumlete king crazy gk

  • @griezmannmhalaka4338
    @griezmannmhalaka4338 3 года назад

    Mb dog na Z anti ndio wasanii pekee wanaojua kuimba Tanzania

  • @makulaikuku6909
    @makulaikuku6909 3 года назад +1

    😂😂😂😂nilitoa macho

  • @nashonshimba7997
    @nashonshimba7997 3 года назад +2

    Haaaaha ety wa kwanza bas m wa pili

  • @evelyneimana9372
    @evelyneimana9372 3 года назад

    Emb namkubarisana arudikwenye gem

  • @bbb6nnn561
    @bbb6nnn561 3 года назад +1

    Miaka imepita sijakuona wangu maida

  • @hafidhdrogba3392
    @hafidhdrogba3392 9 месяцев назад

    Kaka we muislam acha mambi kusuka kama shoga

  • @DULLAHMASTER
    @DULLAHMASTER 3 года назад

    sns

  • @mpingeally923
    @mpingeally923 3 года назад +1

    😂😂😂😂😂 umetisha 🐶

  • @jilesjames7830
    @jilesjames7830 2 года назад

    Sky walker doggy

  • @shanelrichard832
    @shanelrichard832 3 года назад

    hivi kwanini hawakutoa video, natamani sana mumuulize hili swali

  • @sweetmeena5970
    @sweetmeena5970 3 года назад

    Huyu alipotelea wapi

  • @geraldmakalala6091
    @geraldmakalala6091 3 года назад

    Tatizo anasuka nywele .

  • @Mngoniboytv
    @Mngoniboytv 3 года назад

    Kitambo

  • @shardalove1159
    @shardalove1159 3 года назад +1

    Dog man 🔥🔥🔥🔥

  • @bbb6nnn561
    @bbb6nnn561 3 года назад

    Latifa vipo vya kushea ila sio mapenz

  • @nasmafarmsltd9146
    @nasmafarmsltd9146 3 года назад +1

    nakumbuka dua ya Madee ety yule atolewe abak Mb dog kwènýè wimbo wa latifa 😂😂😂😂

    • @binsururu
      @binsururu Год назад

      Chelea Man atolewe kisa alikuwa hajamkatia punga

  • @salmaalimusa547
    @salmaalimusa547 3 года назад +1

    Hahahahaha eti mfupi hivyo!!!😂😂😂😂

  • @lukassospeter1594
    @lukassospeter1594 2 года назад

    Dogg man

  • @saumuomariahmad9540
    @saumuomariahmad9540 3 года назад

    Huyu jamaa alitukosha xana roho zetu

  • @kingr-nawz4821
    @kingr-nawz4821 3 года назад +2

    hahahahahahaha mze kapigwa napenda caus uko mkweli ingekuwa mwengine angesema alipiga kila mmtu but wewe unakubali uliwahi kupigwa Ubarikiwe dog

  • @jaquubjummah7538
    @jaquubjummah7538 3 года назад

    Sio mara ya kwanza anaongelea mambo ya martial arts..